Benki ya Dunia (WB) imeitaka Kenya kufanya mabadiliko ya Sheria inayoweka ulazima kwa Kampuni Nchini humo kutunza #TaarifaBinafsi kwenye 'Server' zilizopo ndani ya Nchi ikilenga kurahisisha Uwekezaji wa Huduma za Kidijitali kutoka Mataifa mengine
Kwa mujibu wa WB, Sheria hiyo inaweka vikwazo vya Kibiashara kwa Huduma za Dijitali hasa wakati ambao Kampuni kubwa Duniani ikiwemo #Google, #Meta, #TikTok, #Netflix, #Oracle, #Apple na #Microsoft zikizidi kufungua fursa za Uwekezaji Nchini humo na kuwa chanzo muhimu cha Ajira na Mapato ya Kodi
Soma https://jamii.app/ServerKenya
#JamiiForums #Governance #PersonalDataProtection #DataPrivacy #Accountability
Kwa mujibu wa WB, Sheria hiyo inaweka vikwazo vya Kibiashara kwa Huduma za Dijitali hasa wakati ambao Kampuni kubwa Duniani ikiwemo #Google, #Meta, #TikTok, #Netflix, #Oracle, #Apple na #Microsoft zikizidi kufungua fursa za Uwekezaji Nchini humo na kuwa chanzo muhimu cha Ajira na Mapato ya Kodi
Soma https://jamii.app/ServerKenya
#JamiiForums #Governance #PersonalDataProtection #DataPrivacy #Accountability
👍4