JamiiForums
33.5K subscribers
37.4K photos
2.99K videos
32.9K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Akizungumza na Wanahabari wakati wa mkutano wao na Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Kabla na Baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, Jaji Mkuu Mstaafu, Profesa Ibrahim Juma amesema kuwa kuna Watu hawataki maoni ya watu wengine yasikike, ameyasema hayo leo Aprili 28, 2026.

Zaidi tembelea https://jamii.app/MatokeoRipotiChande

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Akizungumza na Wanahabari wakati wa mkutano na Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Kabla na Baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, Balozi Luteni Jenerali Paul Mella amesema Matukio ya Oktoba 29 yametoa somo kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na kwamba taarifa za Kiinteligensia zilikuwepo ila Wanausalama walizidiwa na kasi ya Waratibu, hayo ameyasema leo Aprili 28, 2026.

Zaidi tembelea https://jamii.app/MellaOktoba29

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
Maafisa hao walikamatwa tangu Aprili 2025 kwa amri ya Mkuu wa Majeshi (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, wote wanne wamekana mashtaka yanayowakabili mbele ya mahakama, huku Jaji wa mahakama hiyo, Brigedia Jenerali Richard Tukacungurwa akiamuru warejeshwe rumande, wanatarajiwa kurejeshwa Mahakamani Mei 29, 2026.

Zaidi: https://jamii.app/UgandaJeshi

#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Jaji Mkuu Mstaafu Ibrahim Juma ambaye ni mjumbe wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu 2025, amesema hayo Aprili 28, 2026 wakati akizungumza na Vyombo vya Habari.

Zaidi: https://jamii.app/JajiJumaGaza

#JamiiForums #Uwajibikaji #Utawala
UEFA: Mechi ya marudiano (2nd leg) inatarajiwa kupigwa Jumatano Mei 6, 2026 kwenye Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich, Ujerumani. Mshindi wa jumla wa mtanange huu ataingia fainali ambapo atakutana na mshindi kati ya Arsenal adhidi ya Atlético Madrid.

Kushiriki mjadala soma https://jamii.app/PSGVsBayernUEFA

#JamiiForums #JFSports #JFUEFA2026
Karata yako unairusha kwa timu ipi?
Anonymous Poll
30%
Paris Saint-Germain
70%
Bayern Munich
0%
Sare
PWANI: Mdau wa JamiiForums.com anatoa wito kwa Serikali kuwasaidia Wananchi kuhusu mgogoro wa ardhi eneo la Muheza Wilayani Kibaha, akidai umedumu kwa muda mrefu na wameshafika ngazi tofauti za maamuzi ambapo wanaamini hawajapata haki wanayostahili.

Zaidi https://jamii.app/KibahaMakazi

#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji
Umoja wa Haki ya Kupata Taarifa (CoRI), Aprili 28, 2026 umesema matukio 55 ya madhila yamerekodiwa kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita dhidi ya Waandishi wa Habari na Vyombo vya Habari.

CoRI inatoa wito Serikali kuhakikisha ulinzi wa Wanahabari, Vyombo vya Dola kuacha vitisho, unyanyasaji na kuingilia kazi za Wanahabari, Mamlaka za udhibiti kuhakikisha Sheria na Kanuni zinatumika kwa haki bila kuathiri uhuru wa kujieleza na Wadau wa Habari na umma kuendelea kutetea haki ya kupata taarifa kama msingi wa demokrasia.

Zaidi tembelea https://jamii.app/CoRIUhuruWaHabari

#JamiiForums #UhuruWaHabari #PressFreedom #Democracy
UFARANSA: Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League) imemalizika kwa wenyeji Paris Saint-Germain (PSG) kushinda magoli 5-4 dhidi ya Bayern Munich kwenye Uwanja wa Parc des Princes Jijini Paris mchezo ukiwa mkali na wa kushambuliana kwa zamu.

Mechi ya marudiano inatarajiwa kupigwa Jumatano ijayo Mei 6, 2026 kwenye Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich, Ujerumani. Mshindi wa jumla ataingia fainali kukutana na mshindi katika mchezo wa Arsenal dhidi ya Atlético Madrid.

Zaidi https://jamii.app/PSGVsBayernUEFA

#JamiiForums #JFSports #JFUEFA2026