JamiiForums
52.6K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
FAHAMU YANAYOJIRI KUHUSU CHANJO YA #COVID19 (SEHEMU YA 2)

- Chanjo inayotengenezwa na Kampuni ya #Pfizer na #BioNTech imeripotiwa kuwa na uthabiti wa zaidi ya 90% huku ile ya #Moderna ikielezwa kuwa na uthabiti wa 94.5%

- Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kwa sasa haliwezi kuthibitisha upatikanaji wala usalama wa chanjo yoyote kwa kuwa bado zipo katika majaribio

Soma - https://jamii.app/VaccineCOVID19
#Vaccines
'SYSTEM' ZA CHANJO YA #COVID19 YA PFIZER ZADUKULIWA

> Kwa mujibu wa taarifa, baadhi ya nyaraka kuhusu chanjo ya #Pfizer na #BioNTech zimeingiliwa

> Chanjo hiyo ilionesha uwezo wa kinga kwa asilimia 95 kwa watu 30,000 waliojaribiwa

Soma - https://jamii.app/PfizerCyberAttack
#DigitalSecurity
#COVID19: Kampuni ya #BioNTech pamoja na mshirika wake #Pfizer, wameomba kibali cha dharura Marekani, cha matumizi ya Chanjo ya Corona kwa Watoto chini ya miaka 5

Wakipata Kibali itakuwa Chanjo ya 1 kutumika kwa Watoto kuanzia Miezi sita

Soma - https://jamii.app/BioNtechInfants

#UVIKO3 #JFAfya
#MODERNA YADAI KUIBIWA TEKNOLOJIA YA KUTENGENEZA KINGA YA UVIKO-19

Imefungua mashtaka dhidi ya Kampuni ya #Pfizer na #BioNTech ikidai wameiba Teknolojia yao ya kutengeneza Dawa kinga iliyotengenezwa Marekani Miaka ya nyuma 2010 na 2016

Soma - https://jamii.app/Covid19Technology

#COVID19
👍8😁1