JamiiForums
52.9K subscribers
34.3K photos
2.42K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
#AFCON2021: NANI KUWA BINGWA?

Michuano hiyo inaanza kesho Januari 9, kwa wenyeji #TeamCameroon kuivaa #TeamBurkinaFaso majira ya saa 1:00 jioni (EAT)

#TeamAlgeria ambaye ni Bingwa Mtetezi, #TeamCameroon, #TeamSenegal na #TeamEgypt zinapewa nafasi kubwa kuwa Bingwa

#JFSports
MOROCCO YAFUZU KUCHEZA ROBO FAINALI #AFCON2021

- #TeamMorocco imefuzu kwa kuifunga #TeamMalawi goli 2-1 ndani ya dk 90

- Morocco itakutana na mshindi kati ya #TeamCotedIvoire na #TeamEgypt

- Hii ilikuwa ni mechi ya 10 ya Malawi kwenye michuano na imeshinda mechi 2

#JFSports
#AFCON2021: EGYPT YAINGIA NUSU FAINALI

- #TeamEgypt imefanikiwa kuingia nusu fainali baada ya kuifunga #TeamMorocco goli 2-1 baada ya dk 120

- Egypt itakutana na #TeamCameroon kwenye nusu fainali

- Mechi inayofuata ni kati ya #TeamSenegal na #TeamEquatorialGuinea

#JFSports
#AFCON2021: SENEGAL YAINGIA FAINALI

- #TeamSenegal imeingia fainali kwa kuifunga #TeamBurkinaFaso goli 3-1 ndani ya dakika 90

- Senegal itacheza fainali na mshindi wa mechi ya kesho kati ya #TeamCameroon na #TeamEgypt

- Burkina Faso itashindania nafasi ya 3 na timu itakayofungwa kesho

#JFSports
#AFCON2021: MISRI YATINGA FAINALI

#TeamEgypt imeingia fainali kwa kumfunga mwenyeji wa michuano, #TeamCameroon kwa penati 3-1 baada ya kutofungana ndani ya dk 120

Misri sasa itacheza fainali na #TeamSenegal huku #TeamCameroon ikiivaa #TeamBurkinaFaso kusaka mshindi wa 3

#JFSports
#AFCON2021: #TeamSenegal imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kuifunga #TeamEgypt 4-2 kwa mikwaju ya penati

Hii ni mara ya kwanza kwa Senegal kutwaa Ubingwa huo baada ya kucheza jumla ya Fainali tatu za #AFCON

Soma https://jamii.app/SenegalAFCON

#JFSports