Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, mjadala kuhusu Marekebisho ya Mfumo wa Uchaguzi (Reforms) haukwepeki. Kuna wanaosema reforms tayari zimefanyika, huku wengine vikisema bado kuna kasoro na wengine wakisema hawatashiriki Uchaguzi hadi kasoro hizo zishughulikiwe
Maswali muhimu ni je, ‘Reforms’ zilizofanyika zinatosha? Kwanini sauti ya pamoja ya Vyama haijasikika? Vyama vingine vinaona umuhimu wa ‘reforms’? Je, Wananchi wanafahamu mabadiliko yaliyofanywa na kuyaridhia?
Kufahamu haya na mengine, jiunge nasi katika Mjadala, kupitia Xspaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025 kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #Kuelekea2025 #ReformsSpace #Accountability #Democracy #FreeAndFairElections
Maswali muhimu ni je, ‘Reforms’ zilizofanyika zinatosha? Kwanini sauti ya pamoja ya Vyama haijasikika? Vyama vingine vinaona umuhimu wa ‘reforms’? Je, Wananchi wanafahamu mabadiliko yaliyofanywa na kuyaridhia?
Kufahamu haya na mengine, jiunge nasi katika Mjadala, kupitia Xspaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025 kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #Kuelekea2025 #ReformsSpace #Accountability #Democracy #FreeAndFairElections
👍2❤1
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, mjadala kuhusu Marekebisho ya Mfumo wa Uchaguzi (Reforms) haukwepeki. Kuna wanaosema reforms tayari zimefanyika, huku wengine vikisema bado kuna kasoro na wengine wakisema hawatashiriki Uchaguzi hadi kasoro hizo zishughulikiwe
Maswali muhimu ni je, ‘Reforms’ zilizofanyika zinatosha? Kwanini sauti ya pamoja ya Vyama haijasikika? Vyama vingine vinaona umuhimu wa ‘reforms’? Je, Wananchi wanafahamu mabadiliko yaliyofanywa na kuyaridhia?
Kufahamu haya na mengine, jiunge nasi katika Mjadala, kupitia Xspaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025 kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #Kuelekea2025 #ReformsSpace #Accountability #Democracy #FreeAndFairElections
Maswali muhimu ni je, ‘Reforms’ zilizofanyika zinatosha? Kwanini sauti ya pamoja ya Vyama haijasikika? Vyama vingine vinaona umuhimu wa ‘reforms’? Je, Wananchi wanafahamu mabadiliko yaliyofanywa na kuyaridhia?
Kufahamu haya na mengine, jiunge nasi katika Mjadala, kupitia Xspaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025 kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #Kuelekea2025 #ReformsSpace #Accountability #Democracy #FreeAndFairElections
👍3
Tanzania inajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu 2025, lakini je, tuko tayari?
Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi yamejadiliwa, huku baadhi yakitajwa yamefanyika, lakini yamegusa kiini cha matatizo yanayolalamikiwa?
Kufahamu haya na mengine usikose kujiunga nasi katika Mjadala wa “‘Reforms’ za Uchaguzi; Je, Tume, Vyama na Wananchi wanaongea Lugha moja?” kupitia #XSpaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025, Saa 12:00 jioni – 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #ReformsSpace #Kuelekea2025 #Uwajibikaji #Demokrasia #FreeAndFairElections
Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi yamejadiliwa, huku baadhi yakitajwa yamefanyika, lakini yamegusa kiini cha matatizo yanayolalamikiwa?
Kufahamu haya na mengine usikose kujiunga nasi katika Mjadala wa “‘Reforms’ za Uchaguzi; Je, Tume, Vyama na Wananchi wanaongea Lugha moja?” kupitia #XSpaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025, Saa 12:00 jioni – 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #ReformsSpace #Kuelekea2025 #Uwajibikaji #Demokrasia #FreeAndFairElections
👍1