LINDI: Timu ya Simba SC imeendelea kupambana kuutafuta ubingwa baada ya kushinda Magoli 3-1 dhidi ya Namungo FC kwenye Uwanja wa Majaliwa, leo Aprili 19, 2026.
Ushindi unaifanya Simba ifikishe alama 42, ikiwa nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu Bara nyuma ya Yanga yenye pointi 47.
Zaidi tembelea https://jamii.app/NamungoSimbaMajaliwa
#JFSports #JamiiForums #JFLigiKuu2026
Ushindi unaifanya Simba ifikishe alama 42, ikiwa nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu Bara nyuma ya Yanga yenye pointi 47.
Zaidi tembelea https://jamii.app/NamungoSimbaMajaliwa
#JFSports #JamiiForums #JFLigiKuu2026
ENGLAND: Mapambano ya ubingwa yanaendelea ndani ya Premier League (EPL), leo Aprili 19, 2026, ambapo Manchester City inavaana na Arsenal FC katika Dimba la Etihad, Manchester mishale ya Saa 12:30 jioni (muda wa Afrika Mashariki).
Kufuatilia soma https://jamii.app/ManCityVsArsenal
#JamiiForums #JamiiSports #JFMichezo #JFEPL2026
Kufuatilia soma https://jamii.app/ManCityVsArsenal
#JamiiForums #JamiiSports #JFMichezo #JFEPL2026
❤1
MARA: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema “Nitafanya ziara na kukagua miundombinu ya barabara katika Mkoa wa Mara ikiwemo ya Mugumu (Serengeti) kuelekea Musoma Mjini na nyingine maarufu ikiwemo ya Nyamongo, hakuna kiporo kitakachobaki, Watu wa Mkoa huu msiwe wanyonge miradi itakamilika.”
Ikumbukwe, Machi 30, 2026, Mdau wa JamiiForums.com aliandika “Barabara ya Tarime Mjini – Nyamongo iko katika hali mbaya na wahusika wala hawajali” akaongeza kuwa hali hiyo imechangia changamoto nyingi ikiwemo ajali, madhara kwa watu, shughuli za kiuchumi kuathirika.
Mdau, barabara ya eneo lako ipo vizuri kipindi hiki cha mvua?
Zaidi tembelea https://jamii.app/BarabaraMara
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
Ikumbukwe, Machi 30, 2026, Mdau wa JamiiForums.com aliandika “Barabara ya Tarime Mjini – Nyamongo iko katika hali mbaya na wahusika wala hawajali” akaongeza kuwa hali hiyo imechangia changamoto nyingi ikiwemo ajali, madhara kwa watu, shughuli za kiuchumi kuathirika.
Mdau, barabara ya eneo lako ipo vizuri kipindi hiki cha mvua?
Zaidi tembelea https://jamii.app/BarabaraMara
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
PREMIER LEAGUE: Licha ya kuongoza msimamo wa Ligi Kuu ya England, #Arsenal imeendelea kuwa na presha ya kuutafuta ubingwa baada ya kufungwa magoli 2-1 dhidi ya #ManchesterCity, ambapo sasa tofauti ya pointi baina ya timu hizo ni 3, huku City ikiwa na mchezo mmoja mkononi.
Matokeo hayo kwenye Uwanja wa Etihad yanaifanya City ambayo ipo nafasi ya pili kuwa na pointi 67 katika michezo 32, Arsenal bado inaongoza kwa kuwa na alama 70 katika michezo 33.
Mechi ijayo ya Arsenal ni dhidi ya Newcastle United (Aprili 25, 2026), City itaivaa Burnley (Aprili 22, 2026).
Zaidi https://jamii.app/ManCityVsArsenal
#JamiiForums #JFSports #JFEPL2026
Matokeo hayo kwenye Uwanja wa Etihad yanaifanya City ambayo ipo nafasi ya pili kuwa na pointi 67 katika michezo 32, Arsenal bado inaongoza kwa kuwa na alama 70 katika michezo 33.
Mechi ijayo ya Arsenal ni dhidi ya Newcastle United (Aprili 25, 2026), City itaivaa Burnley (Aprili 22, 2026).
Zaidi https://jamii.app/ManCityVsArsenal
#JamiiForums #JFSports #JFEPL2026
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Viti Maalum (#CCM) Mkoa wa Morogoro, Lucy Kombani, ametoa hoja hiyo Aprili 17, 2026 Bungeni wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Hoja hiyo inakuja wakati waajiriwa wapya, kupitia jukwaa la JamiiForums.com, wamekuwa wakilalamikia kucheleweshewa posho na fedha za kujikimu baada ya kuripoti katika vituo vyao vya kazi.
Zaidi bofya https://jamii.app/LucyWatumishiWapya
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability
Hoja hiyo inakuja wakati waajiriwa wapya, kupitia jukwaa la JamiiForums.com, wamekuwa wakilalamikia kucheleweshewa posho na fedha za kujikimu baada ya kuripoti katika vituo vyao vya kazi.
Zaidi bofya https://jamii.app/LucyWatumishiWapya
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Viti Maalum, Lucy Mwakyembe ameyasema hayo Aprili 17, 2026 wakati akichangia Hotuba ya Wizara ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Ikumbukwe kwa nyakati tofauti wadau Mbalimbali wa JamiiForums.com wamekuwa wakipaza sauti kuhusu kero ya kuungwa kwenye mifuko hiyo bila ridhaa yao na wengine kukatwa pesa kwenye mfuko zaidi ya mmoja.
Fuatilia zaidi https://jamii.app/KujiungaVyamaWafanyakazi
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji
Ikumbukwe kwa nyakati tofauti wadau Mbalimbali wa JamiiForums.com wamekuwa wakipaza sauti kuhusu kero ya kuungwa kwenye mifuko hiyo bila ridhaa yao na wengine kukatwa pesa kwenye mfuko zaidi ya mmoja.
Fuatilia zaidi https://jamii.app/KujiungaVyamaWafanyakazi
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji
MTWARA: Mdau wa JamiiForums.com anatoa wito kwa Mamlaka husika kufanya marekebisho ya miondombinu ya Shule ya Msingi Namahonga, akidai kuwa mvua ikinyesha Wanafunzi wengi wanarudishwa nyumbani kwa kuwa madarasa yanavuja.
Nini maoni yako Mdau?
Fuatilia zaidi https://jamii.app/MiundombinuNamahonga
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFElimu
Nini maoni yako Mdau?
Fuatilia zaidi https://jamii.app/MiundombinuNamahonga
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #JFElimu
KIGOMA: Mdau wa JamiiForums.com ametoa wito kwa mamlaka za mkoa kutoa majibu kwa Wananchi wanaotakiwa kupisha mradi wa upanuzi wa Uwanja wa Ndege, ikiwa kuna malipo au ahirisho la mradi. Iwapo malipo yapo, walipwe na kama umeahirishwa, waelezwe wazi ili waendelee na maisha yao kama Watanzania wengine.
Fuatilia zaidi https://jamii.app/UpanuziAirportKigoma
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026 #CivilRights
Fuatilia zaidi https://jamii.app/UpanuziAirportKigoma
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026 #CivilRights
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akizungumza Aprili 20, 2026, Afisa Utafiti wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (#LHRC), Fundikila Wazambi amewasilisha Ripoti ya Mwaka ambapo kati ya Mwaka 2021 hadi 2025, kituo hicho kimekusanya na kuthibitisha jumla ya visa 197 vya utekaji na upoteaji wa Watu.
Nini maoni yako Mdau?
Fuatilia zaidi https://jamii.app/LhrcUtekaji
#JamiiForums #HumanRights
Nini maoni yako Mdau?
Fuatilia zaidi https://jamii.app/LhrcUtekaji
#JamiiForums #HumanRights
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Dkt. Joel Nanauka, leo Aprili 20, 2026, amewasilisha hotuba ya Bajeti ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027, akiomba Bunge kuidhinisha jumla ya Shilingi Bilioni 35.9. Kati ya fedha hizo, Shilingi Bilioni 30.1 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida, huku Shilingi Bilioni 5.8 zikitengwa kwa ajili ya matumizi ya maendeleo.
Kwani nyie vijana wenyewe mnasemaje?
Fuatilia zaidi https://jamii.app/BajetiWizaraVijana
#JamiiForums #Utawala #Governance
Kwani nyie vijana wenyewe mnasemaje?
Fuatilia zaidi https://jamii.app/BajetiWizaraVijana
#JamiiForums #Utawala #Governance
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Mwanza, Wilson Luge ametangaza mpango maalum wa kuboresha utoaji huduma za sekta ya ardhi katika Manispaa ya Ilemela baada ya kujitokeza kwa malalamiko kuhusu ucheleweshaji na usumbufu wa huduma katika ofisi za manispaa hiyo.
Pia, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Katibu Mkuu wake, Mhandisi Anthony Sanga inaendelea na uchunguzi wa kina kubaini Watumishi wanaosababisha usumbufu katika utoaji wa huduma, hatua kali za Kisheria na kiutumishi zitachukuliwa kwa watakaobainika kukiuka taratibu.
Ikumbukwe, Aprili 14, 2026, Mdau wa JamiiForums.com aliandika “Halmashauri ya Ilemela Kitengo cha Ardhi baadhi ya Maafisa wanazungusha Watu ilimradi tu 'ueleweke” akimaanisha kumekuwa na usumbufu
Fuatilia zaidi https://jamii.app/ArdhiMwanza
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
Pia, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Katibu Mkuu wake, Mhandisi Anthony Sanga inaendelea na uchunguzi wa kina kubaini Watumishi wanaosababisha usumbufu katika utoaji wa huduma, hatua kali za Kisheria na kiutumishi zitachukuliwa kwa watakaobainika kukiuka taratibu.
Ikumbukwe, Aprili 14, 2026, Mdau wa JamiiForums.com aliandika “Halmashauri ya Ilemela Kitengo cha Ardhi baadhi ya Maafisa wanazungusha Watu ilimradi tu 'ueleweke” akimaanisha kumekuwa na usumbufu
Fuatilia zaidi https://jamii.app/ArdhiMwanza
#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
DAR: Walichoposti Shirika la Reli Tanzania (#TRC) kupitia akaunti yao ndani ya JamiiForums.com.
Zaidi tembelea https://jamii.app/MlioSGR
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #JFHuduma
Zaidi tembelea https://jamii.app/MlioSGR
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #JFHuduma