GABON: Jenerali Brice Oligui Nguema anatarajiwa kuapishwa leo, Septemba 4, 2023 kuwa Rais wa Mpito akichukua Madaraka baada ya kupindua Utawala wa Familia ya #Bongo uliodumu kwa miaka 55 nchini humo
Septemba 1, 2023, Jenerali Nguema aliahidi kuunda Taasisi za Kidemokrasia zinazoheshimu #HakiZaBinadamu, japokuwa Wapinzani wamedai Jenerali huyo hana dalili ya kurejesha Utawala wa Kiraia
Soma https://jamii.app/JeneraliKuapishwaGabon
#JamiiForums #Governance #GabonCoup #Accountability #Demokrasia
Septemba 1, 2023, Jenerali Nguema aliahidi kuunda Taasisi za Kidemokrasia zinazoheshimu #HakiZaBinadamu, japokuwa Wapinzani wamedai Jenerali huyo hana dalili ya kurejesha Utawala wa Kiraia
Soma https://jamii.app/JeneraliKuapishwaGabon
#JamiiForums #Governance #GabonCoup #Accountability #Demokrasia
π3β€1π1
Kukataa kutoa Rushwa si uamuzi rahisi. Watu wengi wanaweza kujikuta katika hali ngumu ya kuchagua kati ya kukataa Rushwa na mahitaji yao ya msingi au fursa za kuboresha Maisha yao. Lakini Mfumo wa Sheria na Utawala katika Nchi unaweza kuwa na mapungufu, hivyo kuleta changamoto kubwa kwa Watu kushikilia msimamo wa kukataa kutoa Rushwa
Jamii inayoelewa umuhimu wa Maadili na #Uwajibikaji, Watu wanaokataa kutoa Rushwa wanaweza kuchukuliwa kama waanzilishi wa Mabadiliko chanya. Kwa kushikilia Maadili na kusimama imara dhidi ya Mfumo wa Rushwa, wanaweza kuwa mfano bora kwa wengine
Mjadala zaidi https://jamii.app/KukataaRushwa
#JamiiForums #KemeaRushwa #SerikaliBilaRushwa #Corruption
Jamii inayoelewa umuhimu wa Maadili na #Uwajibikaji, Watu wanaokataa kutoa Rushwa wanaweza kuchukuliwa kama waanzilishi wa Mabadiliko chanya. Kwa kushikilia Maadili na kusimama imara dhidi ya Mfumo wa Rushwa, wanaweza kuwa mfano bora kwa wengine
Mjadala zaidi https://jamii.app/KukataaRushwa
#JamiiForums #KemeaRushwa #SerikaliBilaRushwa #Corruption
π4π3π1
Je, umewahi kukumbana na Changamoto za Kupata Kitambulisho cha Taifa? Jiunge nasi katika Mjadala kuhusu Upatikanaji wa Vitambulisho vya Taifa Nchini Alhamisi hii, Septemba 7, 2023, kupitia 'X Spaces' ya #JamiiForums
Tutaangazia Mchakato mzima wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Tutaangazia Mchakato mzima wa Utoaji na Upatikanaji wa Vitambulisho ikiwemo Mafanikio, Changamoto wanazopata Wananchi na Mwitikio wa Mamlaka
'Link' ya Mjadala https://twitter.com/i/spaces/1MnxnpPbYNeGO
#NIDASpaces #JFVoiceBasedSessions #VitambulishoVyaNIDA #JFSpaces
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
BURUDANI YA JESHI LA POLISI
Rais #SamiaSuluhuHassan akishuhudia burudani wakati akishiriki katika ufunguzi wa Kikao Kazi cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania, leo Septemba 4, 2023, Oysterbay Polisi, Dar es Salaam
#Burudani #JamiiForums
Rais #SamiaSuluhuHassan akishuhudia burudani wakati akishiriki katika ufunguzi wa Kikao Kazi cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania, leo Septemba 4, 2023, Oysterbay Polisi, Dar es Salaam
#Burudani #JamiiForums
π2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akiongea katika Kikao Kazi cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania, leo Septemba 4, 2023, Oysterbay Polisi, Dar es Salaam
#Governance #JamiiForums
#Governance #JamiiForums
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
#BUNGENI: Spika wa Bunge, Dkt. #TuliaAckson ameshauri Serikali kuweka utaratibu maalumu wa kuwazingatia kwanza Watumishi wanaofanya kazi za kujitolea wakati Serikali ikiendelea kufanya maboresho ya Sheria ya Ajira ili kuwasaidia kupata ajira bila kikwazo pindi zinapotangazwa
Katika swali la msingi, Mbunge wa Kiteto (CCM), #EdwardOlelekaita alihoji ni lini Serikali itapeleka Bungeni marekebisho ya Sheria ya Ajira ya Utumishi wa Umma ili kuongeza kigezo cha kujitolea katika kupata ajira
Akitoa mchango wa nyongeza, Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, #GeorgeSimbachawene amesema βHaipendezi kuona Daktari akilima Matikiti wakati sisi tunauhitaji wa Madaktari au Walimu, tunakuja na mpango mkakati wa kumaliza tatizo hilo."
Soma https://jamii.app/SpikaAjira
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #JFUwajibikaji23
Katika swali la msingi, Mbunge wa Kiteto (CCM), #EdwardOlelekaita alihoji ni lini Serikali itapeleka Bungeni marekebisho ya Sheria ya Ajira ya Utumishi wa Umma ili kuongeza kigezo cha kujitolea katika kupata ajira
Akitoa mchango wa nyongeza, Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, #GeorgeSimbachawene amesema βHaipendezi kuona Daktari akilima Matikiti wakati sisi tunauhitaji wa Madaktari au Walimu, tunakuja na mpango mkakati wa kumaliza tatizo hilo."
Soma https://jamii.app/SpikaAjira
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #JFUwajibikaji23
β€3π2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Akizungumza leo Sept. 4, 2023 wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi, Rais Samia amesema wananchi bado wanalalamikia tatizo la Rushwa hasa kwa Askari wa Barabarani
Amesema βMfano tukiweka Kamera za Barabarani hakutakuwa na sababu ya Askari kusimama Barabarani kusimamisha Magari, Teknolojia itatoa mwongozo wa kila kitu na Rushwa haitakuwepo,β
Rais amesema βWimbo wa Polisi ni mzuri na leo kabla ya kuja hapa nilifungua YouTube nikausikiliza kisha nikaangalia Jeshi langu na kujiuliza ingekuwa yanayoimbwa hapa ndiyo yanayotendeka tungekuwa na Jeshi la Malaika"
Soma https://jamii.app/SamiaRushwa
#JamiiForums #Governance #SerikaliBilaRushwa #Accountability #KemeaRushwa
Amesema βMfano tukiweka Kamera za Barabarani hakutakuwa na sababu ya Askari kusimama Barabarani kusimamisha Magari, Teknolojia itatoa mwongozo wa kila kitu na Rushwa haitakuwepo,β
Rais amesema βWimbo wa Polisi ni mzuri na leo kabla ya kuja hapa nilifungua YouTube nikausikiliza kisha nikaangalia Jeshi langu na kujiuliza ingekuwa yanayoimbwa hapa ndiyo yanayotendeka tungekuwa na Jeshi la Malaika"
Soma https://jamii.app/SamiaRushwa
#JamiiForums #Governance #SerikaliBilaRushwa #Accountability #KemeaRushwa
π8
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Rais Samia amelitaka Jeshi la Polisi kujitafakari utendaji wao kwasababu bado amekuwa akipokea Malalamiko ya Wananchi kubambikiwa kesi wanapofika kwenye Vituo vya Polisi Nchini
Rais amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi kulifanyia kazi tatizo hilo ili wanaofikishwa kwenye Mikono ya Sheria wawe na Makosa ya Kweli na sio ya kukomoana
Hivi karibuni, Tume ya kuangalia namna ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai iliwasilisha Ripoti kwa Rais iliyoonesha malalamiko ya Wananchi kubambikiwa Mashtaka na baadhi ya Askari yameongezeka katika Vituo vya Polisi Nchini.
Soma https://jamii.app/SamiaKesi
#JamiiForums #Governance #SocialJustice #SerikaliBilaRushwa #JFUwajibikaji23
Rais amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi kulifanyia kazi tatizo hilo ili wanaofikishwa kwenye Mikono ya Sheria wawe na Makosa ya Kweli na sio ya kukomoana
Hivi karibuni, Tume ya kuangalia namna ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai iliwasilisha Ripoti kwa Rais iliyoonesha malalamiko ya Wananchi kubambikiwa Mashtaka na baadhi ya Askari yameongezeka katika Vituo vya Polisi Nchini.
Soma https://jamii.app/SamiaKesi
#JamiiForums #Governance #SocialJustice #SerikaliBilaRushwa #JFUwajibikaji23
π5
KILIMANJARO: Aliyekuwa Mlinzi wa Shule ya Sekondari #Scolastica, iliyopo Himo-Moshi, Hamis Chacha (34) aliyehukumiwa kifo kwa kosa la kumuua kwa makusudi mwanafunzi wa shule hiyo, Humphrey Makundi, ameachiwa huru baada Mahakama kukubali Rufaa yake na kubadili shitaka lake kutoka mauaji ya kukusudia na kuwa ya bila kukusudia
Baada ya kusikiliza Rufaa yake Majaji waliamua Mtuhumiwa aliua bila kukusudia kwa kuwa hakuwa na nia ovu ya kuua, hivyo kufuta na kubatilisha adhabu ya kifo aliyohukumiwa Juni 3, 2019 na kuamuru aachiwe huru kwa kuwa muda aliokaa gerezani unafidia muda wa adhabu ya kuua bila kukusudia
Soma https://jamii.app/MlinziAachiwaHuru
#JamiiForums #SocialJustice #Accountability #Uwajibikaji #Governance
Baada ya kusikiliza Rufaa yake Majaji waliamua Mtuhumiwa aliua bila kukusudia kwa kuwa hakuwa na nia ovu ya kuua, hivyo kufuta na kubatilisha adhabu ya kifo aliyohukumiwa Juni 3, 2019 na kuamuru aachiwe huru kwa kuwa muda aliokaa gerezani unafidia muda wa adhabu ya kuua bila kukusudia
Soma https://jamii.app/MlinziAachiwaHuru
#JamiiForums #SocialJustice #Accountability #Uwajibikaji #Governance
π8π4π1
Kifungu namba 47 cha Sheria ya Kuzuia VVU iliyopitishwa Mwaka 2008 kinasema, Mtu yeyote kwa makusudi akisambaza Virusi vya UKIMWI kwa Mtu mwingine atakuwa ametenda kosa na akithibitika adhabu ni kifungo kisichopungua Miaka mitano na kisichozidi Miaka 10
Soma https://jamii.app/SheriaVVU
#JamiiForums #Afya #JFSheria
Soma https://jamii.app/SheriaVVU
#JamiiForums #Afya #JFSheria
π3π1
Kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya American Lung Association (ALA), vijana wenye kati ya miaka 18 hadi 24 duniani wanazidi kuingia katika matumizi ya 'Shisha' licha ya Kilevi hicho kuwa na madhara ya Kiafya
Tafiti za ALA za mwaka 2020 zinaonesha 52.1% ya Watumiaji wa Shisha duniani wanapatikana Afrika na Mashariki ya Kati ambapo watumiaji wenye kati ya miaka 15 hadi 23 waliovuta Shisha walikiri Kilevi hicho kimewasukuma pia Kuvuta Sigara
Ikumbukwe, Sigara ya Kawaida inahitaji kuvuta pumzi ndani kati ya Mara 8 hadi 10 kwa Sigara, Uvutaji Shisha umetajwa kuhusisha Uvutaji Pumzi kati ya mara 100 hadi 200 (Kwa Saa 1) kitendo kinachoingiza Sumu ya Nikotini mara 1.7 zaidi ya Wanaovuta Sigara
Mbali na kusababisha aina zaidi ya 7 za Saratani, Shisha imetajwa kuwa sababu kuu ya Saratani ya Mapafu kutokana na Mtumiaji Kuvuta Kiasi kinachofikia Mikrogramu 90,000 za Hewa yenye Sumu kwa muda mfupi
Soma https://jamii.app/ShishaCigar
#JamiiForums #PublicHealth #JFAfya #CancerAwareness #JFAfyaJamii
Tafiti za ALA za mwaka 2020 zinaonesha 52.1% ya Watumiaji wa Shisha duniani wanapatikana Afrika na Mashariki ya Kati ambapo watumiaji wenye kati ya miaka 15 hadi 23 waliovuta Shisha walikiri Kilevi hicho kimewasukuma pia Kuvuta Sigara
Ikumbukwe, Sigara ya Kawaida inahitaji kuvuta pumzi ndani kati ya Mara 8 hadi 10 kwa Sigara, Uvutaji Shisha umetajwa kuhusisha Uvutaji Pumzi kati ya mara 100 hadi 200 (Kwa Saa 1) kitendo kinachoingiza Sumu ya Nikotini mara 1.7 zaidi ya Wanaovuta Sigara
Mbali na kusababisha aina zaidi ya 7 za Saratani, Shisha imetajwa kuwa sababu kuu ya Saratani ya Mapafu kutokana na Mtumiaji Kuvuta Kiasi kinachofikia Mikrogramu 90,000 za Hewa yenye Sumu kwa muda mfupi
Soma https://jamii.app/ShishaCigar
#JamiiForums #PublicHealth #JFAfya #CancerAwareness #JFAfyaJamii
π4
GABON: Rais wa Mpito, Jenerali Brice Nguema ambaye ni kati ya Wanajeshi waliohusika kumuondoa Madarakani Rais #AliBongo, ameapishwa rasmi na kuahidi kufanya Marekebisho ya Sheria za Uchaguzi, Sheria za Adhabu na Katiba
Nguema amesema uamuzi wa kumuondoa Rais aliyekuwepo ulikuwa muhimu kwa manufaa ya Taifa hilo huku akimnukuu Rais wa zamani wa #Ghana, Jerry John Rawlings, βWananchi wanapoumizwa na Viongozi, basi Wanajeshi wanapaswa kuwarudishia Utu na Uhuru wao."
Soma https://jamii.app/NguemaNewGabon
#JamiiForums #Democracy #Governance #Gabon
Nguema amesema uamuzi wa kumuondoa Rais aliyekuwepo ulikuwa muhimu kwa manufaa ya Taifa hilo huku akimnukuu Rais wa zamani wa #Ghana, Jerry John Rawlings, βWananchi wanapoumizwa na Viongozi, basi Wanajeshi wanapaswa kuwarudishia Utu na Uhuru wao."
Soma https://jamii.app/NguemaNewGabon
#JamiiForums #Democracy #Governance #Gabon
π7π1
Mtu Mzima anayependa/kuvutiwa kufanya Mapenzi na Watoto wadogo (ambao hawajafikia umri wa kubalehe), Kitaalamu anajulikana kama #Pedophile
Pedophile anaweza kuwa yeyote (Kijana au Mzee, Mwanaume au Mwanamke), Watu wa aina hii huwa na tabia ya kujitenga na Watu wazima na kufurahia zaidi kuwa na Watoto
Mara nyingi hujaribu kuwarubuni Watoto kwa kutumia vitu kama zawadi, Pesa, Michezo ya video na vitu vingine vya kuchezea ili kuwashawishi kufanya nao Mapenzi, kuwashika maungo yao ya siri au kuwapiga Picha/Video za Utupu
Soma zaidi https://jamii.app/Pedophile
#JamiiForums #JFWomen #HakiMtoto #ChildAbuse #UkatiliWatoto #ChildSafety
Pedophile anaweza kuwa yeyote (Kijana au Mzee, Mwanaume au Mwanamke), Watu wa aina hii huwa na tabia ya kujitenga na Watu wazima na kufurahia zaidi kuwa na Watoto
Mara nyingi hujaribu kuwarubuni Watoto kwa kutumia vitu kama zawadi, Pesa, Michezo ya video na vitu vingine vya kuchezea ili kuwashawishi kufanya nao Mapenzi, kuwashika maungo yao ya siri au kuwapiga Picha/Video za Utupu
Soma zaidi https://jamii.app/Pedophile
#JamiiForums #JFWomen #HakiMtoto #ChildAbuse #UkatiliWatoto #ChildSafety
#JFAFYAAKILI: Kuwa na Mwenza asiyechaguliwa na mhusika mwenyewe kunaweza kusababisha uhusiano wa dhati kutoweka. Hii husababisha mtu kukosa uhusiano wa furaha na Mwenza wake, hali ambayo inaweza kuathiri furaha na ubora wa maisha yake yote
Vile vile, katika Jamii ambayo Mila ya kupangiwa Mume kabla ya Kuzaliwa inazingatiwa, mtu anayekataa maamuzi hayo anaweza kutengwa na kubaguliwa. Hali hii inaweza kusababisha matatizo ya Kihisia, Kujisikia kutengwa na hata matatizo ya Kisaikolojia, kama Upweke na Msongo wa Mawazo ambayo huweza kusababisha hisia za kujidhuru
Soma Zaidi https://jamii.app/AhadiZaNdoaKablaYaKuzaliwa
#JamiiForums #JFWomen #HakiMtoto #SocialJustice #Depression #MentalHealth #MentalWelliness #ChildProtection #WomenRights
Vile vile, katika Jamii ambayo Mila ya kupangiwa Mume kabla ya Kuzaliwa inazingatiwa, mtu anayekataa maamuzi hayo anaweza kutengwa na kubaguliwa. Hali hii inaweza kusababisha matatizo ya Kihisia, Kujisikia kutengwa na hata matatizo ya Kisaikolojia, kama Upweke na Msongo wa Mawazo ambayo huweza kusababisha hisia za kujidhuru
Soma Zaidi https://jamii.app/AhadiZaNdoaKablaYaKuzaliwa
#JamiiForums #JFWomen #HakiMtoto #SocialJustice #Depression #MentalHealth #MentalWelliness #ChildProtection #WomenRights
π1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Kwa takriban Wiki 2 kumekuwa na taarifa kutoka maeneo mbalimbali Nchini zinazoeleza uwepo kwa tatizo la upatikanaji wa Mafuta katika Vituo vinavyotoa huduma hiyo
Kuna madai kuwa baadhi ya Wamiliki wa Vituo vya Mafuta wamezuia uuzaji wakisubiri Bei mpya za Mafuta zinazotarajiwa kutangazwa Wiki hii
Hali ya upatikanaji wa Mafuta ikoje katika eneo ulipo?
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #SocialJustice #Uwajibikaji
Kuna madai kuwa baadhi ya Wamiliki wa Vituo vya Mafuta wamezuia uuzaji wakisubiri Bei mpya za Mafuta zinazotarajiwa kutangazwa Wiki hii
Hali ya upatikanaji wa Mafuta ikoje katika eneo ulipo?
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #SocialJustice #Uwajibikaji
π2
#BURUDANI: #Barbie imekuwa Filamu rasmi yenye Mauzo Bora kwa Mwaka 2023 baada ya mapato yake kuipita Filamu ya #SuperMarioBros kwa kuingiza zaidi ya Dola za Marekani Bilioni 1.38 (Takriban Tsh. Trilioni 3.45)
Filamu ya Super Mario Bros imeingiza Dola za Marekani Bilioni 1.36 (Tsh. Trilioni 3.4), #Oppenheimer Dola za Marekani Milioni 853 (Tsh. Trilioni 2.13), #GuardiansOftheGalaxy Vol. 3, Dola za Marekani Milioni 846 (Tsh. Trilioni 2.11), #FastandFuriousX Dola Milioni 705 (Tsh. Trilioni 1.76) na #Spiderman Tsh. Trilioni 1.71
Soma https://jamii.app/BarbieYavunjaRekodi
#JamiiForums #JFEntertainment #Movies #MovieOfTheYear
Filamu ya Super Mario Bros imeingiza Dola za Marekani Bilioni 1.36 (Tsh. Trilioni 3.4), #Oppenheimer Dola za Marekani Milioni 853 (Tsh. Trilioni 2.13), #GuardiansOftheGalaxy Vol. 3, Dola za Marekani Milioni 846 (Tsh. Trilioni 2.11), #FastandFuriousX Dola Milioni 705 (Tsh. Trilioni 1.76) na #Spiderman Tsh. Trilioni 1.71
Soma https://jamii.app/BarbieYavunjaRekodi
#JamiiForums #JFEntertainment #Movies #MovieOfTheYear
π2β€1
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati (EWURA), Dkt. James Andilile amefafanua kuwa Petroli iliyopo inatosheleza matumizi ya siku 19 huku Dizeli ikiwepo ya kutumika kwa siku 18
Aidha, EWURA imevifungia kwa miezi 6 Vituo 2 vya Mafuta vya Camel Oil na Mtemba vilivyopo Msamvu na Turiani Morogoro kwa ukiukwaji wa Sheria, Kanuni na Taratibu za Uendesha wa Vituo vya Mafuta huku Kituo cha GBP Ipuli Tabora kikifungiwa kwa muda usiojulikana kwa maelezo ya kutouza Mafuta
Takwimu za Mahitaji ya Mafuta Nchini zinaonesha Tanzania inatumia Lita Milioni 4.5 za Petroli kwa siku na Dizeli Lita Milioni 6.6 kwa siku.
Soma https://jamii.app/EWURASept
#JamiForums #Governance #JFHuduma #JFUwajibikaji23
Aidha, EWURA imevifungia kwa miezi 6 Vituo 2 vya Mafuta vya Camel Oil na Mtemba vilivyopo Msamvu na Turiani Morogoro kwa ukiukwaji wa Sheria, Kanuni na Taratibu za Uendesha wa Vituo vya Mafuta huku Kituo cha GBP Ipuli Tabora kikifungiwa kwa muda usiojulikana kwa maelezo ya kutouza Mafuta
Takwimu za Mahitaji ya Mafuta Nchini zinaonesha Tanzania inatumia Lita Milioni 4.5 za Petroli kwa siku na Dizeli Lita Milioni 6.6 kwa siku.
Soma https://jamii.app/EWURASept
#JamiForums #Governance #JFHuduma #JFUwajibikaji23
π7β€2
SIMIYU: MADAI YA STENDI KUTELEKEZWA, MEYA AKIRI MIUNDOMBINU SI RAFIKI KWA WAFANYABIASHARA
Mstahiki Meya wa Mji wa #Bariadi, Elias Masanja ametoa majibu hayo baada ya Mdau wa JamiiForums.com kueleza Stendi ya Mizigo ya Kidulya ya Wilayani Bariadi iliyojengwa Kilometa 7 kutoka katikati ya Mji kwa gharama ya zaidi ya Tsh. Bilioni 1 imetelekezwa na hakuna hatua zinazochukuliwa
Meya amesema βStendi ilikamilika Mwaka 2021 lakini sehemu ya maegezo si nzuri, hakuna ghala la kuhifadhia mizigo, mvua ikinyesha inaweza kuharibu mizigo, kazi zinaendelea lakini si kwa kiwango tulichotarajia. Mkandarasi alijenga kama alivyotakiwa kwa kuwa mkataba wake haukuwa na vipengele vya kuongeza vitu ambavyo vinatakiwa kuongezwa.β
Soma https://jamii.app/StendiBariadi
#JFUwajibikaji23 #JFHuduma #Governance #JamiiForums
Mstahiki Meya wa Mji wa #Bariadi, Elias Masanja ametoa majibu hayo baada ya Mdau wa JamiiForums.com kueleza Stendi ya Mizigo ya Kidulya ya Wilayani Bariadi iliyojengwa Kilometa 7 kutoka katikati ya Mji kwa gharama ya zaidi ya Tsh. Bilioni 1 imetelekezwa na hakuna hatua zinazochukuliwa
Meya amesema βStendi ilikamilika Mwaka 2021 lakini sehemu ya maegezo si nzuri, hakuna ghala la kuhifadhia mizigo, mvua ikinyesha inaweza kuharibu mizigo, kazi zinaendelea lakini si kwa kiwango tulichotarajia. Mkandarasi alijenga kama alivyotakiwa kwa kuwa mkataba wake haukuwa na vipengele vya kuongeza vitu ambavyo vinatakiwa kuongezwa.β
Soma https://jamii.app/StendiBariadi
#JFUwajibikaji23 #JFHuduma #Governance #JamiiForums
π7
DODOMA: Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, linatarajiwa kuchunguza Malalamiko ya Ukiukwaji wa Maadili dhidi ya Julius Kenneth Ningu (Mkuu wa Wilaya ya Ulanga - #Morogoro) na Mathew P. Mbaruku (Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto - #Tanga)
Viongozi hao watajadiliwa Septemba 5 hadi 6, 2023 kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa katika Kikao cha Baraza la Maadili kitakachofanya Uchunguzi kuhusu Malalamiko yaliyotolewa juu yao
Kwa mujibu wa Taarifa ya Sekretarieti, uchunguzi utafanyika kwa uwazi kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ambapo Wananchi wanaalikwa kuhudhuria katika kikao hicho
Soma https://jamii.app/Maadili
#JamiiForums #Governance #JFuwajibikaji23
Viongozi hao watajadiliwa Septemba 5 hadi 6, 2023 kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa katika Kikao cha Baraza la Maadili kitakachofanya Uchunguzi kuhusu Malalamiko yaliyotolewa juu yao
Kwa mujibu wa Taarifa ya Sekretarieti, uchunguzi utafanyika kwa uwazi kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ambapo Wananchi wanaalikwa kuhudhuria katika kikao hicho
Soma https://jamii.app/Maadili
#JamiiForums #Governance #JFuwajibikaji23
π4β€3