Ili kufahamu nafasi ya Vijana katika kupambana na rushwa katika Vyama na kuleta mabadiliko ya kweli katika Siasa za Nchi yetu, usikose kujiunga nasi kwenye mjadala wa “Uwepo wa Rushwa Katika Uchaguzi: Je, Vijana Wanapata Nafasi ya Kushiriki Kuleta Mabadiliko?”
Ni Jumanne ya Januari 28, 2025 kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi 2:00 Usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki, Bofya https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #Demokrasia #Uwajibikaji #Accountability #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Ni Jumanne ya Januari 28, 2025 kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi 2:00 Usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki, Bofya https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #Demokrasia #Uwajibikaji #Accountability #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Rushwa inawaathiri vipi Vijana moja kwa moja na inaathiri kwa kiasi gani nafasi zao za kushiriki kikamilifu katika michakato ya Uchaguzi?
Usikose kushiriki kwenye mjadala wa “Uwepo wa Rushwa Katika Uchaguzi: Je, Vijana Wanapata Nafasi ya Kushiriki Kuleta Mabadiliko?” ambapo tutajadili nafasi ya Vijana katika kupambana na rushwa na kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Vyama vya Siasa na uchaguzi kwa ujumla
Ni kupitia #XSpaces ya JamiiForums, Januari 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi 2:00 Usiku
Kushiriki, bofya: https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #MaoniYaVijana #Demokrasia #MaoniYaDemokrasia #Governance #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Usikose kushiriki kwenye mjadala wa “Uwepo wa Rushwa Katika Uchaguzi: Je, Vijana Wanapata Nafasi ya Kushiriki Kuleta Mabadiliko?” ambapo tutajadili nafasi ya Vijana katika kupambana na rushwa na kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Vyama vya Siasa na uchaguzi kwa ujumla
Ni kupitia #XSpaces ya JamiiForums, Januari 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi 2:00 Usiku
Kushiriki, bofya: https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #MaoniYaVijana #Demokrasia #MaoniYaDemokrasia #Governance #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Rushwa imekuwa kikwazo kikubwa katika mchakato wa uchaguzi, hasa ndani ya Vyama vya Siasa. Hii si tu inavuruga mchakato wa Kidemokrasia, bali pia inazima ndoto na juhudi za Vijana ambao wangependa kuona mabadiliko chanya katika uongozi wa Vyama na Taifa kwa ujumla
Katika Mjadala kuhusu Rushwa na Uchaguzi, tutajadili changamoto wanazopitia Vijana wakemea Rushwa ndani ya Vyama pamoja na masuluhisho yake
Usikose kujiunga nasi leo Januari 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki, bofya: https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #MaoniYaVijana #Demokrasia #MaoniYaDemokrasia #Governance #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Katika Mjadala kuhusu Rushwa na Uchaguzi, tutajadili changamoto wanazopitia Vijana wakemea Rushwa ndani ya Vyama pamoja na masuluhisho yake
Usikose kujiunga nasi leo Januari 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki, bofya: https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #MaoniYaVijana #Demokrasia #MaoniYaDemokrasia #Governance #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Ni kweli kuwa mazingira au uwepo wa #Rushwa umekuwa ukiathiri ushiriki wa Vijana wengi katika michakato ya Uchaguzi?
Unakaribishwa kushiriki kwa kuchangia na kusikiliza mjadala wa “Uwepo wa Rushwa Katika Uchaguzi: Je, Vijana Wanapata Nafasi ya Kushiriki Kuleta Mabadiliko?” ili pamoja tujadili na kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Vyama vya Siasa na uchaguzi kwa jumla
Mjadala huu utafanyika kupitia #XSpaces ya JamiiForums, leo Jumanne Januari 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi 2:00 Usiku
Kushiriki, bofya: https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #MaoniYaVijana #Demokrasia #MaoniYaDemokrasia #Governance #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Unakaribishwa kushiriki kwa kuchangia na kusikiliza mjadala wa “Uwepo wa Rushwa Katika Uchaguzi: Je, Vijana Wanapata Nafasi ya Kushiriki Kuleta Mabadiliko?” ili pamoja tujadili na kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Vyama vya Siasa na uchaguzi kwa jumla
Mjadala huu utafanyika kupitia #XSpaces ya JamiiForums, leo Jumanne Januari 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi 2:00 Usiku
Kushiriki, bofya: https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #MaoniYaVijana #Demokrasia #MaoniYaDemokrasia #Governance #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Taasisi za Uwajibikaji zinashirikianaje na vijana katika kuimarisha Uwazi na Uwajibikaji kwenye mchakato wa Uchaguzi?
Kufahamu hili na mengine, usikose kujiunga nasi katika Mjadala kuhusu Rushwa na Uchaguzi, Januari 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki, bofya: https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #MaoniYaVijana #Demokrasia #MaoniYaDemokrasia #Governance #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Kufahamu hili na mengine, usikose kujiunga nasi katika Mjadala kuhusu Rushwa na Uchaguzi, Januari 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki, bofya: https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #MaoniYaVijana #Demokrasia #MaoniYaDemokrasia #Governance #Uwajibikaji #KemeaRushwa
👍1
Mjadala wa “Uwepo wa Rushwa katika Uchaguzi: Je, Vijana wanapata nafasi ya kushiriki kuleta mabadiliko?” upo hewani muda huu leo Januari 28, 2025
Shiriki kuimarisha Uwazi na Uwajibikaji kwenye mchakato wa Uchaguzi kwa kuchangia katika jadala ambao unafanyika kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi 2:00 Usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki bofya https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #MaoniYaVijana #Demokrasia #MaoniYaDemokrasia #Governance #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Shiriki kuimarisha Uwazi na Uwajibikaji kwenye mchakato wa Uchaguzi kwa kuchangia katika jadala ambao unafanyika kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi 2:00 Usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki bofya https://x.com/i/spaces/1gqGvNNlpeeGB
#JamiiForums #UchaguziMkuu25 #MaoniYaVijana #Demokrasia #MaoniYaDemokrasia #Governance #Uwajibikaji #KemeaRushwa
Februari 13, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi Saa 2:00 usiku, tutakuwa na Mwanasheria atakayeelezea Sheria inasemaje kuhusu utoaji wa zawadi wakati wa Uchaguzi na mipaka yake Kisheria
Hii ni fursa ya kujadili, kutoa maoni, kupendekeza maboresho na kuuliza maswali kuhusu uwazi na uwajibikaji katika uchaguzi, hivyo usikose kujiunga nasi kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kushiriki kubofya https://twitter.com/i/spaces/1ZkKzYMNvbDxv
#ChaguaKiongoziSioPesa #Accountability #Demokrasia #ServiceDelivery #Uwajibikaji
Hii ni fursa ya kujadili, kutoa maoni, kupendekeza maboresho na kuuliza maswali kuhusu uwazi na uwajibikaji katika uchaguzi, hivyo usikose kujiunga nasi kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kushiriki kubofya https://twitter.com/i/spaces/1ZkKzYMNvbDxv
#ChaguaKiongoziSioPesa #Accountability #Demokrasia #ServiceDelivery #Uwajibikaji
❤1
Katika Mjadala huu, TAKUKURU itafafanua maana ya rushwa katika uchaguzi na vitendo vinavyoweza kuchukuliwa kama rushwa, huku Washiriki wakipata fursa ya kushiriki kwa kutoa maoni, mapendekezo au kuuliza maswali
Jiunge nasi Februari 13, 2025, kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi Saa 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki, bofya https://twitter.com/i/spaces/1ZkKzYMNvbDxv
#ChaguaKiongoziSioPesa #Accountability #Demokrasia #ServiceDelivery #Uwajibikaji
Jiunge nasi Februari 13, 2025, kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi Saa 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki, bofya https://twitter.com/i/spaces/1ZkKzYMNvbDxv
#ChaguaKiongoziSioPesa #Accountability #Demokrasia #ServiceDelivery #Uwajibikaji
Je, ni sahihi kwa Mgombea kutoa fedha, mahitaji ya kijamii au misaada mingine kwa wapiga kura? Ni sehemu ya Kampeni au mbinu za kushawishi Wapigakura kinyume cha maadili ya Uchaguzi? Sheria inasemaje? Jamii ina uelewa?
Kuelewa masuala haya kutamwezesha kila Mwananchi kufanya maamuzi sahihi na kushiriki katika uchaguzi kwa uelewa mpana
Usikose kushiriki katika mjadala huu muhimu kuelekea Uchaguzi Mkuu ili kujifunza au kutoa maoni yako, leo, Februari 13, 2025, kuanzia saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kujiunga, bofya https://twitter.com/i/spaces/1ZkKzYMNvbDxv
#ChaguaKiongoziSioPesa #Accountability #Demokrasia #ServiceDelivery #Uwajibikaji
Kuelewa masuala haya kutamwezesha kila Mwananchi kufanya maamuzi sahihi na kushiriki katika uchaguzi kwa uelewa mpana
Usikose kushiriki katika mjadala huu muhimu kuelekea Uchaguzi Mkuu ili kujifunza au kutoa maoni yako, leo, Februari 13, 2025, kuanzia saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kujiunga, bofya https://twitter.com/i/spaces/1ZkKzYMNvbDxv
#ChaguaKiongoziSioPesa #Accountability #Demokrasia #ServiceDelivery #Uwajibikaji
Je, kusifia kupita kiasi kunadhoofisha Uwajibikaji? Tunawezaje kusawazisha pongezi na ukosoaji ili viongozi wawajibike bila kuhisi wanashambuliwa?
Jiunge nasi kwenye mjadala huu wa kujadili dhana ya 'Uchawa' katika muktadha wa #Uwajibikaji na mustakabali wa Demokrasia yetu
Ni Alhamisi hii, Februari 27, 2025 kuanzia Saa 12 Jioni hadi 2 Usiku kupitia #Xspaces ya #JamiiForums
Kujiunga, bofya https://jamii.app/KujipendekezaSpace
#UchawaNaUwajibikaji #MjadalaWazi #UwajibikajiKwanza
Jiunge nasi kwenye mjadala huu wa kujadili dhana ya 'Uchawa' katika muktadha wa #Uwajibikaji na mustakabali wa Demokrasia yetu
Ni Alhamisi hii, Februari 27, 2025 kuanzia Saa 12 Jioni hadi 2 Usiku kupitia #Xspaces ya #JamiiForums
Kujiunga, bofya https://jamii.app/KujipendekezaSpace
#UchawaNaUwajibikaji #MjadalaWazi #UwajibikajiKwanza
Unadhani mfumo wetu wa #Elimu unachangia kwa namna yoyote katika kukuza au kupunguza ‘uchawa’? Una maoni gani katika eneo hili?
Ili kutoa maoni yako usikose kujiunga nasi katika Mjadala wa "Je, 'Uchawa' unazorotesha Uwajibikaji?" Alhamisi ya Februari 27, 2025 kuanzia saa 12 jioni hadi 2 usiku, kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kushiriki bofya https://jamii.app/KujipendekezaSpace
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Governance #TukemeeUchawa
Ili kutoa maoni yako usikose kujiunga nasi katika Mjadala wa "Je, 'Uchawa' unazorotesha Uwajibikaji?" Alhamisi ya Februari 27, 2025 kuanzia saa 12 jioni hadi 2 usiku, kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kushiriki bofya https://jamii.app/KujipendekezaSpace
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Governance #TukemeeUchawa
👍2
Usikose kujiunga nasi katika Mjadala wa "Je, 'Uchawa' unakwamisha Uwajibikaji?" Alhamisi hii ya Februari 27, 2025, kuanzia Saa 12 jioni hadi 2 usiku, kupitia #Xspaces ya JamiiForums
'Washtue' ndugu, jamaa au marafiki ili wawe sehemu ya Mjadala huu muhimu kwa kesho ya Nchi yetu
Washiriki watapata fursa ya kutoa maoni au mapendekezo na kuuliza maswali kwa Wazungumzaji wetu
Kushiriki bofya https://jamii.app/KujipendekezaSpace
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Governance #TukemeeUchawa
'Washtue' ndugu, jamaa au marafiki ili wawe sehemu ya Mjadala huu muhimu kwa kesho ya Nchi yetu
Washiriki watapata fursa ya kutoa maoni au mapendekezo na kuuliza maswali kwa Wazungumzaji wetu
Kushiriki bofya https://jamii.app/KujipendekezaSpace
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Governance #TukemeeUchawa
❤1👍1
Ni kwa jinsi gani Vyama vinaweza kushirikiana kuhakikisha Uwajibikaji unakuwa sehemu ya Utamaduni wa Kisiasa, badala ya 'Siasa za kupambana' kwa misingi ya itikadi pekee?
Kutoa maoni na mapendekezo yako shiriki katika Mjadala wa "Je, 'Uchawa' unakwamisha Uwajibikaji?" Alhamisi hii ya Februari 27, 2025, kuanzia Saa 12 jioni hadi 2 usiku, kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kushiriki bofya https://jamii.app/KujipendekezaSpace
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Governance #TukemeeUchawa
Kutoa maoni na mapendekezo yako shiriki katika Mjadala wa "Je, 'Uchawa' unakwamisha Uwajibikaji?" Alhamisi hii ya Februari 27, 2025, kuanzia Saa 12 jioni hadi 2 usiku, kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kushiriki bofya https://jamii.app/KujipendekezaSpace
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Governance #TukemeeUchawa
Mjadala wa "Je, 'Uchawa' unakwamisha Uwajibikaji?" upo hewani muda huu kuanzia Saa 12:00 Jioni hadi 2:00 Usiku, kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Hii ni nafasi yako kusikiliza hoja za Wadau na Wananchi mbalimbali na kushiriki ikiwemo kwa kuuliza maswali
Kushiriki bofya https://jamii.app/KujipendekezaSpace
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Governance #TukemeeUchawa
Hii ni nafasi yako kusikiliza hoja za Wadau na Wananchi mbalimbali na kushiriki ikiwemo kwa kuuliza maswali
Kushiriki bofya https://jamii.app/KujipendekezaSpace
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Governance #TukemeeUchawa
👍1
Rushwa si tu inaharibu taswira ya Vyama vya Siasa, bali pia inadhoofisha maendeleo ya jamii kwa kupendelea wachache badala ya maslahi ya wote. Ni mikakati gani madhubuti inayoweza kudhibiti hili?
Shiriki nasi mjadala huu muhimu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, Alhamisi, Machi 20, 2025, kuanzia Saa 1:00 hadi Saa 3:00 usiku, kupitia XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki bofya https://jamii.app/XSpacesMachi20
#KemeaRushwa #Uwajibikaji #Demokrasia #VyamaVyaSiasa #MaendeleoYaJamii #XSpaces
Shiriki nasi mjadala huu muhimu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, Alhamisi, Machi 20, 2025, kuanzia Saa 1:00 hadi Saa 3:00 usiku, kupitia XSpaces ya JamiiForums
Kushiriki bofya https://jamii.app/XSpacesMachi20
#KemeaRushwa #Uwajibikaji #Demokrasia #VyamaVyaSiasa #MaendeleoYaJamii #XSpaces
Kadiri Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) inavyoendelea kukua kwa kasi katika maisha yetu ya kila siku, sekta ya Habari nayo haijaachwa nyuma. AI inabadilisha namna tunavyokusanya, kuchakata na kusambaza taarifa. Lakini je, inaathiri vipi Uhuru wa kujieleza? Inasaidia au inahatarisha Uadilifu wa Vyombo vya Habari?
Kufahamu haya usikose kushiriki katika Mjadala maalum kuelekea Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, tukijadili kwa kina nafasi ya AI katika Sekta ya Habari, changamoto, fursa na wajibu wa wadau kuhakikisha matumizi yake yanakuwa ya Haki, salama na yenye kulinda misingi ya #Demokrasia
Ni Jumanne hii, Aprili 15, 2025, kuanzia Saa 12 jioni hadi 2 usiku, kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kujiunga bofya https://jamii.app/WPFD2025XSpace
#JamiiForums #WPFD2025 #AIForMedia #PressFreedom #AIandMedia
Kufahamu haya usikose kushiriki katika Mjadala maalum kuelekea Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, tukijadili kwa kina nafasi ya AI katika Sekta ya Habari, changamoto, fursa na wajibu wa wadau kuhakikisha matumizi yake yanakuwa ya Haki, salama na yenye kulinda misingi ya #Demokrasia
Ni Jumanne hii, Aprili 15, 2025, kuanzia Saa 12 jioni hadi 2 usiku, kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kujiunga bofya https://jamii.app/WPFD2025XSpace
#JamiiForums #WPFD2025 #AIForMedia #PressFreedom #AIandMedia
Tanzania inajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu 2025, lakini je, tuko tayari?
Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi yamejadiliwa, huku baadhi yakitajwa yamefanyika, lakini yamegusa kiini cha matatizo yanayolalamikiwa?
Kufahamu haya na mengine usikose kujiunga nasi katika Mjadala wa “‘Reforms’ za Uchaguzi; Je, Tume, Vyama na Wananchi wanaongea Lugha moja?” kupitia #XSpaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025, Saa 12:00 jioni – 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #ReformsSpace #Kuelekea2025 #Uwajibikaji #Demokrasia #FreeAndFairElections
Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi yamejadiliwa, huku baadhi yakitajwa yamefanyika, lakini yamegusa kiini cha matatizo yanayolalamikiwa?
Kufahamu haya na mengine usikose kujiunga nasi katika Mjadala wa “‘Reforms’ za Uchaguzi; Je, Tume, Vyama na Wananchi wanaongea Lugha moja?” kupitia #XSpaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025, Saa 12:00 jioni – 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #ReformsSpace #Kuelekea2025 #Uwajibikaji #Demokrasia #FreeAndFairElections
👍1
Je, Viongozi wetu wanatimiza wajibu wao ipasavyo kwa Wananchi? Uwajibikaji wao unahusiana moja kwa moja na Maendeleo endelevu?
Usikose kuungana nasi kwenye mjadala kupitia #XSpaces ya JamiiForums, ambapo tutachambua mifano hai ya Nchi zenye Utawala bora, njia walizotumia kupata Mafanikio na nafasi ya Wananchi katika kuwawajibisha Viongozi wao
Usikose fursa hii ya kipekee ya kujifunza, kushiriki hoja mbalimbali, Mei 28, 2025 kuanzia saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://twitter.com/i/spaces/1eaKbWqZegXGX
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSpaces #TheNordics #NordicWeek #Uwajibikaji #Accountability
Usikose kuungana nasi kwenye mjadala kupitia #XSpaces ya JamiiForums, ambapo tutachambua mifano hai ya Nchi zenye Utawala bora, njia walizotumia kupata Mafanikio na nafasi ya Wananchi katika kuwawajibisha Viongozi wao
Usikose fursa hii ya kipekee ya kujifunza, kushiriki hoja mbalimbali, Mei 28, 2025 kuanzia saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://twitter.com/i/spaces/1eaKbWqZegXGX
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSpaces #TheNordics #NordicWeek #Uwajibikaji #Accountability
Uwajibikaji una nafasi gani katika kuleta maendeleo endelevu? Na wale waliofanikiwa, walifanya nini tofauti?
Usikose kushiriki nasi kwenye mjadala huu muhimu, tukijifunza kutoka kwa mifano halisi na kuchambua hatua zinazoweza kuleta mabadiliko ya kweli katika uongozi na maendeleo ya jamii
Njoo utoe maoni, jifunze na kuwa sehemu ya mjadala wa kujenga Tanzania tunayoitaka, Jumatano hii, Mei 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kujiunga bofya https://twitter.com/i/spaces/1eaKbWqZegXGX
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSpaces #TheNordics #NordicWeek #Uwajibikaji #Accountability
Usikose kushiriki nasi kwenye mjadala huu muhimu, tukijifunza kutoka kwa mifano halisi na kuchambua hatua zinazoweza kuleta mabadiliko ya kweli katika uongozi na maendeleo ya jamii
Njoo utoe maoni, jifunze na kuwa sehemu ya mjadala wa kujenga Tanzania tunayoitaka, Jumatano hii, Mei 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kujiunga bofya https://twitter.com/i/spaces/1eaKbWqZegXGX
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSpaces #TheNordics #NordicWeek #Uwajibikaji #Accountability
Karibu kwenye Mjadala wa Mizania katika Uandishi wa Habari. Je, waandishi wa habari wanawezaje kusimamia ukweli bila kupindishwa na shinikizo, upendeleo au ushawishi?
Tujadili pamoja, ni maeneo gani yanahitaji mizania zaidi? Uhuru wa habari unalindwaje katika mazingira ya sasa?
Jiunge nasi kuanzia saa 12 jioni hadi 2 usiku kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kujiunga bofya https://jamii.app/MizaniaSpaceJune26th
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Tujadili pamoja, ni maeneo gani yanahitaji mizania zaidi? Uhuru wa habari unalindwaje katika mazingira ya sasa?
Jiunge nasi kuanzia saa 12 jioni hadi 2 usiku kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kujiunga bofya https://jamii.app/MizaniaSpaceJune26th
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
👍1