TAARIFA ZAKO BINAFSI ZINA THAMANI, ZILINDE
Ingawa tunaishi katika Dunia ya Kidigitali, Watu wengi bado hawazingatii Umuhimu wa Faragha ya #TaarifaBinafsi mpaka pale wanapopata madhara
Katika Kuadhimisha #DataPrivacyDay Mwaka 2023, tunakukumbusha kulinda, kuthamini na kuheshimu Taarifa zako. Unapotumia Majukwaa mbalimbali Mtandaoni zingatia #HakiYaFaragha na heshimu Faragha za wengine
-
#JamiiForums #PrivacyMatters #DataPrivacy #DigitalRights
Ingawa tunaishi katika Dunia ya Kidigitali, Watu wengi bado hawazingatii Umuhimu wa Faragha ya #TaarifaBinafsi mpaka pale wanapopata madhara
Katika Kuadhimisha #DataPrivacyDay Mwaka 2023, tunakukumbusha kulinda, kuthamini na kuheshimu Taarifa zako. Unapotumia Majukwaa mbalimbali Mtandaoni zingatia #HakiYaFaragha na heshimu Faragha za wengine
-
#JamiiForums #PrivacyMatters #DataPrivacy #DigitalRights
👍5❤1