DIGITALI: Mzazi/Mlezi una jukumu la kumfundisha na kumkumbusha mwanao kuepuka kuchapisha taarifa zake binafsi kama vile namba za Simu, Vitambulisho, Tarehe ya kuzaliwa, Anuani, Nywila zake na namba za akaunti zake za Benki Mtandaoni
Taarifa hizi zikiangukia kwenye Mikono isiyo salama zinaweza kutumika vibaya kufanyia uhalifu, anaweza kuibiwa Fedha zake hata utambulisho wake na hivyo kuhatarisha Usalama wake mtandaoni
Soma https://jamii.app/MzaziMlindeMwanaoMtandaoni
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
Taarifa hizi zikiangukia kwenye Mikono isiyo salama zinaweza kutumika vibaya kufanyia uhalifu, anaweza kuibiwa Fedha zake hata utambulisho wake na hivyo kuhatarisha Usalama wake mtandaoni
Soma https://jamii.app/MzaziMlindeMwanaoMtandaoni
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
👍1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Fahamu kisa cha kijana aliyejiua huko Marekani Februari 2024 baada ya kushawishiwa na Akili Mnemba (AI), au chatbot na kujipiga risasi.
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
DIGITALI: Mzazi au mlezi mshauri mwanao atoe taarifa kwako au kwa mtu wa karibu pale anapopitia matatizo au hatari mitandaoni. Kumbuka mwanao anaweza kukumbana na maudhui yasiyofaa au matukio ya hatari mtandaoni
Soma https://jamii.app/MzaziMlindeMwanaoMtandaoni
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
Soma https://jamii.app/MzaziMlindeMwanaoMtandaoni
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
👍1
DIGITALI: Mzazi au Mlezi una jukumu la kumfundisha mwanao kuhusu Ulaghai unaofanyika mtandaoni ili kumlinda na kuepusha kutapeliwa
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
❤1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Unyanyasaji wa Mtandaoni ni tishio kubwa kwa Watoto, hivyo ni vyema kwa Mzazi au Mlezi kugundua dalili mapema ili kumpatia Mtoto msaada mapema
Soma https://jamii.app/UnyanyasajiMtandaoniMtoto
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
Soma https://jamii.app/UnyanyasajiMtandaoniMtoto
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Endapo Mzazi au Mlezi utaruhusu mwanao kutumia mitandao kupitia vifaa vya kieletroniki kama kompyuta, vishkwambi au simu janja, tambua una jukumu la kumlinda na kuhakikisha anakuwa salama
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
#JamiiForums #DigitalSecurity #ChildOnlineSafety #MtotoSalamaMtandaoni
Siku ya Usalama Mtandaoni huadhimishwa Februari 11 kila mwaka ili kuongeza uhamasishaji kuhusu matumizi Salama ya Mitandao
Siku hii ilianzishwa mwaka 2004 kwa lengo la kujenga uelewa kuhusu Ulinzi wa Taarifa, Unyanyasaji Mtandaoni (Cyberbullying) na hatari zinazozunguka Dunia ya Kijitali
Soma https://jamii.app/SaferInternetDay25
#JamiiForums #DigitalSecurity #DigitalSafety #DataPrivacy #DataProtection #SaferInternetDay2025
Siku hii ilianzishwa mwaka 2004 kwa lengo la kujenga uelewa kuhusu Ulinzi wa Taarifa, Unyanyasaji Mtandaoni (Cyberbullying) na hatari zinazozunguka Dunia ya Kijitali
Soma https://jamii.app/SaferInternetDay25
#JamiiForums #DigitalSecurity #DigitalSafety #DataPrivacy #DataProtection #SaferInternetDay2025
Kwa mujibu wa Utafiti uliofanywa na Indo-Pacific Center for Civil Society Resilience, jumla ya Nchi 7 katika Bara la Asia na Oceania (Indo - Pacific region) zilipitia changamoto ya kuzimwa kwa mtandao na kuminywa kwa Uhuru wa Kujieleza Mtandaoni
Nchi zilizofanyiwa Utafiti ni Cambodia, Fiji, Malaysia, Pakistan, Sri Lanka, Taiwan na Thailand
Baadhi ya matukio yaliyojitokeza ni pamoja na ukusanyaji wa Taarifa Binafsi za Watu Mitandaoni, Gharama kubwa za Kanuni za Usalama wa Mtandao na kupelekea kuminywa kwa Uhuru wa Utumiaji Mtandao
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion
Nchi zilizofanyiwa Utafiti ni Cambodia, Fiji, Malaysia, Pakistan, Sri Lanka, Taiwan na Thailand
Baadhi ya matukio yaliyojitokeza ni pamoja na ukusanyaji wa Taarifa Binafsi za Watu Mitandaoni, Gharama kubwa za Kanuni za Usalama wa Mtandao na kupelekea kuminywa kwa Uhuru wa Utumiaji Mtandao
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion
👍1
Ripoti ya Freedom House na Article 19 inaonesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi juu ya juhudi za Serikali kudhibiti nafasi ya Kidijitali ambapo ilidhihirishwa na amri ndogo ya awali ya kuanzishwa kwa Lango la Mtandao la Kitaifa (National Internet Gateway - NIG)
Japo utekelezaji wa NIG uliopangwa kuanza Februari 16, 2022, ulizuiwa, Wananchi wanahofia kwani NIG ingekusanya Taarifa za Mtandao, kuwa na mamlaka ya kuzima mtandao, kuhifadhi taarifa kwa mwaka mmoja na kuzitoa kwa mamlaka inapohitajika, na Watoa Huduma wa Mawasiliano wasiotii wangepewa adhabu kali.
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Japo utekelezaji wa NIG uliopangwa kuanza Februari 16, 2022, ulizuiwa, Wananchi wanahofia kwani NIG ingekusanya Taarifa za Mtandao, kuwa na mamlaka ya kuzima mtandao, kuhifadhi taarifa kwa mwaka mmoja na kuzitoa kwa mamlaka inapohitajika, na Watoa Huduma wa Mawasiliano wasiotii wangepewa adhabu kali.
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
👍1
Ripoti ya Freedom House na Article 19 inaonesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi wa Malaysia juu ya juhudi za Serikali kudhibiti nafasi ya Kidigitali na kuzuia Uhuru wa Kujieleza hasa kwa Waandishi wa Habari ilidhihirishwa na Muswada wa Usalama Mtandaoni wa Mwaka 2024
Kupitia mradi wa 'Sinar' ambalo ni shirika lisilo la Kiserikali waligundua madhara yatakayojitokeza na kuchapisha ripoti za kimataifa ambazo zilichochea uhamasishaji nchini humo ambapo Wataalamu wa IT na wajasiriamali waliwasilisha pingamizi juu ya mabadiliko ya Muswada huo kwa Serikali
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Kupitia mradi wa 'Sinar' ambalo ni shirika lisilo la Kiserikali waligundua madhara yatakayojitokeza na kuchapisha ripoti za kimataifa ambazo zilichochea uhamasishaji nchini humo ambapo Wataalamu wa IT na wajasiriamali waliwasilisha pingamizi juu ya mabadiliko ya Muswada huo kwa Serikali
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Ripoti ya Freedom House na Article 19 inaonesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi wa Pakistan juu ya juhudi za Serikali kwenye kudhibiti nafasi ya Kidigitali na kuzuia Uhuru wa Kujieleza Mtandaoni kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa 2024 kupitia Sheria ya Kuzuia Uhalifu wa Kidijitali (PECA) ya 2022
Kupitia jitihada za Shirikisho la Waandishi wa Habari la Pakistan (PFUJ) Mahakama Kuu ya Islamabad ilitangaza kuwa Sheria hiyo ni kinyume na Katiba na kuagiza Serikali ipitie tena Sheria ya Udhalilishaji ya 2002 na kufanya mapendekezo mapya
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Kupitia jitihada za Shirikisho la Waandishi wa Habari la Pakistan (PFUJ) Mahakama Kuu ya Islamabad ilitangaza kuwa Sheria hiyo ni kinyume na Katiba na kuagiza Serikali ipitie tena Sheria ya Udhalilishaji ya 2002 na kufanya mapendekezo mapya
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Ripoti ya Freedom House na Article 19 imeonesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi wa Sri Lanka, juu ya juhudi za Serikali kwenye kuzuia Uhuru wa Kujieleza Mtandaoni kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa 2024, kupitia Sheria ya Usalama Mtandaoni (OSA) ya 2023
Sheria hii ilipingwa vikali kutokana na kutoa ruhusa ya Upatikanaji wa mifumo ya kompyuta na taarifa binafsi bila ridhaa ya mhusika
Kupitia jitihada za Vyama kama vile Asia Internet Coalition na Global Network Initiative na mashirika mengine ya ndani na nje ya Sri Lanka, Sheria hiyo ilifanyiwa mabadiliko
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Sheria hii ilipingwa vikali kutokana na kutoa ruhusa ya Upatikanaji wa mifumo ya kompyuta na taarifa binafsi bila ridhaa ya mhusika
Kupitia jitihada za Vyama kama vile Asia Internet Coalition na Global Network Initiative na mashirika mengine ya ndani na nje ya Sri Lanka, Sheria hiyo ilifanyiwa mabadiliko
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Ripoti ya Freedom House na Article 19 ilionesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi wa Taiwan baada ya Wizara ya Mambo ya Ndani kuanzisha mpango wa kubadilisha vitambulisho vya Taifa kuwa vya Kidigitali
Mpango huo ulizua taharuki kutokana na hofu ya uvujaji na matumizi mabaya ya Taarifa Binafsi, pamoja na hatari ya uwezekano wa udukuzi wa Taarifa
Vikundi na Taasisi mbalimbali walishinikiza Serikali kuboresha ulinzi na matumizi ya Taarifa binafsi pamoja na kuanzisha Taasisi huru ya kulinda taarifa binafsi
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Mpango huo ulizua taharuki kutokana na hofu ya uvujaji na matumizi mabaya ya Taarifa Binafsi, pamoja na hatari ya uwezekano wa udukuzi wa Taarifa
Vikundi na Taasisi mbalimbali walishinikiza Serikali kuboresha ulinzi na matumizi ya Taarifa binafsi pamoja na kuanzisha Taasisi huru ya kulinda taarifa binafsi
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
MARA: Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Abdul Mtaka, ameagiza taasisi za Mikopo zinazoshikilia kadi za benki za Watumishi wa Umma kama dhamana wanapokopa kuacha mara moja vitendo hivyo, kwa kuwa ni kinyume cha Sheria
Amesema “Wapo Watumishi wanaokopa katika Sekta rasmi zikiwemo Benki kwa kuzingatia utaratibu wa kiasi kinachotakiwa kusalia katika mishahara yao, baada ya hapo wanakwenda kukopa kwenye taasisi zisizo rasmi ambazo huchukua Kadi zao za Benki na namba za Siri na kuchukua fedha zinazoingia ili kurejesha mkopo.”
Ameongeza kuwa, vitendo hivyo vinawafanya Watumishi kutofanya kazi kwa ufanisi kwa kuwa wanajikuta hawana fedha za kukidhi mahitaji yao ya muhimu
Soma https://jamii.app/KaziZaBenki
#DataPrivacy #JamiiForums #Governance #DigitalSecurity #DataProtection
Amesema “Wapo Watumishi wanaokopa katika Sekta rasmi zikiwemo Benki kwa kuzingatia utaratibu wa kiasi kinachotakiwa kusalia katika mishahara yao, baada ya hapo wanakwenda kukopa kwenye taasisi zisizo rasmi ambazo huchukua Kadi zao za Benki na namba za Siri na kuchukua fedha zinazoingia ili kurejesha mkopo.”
Ameongeza kuwa, vitendo hivyo vinawafanya Watumishi kutofanya kazi kwa ufanisi kwa kuwa wanajikuta hawana fedha za kukidhi mahitaji yao ya muhimu
Soma https://jamii.app/KaziZaBenki
#DataPrivacy #JamiiForums #Governance #DigitalSecurity #DataProtection
❤1👍1
Ripoti ya Freedom House na Article 19 imeonesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi wa Thailand juu ya juhudi za Serikali kudhibiti Vyombo vya Habari na kuzuia mtandao kupitia Sera ya "Single Gateway"
Sera hii ilipingwa vikali na Asasi za Kiraia na Wadau wa Teknolojia, kutokana na kutoa ruhusa ya kukandamiza Uhuru wa Kujielezea, matumizi ya mtandao n.k, ambapo jitihada zao zilizaa matunda kwa kufanikiwa kuzuia Sera hiyo kupitishwa
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Sera hii ilipingwa vikali na Asasi za Kiraia na Wadau wa Teknolojia, kutokana na kutoa ruhusa ya kukandamiza Uhuru wa Kujielezea, matumizi ya mtandao n.k, ambapo jitihada zao zilizaa matunda kwa kufanikiwa kuzuia Sera hiyo kupitishwa
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
USALAMA MTANDAONI: Jeshi la Polisi limetoa tamko kuhusu taarifa zilizosambazwa kupitia Akaunti za Jeshi la Polisi kwenye Mtandao wa X na kusema taarifa hizo ni za uongo, upotoshaji na zisizo na maadili
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imesema kuwa taarifa hizo si za kweli na wanaendelea kufuatilia wahalifu waliotengeneza na kusambaza taarifa hizo ili wakamatwe.
Aidha, taarifa hiyo imesema kuwa hatua kali zitachukuliwa kwa aliyehusika na utengenezaji na utoaji wa taarifa hizo na yeyote yule ambaye ataendelea kuzisambaza
Soma https://jamii.app/TaarifaPotofuPolisiX
#JamiiForums #Misinformation #Accountability #DigitalSecurity
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imesema kuwa taarifa hizo si za kweli na wanaendelea kufuatilia wahalifu waliotengeneza na kusambaza taarifa hizo ili wakamatwe.
Aidha, taarifa hiyo imesema kuwa hatua kali zitachukuliwa kwa aliyehusika na utengenezaji na utoaji wa taarifa hizo na yeyote yule ambaye ataendelea kuzisambaza
Soma https://jamii.app/TaarifaPotofuPolisiX
#JamiiForums #Misinformation #Accountability #DigitalSecurity
Watafiti wa Masuala ya Usalama wamethibitisha kuwa hili ni tukio kubwa zaidi la uvujaji wa taarifa kuwahi kutokea baada ya nywila bilioni 16 pamoja na taarifa za Watumiaji wa Mitandao mbalimbali kuvuja kuanzia Januari 2025
Watafiti wamedai taarifa na nywila hizo zilikusanywa kwa kutumia programu hatari za kuiba taarifa (infostealer malware)
Tukio hilo limesababisha Wadukuaji kuiba akaunti za Watu, kufanya udanganyifu wa utambulisho (Identity theft) pamoja na kutuma mashambulizi ya kimtandao (phishing) kwa Watu wengine
Soma https://jamii.app/WorldLargestBreach
#JamiiForums #JamiiAfrica #CyberSecurity #DigitalSecurity
Watafiti wamedai taarifa na nywila hizo zilikusanywa kwa kutumia programu hatari za kuiba taarifa (infostealer malware)
Tukio hilo limesababisha Wadukuaji kuiba akaunti za Watu, kufanya udanganyifu wa utambulisho (Identity theft) pamoja na kutuma mashambulizi ya kimtandao (phishing) kwa Watu wengine
Soma https://jamii.app/WorldLargestBreach
#JamiiForums #JamiiAfrica #CyberSecurity #DigitalSecurity