JamiiForums
34.1K subscribers
37.3K photos
2.97K videos
32.8K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Je, Mdau ana point kuhusu hili? Umejiwekea mipaka gani kazini ili kuepuka migongano na wenzako na kulinda heshima yako ya kazi?🤔

Kushiriki mjadala https://jamii.app/MazoeaKazini

#JamiiForums #JFMaisha #JFMahusiano
👍1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Chande ameyasema hayo wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, leo Aprili 23, 2026.

Zaidi https://jamii.app/RipotiOktoba2025

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Chande ameyasema hayo wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam

Zaidi https://jamii.app/ChandePichaAI

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala #JFTechnology
🤬2🤮1🕊1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Othman Chande amesema hayo Aprili 23, 2026, wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025.

Zaidi https://jamii.app/ChandeWatuKupotea

#JamiiForums #Uwajibikaji #HumarRights
👎2🤮1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akiwasilisha  Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, Jaji Chande amesema kwa Tathmini ya Tume idadi ya waliopoteza maisha kwenye vurugu ni 518 huku watoto wakiwa 21.

Zaidi https://jamii.app/ChandeWaliofariki

#JamiiForums #Uwajibikaji #HumanRights
🤬21
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais Samia ameyasema hayo baada ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam

Zaidi https://jamii.app/SamiaUpotoshajiKimataifa

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
🤮2🤬1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais Samia amezungumzia Ripoti aliyokabidhiwa na Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025 akisema ni ya Rais na hatakiwi kujitokeza Mtu mwingine kuiomba.

Zaidi https://jamii.app/SamiaRipotiChande

#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais Samia amegusia masuala ya uchochezi wakati akipokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, leo Aprili 23, 2026.

Soma https://jamii.app/SamiaKuvurugaAmani

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
🤬1
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakitambui Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025 ambayo imewasilishwa leo Aprili 23, 2026 chini ya uongozi wa Jaji Chande.

Aidha, chama hicho kimeeleza kuwa kinaendelea kuchambua ripoti hiyo na kitatoa msimamo rasmi baada ya kikao cha Kamati Kuu kitakachofanyika Aprili 28 na 29, 2026.

Zaidi https://jamii.app/ChademaTume

#JamiiForums #Uwajibikaji #Demokrasia
🤬1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Balozi, ambaye pia ni Mshauri wa Rais, Lazaro Nyalandu ameyasema hayo Aprili 23, 2026 wakati alipokuwa akihojiwa na Kituo cha Sky News baada ya kutoka kwa Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025.

Zaidi https://jamii.app/NyalanduWaandamaji

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Aprili 24, 2026: Moja ya mijadala mingi inayoendelea ndani ya JamiiForums.com wakati huu📌

Zaidi https://jamii.app/ACTRipotiChande

#JamiiForums #Uwajibikaji
UTEUZI: Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu kuhusu uteuzi uliofanywa na Rais Samia, leo, Aprili 24, 2026 imeeleza amemteua Angela Charles Kizigha kuwa Mshauri wa Rais, Masuala ya Jamii.

Zaidi  https://jamii.app/KizighaMshauriRais

#JamiiForums #Governance #JFMatukio
🤬1
UTEUZI: Rais Samia Suluhu amemteua Mhandisi Mwasalyanda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kabla ya uteuzi huo, alikuwa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), anachukua nafasi ya Dkt. Jabiri Kuwe Bakari ambaye amemaliza.

Pia, Rais amemteua Dkt. Jabiri Kuwe Bakari kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), anachukua nafasi ya Salim Ramadhani Msangi ambaye atapangiwa majukumu mengine. Uteuzi huo umefanyika leo, Aprili 24, 2026.

Zaidi https://jamii.app/PeterMkurugenziTCRA

#JamiiForums #Governance #JFMatukio