#AFCON2021: NANI KUWA BINGWA?
Michuano hiyo inaanza kesho Januari 9, kwa wenyeji #TeamCameroon kuivaa #TeamBurkinaFaso majira ya saa 1:00 jioni (EAT)
#TeamAlgeria ambaye ni Bingwa Mtetezi, #TeamCameroon, #TeamSenegal na #TeamEgypt zinapewa nafasi kubwa kuwa Bingwa
#JFSports
Michuano hiyo inaanza kesho Januari 9, kwa wenyeji #TeamCameroon kuivaa #TeamBurkinaFaso majira ya saa 1:00 jioni (EAT)
#TeamAlgeria ambaye ni Bingwa Mtetezi, #TeamCameroon, #TeamSenegal na #TeamEgypt zinapewa nafasi kubwa kuwa Bingwa
#JFSports
MOROCCO YAFUZU KUCHEZA ROBO FAINALI #AFCON2021
- #TeamMorocco imefuzu kwa kuifunga #TeamMalawi goli 2-1 ndani ya dk 90
- Morocco itakutana na mshindi kati ya #TeamCotedIvoire na #TeamEgypt
- Hii ilikuwa ni mechi ya 10 ya Malawi kwenye michuano na imeshinda mechi 2
#JFSports
- #TeamMorocco imefuzu kwa kuifunga #TeamMalawi goli 2-1 ndani ya dk 90
- Morocco itakutana na mshindi kati ya #TeamCotedIvoire na #TeamEgypt
- Hii ilikuwa ni mechi ya 10 ya Malawi kwenye michuano na imeshinda mechi 2
#JFSports
#AFCON2021: EGYPT YAINGIA NUSU FAINALI
- #TeamEgypt imefanikiwa kuingia nusu fainali baada ya kuifunga #TeamMorocco goli 2-1 baada ya dk 120
- Egypt itakutana na #TeamCameroon kwenye nusu fainali
- Mechi inayofuata ni kati ya #TeamSenegal na #TeamEquatorialGuinea
#JFSports
- #TeamEgypt imefanikiwa kuingia nusu fainali baada ya kuifunga #TeamMorocco goli 2-1 baada ya dk 120
- Egypt itakutana na #TeamCameroon kwenye nusu fainali
- Mechi inayofuata ni kati ya #TeamSenegal na #TeamEquatorialGuinea
#JFSports
#AFCON2021: SENEGAL YAINGIA FAINALI
- #TeamSenegal imeingia fainali kwa kuifunga #TeamBurkinaFaso goli 3-1 ndani ya dakika 90
- Senegal itacheza fainali na mshindi wa mechi ya kesho kati ya #TeamCameroon na #TeamEgypt
- Burkina Faso itashindania nafasi ya 3 na timu itakayofungwa kesho
#JFSports
- #TeamSenegal imeingia fainali kwa kuifunga #TeamBurkinaFaso goli 3-1 ndani ya dakika 90
- Senegal itacheza fainali na mshindi wa mechi ya kesho kati ya #TeamCameroon na #TeamEgypt
- Burkina Faso itashindania nafasi ya 3 na timu itakayofungwa kesho
#JFSports
#AFCON2021: MISRI YATINGA FAINALI
#TeamEgypt imeingia fainali kwa kumfunga mwenyeji wa michuano, #TeamCameroon kwa penati 3-1 baada ya kutofungana ndani ya dk 120
Misri sasa itacheza fainali na #TeamSenegal huku #TeamCameroon ikiivaa #TeamBurkinaFaso kusaka mshindi wa 3
#JFSports
#TeamEgypt imeingia fainali kwa kumfunga mwenyeji wa michuano, #TeamCameroon kwa penati 3-1 baada ya kutofungana ndani ya dk 120
Misri sasa itacheza fainali na #TeamSenegal huku #TeamCameroon ikiivaa #TeamBurkinaFaso kusaka mshindi wa 3
#JFSports
#AFCON2021: #TeamSenegal imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kuifunga #TeamEgypt 4-2 kwa mikwaju ya penati
Hii ni mara ya kwanza kwa Senegal kutwaa Ubingwa huo baada ya kucheza jumla ya Fainali tatu za #AFCON
Soma https://jamii.app/SenegalAFCON
#JFSports
Hii ni mara ya kwanza kwa Senegal kutwaa Ubingwa huo baada ya kucheza jumla ya Fainali tatu za #AFCON
Soma https://jamii.app/SenegalAFCON
#JFSports