KENYA: Kutokana na kuongezeka kwa ripoti za vitendo vya uhalifu ikiwa ni pamoja na kesi za mauaji, katika nyumba za makazi maarufu kama (AirBnB) na Hoteli, Mamlaka ya Udhibiti wa Taarifa Binafsi imetoa maagizo kwa Watoa Huduma Kurekodi na kutunza kumbukumbu za utambulisho wa wageni, kurekodi muda wa kuingia na kutoka kwa wageni na pia Kukusanya na kuhifadhi kwa muda Vitambulisho vya wageni
Mamlaka hiyo imesema Maagizo hayo yanalenga kuzuia vitendo vya Uhalifu, Unyanyasaji na hata Mauaji yanaweza kutokea katika kuhakikisha usalama wa Wakazi na Wageni
Usalama wa AirBnB nchini Kenya umekuwa mashakani katika siku za hivi Karibuni baada ya Matukio ya Mauaji ya Kinyama ya Wateja akiwemo Mwanamitandao #ScarletWahu na Mwanamke mmoja ambaye aliuawa kisha mwili wake kukatwa vipande na kuwekwa kwenye ndoo ya taka huko #Kasarani
Soma https://jamii.app/KenyaAirBnB
#JamiiForums #DataPrivacy #PersonalData #DataProtection #DataProtectionLaw #Governance #Accountability
Mamlaka hiyo imesema Maagizo hayo yanalenga kuzuia vitendo vya Uhalifu, Unyanyasaji na hata Mauaji yanaweza kutokea katika kuhakikisha usalama wa Wakazi na Wageni
Usalama wa AirBnB nchini Kenya umekuwa mashakani katika siku za hivi Karibuni baada ya Matukio ya Mauaji ya Kinyama ya Wateja akiwemo Mwanamitandao #ScarletWahu na Mwanamke mmoja ambaye aliuawa kisha mwili wake kukatwa vipande na kuwekwa kwenye ndoo ya taka huko #Kasarani
Soma https://jamii.app/KenyaAirBnB
#JamiiForums #DataPrivacy #PersonalData #DataProtection #DataProtectionLaw #Governance #Accountability
👍3❤1