BEI YA PETROLI YASHUKA, DIZELI YAPANDA
Bei ya Petroli na Mafuta ya Taa yaliyopokelewa kupitia Bandari ya Dar es Salaam zimepungua kwa Tsh. 21 na Tsh. 44 kwa Lita mtawalia huku Mafuta ya Dizeli yakipanda kwa Tsh. 13 kwa Lita
> Bei za rejareja za mafuta kwa Mikoa ya Kusini zimebaki zilivyo
Soma https://jamii.app/BeiEWURA
#JFUchumi
Bei ya Petroli na Mafuta ya Taa yaliyopokelewa kupitia Bandari ya Dar es Salaam zimepungua kwa Tsh. 21 na Tsh. 44 kwa Lita mtawalia huku Mafuta ya Dizeli yakipanda kwa Tsh. 13 kwa Lita
> Bei za rejareja za mafuta kwa Mikoa ya Kusini zimebaki zilivyo
Soma https://jamii.app/BeiEWURA
#JFUchumi
#COVID19: Denmark imeondoa masharti ya Uvaaji Barakoa kwenye Usafiri wa Umma, Madukani, kwenye Migahawa pamoja na amri ya kuonesha cheti cha Chanjo maeneo ya Burudani na Mapumziko
Maafisa wa Afya wasema idadi ya wagonjwa mahututi imepungua
Soma - https://jamii.app/VizuiziOffDen
#UVIKO3 #Governance
Maafisa wa Afya wasema idadi ya wagonjwa mahututi imepungua
Soma - https://jamii.app/VizuiziOffDen
#UVIKO3 #Governance
👍1
MABADILIKO YA KANUNI: CHANELI ZA KULIPIA RUKSA KURUSHA MATANGAZO YA KIBIASHARA
Ili kuboresha Huduma ya Mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imerekebisha baadhi ya kanuni za Leseni za mwaka 2018
Kuanzia sasa, chaneli za kulipia zitaruhusiwa kurusha matangazo ya kibiashara yasiyozidi dakika 5 kwa saa. Mabadiliko haya ni katika kanuni ya 16. Awali, chaneli za kulipia hazikuruhusiwa kuweka matangazo ya biashara
#JamiiForums #DigitalRights
Ili kuboresha Huduma ya Mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imerekebisha baadhi ya kanuni za Leseni za mwaka 2018
Kuanzia sasa, chaneli za kulipia zitaruhusiwa kurusha matangazo ya kibiashara yasiyozidi dakika 5 kwa saa. Mabadiliko haya ni katika kanuni ya 16. Awali, chaneli za kulipia hazikuruhusiwa kuweka matangazo ya biashara
#JamiiForums #DigitalRights
ADA YA MASAFA YAFUTWA KWA WENYE MIUNDOMBINU YA UTANGAZAJI KIDIJITI
Marekebisho ya Kanuni ya Leseni ya mwaka 2018 imefuta ada ya masafa kwa wenye miundombinu ya utangazaji wa kidijiti (Multiplex Operators) ili kuleta unafuu kwa wawekezaji
Serikali imefanya hivyo ili kuchochea uanzishaji wa vituo vya utangazaji vya kijamii katika maeneo ambayo hayajafikiwa na redio. Leseni ya vituo vya utangazaji wa kijamii vinakuwa na leseni ndogo
#JamiiForums #DigitalRights
Marekebisho ya Kanuni ya Leseni ya mwaka 2018 imefuta ada ya masafa kwa wenye miundombinu ya utangazaji wa kidijiti (Multiplex Operators) ili kuleta unafuu kwa wawekezaji
Serikali imefanya hivyo ili kuchochea uanzishaji wa vituo vya utangazaji vya kijamii katika maeneo ambayo hayajafikiwa na redio. Leseni ya vituo vya utangazaji wa kijamii vinakuwa na leseni ndogo
#JamiiForums #DigitalRights
KIGOMA: Helman John (23) anatuhumiwa kumuua Mama yake Mzazi, Selina William (63) kwa kumpiga na mpini wa jembe. Kijana huyo alikuwa akimdai Mama yake Tsh. 300,000
Watu 10 wameuawa katika matukio tofauti Mkoani humo ndani ya Mwezi Januari
Soma - https://jamii.app/KigomaMauaji
#JFMatukio
Watu 10 wameuawa katika matukio tofauti Mkoani humo ndani ya Mwezi Januari
Soma - https://jamii.app/KigomaMauaji
#JFMatukio
RAIS SAMIA: KATIKA KUTOA MAAMUZI UTU WA MTU UTAZAMWE
Asema Mahakama inapaswa kuzingatia #Sheria ili kutenda Haki kwa wote bila kujali hali ya Mtu, Kijamii au Kiuchumi
Ameongeza "Kubwa kwa wewe unayetoa Haki ni kuisikiliza nafsi yako. Je, hapa natenda Haki au sitendi? Katika kutoa maamuzi Utu wa Mtu nao utazamwe"
Soma - https://jamii.app/SamiaHaki
#JFSheria
Asema Mahakama inapaswa kuzingatia #Sheria ili kutenda Haki kwa wote bila kujali hali ya Mtu, Kijamii au Kiuchumi
Ameongeza "Kubwa kwa wewe unayetoa Haki ni kuisikiliza nafsi yako. Je, hapa natenda Haki au sitendi? Katika kutoa maamuzi Utu wa Mtu nao utazamwe"
Soma - https://jamii.app/SamiaHaki
#JFSheria
Rais Samia Suluhu Hassan amesema suala la Anuani za Makazi litakamilika kabla ya Sensa
> Kauli ya Rais inakuja baada ya Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Hamis Juma kuomba kukamilika kwa suala hilo akisema linarahisisha utoaji huduma za Mahakama
Soma https://jamii.app/AnuaniMakazi
#JFSheria
> Kauli ya Rais inakuja baada ya Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Hamis Juma kuomba kukamilika kwa suala hilo akisema linarahisisha utoaji huduma za Mahakama
Soma https://jamii.app/AnuaniMakazi
#JFSheria
Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amesema Wananchi hushiriki ktk kutunga Sheria
> Ameongeza kuwa Bunge linapopokea Muswada huita Wadau na kutoa tangazo la kuhitaji mawazo kutoka kwa Wananchi ambapo Wananchi hupata fursa ya kushiriki
Soma https://jamii.app/SheriaWananchi
#JFSheria
> Ameongeza kuwa Bunge linapopokea Muswada huita Wadau na kutoa tangazo la kuhitaji mawazo kutoka kwa Wananchi ambapo Wananchi hupata fursa ya kushiriki
Soma https://jamii.app/SheriaWananchi
#JFSheria
TABORA: Mwanafunzi wa Darasa la Nne, Maria Kazungu (13) ameuawa na kunyofolewa sehemu za siri huku masikio yakitobolewa na kitu chenye ncha kali
Ongezeko la matukio ya mauaji Nchini yameilazimu Serikali kuunda Kamati ya uchunguzi
Soma - https://jamii.app/MwanafunziTabora
#JFMatukio
Ongezeko la matukio ya mauaji Nchini yameilazimu Serikali kuunda Kamati ya uchunguzi
Soma - https://jamii.app/MwanafunziTabora
#JFMatukio
BUNGENI: Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato asema hakutakuwa na makali ya mgao wa Umeme kama ilivyotarajiwa awali
Mgao wa Umeme ulitarajiwa kuanza Februari 1, 2022 kwa lengo la kufanya marekebisho ya Mitambo, hali iliyozua taharuki
Soma - https://jamii.app/MakaliMgaoUmeme
#ServiceDelivery
Mgao wa Umeme ulitarajiwa kuanza Februari 1, 2022 kwa lengo la kufanya marekebisho ya Mitambo, hali iliyozua taharuki
Soma - https://jamii.app/MakaliMgaoUmeme
#ServiceDelivery
UWAJIBIKAJI WA KIDEMOKRASIA
Kuwawajibisha Maafisa wa Serikali ni kitovu cha #Demokrasia. Uwajibikaji wa Kidemokrasia unajumuisha uwezo wa Wananchi kuelezea matakwa yao ili kushawishi maamuzi, mfano kupitia michakato ya Uchaguzi
Njia nyingine ni pamoja na Maandamano, Habari za Kiuchunguzi, Midahalo ya Umma au Kura za Maoni
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiDemokrasia
#Democracy
Kuwawajibisha Maafisa wa Serikali ni kitovu cha #Demokrasia. Uwajibikaji wa Kidemokrasia unajumuisha uwezo wa Wananchi kuelezea matakwa yao ili kushawishi maamuzi, mfano kupitia michakato ya Uchaguzi
Njia nyingine ni pamoja na Maandamano, Habari za Kiuchunguzi, Midahalo ya Umma au Kura za Maoni
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiDemokrasia
#Democracy
Katika Ukusanyaji wa Taarifa/Data za Watu miongozo mbalimbali inapaswa kuzingatiwa ikiwemo kuwepo kwa Sheria ya #UlinziWaData
Mkusanyaji wa Data/Taarifa anapaswa kuzingatia Faragha/Usiri wa wenye Data na kutekeleza Ukusanyaji kwa njia iliyo halali
Ni vema Mkusanya Data awe na kusudi maalum na lengo la kuendeleza ukusanyaji huo
Soma - https://jamii.app/UkusanyajiData
#DataProtection #DigitalRights
Mkusanyaji wa Data/Taarifa anapaswa kuzingatia Faragha/Usiri wa wenye Data na kutekeleza Ukusanyaji kwa njia iliyo halali
Ni vema Mkusanya Data awe na kusudi maalum na lengo la kuendeleza ukusanyaji huo
Soma - https://jamii.app/UkusanyajiData
#DataProtection #DigitalRights
MABADILIKO YA KANUNI: CHANELI ZA KULIPIA RUKSA KURUSHA MATUKIO MUBASHARA
Ili kuboresha Huduma ya Mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imerekebisha baadhi ya kanuni za Leseni za mwaka 2018
Kuanzia sasa, chaneli za kulipia zitaruhusiwa kurusha matukio mubashara (Live Events). Mabadiliko haya ni katika kanuni ya 29. Awali, chaneli zilizorusha matukio mubashara zilikuwa chaneli zisizolipiwa tu
#JamiiForums #DigitalRights
Ili kuboresha Huduma ya Mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imerekebisha baadhi ya kanuni za Leseni za mwaka 2018
Kuanzia sasa, chaneli za kulipia zitaruhusiwa kurusha matukio mubashara (Live Events). Mabadiliko haya ni katika kanuni ya 29. Awali, chaneli zilizorusha matukio mubashara zilikuwa chaneli zisizolipiwa tu
#JamiiForums #DigitalRights
ALGOPHOBIA: Ni hali ya kuwa na hofu kali/isiyo ya kawaida kuhusu Maumivu ya Kimwili (Mf. kuchomwa Sindano)
Mwenye #Algophobia anaweza kupata shambulio la hofu (Panic attacks) akiwaza kuhusu Maumivu. Dalili zinaweza kujumuisha: Kizunguzungu, kutokwa Jasho, Kutetemeka, kubanwa pumzi, Mapigo ya Moyo kuongezeka au Tumbo kuvurugika ghafla.
Soma - https://jamii.app/Algophobia
#JFMaarifa
Mwenye #Algophobia anaweza kupata shambulio la hofu (Panic attacks) akiwaza kuhusu Maumivu. Dalili zinaweza kujumuisha: Kizunguzungu, kutokwa Jasho, Kutetemeka, kubanwa pumzi, Mapigo ya Moyo kuongezeka au Tumbo kuvurugika ghafla.
Soma - https://jamii.app/Algophobia
#JFMaarifa
DR CONGO: WAKIMBIZI ZAIDI YA 50 WAUAWA NA WAASI
Waasi wa CODECO walijipenyeza kambi ya Savo iliyopo Ngujona Mkoani Ituri na kuwaua kwa kuwashambulia kwa visu wakimbizi waliokuwa wanaishi hapo
Hii si mara ya kwanza kwa tukio kama hilo kutokea
Soma - https://jamii.app/50Wauawa
Waasi wa CODECO walijipenyeza kambi ya Savo iliyopo Ngujona Mkoani Ituri na kuwaua kwa kuwashambulia kwa visu wakimbizi waliokuwa wanaishi hapo
Hii si mara ya kwanza kwa tukio kama hilo kutokea
Soma - https://jamii.app/50Wauawa
MDAU: NAMNA ZA KUPATA 'CONNECTION' ZA AJIRA
Anashauri kutumia Mitandao kutangaza ujuzi, Kujitolea na kushiriki shughuli za kijamii
Anasema jipendekeze kwa watu au Kampuni fulani kwani 'kuwa chawa' kwenye vitu vya msingi si vibaya
Soma https://jamii.app/ConnectionTz
#StoriesOfChange #JFMdau
Anashauri kutumia Mitandao kutangaza ujuzi, Kujitolea na kushiriki shughuli za kijamii
Anasema jipendekeze kwa watu au Kampuni fulani kwani 'kuwa chawa' kwenye vitu vya msingi si vibaya
Soma https://jamii.app/ConnectionTz
#StoriesOfChange #JFMdau
#AFCON2021: SENEGAL YAINGIA FAINALI
- #TeamSenegal imeingia fainali kwa kuifunga #TeamBurkinaFaso goli 3-1 ndani ya dakika 90
- Senegal itacheza fainali na mshindi wa mechi ya kesho kati ya #TeamCameroon na #TeamEgypt
- Burkina Faso itashindania nafasi ya 3 na timu itakayofungwa kesho
#JFSports
- #TeamSenegal imeingia fainali kwa kuifunga #TeamBurkinaFaso goli 3-1 ndani ya dakika 90
- Senegal itacheza fainali na mshindi wa mechi ya kesho kati ya #TeamCameroon na #TeamEgypt
- Burkina Faso itashindania nafasi ya 3 na timu itakayofungwa kesho
#JFSports
ARUSHA: Mlinzi wa Shule ya Winnings Spirit iliyopo Terati, Issa Dinaiah (57) amechinjwa. Waliotekeleza mauaji hayo wamechukua kichwa chake
Mwili wa Mlinzi huyo uligundulika Februari 2, 2022. Chanzo na waliofanya tukio hilo hawajajulikana
Soma - https://jamii.app/MlinziAuawa
#JFMatukio
Mwili wa Mlinzi huyo uligundulika Februari 2, 2022. Chanzo na waliofanya tukio hilo hawajajulikana
Soma - https://jamii.app/MlinziAuawa
#JFMatukio
TBS: KUWEKA BIDHAA ZA VYAKULA JUANI KUNAHARIBU UBORA
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa tahadhari kwa Wafanyabiashara wa bidhaa za Chakula ikiwemo Mafuta ya Kula kuweka Juani ili Wateja wazione
Yasema ktk uchunguzi wamebaini hali hiyo inaweza kuhatarisha Afya ya Walaji kwa kuharibu ubora wa bidhaa hata kama haijafikisha muda wake wa matumizi kuisha (Expire date)
Soma - https://jamii.app/VyakulaJuani
#JFAfya
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa tahadhari kwa Wafanyabiashara wa bidhaa za Chakula ikiwemo Mafuta ya Kula kuweka Juani ili Wateja wazione
Yasema ktk uchunguzi wamebaini hali hiyo inaweza kuhatarisha Afya ya Walaji kwa kuharibu ubora wa bidhaa hata kama haijafikisha muda wake wa matumizi kuisha (Expire date)
Soma - https://jamii.app/VyakulaJuani
#JFAfya