ENGLAND: Timu ya #ManchesterCity imepoteza mechi ya pili mfululizo katika #PremierLeague baada ya kukubali kichapo cha Magoli 2-1 kutoka kwa Brighton, leo Agosti 31, 2025.
Mchezo uliopita City ilipoteza kwa 2-0 dhidi ya #TottenhamHotspur, hivyo iimesaliwa na pointi 3 katika michezo mitatu ya EPL msimu huu wa 2025/6, mtanange ujao ni Septemba 14, 2025 dhidi ya #ManchesterUnited.
Zaidi https://jamii.app/KichapoMagoli
#JFSports #JamiiForums #JamiiAfrica #JFEPL2025
Mchezo uliopita City ilipoteza kwa 2-0 dhidi ya #TottenhamHotspur, hivyo iimesaliwa na pointi 3 katika michezo mitatu ya EPL msimu huu wa 2025/6, mtanange ujao ni Septemba 14, 2025 dhidi ya #ManchesterUnited.
Zaidi https://jamii.app/KichapoMagoli
#JFSports #JamiiForums #JamiiAfrica #JFEPL2025
Mdau wa JamiiForums.com kutoka Jukwaa la JF Chit-Chats and Jokes anasema Watoto wadogo huwa na tabia ya kuuliza maswali magumu kwa nia ya kutaka kujua mambo. Kama Mzazi au Mlezi, bila shaka umewahi kuulizwa swali la aina hiyo.
Je, ni swali gani aliuliza na ulimjibuje?
Zaidi Soma https://jamii.app/SwaliGani
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFChitChats #JFUtani
Je, ni swali gani aliuliza na ulimjibuje?
Zaidi Soma https://jamii.app/SwaliGani
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFChitChats #JFUtani
❤1
MICHEZO: Timu ya #LiverpoolFC imeitandika Arsenal Goli 1-0 katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya England (#EPL) kwenye Uwanja wa Anfield, leo Agosti 31, 2025. Goli pekee likifungwa na Dominik Szoboszlai raia wa Hungary katika dakika ya 83.
Hivyo, Liverpool imefikisha alama 9 baada ya kushinda mechi 3 mfululizo iliwemo dhidi ya Bournemouth na Newcastle United huku #Arsenal ikisaliwa na alama 6 baada ya kupata ushindi katika mechi mbili dhidi ya Manchester United na Leeds United ambao ni wageni wa ligi msimu huu.
Zaidi https://jamii.app/AnfieldTasa
#JFSports #JamiiForums #JamiiAfrica #JFEPL2025
Hivyo, Liverpool imefikisha alama 9 baada ya kushinda mechi 3 mfululizo iliwemo dhidi ya Bournemouth na Newcastle United huku #Arsenal ikisaliwa na alama 6 baada ya kupata ushindi katika mechi mbili dhidi ya Manchester United na Leeds United ambao ni wageni wa ligi msimu huu.
Zaidi https://jamii.app/AnfieldTasa
#JFSports #JamiiForums #JamiiAfrica #JFEPL2025
❤3
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (#CCM), Samia Suluhu, akihutubia mkutano wa kampeni leo Agosti 31, 2025, ameahidi kuwa Serikali itanunua matrekta milioni 10 ifikapo Mwaka 2030, akieleza kuwa mpango huo utawasaidia Wakulima kuacha kukodi zana za kilimo kutoka kwa Watu binafsi.
Zaidi https://jamii.app/MatrektaMilioni10
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #UchaguziMkuu2025 #Siasa #Democracy
Zaidi https://jamii.app/MatrektaMilioni10
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #UchaguziMkuu2025 #Siasa #Democracy
😁2❤1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Mtag rafiki yako dereva unayemuamini 100% kwamba angekupitisha hapa salama 😀
Zaidi bofya https://jamii.app/UjasiriUngeweza
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFChitChat
Zaidi bofya https://jamii.app/UjasiriUngeweza
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFChitChat
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (#CHAUMMA), Devotha Minja akizungumza Agosti 31, 2025 kwenye uzinduzi wa kampeni za chama hicho, amesema “Sisi CHAUMMA sera yetu ni chakula, mgonjwa akifika hospitali badala ya kukutana na dripu anakutana na ubwabwa, anapiga ubwabwa anashushia na dawa.”
Zaidi https://jamii.app/MgonjwaApewe
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #UchaguziMkuu2025 #Siasa #Democracy
Zaidi https://jamii.app/MgonjwaApewe
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #UchaguziMkuu2025 #Siasa #Democracy
😁2
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (#INEC) imetoa taarifa leo Agosti 31, 2025 kuwa imejadili rufaa kuhusu uteuzi wa Wagombea Ubunge katika Jamhuri ya Muungano na Udiwani kwa Tanzania Bara zilizowasilishwa Tume kwa ajili ya uamuzi.
Taarifa hiyo imesema Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2024 vikisomwa pamoja na Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025 vinaeleza Mgombea yeyote ambaye hakuridhika na uamuzi wa msimamizi wa uchaguzi kuhusu uhalali wa pingamizi lililowekwa anaweza kukata rufaa kwa Tume ndani ya saa 24 tangu uamuzi ulipotolewa.
Pia taarifa imesema “Hadi kufikia Agosti 31, 2025 zimepokelewa rufaa 33, kati ya rufaa hizo, rufaa 13 zimefanyiwa uamuzi na Tume, ambapo kati yake rufaa nane ni za kupinga uamuzi wa wasimamizi wa uchaguzi kuhusu Ubunge na rufaa tano (05) ni kupinga uamuzi kuhusu Udiwani.”
Soma https://jamii.app/INECRufaaUteuzi
#JamiiAfrica #JamiiForums #UchaguziMkuu2025 #Siasa
Taarifa hiyo imesema Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2024 vikisomwa pamoja na Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025 vinaeleza Mgombea yeyote ambaye hakuridhika na uamuzi wa msimamizi wa uchaguzi kuhusu uhalali wa pingamizi lililowekwa anaweza kukata rufaa kwa Tume ndani ya saa 24 tangu uamuzi ulipotolewa.
Pia taarifa imesema “Hadi kufikia Agosti 31, 2025 zimepokelewa rufaa 33, kati ya rufaa hizo, rufaa 13 zimefanyiwa uamuzi na Tume, ambapo kati yake rufaa nane ni za kupinga uamuzi wa wasimamizi wa uchaguzi kuhusu Ubunge na rufaa tano (05) ni kupinga uamuzi kuhusu Udiwani.”
Soma https://jamii.app/INECRufaaUteuzi
#JamiiAfrica #JamiiForums #UchaguziMkuu2025 #Siasa
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu akiwa jukwaani kuwahutubia wananchi na wafuasi wa chama hicho kwa wimbo wa Mchizi Mox uitwao ‘Mambo Vipi!’
Tukio hilo limefanyika Agosti 31, 2025 ambapo CHAUMMA imezindua kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 katika Viwanja vya Biafra - Kinondoni.
Zaidi https://jamii.app/SalumKageukaMsanii
#JamiiForums #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025 #Siasa
Tukio hilo limefanyika Agosti 31, 2025 ambapo CHAUMMA imezindua kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 katika Viwanja vya Biafra - Kinondoni.
Zaidi https://jamii.app/SalumKageukaMsanii
#JamiiForums #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025 #Siasa
Kusoma kwa undani habari hizi na mengine yaliyojiri juma lililopita bofya https://jamii.app/YaliyojiriJumaLililopita
#JamiiAfrica #JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
#JamiiAfrica #JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
Wadau wa JamiiForums.com kwa nyakati tofauti wamehoji juu ya utekelezwaji wa Sera ya Matibabu Bure kwa Wajawazito katika hospitali na Vituo vya Afya vya Serikali wakidai ipo kwenye karatasi na haina uhalisia wa utekelezaji.
Wamehoji je, ni kweli Sera hiyo imebaki kwenye makaratasi tu?
Zaidi Soma https://jamii.app/WajawazitoRisiti
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #JFMdau2025 #JFPublicHealth
Wamehoji je, ni kweli Sera hiyo imebaki kwenye makaratasi tu?
Zaidi Soma https://jamii.app/WajawazitoRisiti
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #JFMdau2025 #JFPublicHealth
❤1
Mdau wa JamiiForums.com kutoka Jukwaa la JF Chit-Chats and Jokes anasema Mwaka 2025 amejifunza kuwa nguvu ya Mwanaume ni pesa, kwani hata uwe na umri, akili na busara kiasi gani, bila fedha ni bure tu.
Aidha kwa Mwaka 2026 ameweka maazimio ya kuwekeza nguvu na akili katika kutafuta fursa zilizopo badala ya kulalamika, akisisitiza adui wa mafanikio ya kila Mtu ni yeye mwenyewe.
Mdau, mpaka sasa umefikia kwa kiasi gani malengo yako ya Mwaka?
Kushiriki mjadala https://jamii.app/MalengoYaMwaka
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFChitChat
Aidha kwa Mwaka 2026 ameweka maazimio ya kuwekeza nguvu na akili katika kutafuta fursa zilizopo badala ya kulalamika, akisisitiza adui wa mafanikio ya kila Mtu ni yeye mwenyewe.
Mdau, mpaka sasa umefikia kwa kiasi gani malengo yako ya Mwaka?
Kushiriki mjadala https://jamii.app/MalengoYaMwaka
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFChitChat
Mdau wa JamiiForums.com kutoka Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko amehoji magari ya Serikali yenye Namba za Usajili aina ya STL ni sahihi kuonekana yakitembea yakiwa na Namba za Usajili zisizosomeka vizuri, nusu, au zilizowekwa upande mmoja wa gari?
Ameongeza "Ni kweli Polisi hawaruhusiwi kuyasimamisha magari hayo kwa kuwa ni mali ya Serikali hata kama yana changamoto ya namba?
Kushiriki Mjadala https://jamii.app/MagariSerikaliSTL
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFMdau2025 #Uwajibikaji
Ameongeza "Ni kweli Polisi hawaruhusiwi kuyasimamisha magari hayo kwa kuwa ni mali ya Serikali hata kama yana changamoto ya namba?
Kushiriki Mjadala https://jamii.app/MagariSerikaliSTL
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFMdau2025 #Uwajibikaji
UJERUMANI: Ajira ya Kocha Erik ten Hag imeota 'mbawa' ndani ya Klabu ya Bayer Leverkusen kutokana na matokeo mabovu aliyoyapata katika Ligi Kuu ya Ujerumani kwa kufungwa dhidi ya TSG Hoffenheim na sare dhidi ya Werder Bremen.
Ikumbukwe Leverkusen ilipitia mabadiliko makubwa ya kikosi katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi, ikiwapoteza Florian Wirtz, Granit Xhaka, Lukas Hradecky na Jonathan Tah pamoja na Kocha Xabi Alonso.
Erik ten Hag alipata ajira kikosini hapo ikiwa ni Miezi 7 baada ya kuwa nje ya ajira tangu alipofukuzwa Manchester United, Oktoba 2024.
Soma zaidi https://jamii.app/KochaTenHag
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFMichezo
Ikumbukwe Leverkusen ilipitia mabadiliko makubwa ya kikosi katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi, ikiwapoteza Florian Wirtz, Granit Xhaka, Lukas Hradecky na Jonathan Tah pamoja na Kocha Xabi Alonso.
Erik ten Hag alipata ajira kikosini hapo ikiwa ni Miezi 7 baada ya kuwa nje ya ajira tangu alipofukuzwa Manchester United, Oktoba 2024.
Soma zaidi https://jamii.app/KochaTenHag
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFMichezo
MBEYA: Mdau kutoka Jukwaa la JamiiForums.com amehoji iwapo Serikali haitengi bajeti katika Shule za Umma zinazowaweka kambi Wanafunzi wa madarasa yenye Mitihani ya Taifa, akidai sababu kumekuwa na michango na mahitaji mengi ambayo wabebaji ni Wazazi na Walezi.
Aidha, ameongeza kuwa utaratibu huo unaonekana kama mradi wa baadhi ya Walimu wa Shule za Serikali kwa lengo la kujinufaisha binafsi kupitia michango hiyo.
Soma https://jamii.app/KambiShuleMitihani
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #JFHuduma #JFMdau2025 #Elimu
Aidha, ameongeza kuwa utaratibu huo unaonekana kama mradi wa baadhi ya Walimu wa Shule za Serikali kwa lengo la kujinufaisha binafsi kupitia michango hiyo.
Soma https://jamii.app/KambiShuleMitihani
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #JFHuduma #JFMdau2025 #Elimu