FAHAMU YANAYOJIRI KUHUSU CHANJO YA #COVID19 (SEHEMU YA 2)
- Chanjo inayotengenezwa na Kampuni ya #Pfizer na #BioNTech imeripotiwa kuwa na uthabiti wa zaidi ya 90% huku ile ya #Moderna ikielezwa kuwa na uthabiti wa 94.5%
- Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kwa sasa haliwezi kuthibitisha upatikanaji wala usalama wa chanjo yoyote kwa kuwa bado zipo katika majaribio
Soma - https://jamii.app/VaccineCOVID19
#Vaccines
- Chanjo inayotengenezwa na Kampuni ya #Pfizer na #BioNTech imeripotiwa kuwa na uthabiti wa zaidi ya 90% huku ile ya #Moderna ikielezwa kuwa na uthabiti wa 94.5%
- Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kwa sasa haliwezi kuthibitisha upatikanaji wala usalama wa chanjo yoyote kwa kuwa bado zipo katika majaribio
Soma - https://jamii.app/VaccineCOVID19
#Vaccines
'SYSTEM' ZA CHANJO YA #COVID19 YA PFIZER ZADUKULIWA
> Kwa mujibu wa taarifa, baadhi ya nyaraka kuhusu chanjo ya #Pfizer na #BioNTech zimeingiliwa
> Chanjo hiyo ilionesha uwezo wa kinga kwa asilimia 95 kwa watu 30,000 waliojaribiwa
Soma - https://jamii.app/PfizerCyberAttack
#DigitalSecurity
> Kwa mujibu wa taarifa, baadhi ya nyaraka kuhusu chanjo ya #Pfizer na #BioNTech zimeingiliwa
> Chanjo hiyo ilionesha uwezo wa kinga kwa asilimia 95 kwa watu 30,000 waliojaribiwa
Soma - https://jamii.app/PfizerCyberAttack
#DigitalSecurity
KOREA KASKAZINI YASHUTUMIWA KUDUKUA TEKNOLOJIA YA KUTENGENEZA CHANJO YA #COVID19
> Shirika la Kijasusi la Korea Kusini limeituhumu Nchi hiyo kuiba teknolojia toka Marekani ya utengenezaji wa #Pfizer
> Haijabainishwa kiasi cha taarifa zilizoibwa
Soma https://jamii.app/NorthKoreaUdukuzi
> Shirika la Kijasusi la Korea Kusini limeituhumu Nchi hiyo kuiba teknolojia toka Marekani ya utengenezaji wa #Pfizer
> Haijabainishwa kiasi cha taarifa zilizoibwa
Soma https://jamii.app/NorthKoreaUdukuzi
EMA YAIDHINISHA CHANJO YA #PFIZER KWA WENYE MIAKA 12-15
Shirika la Dawa Ulaya (EMA) limeidhinisha Chanjo dhidi ya #COVID19 ya Pfizer-BioNTech kwa Watoto wa miaka hiyo
Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya(EU) zitaamua ikiwa zitaitoa kwa kundi hilo
Soma > https://jamii.app/PfizerWatotoEU
Shirika la Dawa Ulaya (EMA) limeidhinisha Chanjo dhidi ya #COVID19 ya Pfizer-BioNTech kwa Watoto wa miaka hiyo
Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya(EU) zitaamua ikiwa zitaitoa kwa kundi hilo
Soma > https://jamii.app/PfizerWatotoEU
MAREKANI: CDC KUJADILI KUVIMBA KWA MOYO KWA WALIOPATA CHANJO YA #PFIZER NA MODERNA
Watu 226 wameripotiwa kuwa na tatizo la #Myocarditis na #Pericarditis baada ya kupata chanjo
Wengi wamepona lakini 41 bado wana dalili, 15 wamelazwa na 3 wapo ICU
Soma - https://jamii.app/ChanjoMoyo
#UVIKO3
Watu 226 wameripotiwa kuwa na tatizo la #Myocarditis na #Pericarditis baada ya kupata chanjo
Wengi wamepona lakini 41 bado wana dalili, 15 wamelazwa na 3 wapo ICU
Soma - https://jamii.app/ChanjoMoyo
#UVIKO3
WHO: NCHI TAJIRI ZIGAWE CHANJO KWA NCHI MASIKINI
Kampuni zinazotengeneza Chanjo za #Moderna na #Pfizer zimetakiwa kutoa kipaumbele kwa nchi masikini
> Mataifa tajiri yamelaumiwa kufanya ulimbikizaji kwa hofu kuwa Chanjo ya tatu itahitajika
Soma https://jamii.app/ChanjoTajiri
#UVIKO3
Kampuni zinazotengeneza Chanjo za #Moderna na #Pfizer zimetakiwa kutoa kipaumbele kwa nchi masikini
> Mataifa tajiri yamelaumiwa kufanya ulimbikizaji kwa hofu kuwa Chanjo ya tatu itahitajika
Soma https://jamii.app/ChanjoTajiri
#UVIKO3
KENYA YAAZIMIA KUCHANJA WATU WOTE IFIKAPO DESEMBA 2022
Wakenya milioni 1.04 hadi sasa wamepata Dozi ya Kwanza ya #AstraZeneca, huku wanaotakiwa kuchomwa ni milioni 26
> Watu 416,000 wanaweza kuchomwa Chanjo ya #Pfizer kama Dozi ya Pili
Soma https://jamii.app/2022Chanjo
Wakenya milioni 1.04 hadi sasa wamepata Dozi ya Kwanza ya #AstraZeneca, huku wanaotakiwa kuchomwa ni milioni 26
> Watu 416,000 wanaweza kuchomwa Chanjo ya #Pfizer kama Dozi ya Pili
Soma https://jamii.app/2022Chanjo
PFIZER YATENGENEZA DOZI YA KWANZA KWA KIRUSI KIPYA CHA DELTA
Kampuni ya Chanjo ya #Pfizer imetangaza kutengeneza Chanjo ya kukabiliana na Kirusi kipya cha #COVID19 aina ya #Delta ambapo majaribio yanapangwa kuanza Agosti hii
Soma - https://jamii.app/PfizerDeltaDose
#UVIKO3
Kampuni ya Chanjo ya #Pfizer imetangaza kutengeneza Chanjo ya kukabiliana na Kirusi kipya cha #COVID19 aina ya #Delta ambapo majaribio yanapangwa kuanza Agosti hii
Soma - https://jamii.app/PfizerDeltaDose
#UVIKO3
MAREKANI: CHANJO YA ZIADA YAIDHINISHWA KWA KUNDI MAALUM
Mamlaka ya Chakula na Dawa(FDA) imeidhinisha Chanjo za ziada za #Pfizer na #Moderna kwa watu ambao kinga yao ya mwili imeathiriwa
Imefanya hivyo kutokana na kuwepo Kirusi Delta
Soma > https://jamii.app/USBoosterVaccines
#UVIKO3
Mamlaka ya Chakula na Dawa(FDA) imeidhinisha Chanjo za ziada za #Pfizer na #Moderna kwa watu ambao kinga yao ya mwili imeathiriwa
Imefanya hivyo kutokana na kuwepo Kirusi Delta
Soma > https://jamii.app/USBoosterVaccines
#UVIKO3
TANZANIA KUPOKEA DOZI 500,000 ZA PFIZER
Akiwa Mwanza Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema, "Hizi #Pfizer ni sehemu ya Dozi 3,700,000 za Chanjo zitakazoletwa na COVAX Facility. Mwisho wa mwezi Oktoba zitakuja hizo Laki Tano"
Soma - https://jamii.app/PfizerTZ
#UVIKO3
Akiwa Mwanza Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema, "Hizi #Pfizer ni sehemu ya Dozi 3,700,000 za Chanjo zitakazoletwa na COVAX Facility. Mwisho wa mwezi Oktoba zitakuja hizo Laki Tano"
Soma - https://jamii.app/PfizerTZ
#UVIKO3
#COVID19: IFAHAMU CHANJO AINA YA #PFIZER
Imeidhinishwa na WHO kuwa salama kwa Watu wenye miaka 12 na zaidi. Pia, imethibitika kuwa salama kwa Wajawazito
Inatolewa kwa Dozi mbili ambapo Dozi ya pili hutolewa siku 21 - 28 baada ya Dozi 1
Soma - https://jamii.app/FahamuChanjo
#UVIKO3
Imeidhinishwa na WHO kuwa salama kwa Watu wenye miaka 12 na zaidi. Pia, imethibitika kuwa salama kwa Wajawazito
Inatolewa kwa Dozi mbili ambapo Dozi ya pili hutolewa siku 21 - 28 baada ya Dozi 1
Soma - https://jamii.app/FahamuChanjo
#UVIKO3
MAREKANI YAIDHINISHA PFIZER KWA WATOTO WA MIAKA 5 HADI 11
Chanjo hiyo dhidi ya #COVID19 imeidhinishwa kwa Watoto walio na umri huo, ikielezwa Wataalamu wamebaini ina ufanisi wa 91%
Tayari wenye miaka 12 na zaidi wameruhusiwa kupata #Pfizer
Soma https://jamii.app/PfizerChanjo
#UVIKO3
Chanjo hiyo dhidi ya #COVID19 imeidhinishwa kwa Watoto walio na umri huo, ikielezwa Wataalamu wamebaini ina ufanisi wa 91%
Tayari wenye miaka 12 na zaidi wameruhusiwa kupata #Pfizer
Soma https://jamii.app/PfizerChanjo
#UVIKO3
TANZANIA YAPOKEA DOZI 499,590 ZA #PFIZER
Waziri kwa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima amesema Tanzania imepokea Dozi 499,590 za Chanjo hiyo dhidi ya #COVID19
Asema kufikia Novemba 19 takwimu zinaonesha Wananchi 1,359,624 wamefikiwa na Chanjo
Soma - https://jamii.app/PfizerTanzania
#UVIKO3
Waziri kwa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima amesema Tanzania imepokea Dozi 499,590 za Chanjo hiyo dhidi ya #COVID19
Asema kufikia Novemba 19 takwimu zinaonesha Wananchi 1,359,624 wamefikiwa na Chanjo
Soma - https://jamii.app/PfizerTanzania
#UVIKO3
AFRIKA KUSINI: Serikali imeomba Kampuni za Johnson & Johnson na #Pfizer kuchelewesha utoaji wa Chanjo kutokana na kuwa na Chanjo nyingi kwenye maghala
35% ya Wananchi wameshapata Chanjo kamili huku Nchi ikiwa na dozi Milioni 16.8 ghalani
Soma - https://jamii.app/StockVaccineSA
#UVIKO3
35% ya Wananchi wameshapata Chanjo kamili huku Nchi ikiwa na dozi Milioni 16.8 ghalani
Soma - https://jamii.app/StockVaccineSA
#UVIKO3
TANZANIA YAPOKEA DOZI 376,320 ZA CHANJO YA MODERNA
Hii ni Awamu ya Kwanza kwa aina hii ya Chanjo kuingia Nchini. Dozi hizo zitatumika kuchanja Watu 188,160
Hadi sasa Tanzania imepokea Dozi 6,408,950 zikijumuisha #Sinopharm, J&J na #Pfizer
Soma - https://jamii.app/ModernaTZ
#UVIKO3
Hii ni Awamu ya Kwanza kwa aina hii ya Chanjo kuingia Nchini. Dozi hizo zitatumika kuchanja Watu 188,160
Hadi sasa Tanzania imepokea Dozi 6,408,950 zikijumuisha #Sinopharm, J&J na #Pfizer
Soma - https://jamii.app/ModernaTZ
#UVIKO3
NCHI TATU ZA AFRIKA KUPEWA VIFAA VYA KUZALISHA CHANJO
Kampuni ya BioNTech na #Pfizer zitaleta Vifaa vya kutengeneza Chanjo #Rwanda, Senegal na Afrika Kusini Julai 2022
Vitawezesha utengenezaji wa Chanjo ya #CoronaVirus, #Malaria na Kifua Kikuu
Soma - https://jamii.app/VifaaChanjo
#JFAfya
Kampuni ya BioNTech na #Pfizer zitaleta Vifaa vya kutengeneza Chanjo #Rwanda, Senegal na Afrika Kusini Julai 2022
Vitawezesha utengenezaji wa Chanjo ya #CoronaVirus, #Malaria na Kifua Kikuu
Soma - https://jamii.app/VifaaChanjo
#JFAfya
#MODERNA YADAI KUIBIWA TEKNOLOJIA YA KUTENGENEZA KINGA YA UVIKO-19
Imefungua mashtaka dhidi ya Kampuni ya #Pfizer na #BioNTech ikidai wameiba Teknolojia yao ya kutengeneza Dawa kinga iliyotengenezwa Marekani Miaka ya nyuma 2010 na 2016
Soma - https://jamii.app/Covid19Technology
#COVID19
Imefungua mashtaka dhidi ya Kampuni ya #Pfizer na #BioNTech ikidai wameiba Teknolojia yao ya kutengeneza Dawa kinga iliyotengenezwa Marekani Miaka ya nyuma 2010 na 2016
Soma - https://jamii.app/Covid19Technology
#COVID19
👍8😁1