Rais Abdel Fattah El-Sisi ametoa wito huo huku akieleza kuwa inatakiwa wastani wa Watu uwe 400,000 kwa Mwaka badala ya Watu Milioni 2.2 kama ilivyokuwa katika takwimu za Mwaka 2022 ambapo Taifa hilo lina Watu zaidi ya Milioni 112
Rais El-Sisi anaonya kuwa ongezeko la Watu linaweza kusababisha mzigo kwa Serikali na kushindwa kumudu maboresho ya Uchumi wa Nchi na wa Wananchi miaka ijayo
Awali, Waziri wa Afya wa Misri, Khaled Abdel Ghaffar alisema suala la mzazi kuwa na idadi kadhaa ya Watoto ni hiyari na uhuru wa mtu binafsi
Soma https://jamii.app/EgyptPopulation
#LifeStyle #SocialJustice #Governance #JamiiForums
Rais El-Sisi anaonya kuwa ongezeko la Watu linaweza kusababisha mzigo kwa Serikali na kushindwa kumudu maboresho ya Uchumi wa Nchi na wa Wananchi miaka ijayo
Awali, Waziri wa Afya wa Misri, Khaled Abdel Ghaffar alisema suala la mzazi kuwa na idadi kadhaa ya Watoto ni hiyari na uhuru wa mtu binafsi
Soma https://jamii.app/EgyptPopulation
#LifeStyle #SocialJustice #Governance #JamiiForums
π6
#JamiiForums kupitia Jukwaa la #JamiiCheck imethibitisha kuwa si kila Mgonjwa wa Kifua Kikuu huwa na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Aidha, ikiwa mtu aliye na VVU atatumia vizuri dawa za kufubaza virusi anaweza asipate kabisa Ugonjwa wa Kifua Kikuu
-
Wagonjwa wanaoishi na VVU wanashauriwa kutumia dozi zao vizuri ili kuepusha maambukizi ya Kifua Kikuu ambacho huongeza athari za ukubwa wa tatizo pamoja na kufupisha Maisha
-
Soma https://jamii.app/KifuaKikuu
#FactsChecking #FactsCheck
-
Wagonjwa wanaoishi na VVU wanashauriwa kutumia dozi zao vizuri ili kuepusha maambukizi ya Kifua Kikuu ambacho huongeza athari za ukubwa wa tatizo pamoja na kufupisha Maisha
-
Soma https://jamii.app/KifuaKikuu
#FactsChecking #FactsCheck
π5
UPDATE: Baada ya hukumu ya takriban saa 10, Majaji wa Mahakama ya Rufani Nchini #Nigeria, wameamua kuwa madai ya Wapinzani kuwa Uchaguzi ulitawaliwa na Udanganyifu hayakuwa na mashiko, hivyo kubariki Urais wa #BolaTinubu aliyeapishwa Mei 29, 2023
Uchaguzi huo unatajwa kuwa wenye ushindani mkali zaidi tangu kumalizika kwa Utawala wa Kijeshi Mwaka 1999, ambapo Tinubu alishinda kwa 37% ya kura zilizopigwa, dhidi ya 29% za Atiku Abubakar na 25% za Peter Obi
Soma https://jamii.app/PingamiziLatupiliwaMbali
#JamiiForums #NigeriaElections #Democracy #SocialJustice
Uchaguzi huo unatajwa kuwa wenye ushindani mkali zaidi tangu kumalizika kwa Utawala wa Kijeshi Mwaka 1999, ambapo Tinubu alishinda kwa 37% ya kura zilizopigwa, dhidi ya 29% za Atiku Abubakar na 25% za Peter Obi
Soma https://jamii.app/PingamiziLatupiliwaMbali
#JamiiForums #NigeriaElections #Democracy #SocialJustice
π2π₯±2
AFRIKA KUSINI: Hendrietta Bogopane-Zulu ambaye ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, ametaka Wanawake wanaokunywa Pombe wakati wa Ujauzito washtakiwe kwa Unyanyasaji Watoto kutokana na Madhara wanayowasababishia Watoto kwenye Ubongo
Akizungumza katika Kongamano la Kukuza Uelewa Kuhusu Athari za Pombe kwa Watoto, amesema Shirika la Afya Duniani (#WHO) limeitaja Afrika Kusini kuwa na kiwango cha juu zaidi cha Walevi Duniani
Kwa mujibu wa takwimu, Matumizi ya Pombe Nchini humo yameripotiwa kufikia 41.5% kwa Wanaume na 17.1% kwa Wanawake. Wakazi wa Mijini ni 33.4% na wa Vijijini 18.3%
Soma https://jamii.app/FASDSA
#JamiiForums #Governance #Accountability #ChildRights #PublicHealth
Akizungumza katika Kongamano la Kukuza Uelewa Kuhusu Athari za Pombe kwa Watoto, amesema Shirika la Afya Duniani (#WHO) limeitaja Afrika Kusini kuwa na kiwango cha juu zaidi cha Walevi Duniani
Kwa mujibu wa takwimu, Matumizi ya Pombe Nchini humo yameripotiwa kufikia 41.5% kwa Wanaume na 17.1% kwa Wanawake. Wakazi wa Mijini ni 33.4% na wa Vijijini 18.3%
Soma https://jamii.app/FASDSA
#JamiiForums #Governance #Accountability #ChildRights #PublicHealth
π8β€1π1
Je, umewahi kukumbana na Changamoto wakati wa kupata Kitambulisho cha Taifa? Jiunge nasi katika Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini Leo, Septemba 7, 2023, kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums kuanzia saa 12:00 jioni hadi saa 2:00 usiku
Tutaangazia Mchakato wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
Karibu kutoa maoni yako, Mamlaka( NIDA na TAKUKURU) zitakuwepo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Tutaangazia Mchakato wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
Karibu kutoa maoni yako, Mamlaka( NIDA na TAKUKURU) zitakuwepo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π3
Jeshi la Polisi linamshikilia #EstherLungu ambaye ni mke wa Rais wa zamani wa #Zambia, #EdgarLungu akituhumiwa makosa matatu likiwemo la wizi wa gari ambalo amekana kuhusika
Esther ambaye yuko kizuizini, amekamatwa pamoja na Watu wengine watatu kwa tuhuma hizo, pia Mawaziri kadhaa wa zamani, Maafisa wa Serikali na Wanafamilia wa Lungu wanachunguzwa kwa tuhuma za uhalifu licha ya wote kukana tuhuma hizo
Soma https://jamii.app/LunguZambia
#Governance #Accountability #JamiiForums
Esther ambaye yuko kizuizini, amekamatwa pamoja na Watu wengine watatu kwa tuhuma hizo, pia Mawaziri kadhaa wa zamani, Maafisa wa Serikali na Wanafamilia wa Lungu wanachunguzwa kwa tuhuma za uhalifu licha ya wote kukana tuhuma hizo
Soma https://jamii.app/LunguZambia
#Governance #Accountability #JamiiForums
π6β€2π2
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema wito huo kwa Msanii wa Bongo Fleva, #NayWaMitego ulihusu mazungumzo kuhusu wimbo wake wa #Amkeni lakini hakutokea na hiyo ndio sababu ya kuzuia vibali vya kufanya shoo Mkoani #Njombe
Mwanasheria wa #BASATA, Christopher Kamugisha amesema βTumempa wito kwa mara ya tatu afike Ijumaa hii (Septemba 8, 2023), tunasubiri kuona kama atafika au la.β
Awali, Mwanasheria wa Nay, Wakili Jebra Kambole akiongea na JamiiForums alisema βBASATA wamempa wito wa maandishi Nay afike ofisini kwao Ijumaa hii kwa sharti kuwa anatakiwa kwenda peke yake bila Mwanasheria, bado tunatafakari sharti hilo na kwa nini iwe hivyo.β
Soma https://jamii.app/NayNaBASATA
#Entertainment #Democracy #FreedomOfSpeech #FreedomOfExpression #JamiiForums
Mwanasheria wa #BASATA, Christopher Kamugisha amesema βTumempa wito kwa mara ya tatu afike Ijumaa hii (Septemba 8, 2023), tunasubiri kuona kama atafika au la.β
Awali, Mwanasheria wa Nay, Wakili Jebra Kambole akiongea na JamiiForums alisema βBASATA wamempa wito wa maandishi Nay afike ofisini kwao Ijumaa hii kwa sharti kuwa anatakiwa kwenda peke yake bila Mwanasheria, bado tunatafakari sharti hilo na kwa nini iwe hivyo.β
Soma https://jamii.app/NayNaBASATA
#Entertainment #Democracy #FreedomOfSpeech #FreedomOfExpression #JamiiForums
π5π2π1
Mdau wa JamiiForums.com anasema tukikubali kuwa Watoto hawawezi kufanya maamuzi ya Ujira, kuendesha Vyombo vya Moto au kushiriki katika Uchaguzi kutokana na kutokuwa na uwezo wa kutosha, tunapaswa pia kutekeleza Kanuni hii katika suala la Ndoa kwa Watoto
Amesema Ndoa ni suala linaloweza kuwa na athari za kudumu kwa Watoto, Jamii itathmini Desturi zinazowalazimu Watoto kuolewa katika Umri Mdogo ili kuwalinda kwa kufahamu na kutambua kuwa Wanastahili kulindwa, kuwezeshwa kukua, kupatiwa #Elimu na kushiriki katika maamuzi yanayohusu mustakabali wao
Soma https://jamii.app/JukumuLaNdoa
#JamiiForums #SocialJustice #EarlyMarriages #NdoaZaUtotoni #JFWomen #HakiMtoto #WomenRights #ChildProtection
Amesema Ndoa ni suala linaloweza kuwa na athari za kudumu kwa Watoto, Jamii itathmini Desturi zinazowalazimu Watoto kuolewa katika Umri Mdogo ili kuwalinda kwa kufahamu na kutambua kuwa Wanastahili kulindwa, kuwezeshwa kukua, kupatiwa #Elimu na kushiriki katika maamuzi yanayohusu mustakabali wao
Soma https://jamii.app/JukumuLaNdoa
#JamiiForums #SocialJustice #EarlyMarriages #NdoaZaUtotoni #JFWomen #HakiMtoto #WomenRights #ChildProtection
π9
Je, umewahi kukumbana na Changamoto wakati wa Kupata Kitambulisho cha Taifa? Jiunge nasi katika Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini Leo, Septemba 7, 2023, kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums kuanzia saa 12:00 jioni hadi saa 2:00 usiku
Tutaangazia Mchakato wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
Karibu kutoa maoni yako, Mamlaka( NIDA na TAKUKURU) zitakuwepo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Tutaangazia Mchakato wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
Karibu kutoa maoni yako, Mamlaka( NIDA na TAKUKURU) zitakuwepo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
#BUNGENI: Waziri Mkuu, #KassimMajaliwa amemuagiza Waziri wa Nishati ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko kukaa na Wadau wa Mafuta na kuja na majibu ndani ya siku 7 kuhusu upatikanaji wa Mafuta Nchini
Waziri Mkuu alikuwa akijibu Swali la Mbunge wa Lushoto (CCM), Rashid Shangazi aliyetaka kujua Serikali inaweka mkakati gani ili upatikanaji wa Mafuta uwe wa uhakika Nchini, ambapo amekiri uwepo wa changamoto ya Mafuta Nchini na kueleza kuna jitihada zinazochukuliwa na Serikali
Ikumbukwe ni siku moja imepita tangu Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (#EWURA) kutangaza Bei mpya za Mafuta ambazo zimeanza kutumika zikiwa na ongezeko la Bei kulinganisha na mwezi Agosti 2023
Soma https://jamii.app/PMOrdrersDPM
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #FuelCrisis #JFUwajibikaji23
Waziri Mkuu alikuwa akijibu Swali la Mbunge wa Lushoto (CCM), Rashid Shangazi aliyetaka kujua Serikali inaweka mkakati gani ili upatikanaji wa Mafuta uwe wa uhakika Nchini, ambapo amekiri uwepo wa changamoto ya Mafuta Nchini na kueleza kuna jitihada zinazochukuliwa na Serikali
Ikumbukwe ni siku moja imepita tangu Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (#EWURA) kutangaza Bei mpya za Mafuta ambazo zimeanza kutumika zikiwa na ongezeko la Bei kulinganisha na mwezi Agosti 2023
Soma https://jamii.app/PMOrdrersDPM
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #FuelCrisis #JFUwajibikaji23
π5π3π1
Tamko hilo la EWURA linalofafanua kuhusu taarifa yao ya Septemba 4, 2023 linakuja muda mfupi tangu Waziri Mkuu akiri Bungeni kuwa kuna changamoto ya upatikanaji wa Nishati hiyo katika baadhi ya maeneo Nchini
Kupitia taarifa yake kwa Umma, #EWURA imefafanua inaposema akiba ya Mafuta iliyopo inatosha kwa siku 19 maana yake inakidhi mahitaji ya Kisheria yanayotaka Maghala ya Hifadhi kuwa na Mafuta yanayotosha kwa siku 15
Aidha, EWURA umeongeza kuwa inaposema mafuta yanatosha kwa Siku 19 haina maana baada ya siku hizo kutakuwa hakuna Mafuta Nchini
Soma https://jamii.app/EWURAStock
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #FuelCrisis #JFUwajibikaji23
Kupitia taarifa yake kwa Umma, #EWURA imefafanua inaposema akiba ya Mafuta iliyopo inatosha kwa siku 19 maana yake inakidhi mahitaji ya Kisheria yanayotaka Maghala ya Hifadhi kuwa na Mafuta yanayotosha kwa siku 15
Aidha, EWURA umeongeza kuwa inaposema mafuta yanatosha kwa Siku 19 haina maana baada ya siku hizo kutakuwa hakuna Mafuta Nchini
Soma https://jamii.app/EWURAStock
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #FuelCrisis #JFUwajibikaji23
π4π3β€2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
#BUNGENI: Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathmini kuhusu mfumo mpya wa uagizaji Mafuta Nchini ili kuondoa ongezeko la changamoto ya upatikanaji wake
Spika amesema "Haiwezekani Mafuta yanapatikana kwa wiki mbili na baada ya hapo yanakuwa hayapatikani, kisha Bei mpya zikitangazwa baada ya muda yanaanza kupatikana tena".
Ameongeza kuwa kama mfumo huo unaleta changamoto ni vema kurejea kwenye mfumo wa zamani kwa kuboresha maeneo yaliyokuwa na changamoto
Soma https://jamii.app/SpikaMafuta
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #FuelCrisis #JFUwajibikaji23
Spika amesema "Haiwezekani Mafuta yanapatikana kwa wiki mbili na baada ya hapo yanakuwa hayapatikani, kisha Bei mpya zikitangazwa baada ya muda yanaanza kupatikana tena".
Ameongeza kuwa kama mfumo huo unaleta changamoto ni vema kurejea kwenye mfumo wa zamani kwa kuboresha maeneo yaliyokuwa na changamoto
Soma https://jamii.app/SpikaMafuta
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #FuelCrisis #JFUwajibikaji23
π8π1
RWANDA: Mwanamume mmoja (34) amekamatwa nchini humo baada ya kupatikana kwa zaidi ya miili 10 ya watu iliyozikwa kwenye shimo Jikoni katika nyumba aliyopanga Mjini #Kigali
Mshukiwa anadaiwa kuwadadisi, kisha kuwarubuni na kuwapeleka waathiriwa hao nyumbani kwake, ambako alikuwa akiwaibia simu na mali zao kisha kuwanyonga hadi kuwaua na kuwazika kwenye shimo hilo huku baadhi yao akiwayeyusha kwa kutumia tindikali
Soma https://jamii.app/RwandaSerialKiller
#JamiiForums #RwandaSerialKiller #SocialJustice #Crimes
Mshukiwa anadaiwa kuwadadisi, kisha kuwarubuni na kuwapeleka waathiriwa hao nyumbani kwake, ambako alikuwa akiwaibia simu na mali zao kisha kuwanyonga hadi kuwaua na kuwazika kwenye shimo hilo huku baadhi yao akiwayeyusha kwa kutumia tindikali
Soma https://jamii.app/RwandaSerialKiller
#JamiiForums #RwandaSerialKiller #SocialJustice #Crimes
π€5π4π1π€¨1
JE, UMEWAHI KUKUMBANA NA CHANGAMOTO WAKATI WA KUPATA KITAMBULISHO CHA TAIFA?
Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini unaendelea kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi saa 2:00 Usiku
Shiriki kutoa maoni, Mamlaka (#NIDA na #TAKUKURU) zipo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini unaendelea kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi saa 2:00 Usiku
Shiriki kutoa maoni, Mamlaka (#NIDA na #TAKUKURU) zipo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π1
NIDA: NAMBA YA NIDA NI MUHIMU KULIKO KADI YA KITAMBULISHO
Akizungumza kupitia Mjadala wa Changamoto za upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa NIDA, Godfrey Tengeneza, amesema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa imeanza kutoka katika matumizi ya βCard Readerβ, na inazungumza na Taasisi nyingine ili kuwa na umoja wa kupata taarifa za wateja
Amesema tayari wamefanya mazungumza na Taasisi za Serikali ambapo wanatumia kanzidata ya NIDA kuweza kuwahudumia wateja wao ili Mwananchi anapokwenda kupata Huduma katika Taasisi husika aende na namba tu
Amesema "Kitu muhimu ni namba ya Utambulisho, kwenye Mataifa mengine wamefikia hatua ya kuwa hakuna haja ya kuwa na kitambulisho kwa maana lile βgambaβ, namba pekee inatosha kumpatia Mtu Huduma na kumtambulisho"
#JamiiForums #NationalIDTZ #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Akizungumza kupitia Mjadala wa Changamoto za upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa NIDA, Godfrey Tengeneza, amesema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa imeanza kutoka katika matumizi ya βCard Readerβ, na inazungumza na Taasisi nyingine ili kuwa na umoja wa kupata taarifa za wateja
Amesema tayari wamefanya mazungumza na Taasisi za Serikali ambapo wanatumia kanzidata ya NIDA kuweza kuwahudumia wateja wao ili Mwananchi anapokwenda kupata Huduma katika Taasisi husika aende na namba tu
Amesema "Kitu muhimu ni namba ya Utambulisho, kwenye Mataifa mengine wamefikia hatua ya kuwa hakuna haja ya kuwa na kitambulisho kwa maana lile βgambaβ, namba pekee inatosha kumpatia Mtu Huduma na kumtambulisho"
#JamiiForums #NationalIDTZ #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π1
NIDA: KUPATA NAMBA YA NIDA NI SIKU 7 HADI 14, KADI NI WIKI 3 HADI MWEZI BAADA YA KUJISAJILI
Afisa Habari wa NIDA, Geofrey Tengeneza amesema kama hakuna matukio au mambo yanayosababisha msongamano, na taarifa za mhusika zikiwa hazina shida, kupata Namba ya NIDA ni ndani ya siku 7 hadi 14 tokea kujisajili, japokuwa kukiwa na changamoto inaweza kuwa zaidi ya hapo
Upande wa kupata kadi ya NIDA, amesema baada ya kupitia mchakato wote ikiwemo kushirikisha Taasisi nyingine wanazofanyanazo kazi, na Kukiwa hakuna matukio yenye msongamano pia, kupata kadi ni ndani ya wiki tatu hadi mwezi mmoja, lakini kukiwa na changamoto inaweza kuwa zaidi ya hapo
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Afisa Habari wa NIDA, Geofrey Tengeneza amesema kama hakuna matukio au mambo yanayosababisha msongamano, na taarifa za mhusika zikiwa hazina shida, kupata Namba ya NIDA ni ndani ya siku 7 hadi 14 tokea kujisajili, japokuwa kukiwa na changamoto inaweza kuwa zaidi ya hapo
Upande wa kupata kadi ya NIDA, amesema baada ya kupitia mchakato wote ikiwemo kushirikisha Taasisi nyingine wanazofanyanazo kazi, na Kukiwa hakuna matukio yenye msongamano pia, kupata kadi ni ndani ya wiki tatu hadi mwezi mmoja, lakini kukiwa na changamoto inaweza kuwa zaidi ya hapo
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π3π©2
NIDA: WOTE WENYE NAMBA ZA NIDA WATAPATA KADI KUFIKIA JANUARI 2024
Afisa Habari wa NIDA, Geofrey Tengeneza amesema Watanzania wote wenye Namba za #NIDA hadi kufikia Januari 2024 kila Mwananchi mwenye namba husika atakuwa amepata Kitambulisho chake cha Taifa
Aidha, amesema hadi kufikia sasa, tayari watu Milioni 24 wamesajiliwa, Namba za Utambulisho zilizotolewa ni Milioni 20 na Vitambulisho ambavyo vimechapishwa ni zaidi ya Milioni 17
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Afisa Habari wa NIDA, Geofrey Tengeneza amesema Watanzania wote wenye Namba za #NIDA hadi kufikia Januari 2024 kila Mwananchi mwenye namba husika atakuwa amepata Kitambulisho chake cha Taifa
Aidha, amesema hadi kufikia sasa, tayari watu Milioni 24 wamesajiliwa, Namba za Utambulisho zilizotolewa ni Milioni 20 na Vitambulisho ambavyo vimechapishwa ni zaidi ya Milioni 17
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π1