JamiiForums
33.7K subscribers
37.4K photos
2.98K videos
32.9K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
DODOMA: Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimesema ada ya nyongeza ya muda (Extension Fees) inalipwa kwa mujibu wa Kanuzi za Shahada za Uzamili ya Mwaka 2019, Kifungu 2:10.1(b) ambapo Mwanafunzi anaposhindwa kukamilisha masomo ndani ya muda uliopangwa atalazimika kuomba muda wa ziada.

Taarifa ya UDOM imeeleza "Si kweli kuwa kuna mambo yanafanywa ili kuwakatisha tamaa Wanafunzi na kwamba marekebisho ya tasnifu ni sehemu ya kawaida ya mchakato wa kitaaluma unaolenga kuboresha ubora wa elimu, na si njia ya adhabu kwa Mwanafunzi".

Zaidi https://jamii.app/UDOMVikwazo

#JamiiForums #Uwajibikaji #JFElimu #JFMdau2026
Mdau wa JamiiForums.com ametoa wito kwa mamlaka zinazohusika kurejesha huduma ya vyoo katika Kituo cha Mwendokasi cha Kivukoni akisisitiza ni huduma muhimu hasa ukizingatia kuwa kituo hicho kinahudumia idadi kubwa ya abiria kila siku.

Zaidi: https://jamii.app/MwendoKasiKivukoni

#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji #PublicHealth
MTWARA: Mdau wa JamiiForums.com anatoa Wito kwa Mamlaka husika ya Wilaya ya Nanyumbu kumlipa fedha zilizobaki kwa kazi aliyoifanya ya kutengeneza milango katika Shule ya Sekondari ya Mkapa Girls, akidai ni deni la Mwaka 2023.

Zaidi https://jamii.app/NanyumbuMilango

#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026 #JFElimu
Please open Telegram to view this post
VIEW IN TELEGRAM
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Wakili wa kujitegemea, Peter Madeleka amesema hayo leo Aprili 27, 2026 alipokuwa anaichambua Ripoti ya Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025.

Fuatilia zaidi https://jamii.app/MadelekaChande

#JamiiForums #Uwajibikaji
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Wakili Peter Madelekea ameyasema hayo Aprili 27, 2026 wakati akichambua ripoti ya Jaji Chande kuhusu matukio yaliyotokea kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Zaidi tembelea https://jamii.app/RipotiJajiChandeWahaini

#JamiiForums #RipotiJajiChande #JFMatukio #Oktoba2925
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Wakili Jebra Kambole kutoka Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) ameyasema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari, Aprili 27, 2026 wakati Asasi 14 za kiraia zikitoa msimamo wao kuhusu Ripoti iliyosomwa na Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025.

Zaidi tembelea https://jamii.app/TakwimuJajiChande

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
1
Taarifa hizo ziliondolewa kwenye Mtandao wa Alibaba kufuatia ushirikiano kati ya Serikali ya Uingereza, China na mtandao huo.

Aidha, Waziri wa Teknolojia wa Uingereza, Ian Murray ameeleza kuwa hakuna Mtu yeyote aliyefanikiwa kununua taarifa hizo kabla hazijaondolewa Mtandaoni.

Kwa taarifa zaidi tembelea https://jamii.app/DataAfyaKuuzwaMtandaoni

#JamiiForums  #DataProtection  #TaarifaZaNiZako #DigitalRights