SIKU YA ULINZI WA FARAGHA YA TAARIFA BINAFSI
Januari 28 ni Siku ya Ulinzi wa Faragha ya Taarifa Binafsi, ikiwa ni jitihada za kimataifa kujenga ufahamu kuhusu umuhimu wa kuheshimu Faragha
Ulinzi wa Faragha ya Taarifa binafsi ni Haki ya Msingi ya Binadamu
Soma - https://jamii.app/DPD2022
#DataPrivacyDay #DataPrivacy
Januari 28 ni Siku ya Ulinzi wa Faragha ya Taarifa Binafsi, ikiwa ni jitihada za kimataifa kujenga ufahamu kuhusu umuhimu wa kuheshimu Faragha
Ulinzi wa Faragha ya Taarifa binafsi ni Haki ya Msingi ya Binadamu
Soma - https://jamii.app/DPD2022
#DataPrivacyDay #DataPrivacy
MAMILIONI YA WATU HAWAJUI TAARIFA ZAO ZINAVYOTUMIKA
Uhitaji wa Ulinzi wa Faragha ya Taarifa Binafsi sio kitu kipya kwani Taarifa hizo zimekuwa hatarini
Kuwepo Sheria ya #UlinziWaData kutahakikisha Haki ya Faragha inasimamiwa
Soma - https://jamii.app/DPD2022
#DataPrivacyDay #DataPrivacy
Uhitaji wa Ulinzi wa Faragha ya Taarifa Binafsi sio kitu kipya kwani Taarifa hizo zimekuwa hatarini
Kuwepo Sheria ya #UlinziWaData kutahakikisha Haki ya Faragha inasimamiwa
Soma - https://jamii.app/DPD2022
#DataPrivacyDay #DataPrivacy
👍1
Watu wengi wamekuwa wakituma Picha na Video zao Mitandaoni kwa kigezo cha kukuza Jina au 'Brand' bila kujua kuwa baadhi zinaweza kuhatarisha Faragha zao
Ili kujua ni kwa namna gani unaweza kujenga 'Brand' bila kuhatarisha faragha yako au wateja wako, jiunge nasi katika #JFSpaces na Wataalamu wa Masuala ya Kidigitali, Jumatatu, Januari 30, 2023
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay
Ili kujua ni kwa namna gani unaweza kujenga 'Brand' bila kuhatarisha faragha yako au wateja wako, jiunge nasi katika #JFSpaces na Wataalamu wa Masuala ya Kidigitali, Jumatatu, Januari 30, 2023
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay
👍5
SIKU YA ULINZI WA FARAGHA YA TAARIFA BINAFSI
Kila Januari 28, tunaadhimisha Siku hii inayolenga kuongeza Uelewa kuhusu Umuhimu wa Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Tunategemea #Teknolojia katika nyanja mbalimbali za Maisha yetu; Hatuna budi kutafakari kuhusu Faragha na Usalama wa Taarifa zetu Binafsi
Soma https://jamii.app/DPD23
#DataPrivacyDay #HakiYaFaragha
Kila Januari 28, tunaadhimisha Siku hii inayolenga kuongeza Uelewa kuhusu Umuhimu wa Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Tunategemea #Teknolojia katika nyanja mbalimbali za Maisha yetu; Hatuna budi kutafakari kuhusu Faragha na Usalama wa Taarifa zetu Binafsi
Soma https://jamii.app/DPD23
#DataPrivacyDay #HakiYaFaragha
👍4
Watu wengi wamekuwa wakituma Picha na Video zao Mitandaoni kwa kigezo cha kukuza Jina au 'Brand' bila kujua kuwa baadhi zinaweza kuhatarisha Faragha zao
Ili kujua ni kwa namna gani unaweza kujenga 'Brand' bila kuhatarisha faragha yako au wateja wako, jiunge nasi katika #JFSpaces na Wataalamu wa Masuala ya Kidigitali, Jumatatu, Januari 30, 2023
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay
Ili kujua ni kwa namna gani unaweza kujenga 'Brand' bila kuhatarisha faragha yako au wateja wako, jiunge nasi katika #JFSpaces na Wataalamu wa Masuala ya Kidigitali, Jumatatu, Januari 30, 2023
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay
👍1
Tunapoadhimisha Siku ya Ulinzi Wa Faragha ya #TaarifaBinafsi, tunasisitiza kuwa kila Mtu ana Haki ya Faragha
-
Wanaoshughulika na Taarifa wana Wajibu wa kuheshimu na kulinda Faragha zetu
-
#JamiiForums #DigitalRights #DataPrivacy #HakiYaFaragha #DataPrivacyDay
-
Wanaoshughulika na Taarifa wana Wajibu wa kuheshimu na kulinda Faragha zetu
-
#JamiiForums #DigitalRights #DataPrivacy #HakiYaFaragha #DataPrivacyDay
👍1
TAARIFA ZAKO BINAFSI ZINA THAMANI, ZILINDE
Ingawa tunaishi katika Dunia ya Kidigitali, Watu wengi bado hawazingatii Umuhimu wa Faragha ya #TaarifaBinafsi mpaka pale wanapopata madhara
Katika Kuadhimisha #DataPrivacyDay Mwaka 2023, tunakukumbusha kulinda, kuthamini na kuheshimu Taarifa zako. Unapotumia Majukwaa mbalimbali Mtandaoni zingatia #HakiYaFaragha na heshimu Faragha za wengine
-
#JamiiForums #PrivacyMatters #DataPrivacy #DigitalRights
Ingawa tunaishi katika Dunia ya Kidigitali, Watu wengi bado hawazingatii Umuhimu wa Faragha ya #TaarifaBinafsi mpaka pale wanapopata madhara
Katika Kuadhimisha #DataPrivacyDay Mwaka 2023, tunakukumbusha kulinda, kuthamini na kuheshimu Taarifa zako. Unapotumia Majukwaa mbalimbali Mtandaoni zingatia #HakiYaFaragha na heshimu Faragha za wengine
-
#JamiiForums #PrivacyMatters #DataPrivacy #DigitalRights
👍5❤1
Watu wengi wamekuwa wakituma Picha na Video zao Mitandaoni kwa kigezo cha kukuza Jina au 'Brand' bila kujua kuwa baadhi zinaweza kuhatarisha Faragha zao
Ili kujua ni kwa namna gani unaweza kujenga 'Brand' bila kuhatarisha faragha yako au wateja wako, jiunge nasi katika #JFSpaces na Wataalamu wa Masuala ya Kidigitali, Jumatatu, Januari 30, 2023
Shiriki nasi kupitia https://twitter.com/i/spaces/1mrxmkAOMPdGy
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay
Ili kujua ni kwa namna gani unaweza kujenga 'Brand' bila kuhatarisha faragha yako au wateja wako, jiunge nasi katika #JFSpaces na Wataalamu wa Masuala ya Kidigitali, Jumatatu, Januari 30, 2023
Shiriki nasi kupitia https://twitter.com/i/spaces/1mrxmkAOMPdGy
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay
👍1
Watu wengi wamekuwa wakituma Picha na Video zao Mitandaoni kwa kigezo cha kukuza Jina au 'Brand' bila kujua kuwa baadhi zinaweza kuhatarisha Faragha zao
Ili kujua ni kwa namna gani unaweza kujenga 'Brand' bila kuhatarisha faragha yako au wateja wako, jiunge nasi katika #JFSpaces na Wataalamu wa Masuala ya Kidigitali leo, Januari 30, 2023
Shiriki nasi kupitia https://twitter.com/i/spaces/1mrxmkAOMPdGy
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay
Ili kujua ni kwa namna gani unaweza kujenga 'Brand' bila kuhatarisha faragha yako au wateja wako, jiunge nasi katika #JFSpaces na Wataalamu wa Masuala ya Kidigitali leo, Januari 30, 2023
Shiriki nasi kupitia https://twitter.com/i/spaces/1mrxmkAOMPdGy
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay
👍2
Watu wengi wamekuwa wakituma Picha na Video zao Mitandaoni kwa kigezo cha kukuza Jina au 'Brand' bila kujua kuwa baadhi zinaweza kuhatarisha Faragha zao
Ili kujua ni kwa namna gani unaweza kujenga 'Brand' bila kuhatarisha faragha yako au wateja wako, jiunge nasi katika #JFSpaces na Wataalamu wa Masuala ya Kidigitali leo, Januari 30, 2023
Shiriki nasi kupitia https://twitter.com/i/spaces/1mrxmkAOMPdGy
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay
Ili kujua ni kwa namna gani unaweza kujenga 'Brand' bila kuhatarisha faragha yako au wateja wako, jiunge nasi katika #JFSpaces na Wataalamu wa Masuala ya Kidigitali leo, Januari 30, 2023
Shiriki nasi kupitia https://twitter.com/i/spaces/1mrxmkAOMPdGy
#JamiiForums #DataPrivacy #DataProtection #DataPrivacyDay
👍7❤3