MOROGORO: Wateja wa Nyumba za Wageni wamejulishwa kuwa hawatakiwi kuandika taarifa za wanapotoka au wanapoelekea katika Vitabu vya nyumba hizo, kwa kuwa kufanya hivyo ni kukiuka Sheria ya Taarifa Binafsi
Mkurugenzi wa Usajili na Uzingatiaji wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa (#PDPC), Stephen Wangwe amesema Watu wanatakiwa kujua Sheria ya #TaarifaBinafsi ili wasiingie matatizoni, kwa kuwa taarifa hizi hazina uhusiano na wao kufika katika nyumba hizo
Aidha, amesema tangu kuanza kutumika kwa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, mtu anapoona taarifa zake zimetumika bila ridhaa yake anaruhusiwa kulalamika kisha hatua zitachukuliwa dhidi ya wahusika au mhusika
Soma https://jamii.app/PDPCMarch1
#JamiiForums #DataProtection #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DataPrivacy #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
Mkurugenzi wa Usajili na Uzingatiaji wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa (#PDPC), Stephen Wangwe amesema Watu wanatakiwa kujua Sheria ya #TaarifaBinafsi ili wasiingie matatizoni, kwa kuwa taarifa hizi hazina uhusiano na wao kufika katika nyumba hizo
Aidha, amesema tangu kuanza kutumika kwa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, mtu anapoona taarifa zake zimetumika bila ridhaa yake anaruhusiwa kulalamika kisha hatua zitachukuliwa dhidi ya wahusika au mhusika
Soma https://jamii.app/PDPCMarch1
#JamiiForums #DataProtection #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DataPrivacy #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
π2
MOROGORO: Washereheshaji wenye tabia ya kusambaza picha za Watu kama hawajapata idhini ya wahusika au mhusika wametakiwa kuwa makini kwa kuwa kufanya hivyo wanavunja Sheria
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dkt. Emmanuel Mkilia akishiriki Warsha kuhusu dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi amesema kuna baadhi ya mambo ambayo yanafanywa na mtu au Watu na hawataki yasambazwe kwa kuwa kufanya hivyo ni kuingilia faragha ya mtu
Anaseme βUnakuta umeenda kwenye sherehe, wale MC wanakupiga picha mnato au video baadaye unaonekana Mtandaoni ukiwa umejiachia, ni muhimu kupata ridhaa ya Mtu kabla ya kutumia taarifa zake kama jina, picha, namba za simu, makazi, anuani, taarifa za kifedha na afya.β
Soma https://jamii.app/TaarifaBinafsiSheria
#JamiiForums #DataProtection #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DataPrivacy #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dkt. Emmanuel Mkilia akishiriki Warsha kuhusu dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi amesema kuna baadhi ya mambo ambayo yanafanywa na mtu au Watu na hawataki yasambazwe kwa kuwa kufanya hivyo ni kuingilia faragha ya mtu
Anaseme βUnakuta umeenda kwenye sherehe, wale MC wanakupiga picha mnato au video baadaye unaonekana Mtandaoni ukiwa umejiachia, ni muhimu kupata ridhaa ya Mtu kabla ya kutumia taarifa zake kama jina, picha, namba za simu, makazi, anuani, taarifa za kifedha na afya.β
Soma https://jamii.app/TaarifaBinafsiSheria
#JamiiForums #DataProtection #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DataPrivacy #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
π3
Ripoti ya Freedom House na Article 19 inaonesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi juu ya juhudi za Serikali kudhibiti nafasi ya Kidijitali ambapo ilidhihirishwa na amri ndogo ya awali ya kuanzishwa kwa Lango la Mtandao la Kitaifa (National Internet Gateway - NIG)
Japo utekelezaji wa NIG uliopangwa kuanza Februari 16, 2022, ulizuiwa, Wananchi wanahofia kwani NIG ingekusanya Taarifa za Mtandao, kuwa na mamlaka ya kuzima mtandao, kuhifadhi taarifa kwa mwaka mmoja na kuzitoa kwa mamlaka inapohitajika, na Watoa Huduma wa Mawasiliano wasiotii wangepewa adhabu kali.
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Japo utekelezaji wa NIG uliopangwa kuanza Februari 16, 2022, ulizuiwa, Wananchi wanahofia kwani NIG ingekusanya Taarifa za Mtandao, kuwa na mamlaka ya kuzima mtandao, kuhifadhi taarifa kwa mwaka mmoja na kuzitoa kwa mamlaka inapohitajika, na Watoa Huduma wa Mawasiliano wasiotii wangepewa adhabu kali.
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
π1
Mashirika, Taasisi na Watu Binafsi wametakiwa kuwa makini wanapotumia Taarifa Binafsi za Watu, kwani kufanya hivyo bila idhini ya mhusika au Wahusika ni kinyume cha Sheria na adhabu yake kwa Mchakataji wa Taarifa (Mtu au Taasisi) inaweza kufika hadi Faini ya Tsh. Milioni 100
Mkurugenzi wa Tafiti za Ulinzi wa Taarifa na Teknolojia wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dkt. Noe Nnko amesema faini hiyo ipo Kipengele cha 47 cha Faini za Kiutawala kinachoeleza Tume inaweza kuchukua hatua ya kutoza faini na kiwango cha juu hicho.β
Ameongeza "Taasisi zinapaswa kuwa na Afisa wa Taarifa Binafsi aliyefundishwa kutunza taarifa za Watu kwa usahihi. Mbali na faini pia kuna fidia kwa mwathirika itakayopimwa kulingana na madhara atakayopata ya kifaragha.β
Soma https://jamii.app/FineDataPrivacy
#JamiiForums #DataProtection #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DataPrivacy #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
Mkurugenzi wa Tafiti za Ulinzi wa Taarifa na Teknolojia wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dkt. Noe Nnko amesema faini hiyo ipo Kipengele cha 47 cha Faini za Kiutawala kinachoeleza Tume inaweza kuchukua hatua ya kutoza faini na kiwango cha juu hicho.β
Ameongeza "Taasisi zinapaswa kuwa na Afisa wa Taarifa Binafsi aliyefundishwa kutunza taarifa za Watu kwa usahihi. Mbali na faini pia kuna fidia kwa mwathirika itakayopimwa kulingana na madhara atakayopata ya kifaragha.β
Soma https://jamii.app/FineDataPrivacy
#JamiiForums #DataProtection #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DataPrivacy #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
π2β€1
Ripoti ya Freedom House na Article 19 inaonesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi wa Malaysia juu ya juhudi za Serikali kudhibiti nafasi ya Kidigitali na kuzuia Uhuru wa Kujieleza hasa kwa Waandishi wa Habari ilidhihirishwa na Muswada wa Usalama Mtandaoni wa Mwaka 2024
Kupitia mradi wa 'Sinar' ambalo ni shirika lisilo la Kiserikali waligundua madhara yatakayojitokeza na kuchapisha ripoti za kimataifa ambazo zilichochea uhamasishaji nchini humo ambapo Wataalamu wa IT na wajasiriamali waliwasilisha pingamizi juu ya mabadiliko ya Muswada huo kwa Serikali
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Kupitia mradi wa 'Sinar' ambalo ni shirika lisilo la Kiserikali waligundua madhara yatakayojitokeza na kuchapisha ripoti za kimataifa ambazo zilichochea uhamasishaji nchini humo ambapo Wataalamu wa IT na wajasiriamali waliwasilisha pingamizi juu ya mabadiliko ya Muswada huo kwa Serikali
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Ripoti ya Freedom House na Article 19 inaonesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi wa Pakistan juu ya juhudi za Serikali kwenye kudhibiti nafasi ya Kidigitali na kuzuia Uhuru wa Kujieleza Mtandaoni kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa 2024 kupitia Sheria ya Kuzuia Uhalifu wa Kidijitali (PECA) ya 2022
Kupitia jitihada za Shirikisho la Waandishi wa Habari la Pakistan (PFUJ) Mahakama Kuu ya Islamabad ilitangaza kuwa Sheria hiyo ni kinyume na Katiba na kuagiza Serikali ipitie tena Sheria ya Udhalilishaji ya 2002 na kufanya mapendekezo mapya
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Kupitia jitihada za Shirikisho la Waandishi wa Habari la Pakistan (PFUJ) Mahakama Kuu ya Islamabad ilitangaza kuwa Sheria hiyo ni kinyume na Katiba na kuagiza Serikali ipitie tena Sheria ya Udhalilishaji ya 2002 na kufanya mapendekezo mapya
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Ripoti ya Freedom House na Article 19 imeonesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi wa Sri Lanka, juu ya juhudi za Serikali kwenye kuzuia Uhuru wa Kujieleza Mtandaoni kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa 2024, kupitia Sheria ya Usalama Mtandaoni (OSA) ya 2023
Sheria hii ilipingwa vikali kutokana na kutoa ruhusa ya Upatikanaji wa mifumo ya kompyuta na taarifa binafsi bila ridhaa ya mhusika
Kupitia jitihada za Vyama kama vile Asia Internet Coalition na Global Network Initiative na mashirika mengine ya ndani na nje ya Sri Lanka, Sheria hiyo ilifanyiwa mabadiliko
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Sheria hii ilipingwa vikali kutokana na kutoa ruhusa ya Upatikanaji wa mifumo ya kompyuta na taarifa binafsi bila ridhaa ya mhusika
Kupitia jitihada za Vyama kama vile Asia Internet Coalition na Global Network Initiative na mashirika mengine ya ndani na nje ya Sri Lanka, Sheria hiyo ilifanyiwa mabadiliko
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Ripoti ya Freedom House na Article 19 ilionesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi wa Taiwan baada ya Wizara ya Mambo ya Ndani kuanzisha mpango wa kubadilisha vitambulisho vya Taifa kuwa vya Kidigitali
Mpango huo ulizua taharuki kutokana na hofu ya uvujaji na matumizi mabaya ya Taarifa Binafsi, pamoja na hatari ya uwezekano wa udukuzi wa Taarifa
Vikundi na Taasisi mbalimbali walishinikiza Serikali kuboresha ulinzi na matumizi ya Taarifa binafsi pamoja na kuanzisha Taasisi huru ya kulinda taarifa binafsi
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Mpango huo ulizua taharuki kutokana na hofu ya uvujaji na matumizi mabaya ya Taarifa Binafsi, pamoja na hatari ya uwezekano wa udukuzi wa Taarifa
Vikundi na Taasisi mbalimbali walishinikiza Serikali kuboresha ulinzi na matumizi ya Taarifa binafsi pamoja na kuanzisha Taasisi huru ya kulinda taarifa binafsi
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
MARA: Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Abdul Mtaka, ameagiza taasisi za Mikopo zinazoshikilia kadi za benki za Watumishi wa Umma kama dhamana wanapokopa kuacha mara moja vitendo hivyo, kwa kuwa ni kinyume cha Sheria
Amesema βWapo Watumishi wanaokopa katika Sekta rasmi zikiwemo Benki kwa kuzingatia utaratibu wa kiasi kinachotakiwa kusalia katika mishahara yao, baada ya hapo wanakwenda kukopa kwenye taasisi zisizo rasmi ambazo huchukua Kadi zao za Benki na namba za Siri na kuchukua fedha zinazoingia ili kurejesha mkopo.β
Ameongeza kuwa, vitendo hivyo vinawafanya Watumishi kutofanya kazi kwa ufanisi kwa kuwa wanajikuta hawana fedha za kukidhi mahitaji yao ya muhimu
Soma https://jamii.app/KaziZaBenki
#DataPrivacy #JamiiForums #Governance #DigitalSecurity #DataProtection
Amesema βWapo Watumishi wanaokopa katika Sekta rasmi zikiwemo Benki kwa kuzingatia utaratibu wa kiasi kinachotakiwa kusalia katika mishahara yao, baada ya hapo wanakwenda kukopa kwenye taasisi zisizo rasmi ambazo huchukua Kadi zao za Benki na namba za Siri na kuchukua fedha zinazoingia ili kurejesha mkopo.β
Ameongeza kuwa, vitendo hivyo vinawafanya Watumishi kutofanya kazi kwa ufanisi kwa kuwa wanajikuta hawana fedha za kukidhi mahitaji yao ya muhimu
Soma https://jamii.app/KaziZaBenki
#DataPrivacy #JamiiForums #Governance #DigitalSecurity #DataProtection
β€1π1
Ripoti ya Freedom House na Article 19 imeonesha wasiwasi miongoni mwa Wananchi wa Thailand juu ya juhudi za Serikali kudhibiti Vyombo vya Habari na kuzuia mtandao kupitia Sera ya "Single Gateway"
Sera hii ilipingwa vikali na Asasi za Kiraia na Wadau wa Teknolojia, kutokana na kutoa ruhusa ya kukandamiza Uhuru wa Kujielezea, matumizi ya mtandao n.k, ambapo jitihada zao zilizaa matunda kwa kufanikiwa kuzuia Sera hiyo kupitishwa
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Sera hii ilipingwa vikali na Asasi za Kiraia na Wadau wa Teknolojia, kutokana na kutoa ruhusa ya kukandamiza Uhuru wa Kujielezea, matumizi ya mtandao n.k, ambapo jitihada zao zilizaa matunda kwa kufanikiwa kuzuia Sera hiyo kupitishwa
Soma https://jamii.app/DigitalThreatsIndoPacific
#DigitalThreats #DigitalSecurity #DataPrivacy #DataProtection #IndoPacificRegion #DigitalThreats
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mtangazaji wa Clouds FM, Samuel Nathaniel Sasali ameeleza hawezi kuweka Picha/Video Mtandao za matukio ya harusi bila ruhusa ya Wahusika, akidai aliwahi kuitwa kuwa shahidi katika kesi iliyotokana na yeye kuposti tukio la Harusi ambapo baadaye ilibainika Bwana Harusi alikuwa na mke mwingine
Ikumbukwe mara kadhaa Wadau wa JamiiForums.com wamekosoa matukio ya Watu kuchapisha picha na Video za Watu wengine Mitandaoni bila ridhaa yao, Washehereshaji (MC) nao walionekana kuwa moja ya kundi linaloongoza kwa kufanya vitendo hivyo
Februari 2025, Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dkt. Emmanuel Mkilia alisema βNi muhimu kupata ridhaa ya mtu kabla ya kutumia taarifa zake binafsi, Washereheshaji wanaosambaza picha au video bila ridhaa wanakiuka Faragha ya Mtu.β
Soma https://jamii.app/SamSasali
#JamiiForums #DataProtection #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DataPrivacy #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
Ikumbukwe mara kadhaa Wadau wa JamiiForums.com wamekosoa matukio ya Watu kuchapisha picha na Video za Watu wengine Mitandaoni bila ridhaa yao, Washehereshaji (MC) nao walionekana kuwa moja ya kundi linaloongoza kwa kufanya vitendo hivyo
Februari 2025, Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dkt. Emmanuel Mkilia alisema βNi muhimu kupata ridhaa ya mtu kabla ya kutumia taarifa zake binafsi, Washereheshaji wanaosambaza picha au video bila ridhaa wanakiuka Faragha ya Mtu.β
Soma https://jamii.app/SamSasali
#JamiiForums #DataProtection #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DataPrivacy #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
π1
DAR: Mshereheshaji, Anthony D. Luvanda akihojiwa na Clouds FM Machi 18, 2025, alisema Tasnia hiyo imekuwa ikivamiwa na Watu wengi ambapo wapo wanaofanya vitu kinyume cha Sheria na kukiuka faragha za Watu kwa kuchapisha picha na video ambazo zinadhalilisha Utu
Soma https://jamii.app/NukuuLuvanda
#JamiiForums #DataProtection #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DataPrivacy #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
Soma https://jamii.app/NukuuLuvanda
#JamiiForums #DataProtection #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DataPrivacy #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
Kitambulisho chako (ID) kinachukuliwa kuwa Taarifa Binafsi kwasababu kina taarifa zako kama Jina, Nambari ya Utambulisho, Picha, Tarehe ya Kuzaliwa, n.k.
Unamshauri Mdau afanye nini hapo?
Mjadala zaidi https://jamii.app/MkopoSimuKitambulisho
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #Uwajibikaji #PersonalDataProtection #DataPrivacy
Unamshauri Mdau afanye nini hapo?
Mjadala zaidi https://jamii.app/MkopoSimuKitambulisho
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #Uwajibikaji #PersonalDataProtection #DataPrivacy
KENYA: Ofisi ya Msajili wa Ndoa imeanza rasmi zoezi la kuchapisha taarifa za Wanandoa watarajiwa kama majina yao, picha pamoja na sehemu watakazofanyia harusi Mtandaoni kupitia tovuti ya Serikali ya eCitizen
Kabla ya utaratibu huu mpya wa kuweka taarifa Mtandaoni, Wanandoa walitakiwa kuwasilisha Notisi ya Ndoa (Notice of Marriage) ambayo ilikuwa inabandikwa kwa siku 21 katika mlango wa Ofisi ya Msajili wa Ndoa, ili kutoa fursa kwa yeyote mwenye pingamizi la Kisheria kuwasilisha malalamiko yake
Wakati lengo la hatua hiyo limetajwa kuwa ni kuongeza uwazi na kurahisisha huduma kwa Wanandoa, baadhi ya Wakenya kupitia Mitandao ya Kijamii walilalamika, wakidai hatua hiyo inakiuka Sheria inayolinda Taarifa Binafsi za Wananchi kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Kenya
Kupata taarifa zaidi soma https://jamii.app/MsajiliKenya
#JamiiAfrica #JamiiForums #DataPrivacy #DigitalRights #UlinziWaTaarifaBinafsi
Kabla ya utaratibu huu mpya wa kuweka taarifa Mtandaoni, Wanandoa walitakiwa kuwasilisha Notisi ya Ndoa (Notice of Marriage) ambayo ilikuwa inabandikwa kwa siku 21 katika mlango wa Ofisi ya Msajili wa Ndoa, ili kutoa fursa kwa yeyote mwenye pingamizi la Kisheria kuwasilisha malalamiko yake
Wakati lengo la hatua hiyo limetajwa kuwa ni kuongeza uwazi na kurahisisha huduma kwa Wanandoa, baadhi ya Wakenya kupitia Mitandao ya Kijamii walilalamika, wakidai hatua hiyo inakiuka Sheria inayolinda Taarifa Binafsi za Wananchi kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Kenya
Kupata taarifa zaidi soma https://jamii.app/MsajiliKenya
#JamiiAfrica #JamiiForums #DataPrivacy #DigitalRights #UlinziWaTaarifaBinafsi
β€1
Denmark itakuwa Nchi ya kwanza Ulaya kutoa Hakimiliki kwa raia wake juu ya matumizi ya Sura, miili na Sauti zao ili kukabiliana na video na sauti za kughushi "deepfakes" za Akili Unde zenye maudhui ya ngono, utapeli na propaganda za Kisiasa
Pendekezo hilo itamaanisha kuwa Mtu akichakachua au kutumia taarifa zako kutengeneza video, sauti au picha bandia bila ruhusa unaweza kudai ziondolowe na hata kulipwa fidia
Sheria hiyo inatarajiwa kukamilika na kuanza kutumika rasmi kabla ya mwisho wa Mwaka 2025 na iwapo majukwaa ya #Teknolojia yatashindwa kuondoa maudhui yatakayoripotiwa yatakabiliwa na faini kubwa
Mdau unadhani Sheria kama hii inaweza kutumika kwa Nchi za Afrika?
Mjadala zaidi https://jamii.app/DenmarkFightsDeepfakes
#JamiiAfrica #JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DigitalRights
Pendekezo hilo itamaanisha kuwa Mtu akichakachua au kutumia taarifa zako kutengeneza video, sauti au picha bandia bila ruhusa unaweza kudai ziondolowe na hata kulipwa fidia
Sheria hiyo inatarajiwa kukamilika na kuanza kutumika rasmi kabla ya mwisho wa Mwaka 2025 na iwapo majukwaa ya #Teknolojia yatashindwa kuondoa maudhui yatakayoripotiwa yatakabiliwa na faini kubwa
Mdau unadhani Sheria kama hii inaweza kutumika kwa Nchi za Afrika?
Mjadala zaidi https://jamii.app/DenmarkFightsDeepfakes
#JamiiAfrica #JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DigitalRights
π2β€1
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (#JAB) imewapiga marufuku Watangazaji wa Kipindi cha Genge la Gen Tok kinachorushwa na redio ya Mjini FM, kwa tuhuma za kukiuka haki za faragha na kumlazimisha aliyekuwa mgeni wao, Dogo Paten, kutoa Taarifa Binafsi bila ridhaa yake.
Bodi imewazuia Watangazaji wote wa kipindi hicho kujihusisha na kazi za habari kuanzia leo Julai 18, 2025 hadi watakapokamilisha matakwa ya Kisheria, yakiwemo kuwa na sifa za kitaaluma na kupata Ithibati ya Kitaaluma ya habari.
Uamuzi huo umetolewa siku mbili baada ya mahojiano kati ya Watangazaji hao na Dogo Paten, ambapo msanii huyo alikataa kujibu maswali kuhusu elimu yake, kitendo kilichosababisha baadhi yao kutoa kauli zilizotafsiriwa na wengi kama kejeli.
Soma zaidi https://jamii.app/BodiYaIthibatiWatangazaji
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #DataPrivacy #DigitalRights
Bodi imewazuia Watangazaji wote wa kipindi hicho kujihusisha na kazi za habari kuanzia leo Julai 18, 2025 hadi watakapokamilisha matakwa ya Kisheria, yakiwemo kuwa na sifa za kitaaluma na kupata Ithibati ya Kitaaluma ya habari.
Uamuzi huo umetolewa siku mbili baada ya mahojiano kati ya Watangazaji hao na Dogo Paten, ambapo msanii huyo alikataa kujibu maswali kuhusu elimu yake, kitendo kilichosababisha baadhi yao kutoa kauli zilizotafsiriwa na wengi kama kejeli.
Soma zaidi https://jamii.app/BodiYaIthibatiWatangazaji
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #DataPrivacy #DigitalRights
π1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
ZANZIBAR: Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (#PDPC), Innocent Mungy ameeleza umuhimu wa Tume kusimamia ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa kusema "Tunalinda zisiende kwenye mikono isiyo sawa, isiyoruhusiwa kuwa na matumizi ya hizo taarifa."
Ameeleza hayo wakati wa mafunzo maalum Julai19, 2025, yakihusisha Maafisa Habari wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Wanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC).
Soma zaidi https://jamii.app/PDPCTaarifaBinafsi
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #PersonalDataProtection #DataPrivacy #DigitalRights
Ameeleza hayo wakati wa mafunzo maalum Julai19, 2025, yakihusisha Maafisa Habari wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Wanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC).
Soma zaidi https://jamii.app/PDPCTaarifaBinafsi
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uwajibikaji #PersonalDataProtection #DataPrivacy #DigitalRights
β€1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
ZANZIBAR: Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dkt. Khalid Salumu Mohamed amesema "Zamani taarifa tulikuwa tunatunza kwenye makaratasi hivyo zilikuwa hazisambai kwa kasi lakini sasa hivi kuna ukuaji wa Teknolojia ya kisasa, taarifa zinasambaa haraka sana."
Ameyasema hayo wakati akifungua rasmi mafunzo ya Dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa Maafisa Habari na Wanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari Zanzibar, Julai 19, 2025.
Soma https://jamii.app/TuweMakiniUlinziFaragha
#JamiiForums #JamiiAfrica #DataProtection #DataPrivacy #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
Ameyasema hayo wakati akifungua rasmi mafunzo ya Dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa Maafisa Habari na Wanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari Zanzibar, Julai 19, 2025.
Soma https://jamii.app/TuweMakiniUlinziFaragha
#JamiiForums #JamiiAfrica #DataProtection #DataPrivacy #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
DODOMA: Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (#PDPC) imeiamuru Kampuni ya MI CASA kumlipa Abdul Naumanga fidia ya Tsh. Milioni 20 kwa kutumia picha na video zake kwenye akaunti yao ya Instagram bila idhini.
Tukio hilo lilitokea kati ya Februari na Aprili 2023, na kutolewa maamuzi Julai 10, 2025 kufuatia Malalamiko Na. 8 ya 2024. Abdul aliomba picha na video hizo ziondolewe lakini MI CASA walikaidi, hali iliyomlazimu kupeleka shauri hilo kwa Tume.
Tume imesisitiza ukiukwaji wa faragha Mitandaoni, hususan kwenye baa, kumbi za starehe na sherehe, umekithiri na lazima udhibitiwe, kwamba hatua hiyo inalenga kuwakumbusha wachakataji wa Taarifa Binafsi kuzingatia Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya 2022.
PDPC imeeleza kuwa ni lazima wachakataji wa taarifa wazingatie Sheria na kuhakikisha kuwa faragha za Wananchi zinalindwa.
Zaidi Soma https://jamii.app/KuvunjaFaragha
#JamiiForums #JamiiAfrica #DataProtection #DataPrivacy #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
Tukio hilo lilitokea kati ya Februari na Aprili 2023, na kutolewa maamuzi Julai 10, 2025 kufuatia Malalamiko Na. 8 ya 2024. Abdul aliomba picha na video hizo ziondolewe lakini MI CASA walikaidi, hali iliyomlazimu kupeleka shauri hilo kwa Tume.
Tume imesisitiza ukiukwaji wa faragha Mitandaoni, hususan kwenye baa, kumbi za starehe na sherehe, umekithiri na lazima udhibitiwe, kwamba hatua hiyo inalenga kuwakumbusha wachakataji wa Taarifa Binafsi kuzingatia Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya 2022.
PDPC imeeleza kuwa ni lazima wachakataji wa taarifa wazingatie Sheria na kuhakikisha kuwa faragha za Wananchi zinalindwa.
Zaidi Soma https://jamii.app/KuvunjaFaragha
#JamiiForums #JamiiAfrica #DataProtection #DataPrivacy #UlinziWaTaarifaBinafsi #UlinziWaFaragha #DigitalRights #TaarifaZakoMaishaYako
β€3
Mara nyingi vitu vya bure si salama, vinaweza kuja na gharama kubwa zinazoweza kukuathiri.
Kuwa makini unapojiunga na Wi-Fi ya bure. Ni muhimu kuchukua tahadhari ili kulinda taarifa zako zilizo kwenye vifaa kama simu au 'laptop'.
Kupitia Wi-Fi ya bure, mdukuzi anaweza kuiba taarifa zako binafsi, nywila (password) zako na hata kudukua mawasiliano yako.
Mdau, huwa unazingatia nini unapotaka kujiunga na Wi-Fi za bure?
Zaidi soma https://jamii.app/UsipendeWiFiZaBure
#JamiiAfrica #JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DigitalSafety
Kuwa makini unapojiunga na Wi-Fi ya bure. Ni muhimu kuchukua tahadhari ili kulinda taarifa zako zilizo kwenye vifaa kama simu au 'laptop'.
Kupitia Wi-Fi ya bure, mdukuzi anaweza kuiba taarifa zako binafsi, nywila (password) zako na hata kudukua mawasiliano yako.
Mdau, huwa unazingatia nini unapotaka kujiunga na Wi-Fi za bure?
Zaidi soma https://jamii.app/UsipendeWiFiZaBure
#JamiiAfrica #JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DigitalSafety