JamiiForums
โœ”
34.2K subscribers
37.3K photos
2.97K videos
32.8K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Hoja ya Mdau ndani ya JamiiForums.com akihoji kuhusu makato anayokatwa Mwananchi wakati anaponunua umeme ambayo kwa jumla yanafikia Asilimia 22.

Kushiriki Mjadala Zaidi bofya https://jamii.app/MaoniMdauUmeme

#JamiiForums #Uwajibikaji #JFEconomy #JFMdau2026
Aprili 22, 2026: Moja kati ya mijadala mingi inayoendelea ndani ya JamiiForums.com wakati huu๐Ÿ“Œ

Kushiriki mjadala na zaidi tembelea https://jamii.app/ChelseaLiam

#JamiiForums #JFSports
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kuandika โ€œKiwanda cha Kagera Sugar kilipe madeni ya Wakulima wa Miwa, wana hali ngumu!โ€, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika wa Wakulima wa Miwa Missenyi UWAMISE, Wilbroad Cyprian amesema โ€œMazungumzo yanafanyika, ilikuwa walipe Aprili 15-17, 2026, hawakufanya hivyo, wametuahidi Aprili 30, 2026, tunasubiri.โ€

Jitihada za kuutafuta uongozi wa Kampuni ya Kagera Sugar kuzungumzia hoja hiyo zinaendelea.

Zaidi https://jamii.app/KageraSugar

#JamiiForums #Uwajibikaji #JFMdau2026
Klabu ya Manchester City imefanikiwa kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza (Premier League) baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya Burnley

Ushindi huo muhimu unawafanya vijana wa Pep Guardiola kuzidi kuweka hai matumaini yao na kuendeleza ubabe kwenye mbio za kuwania ubingwa msimu huu. Kiwango walichokionyesha kinaendelea kudhihirisha kwanini wao ni miongoni mwa timu tishio zaidi barani Ulaya

Je, unafikiri kuna timu yoyote yenye ubavu wa kuwashusha Man City kileleni msimu huu, au tayari wameshatanguliza mkono mmoja kwenye ndoo? ๐Ÿ†

Tiririka kwenye uwanja wa comments!
-
Kushiriki mjadala JF tembelea - https://jamii.app/ManCity-Bingwa
Je, Mdau ana point kuhusu hili? Umejiwekea mipaka gani kazini ili kuepuka migongano na wenzako na kulinda heshima yako ya kazi?๐Ÿค”

Kushiriki mjadala https://jamii.app/MazoeaKazini

#JamiiForums #JFMaisha #JFMahusiano
๐Ÿ‘1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Chande ameyasema hayo wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, leo Aprili 23, 2026.

Zaidi https://jamii.app/RipotiOktoba2025

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Chande ameyasema hayo wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam

Zaidi https://jamii.app/ChandePichaAI

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala #JFTechnology
๐Ÿคฌ1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Othman Chande amesema hayo Aprili 23, 2026, wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025.

Zaidi https://jamii.app/ChandeWatuKupotea

#JamiiForums #Uwajibikaji #HumarRights
๐Ÿ‘Ž1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akiwasilisha  Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, Jaji Chande amesema kwa Tathmini ya Tume idadi ya waliopoteza maisha kwenye vurugu ni 518 huku watoto wakiwa 21.

Zaidi https://jamii.app/ChandeWaliofariki

#JamiiForums #Uwajibikaji #HumanRights
๐Ÿคฌ1