KIGOMA: Helman John (23) anatuhumiwa kumuua Mama yake Mzazi, Selina William (63) kwa kumpiga na mpini wa jembe. Kijana huyo alikuwa akimdai Mama yake Tsh. 300,000
Watu 10 wameuawa katika matukio tofauti Mkoani humo ndani ya Mwezi Januari
Soma - https://jamii.app/KigomaMauaji
#JFMatukio
Watu 10 wameuawa katika matukio tofauti Mkoani humo ndani ya Mwezi Januari
Soma - https://jamii.app/KigomaMauaji
#JFMatukio
RAIS SAMIA: KATIKA KUTOA MAAMUZI UTU WA MTU UTAZAMWE
Asema Mahakama inapaswa kuzingatia #Sheria ili kutenda Haki kwa wote bila kujali hali ya Mtu, Kijamii au Kiuchumi
Ameongeza "Kubwa kwa wewe unayetoa Haki ni kuisikiliza nafsi yako. Je, hapa natenda Haki au sitendi? Katika kutoa maamuzi Utu wa Mtu nao utazamwe"
Soma - https://jamii.app/SamiaHaki
#JFSheria
Asema Mahakama inapaswa kuzingatia #Sheria ili kutenda Haki kwa wote bila kujali hali ya Mtu, Kijamii au Kiuchumi
Ameongeza "Kubwa kwa wewe unayetoa Haki ni kuisikiliza nafsi yako. Je, hapa natenda Haki au sitendi? Katika kutoa maamuzi Utu wa Mtu nao utazamwe"
Soma - https://jamii.app/SamiaHaki
#JFSheria
Rais Samia Suluhu Hassan amesema suala la Anuani za Makazi litakamilika kabla ya Sensa
> Kauli ya Rais inakuja baada ya Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Hamis Juma kuomba kukamilika kwa suala hilo akisema linarahisisha utoaji huduma za Mahakama
Soma https://jamii.app/AnuaniMakazi
#JFSheria
> Kauli ya Rais inakuja baada ya Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Hamis Juma kuomba kukamilika kwa suala hilo akisema linarahisisha utoaji huduma za Mahakama
Soma https://jamii.app/AnuaniMakazi
#JFSheria
Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amesema Wananchi hushiriki ktk kutunga Sheria
> Ameongeza kuwa Bunge linapopokea Muswada huita Wadau na kutoa tangazo la kuhitaji mawazo kutoka kwa Wananchi ambapo Wananchi hupata fursa ya kushiriki
Soma https://jamii.app/SheriaWananchi
#JFSheria
> Ameongeza kuwa Bunge linapopokea Muswada huita Wadau na kutoa tangazo la kuhitaji mawazo kutoka kwa Wananchi ambapo Wananchi hupata fursa ya kushiriki
Soma https://jamii.app/SheriaWananchi
#JFSheria
TABORA: Mwanafunzi wa Darasa la Nne, Maria Kazungu (13) ameuawa na kunyofolewa sehemu za siri huku masikio yakitobolewa na kitu chenye ncha kali
Ongezeko la matukio ya mauaji Nchini yameilazimu Serikali kuunda Kamati ya uchunguzi
Soma - https://jamii.app/MwanafunziTabora
#JFMatukio
Ongezeko la matukio ya mauaji Nchini yameilazimu Serikali kuunda Kamati ya uchunguzi
Soma - https://jamii.app/MwanafunziTabora
#JFMatukio
BUNGENI: Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato asema hakutakuwa na makali ya mgao wa Umeme kama ilivyotarajiwa awali
Mgao wa Umeme ulitarajiwa kuanza Februari 1, 2022 kwa lengo la kufanya marekebisho ya Mitambo, hali iliyozua taharuki
Soma - https://jamii.app/MakaliMgaoUmeme
#ServiceDelivery
Mgao wa Umeme ulitarajiwa kuanza Februari 1, 2022 kwa lengo la kufanya marekebisho ya Mitambo, hali iliyozua taharuki
Soma - https://jamii.app/MakaliMgaoUmeme
#ServiceDelivery
UWAJIBIKAJI WA KIDEMOKRASIA
Kuwawajibisha Maafisa wa Serikali ni kitovu cha #Demokrasia. Uwajibikaji wa Kidemokrasia unajumuisha uwezo wa Wananchi kuelezea matakwa yao ili kushawishi maamuzi, mfano kupitia michakato ya Uchaguzi
Njia nyingine ni pamoja na Maandamano, Habari za Kiuchunguzi, Midahalo ya Umma au Kura za Maoni
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiDemokrasia
#Democracy
Kuwawajibisha Maafisa wa Serikali ni kitovu cha #Demokrasia. Uwajibikaji wa Kidemokrasia unajumuisha uwezo wa Wananchi kuelezea matakwa yao ili kushawishi maamuzi, mfano kupitia michakato ya Uchaguzi
Njia nyingine ni pamoja na Maandamano, Habari za Kiuchunguzi, Midahalo ya Umma au Kura za Maoni
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiDemokrasia
#Democracy
Katika Ukusanyaji wa Taarifa/Data za Watu miongozo mbalimbali inapaswa kuzingatiwa ikiwemo kuwepo kwa Sheria ya #UlinziWaData
Mkusanyaji wa Data/Taarifa anapaswa kuzingatia Faragha/Usiri wa wenye Data na kutekeleza Ukusanyaji kwa njia iliyo halali
Ni vema Mkusanya Data awe na kusudi maalum na lengo la kuendeleza ukusanyaji huo
Soma - https://jamii.app/UkusanyajiData
#DataProtection #DigitalRights
Mkusanyaji wa Data/Taarifa anapaswa kuzingatia Faragha/Usiri wa wenye Data na kutekeleza Ukusanyaji kwa njia iliyo halali
Ni vema Mkusanya Data awe na kusudi maalum na lengo la kuendeleza ukusanyaji huo
Soma - https://jamii.app/UkusanyajiData
#DataProtection #DigitalRights
MABADILIKO YA KANUNI: CHANELI ZA KULIPIA RUKSA KURUSHA MATUKIO MUBASHARA
Ili kuboresha Huduma ya Mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imerekebisha baadhi ya kanuni za Leseni za mwaka 2018
Kuanzia sasa, chaneli za kulipia zitaruhusiwa kurusha matukio mubashara (Live Events). Mabadiliko haya ni katika kanuni ya 29. Awali, chaneli zilizorusha matukio mubashara zilikuwa chaneli zisizolipiwa tu
#JamiiForums #DigitalRights
Ili kuboresha Huduma ya Mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imerekebisha baadhi ya kanuni za Leseni za mwaka 2018
Kuanzia sasa, chaneli za kulipia zitaruhusiwa kurusha matukio mubashara (Live Events). Mabadiliko haya ni katika kanuni ya 29. Awali, chaneli zilizorusha matukio mubashara zilikuwa chaneli zisizolipiwa tu
#JamiiForums #DigitalRights
ALGOPHOBIA: Ni hali ya kuwa na hofu kali/isiyo ya kawaida kuhusu Maumivu ya Kimwili (Mf. kuchomwa Sindano)
Mwenye #Algophobia anaweza kupata shambulio la hofu (Panic attacks) akiwaza kuhusu Maumivu. Dalili zinaweza kujumuisha: Kizunguzungu, kutokwa Jasho, Kutetemeka, kubanwa pumzi, Mapigo ya Moyo kuongezeka au Tumbo kuvurugika ghafla.
Soma - https://jamii.app/Algophobia
#JFMaarifa
Mwenye #Algophobia anaweza kupata shambulio la hofu (Panic attacks) akiwaza kuhusu Maumivu. Dalili zinaweza kujumuisha: Kizunguzungu, kutokwa Jasho, Kutetemeka, kubanwa pumzi, Mapigo ya Moyo kuongezeka au Tumbo kuvurugika ghafla.
Soma - https://jamii.app/Algophobia
#JFMaarifa
DR CONGO: WAKIMBIZI ZAIDI YA 50 WAUAWA NA WAASI
Waasi wa CODECO walijipenyeza kambi ya Savo iliyopo Ngujona Mkoani Ituri na kuwaua kwa kuwashambulia kwa visu wakimbizi waliokuwa wanaishi hapo
Hii si mara ya kwanza kwa tukio kama hilo kutokea
Soma - https://jamii.app/50Wauawa
Waasi wa CODECO walijipenyeza kambi ya Savo iliyopo Ngujona Mkoani Ituri na kuwaua kwa kuwashambulia kwa visu wakimbizi waliokuwa wanaishi hapo
Hii si mara ya kwanza kwa tukio kama hilo kutokea
Soma - https://jamii.app/50Wauawa
MDAU: NAMNA ZA KUPATA 'CONNECTION' ZA AJIRA
Anashauri kutumia Mitandao kutangaza ujuzi, Kujitolea na kushiriki shughuli za kijamii
Anasema jipendekeze kwa watu au Kampuni fulani kwani 'kuwa chawa' kwenye vitu vya msingi si vibaya
Soma https://jamii.app/ConnectionTz
#StoriesOfChange #JFMdau
Anashauri kutumia Mitandao kutangaza ujuzi, Kujitolea na kushiriki shughuli za kijamii
Anasema jipendekeze kwa watu au Kampuni fulani kwani 'kuwa chawa' kwenye vitu vya msingi si vibaya
Soma https://jamii.app/ConnectionTz
#StoriesOfChange #JFMdau
#AFCON2021: SENEGAL YAINGIA FAINALI
- #TeamSenegal imeingia fainali kwa kuifunga #TeamBurkinaFaso goli 3-1 ndani ya dakika 90
- Senegal itacheza fainali na mshindi wa mechi ya kesho kati ya #TeamCameroon na #TeamEgypt
- Burkina Faso itashindania nafasi ya 3 na timu itakayofungwa kesho
#JFSports
- #TeamSenegal imeingia fainali kwa kuifunga #TeamBurkinaFaso goli 3-1 ndani ya dakika 90
- Senegal itacheza fainali na mshindi wa mechi ya kesho kati ya #TeamCameroon na #TeamEgypt
- Burkina Faso itashindania nafasi ya 3 na timu itakayofungwa kesho
#JFSports
ARUSHA: Mlinzi wa Shule ya Winnings Spirit iliyopo Terati, Issa Dinaiah (57) amechinjwa. Waliotekeleza mauaji hayo wamechukua kichwa chake
Mwili wa Mlinzi huyo uligundulika Februari 2, 2022. Chanzo na waliofanya tukio hilo hawajajulikana
Soma - https://jamii.app/MlinziAuawa
#JFMatukio
Mwili wa Mlinzi huyo uligundulika Februari 2, 2022. Chanzo na waliofanya tukio hilo hawajajulikana
Soma - https://jamii.app/MlinziAuawa
#JFMatukio
TBS: KUWEKA BIDHAA ZA VYAKULA JUANI KUNAHARIBU UBORA
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa tahadhari kwa Wafanyabiashara wa bidhaa za Chakula ikiwemo Mafuta ya Kula kuweka Juani ili Wateja wazione
Yasema ktk uchunguzi wamebaini hali hiyo inaweza kuhatarisha Afya ya Walaji kwa kuharibu ubora wa bidhaa hata kama haijafikisha muda wake wa matumizi kuisha (Expire date)
Soma - https://jamii.app/VyakulaJuani
#JFAfya
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa tahadhari kwa Wafanyabiashara wa bidhaa za Chakula ikiwemo Mafuta ya Kula kuweka Juani ili Wateja wazione
Yasema ktk uchunguzi wamebaini hali hiyo inaweza kuhatarisha Afya ya Walaji kwa kuharibu ubora wa bidhaa hata kama haijafikisha muda wake wa matumizi kuisha (Expire date)
Soma - https://jamii.app/VyakulaJuani
#JFAfya
KENYA: MWANAFUNZI AJERUHIWA KWA KULA CHAPATI 5 BADALA YA 1
Caleb anayesoma Darasa la 7 anadaiwa kupigwa na Walimu ambao pia waliamuru Wanafunzi wenzie wampige
Hawezi kusimama, ana vidonda vya Moto Mgongoni na Figo yake 1 imeharibika
Soma https://jamii.app/CalebChapatiKE
#UkatiliWatoto
Caleb anayesoma Darasa la 7 anadaiwa kupigwa na Walimu ambao pia waliamuru Wanafunzi wenzie wampige
Hawezi kusimama, ana vidonda vya Moto Mgongoni na Figo yake 1 imeharibika
Soma https://jamii.app/CalebChapatiKE
#UkatiliWatoto
UNICEF: WATOTO WALIO MAENEO YENYE MIZOZO WALINDWE
Shirika la Kuhudumia Watoto limelaani mauaji yaliyotokea DR Congo hivi karibuni ambapo Watoto wapatao 15 waliuawa
Wengine takriban 30 walijeruhiwa baada ya Waasi kuvamia Kambi ya Wakimbizi
Soma - https://jamii.app/IturiWatoto
#HakiMtoto
Shirika la Kuhudumia Watoto limelaani mauaji yaliyotokea DR Congo hivi karibuni ambapo Watoto wapatao 15 waliuawa
Wengine takriban 30 walijeruhiwa baada ya Waasi kuvamia Kambi ya Wakimbizi
Soma - https://jamii.app/IturiWatoto
#HakiMtoto
ARUSHA: ANAYETUHUMIWA KUMUUA MLINZI NA KUONDOKA NA KICHWA APATIKANA
Raymond Mollel amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumchinja Mlinzi mwenzake na kuondoka na kichwa
Amekiri kuhusika na mauaji na kuonesha alipoficha kichwa cha mwenzake
Soma - https://jamii.app/MauajiYaArusha
#JFMatukio
Raymond Mollel amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumchinja Mlinzi mwenzake na kuondoka na kichwa
Amekiri kuhusika na mauaji na kuonesha alipoficha kichwa cha mwenzake
Soma - https://jamii.app/MauajiYaArusha
#JFMatukio
Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimesema Mawakili 65 wamefariki dunia kwa #COVID19 tangu kutangazwa kisa cha kwanza cha Ugonjwa huo Machi 16, 2020
Serikali imechukua hatua kadhaa kudhibiti maambukizi ikiwemo kutoa chanjo bila malipo
Soma - https://jamii.app/Mawakili65Corona
#UVIKO3
Serikali imechukua hatua kadhaa kudhibiti maambukizi ikiwemo kutoa chanjo bila malipo
Soma - https://jamii.app/Mawakili65Corona
#UVIKO3