Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kuandika “Kiwanda cha Kagera Sugar kilipe madeni ya Wakulima wa Miwa, wana hali ngumu!”, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika wa Wakulima wa Miwa Missenyi UWAMISE, Wilbroad Cyprian amesema “Mazungumzo yanafanyika, ilikuwa walipe Aprili 15-17, 2026, hawakufanya hivyo, wametuahidi Aprili 30, 2026, tunasubiri.”
Jitihada za kuutafuta uongozi wa Kampuni ya Kagera Sugar kuzungumzia hoja hiyo zinaendelea.
Zaidi https://jamii.app/KageraSugar
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
Jitihada za kuutafuta uongozi wa Kampuni ya Kagera Sugar kuzungumzia hoja hiyo zinaendelea.
Zaidi https://jamii.app/KageraSugar
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
Klabu ya Manchester City imefanikiwa kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza (Premier League) baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya Burnley
Ushindi huo muhimu unawafanya vijana wa Pep Guardiola kuzidi kuweka hai matumaini yao na kuendeleza ubabe kwenye mbio za kuwania ubingwa msimu huu. Kiwango walichokionyesha kinaendelea kudhihirisha kwanini wao ni miongoni mwa timu tishio zaidi barani Ulaya
Je, unafikiri kuna timu yoyote yenye ubavu wa kuwashusha Man City kileleni msimu huu, au tayari wameshatanguliza mkono mmoja kwenye ndoo? 🏆
Tiririka kwenye uwanja wa comments!
-
Kushiriki mjadala JF tembelea - https://jamii.app/ManCity-Bingwa
Ushindi huo muhimu unawafanya vijana wa Pep Guardiola kuzidi kuweka hai matumaini yao na kuendeleza ubabe kwenye mbio za kuwania ubingwa msimu huu. Kiwango walichokionyesha kinaendelea kudhihirisha kwanini wao ni miongoni mwa timu tishio zaidi barani Ulaya
Je, unafikiri kuna timu yoyote yenye ubavu wa kuwashusha Man City kileleni msimu huu, au tayari wameshatanguliza mkono mmoja kwenye ndoo? 🏆
Tiririka kwenye uwanja wa comments!
-
Kushiriki mjadala JF tembelea - https://jamii.app/ManCity-Bingwa
Je, Mdau ana point kuhusu hili? Umejiwekea mipaka gani kazini ili kuepuka migongano na wenzako na kulinda heshima yako ya kazi?🤔
Kushiriki mjadala https://jamii.app/MazoeaKazini
#JamiiForums #JFMaisha #JFMahusiano
Kushiriki mjadala https://jamii.app/MazoeaKazini
#JamiiForums #JFMaisha #JFMahusiano
👍1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Chande ameyasema hayo wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, leo Aprili 23, 2026.
Zaidi https://jamii.app/RipotiOktoba2025
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Zaidi https://jamii.app/RipotiOktoba2025
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Chande ameyasema hayo wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam
Zaidi https://jamii.app/ChandePichaAI
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala #JFTechnology
Zaidi https://jamii.app/ChandePichaAI
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala #JFTechnology
🤬2🤮1🕊1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Othman Chande amesema hayo Aprili 23, 2026, wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025.
Zaidi https://jamii.app/ChandeWatuKupotea
#JamiiForums #Uwajibikaji #HumarRights
Zaidi https://jamii.app/ChandeWatuKupotea
#JamiiForums #Uwajibikaji #HumarRights
👎2🤮1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, Jaji Chande amesema kwa Tathmini ya Tume idadi ya waliopoteza maisha kwenye vurugu ni 518 huku watoto wakiwa 21.
Zaidi https://jamii.app/ChandeWaliofariki
#JamiiForums #Uwajibikaji #HumanRights
Zaidi https://jamii.app/ChandeWaliofariki
#JamiiForums #Uwajibikaji #HumanRights
🤬2❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais Samia ameyasema hayo baada ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam
Zaidi https://jamii.app/SamiaUpotoshajiKimataifa
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Zaidi https://jamii.app/SamiaUpotoshajiKimataifa
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
🤮2🤬1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais Samia amezungumzia Ripoti aliyokabidhiwa na Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025 akisema ni ya Rais na hatakiwi kujitokeza Mtu mwingine kuiomba.
Zaidi https://jamii.app/SamiaRipotiChande
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji
Zaidi https://jamii.app/SamiaRipotiChande
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Rais Samia amegusia masuala ya uchochezi wakati akipokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, leo Aprili 23, 2026.
Soma https://jamii.app/SamiaKuvurugaAmani
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Soma https://jamii.app/SamiaKuvurugaAmani
#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
🤬1
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakitambui Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025 ambayo imewasilishwa leo Aprili 23, 2026 chini ya uongozi wa Jaji Chande.
Aidha, chama hicho kimeeleza kuwa kinaendelea kuchambua ripoti hiyo na kitatoa msimamo rasmi baada ya kikao cha Kamati Kuu kitakachofanyika Aprili 28 na 29, 2026.
Zaidi https://jamii.app/ChademaTume
#JamiiForums #Uwajibikaji #Demokrasia
Aidha, chama hicho kimeeleza kuwa kinaendelea kuchambua ripoti hiyo na kitatoa msimamo rasmi baada ya kikao cha Kamati Kuu kitakachofanyika Aprili 28 na 29, 2026.
Zaidi https://jamii.app/ChademaTume
#JamiiForums #Uwajibikaji #Demokrasia
🤬1