Je, umewahi kukumbana na Changamoto za Kupata Kitambulisho cha Taifa? Jiunge nasi katika Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini Alhamisi hii, Septemba 7, 2023, kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums
Tutaangazia Mchakato mzima wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Tutaangazia Mchakato mzima wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Jiunge nasi katika Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini Alhamisi hii, Septemba 7, 2023, kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums
Tutaangazia Mchakato mzima wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio na Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka katika zoezi zima
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces #JFToons
Tutaangazia Mchakato mzima wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio na Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka katika zoezi zima
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces #JFToons
β€1
Je, umewahi kukumbana na Changamoto za Kupata Kitambulisho cha Taifa? Jiunge nasi katika Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini Alhamisi hii, Septemba 7, 2023, kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums
Tutaangazia Mchakato mzima wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Tutaangazia Mchakato mzima wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π5β€4
Jiunge nasi katika Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini Alhamisi hii, Septemba 7, 2023, kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums
Tutaangazia Mchakato mzima wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio na Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka katika zoezi zima
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces #JFToons
Tutaangazia Mchakato mzima wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio na Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka katika zoezi zima
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces #JFToons
π6
Je, umewahi kukumbana na Changamoto wakati wa kupata Kitambulisho cha Taifa? Jiunge nasi katika Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini Leo, Septemba 7, 2023, kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums kuanzia saa 12:00 jioni hadi saa 2:00 usiku
Tutaangazia Mchakato wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
Karibu kutoa maoni yako, Mamlaka( NIDA na TAKUKURU) zitakuwepo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Tutaangazia Mchakato wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
Karibu kutoa maoni yako, Mamlaka( NIDA na TAKUKURU) zitakuwepo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π3
Je, umewahi kukumbana na Changamoto wakati wa Kupata Kitambulisho cha Taifa? Jiunge nasi katika Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini Leo, Septemba 7, 2023, kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums kuanzia saa 12:00 jioni hadi saa 2:00 usiku
Tutaangazia Mchakato wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
Karibu kutoa maoni yako, Mamlaka( NIDA na TAKUKURU) zitakuwepo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Tutaangazia Mchakato wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
Karibu kutoa maoni yako, Mamlaka( NIDA na TAKUKURU) zitakuwepo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
JE, UMEWAHI KUKUMBANA NA CHANGAMOTO WAKATI WA KUPATA KITAMBULISHO CHA TAIFA?
Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini unaendelea kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi saa 2:00 Usiku
Shiriki kutoa maoni, Mamlaka (#NIDA na #TAKUKURU) zipo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini unaendelea kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi saa 2:00 Usiku
Shiriki kutoa maoni, Mamlaka (#NIDA na #TAKUKURU) zipo kusikiliza maoni yako
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π1
NIDA: KUPATA NAMBA YA NIDA NI SIKU 7 HADI 14, KADI NI WIKI 3 HADI MWEZI BAADA YA KUJISAJILI
Afisa Habari wa NIDA, Geofrey Tengeneza amesema kama hakuna matukio au mambo yanayosababisha msongamano, na taarifa za mhusika zikiwa hazina shida, kupata Namba ya NIDA ni ndani ya siku 7 hadi 14 tokea kujisajili, japokuwa kukiwa na changamoto inaweza kuwa zaidi ya hapo
Upande wa kupata kadi ya NIDA, amesema baada ya kupitia mchakato wote ikiwemo kushirikisha Taasisi nyingine wanazofanyanazo kazi, na Kukiwa hakuna matukio yenye msongamano pia, kupata kadi ni ndani ya wiki tatu hadi mwezi mmoja, lakini kukiwa na changamoto inaweza kuwa zaidi ya hapo
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Afisa Habari wa NIDA, Geofrey Tengeneza amesema kama hakuna matukio au mambo yanayosababisha msongamano, na taarifa za mhusika zikiwa hazina shida, kupata Namba ya NIDA ni ndani ya siku 7 hadi 14 tokea kujisajili, japokuwa kukiwa na changamoto inaweza kuwa zaidi ya hapo
Upande wa kupata kadi ya NIDA, amesema baada ya kupitia mchakato wote ikiwemo kushirikisha Taasisi nyingine wanazofanyanazo kazi, na Kukiwa hakuna matukio yenye msongamano pia, kupata kadi ni ndani ya wiki tatu hadi mwezi mmoja, lakini kukiwa na changamoto inaweza kuwa zaidi ya hapo
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π3π©2
NIDA: WOTE WENYE NAMBA ZA NIDA WATAPATA KADI KUFIKIA JANUARI 2024
Afisa Habari wa NIDA, Geofrey Tengeneza amesema Watanzania wote wenye Namba za #NIDA hadi kufikia Januari 2024 kila Mwananchi mwenye namba husika atakuwa amepata Kitambulisho chake cha Taifa
Aidha, amesema hadi kufikia sasa, tayari watu Milioni 24 wamesajiliwa, Namba za Utambulisho zilizotolewa ni Milioni 20 na Vitambulisho ambavyo vimechapishwa ni zaidi ya Milioni 17
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Afisa Habari wa NIDA, Geofrey Tengeneza amesema Watanzania wote wenye Namba za #NIDA hadi kufikia Januari 2024 kila Mwananchi mwenye namba husika atakuwa amepata Kitambulisho chake cha Taifa
Aidha, amesema hadi kufikia sasa, tayari watu Milioni 24 wamesajiliwa, Namba za Utambulisho zilizotolewa ni Milioni 20 na Vitambulisho ambavyo vimechapishwa ni zaidi ya Milioni 17
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π1
KITAMBULISHO NI BURE, GHARAMA ZA KUBADILI AU KUREKEBISHA TAARIFA ZA NIDA NI TSH. 20,000
Afisa Habari wa NIDA, Geofrey Tengeneza, amesema Moja ya mchakato wa kubadili jina lililopo kwenye NIDA ni kutakiwa kufanya mchakato wa kukana majina ya awali, kisha unatoa tangazo katika Gazeti la Serikali
Pia, kuna gharama ya kubadilisha au kurekebisha taarifa za NIDA kwa Tsh. 20,000 inayolipwa kupitia βControl Numberβ
Amesema hakuna rushwa wala fedha ambayo Mwananchi anatakiwa kutoa ili apate kitambulisho anapofanya mchakato kwa mara ya kwanza, ikitokea kuna mtu anaombwa rushwa ili afanikishe kupata Namba ya NIDA anatakiwa kutoa taarifa kwenye Mamlaka na Vyombo husika, hatua zitachukuliwa
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Afisa Habari wa NIDA, Geofrey Tengeneza, amesema Moja ya mchakato wa kubadili jina lililopo kwenye NIDA ni kutakiwa kufanya mchakato wa kukana majina ya awali, kisha unatoa tangazo katika Gazeti la Serikali
Pia, kuna gharama ya kubadilisha au kurekebisha taarifa za NIDA kwa Tsh. 20,000 inayolipwa kupitia βControl Numberβ
Amesema hakuna rushwa wala fedha ambayo Mwananchi anatakiwa kutoa ili apate kitambulisho anapofanya mchakato kwa mara ya kwanza, ikitokea kuna mtu anaombwa rushwa ili afanikishe kupata Namba ya NIDA anatakiwa kutoa taarifa kwenye Mamlaka na Vyombo husika, hatua zitachukuliwa
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
π5β€1π1