Kupitia Jukwa la Habari na Hoja Mchanganyiko ndani ya JamiiForums.com, Mdau ameandika “Kuna Mtu alienda kufanya marekebisho ya cheti cha zamani kwenda kipya, akaambiwa anatakiwa kulipa Tsh. 30,000 wakati Namba ya Malipo ni Tsh. 7,000.”
Mdau anaeleza kuwa amefanya kazi Iringa, RITA Kilolo Huduma zao ni nzuri, anashindwa kuelewa nini shida ya RITA Misungwi! Hivyo anatoa wito Mamlaka kufuatilia ili kujua shida ilipo na kuondoa changamoto hiyo
Soma https://jamii.app/UtendajiRITA
#JamiiForums #Accountability #Governance
Mdau anaeleza kuwa amefanya kazi Iringa, RITA Kilolo Huduma zao ni nzuri, anashindwa kuelewa nini shida ya RITA Misungwi! Hivyo anatoa wito Mamlaka kufuatilia ili kujua shida ilipo na kuondoa changamoto hiyo
Soma https://jamii.app/UtendajiRITA
#JamiiForums #Accountability #Governance
❤3👍1
DAR: Baraza la Sanaa la Taifa (#BASATA) limefuta Leseni ya kuendesha Shindano la Miss Tanzania kwa Kampuni ya The Look Company Limited kwa kueleza imeshindwa kutekeleza maagizo halali ya Baraza licha ya kupewa maelekezo kupitia barua Aprili 15, 2025 na Mei 9, 2025
BASATA imesema kibali chao cha kufanya kazi hakijahuishwa kwa zaidi ya Miezi sita, kukaidi agizo la Baraza kwa kutowasilisha nyaraka muhimu kama nakala ya Cheti/Leseni ya kushiriki Shindano la Dunia, kushindwa kuandaa Shindano la Miss Tanzania kwa Mwaka 2023/2024 na kutowakilisha kwenye “Miss World 2024/2025”
Kampuni hiyo inasimamiwa na Basilla Mwanakuzi (Mshindi wa Taji la Miss Tanzania 1998) ambaye pia ni Mwanasiasa. Hivi karibuni (Mei 2025) kupitia ukurasa wake wa Instagram alitoa kauli kadhaa akikosoa baadhi ya maamuzi na Utendaji wa Chama chake cha CCM
Soma https://jamii.app/MissTZKufutwa
#Entertainment #JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability
BASATA imesema kibali chao cha kufanya kazi hakijahuishwa kwa zaidi ya Miezi sita, kukaidi agizo la Baraza kwa kutowasilisha nyaraka muhimu kama nakala ya Cheti/Leseni ya kushiriki Shindano la Dunia, kushindwa kuandaa Shindano la Miss Tanzania kwa Mwaka 2023/2024 na kutowakilisha kwenye “Miss World 2024/2025”
Kampuni hiyo inasimamiwa na Basilla Mwanakuzi (Mshindi wa Taji la Miss Tanzania 1998) ambaye pia ni Mwanasiasa. Hivi karibuni (Mei 2025) kupitia ukurasa wake wa Instagram alitoa kauli kadhaa akikosoa baadhi ya maamuzi na Utendaji wa Chama chake cha CCM
Soma https://jamii.app/MissTZKufutwa
#Entertainment #JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability
❤2
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, akizungumza na Wanachama wa CCM, amesema "Lazima tuambiane ukweli, Sisi Viongozi huku Meza kuu, na ninyi Viongozi huko, kwasababu sote tunakwenda kwenye maamuzi. Tutende Haki, tuwatendee Haki Watu, ukitenda Moyo wako utajisikia faraja sana."
Soma https://jamii.app/MakamuHemed
#Democracy #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025 #Kuelekea2025 #Siasa #JamiiForums
Soma https://jamii.app/MakamuHemed
#Democracy #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025 #Kuelekea2025 #Siasa #JamiiForums
❤1👍1
ZANZIBAR: Chama cha #ACTWazalendo kimetoa taarifa kuwa Juni 26, 2025, Vijana wanne Wafanyabiashara wa Darajani walitekwa na Askari wa Mamlaka ya Mji Mkongwe, wakafungiwa katika chumba kichafu, wakapigwa na baadaye usiku wakatupwa maeneo ya Chukwani Buyu
ACT imeeleza tukio hilo la kinyama ni miongoni mwa matukio ambayo hujirudia kila kukicha kwa Vijana wa Kizanzibari na kwamba wanalichukuliwa tukio hilo kwa mshituko mkubwa
Taarifa ya ACT imedai kutokana mfululizo wa matukio hayo inapendekeza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mji Mkongwe ajiuzulu kupisha uchunguzi, iundwe Kamati kuchunguza matukio ya utekaji na mauaji Zanzibar. Pia, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora iweke hadharani ripoti za uchunguzi
Soma https://jamii.app/ACTTamkoJuni28
#HumanRights #JamiiAfrica #JamiiForums #Democracy
ACT imeeleza tukio hilo la kinyama ni miongoni mwa matukio ambayo hujirudia kila kukicha kwa Vijana wa Kizanzibari na kwamba wanalichukuliwa tukio hilo kwa mshituko mkubwa
Taarifa ya ACT imedai kutokana mfululizo wa matukio hayo inapendekeza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mji Mkongwe ajiuzulu kupisha uchunguzi, iundwe Kamati kuchunguza matukio ya utekaji na mauaji Zanzibar. Pia, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora iweke hadharani ripoti za uchunguzi
Soma https://jamii.app/ACTTamkoJuni28
#HumanRights #JamiiAfrica #JamiiForums #Democracy
❤1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Makamu Mwenyekiti wa #CHADEMA – Bara, John Heche ametoa wito kwa Mahakama kutumia Vyumba vikubwa wakati wa kesi ambayo Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Tundu Lissu, ameifungua katika Mahakama Kuu akiiomba Mahakama kufanya marejeo ya kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama ya Kisutu
Heche ameyasema hayo alipozungumza na Wanahabari, Juni 27, 2025 baada ya Mahakama hiyo kuamua kuwa uamuzi wa mapingamizi ya Jamhuri utatolewa Julai 11, 2025
Soma https://jamii.app/HecheMahakamaKuu
#Democracy #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025 #Kuelekea2025 #Siasa #JamiiForums
Heche ameyasema hayo alipozungumza na Wanahabari, Juni 27, 2025 baada ya Mahakama hiyo kuamua kuwa uamuzi wa mapingamizi ya Jamhuri utatolewa Julai 11, 2025
Soma https://jamii.app/HecheMahakamaKuu
#Democracy #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025 #Kuelekea2025 #Siasa #JamiiForums
❤1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
ZANZIBAR: Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, ametoa wito kwa Viongozi kuwa makini na aina ya Watu wanaoomba Uongozi na kutowapa nafasi ambao wanalenga kuwanunua
Soma https://jamii.app/NukuuZaHemed
#Democracy #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025 #Kuelekea2025 #Siasa #JamiiForums
Soma https://jamii.app/NukuuZaHemed
#Democracy #JamiiAfrica #UchaguziMkuu2025 #Kuelekea2025 #Siasa #JamiiForums
❤2
Elimu si tu kwa Ajira, bali inapaswa kuwafundisha Wanafunzi Maisha ya kuwajibika kama Raia.
Shule na Vyuo havipaswi kufundisha maarifa ya kazi pekee, bali pia kusaidia Wanafunzi kuwa Watu wenye Uwajibikaji, Uadilifu, na Heshima kwa Jamii.
#JamiiForums #JamiiAfrica #Democracy #RestlessDevelopment #CivicEducation #UraiaWenyeUelewa
Shule na Vyuo havipaswi kufundisha maarifa ya kazi pekee, bali pia kusaidia Wanafunzi kuwa Watu wenye Uwajibikaji, Uadilifu, na Heshima kwa Jamii.
#JamiiForums #JamiiAfrica #Democracy #RestlessDevelopment #CivicEducation #UraiaWenyeUelewa
❤1
Ujumbe huu uliandikwa na Isaac Asimov, ambaye alikuwa raia wa Marekani, Mwandishi na Profesa aliyefundisha katika Chuo Kikuu cha Boston
Alizaliwa Mwaka 1920 na kufariki Mwaka 1992 akiwa na umri wa Miaka 72
#Governance #JamiiForums #Accountability #Transparency #JFNukuu #JFQuote #Quotes #JamiiAfrica
Alizaliwa Mwaka 1920 na kufariki Mwaka 1992 akiwa na umri wa Miaka 72
#Governance #JamiiForums #Accountability #Transparency #JFNukuu #JFQuote #Quotes #JamiiAfrica
❤3🔥2👍1
Mdau wa JamiiForums.com ameanzisha Mjadala akiomba ushauri kuhusu urafiki wa Mama yake na Mganga wa Jadi
Amedai Mganga huyo amekuwa akifanya maamuzi ya familia na Mama yake kila akipata pesa anamtumia, hivyo familia inaishi maisha magumu
Unamshauri mdau afanye nini kuinusuru familia yao?
Mjadala https://jamii.app/MgangaWaMama
#JamiiAfrica #JamiiForums #Maisha
Amedai Mganga huyo amekuwa akifanya maamuzi ya familia na Mama yake kila akipata pesa anamtumia, hivyo familia inaishi maisha magumu
Unamshauri mdau afanye nini kuinusuru familia yao?
Mjadala https://jamii.app/MgangaWaMama
#JamiiAfrica #JamiiForums #Maisha
❤2
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kuwa saa 02:36 asubuhi ya Juni 29, 2025, kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa, ambayo imesababisha kukosekana kwa huduma ya umeme katika Mikoa yote inayounganishwa na Gridi hiyo
Taarifa hiyo imeeleza kuwa timu ya wataalamu inafuatilia kwa karibu ili kubaini chanzo halisi cha hitilafu hiyo na kuhakikisha huduma ya umeme inarejea haraka
Soma https://jamii.app/GridiYaTaifaJuni29
#JamiiForums #JamiiAfrica #ServiceDelivery #Accountability #Governance
Taarifa hiyo imeeleza kuwa timu ya wataalamu inafuatilia kwa karibu ili kubaini chanzo halisi cha hitilafu hiyo na kuhakikisha huduma ya umeme inarejea haraka
Soma https://jamii.app/GridiYaTaifaJuni29
#JamiiForums #JamiiAfrica #ServiceDelivery #Accountability #Governance
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Wilson Mahera Charles, amechukua fomu ya kuteuliwa kugombea Ubunge, Jimbo la Butiama (CCM)
Mnamo Oktoba 1, 2019, Hayati John Magufuli alimteua Dkt. Mahera kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ambapo kabla ya uteuzi huo, alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
Aidha, Februari 26, 2023, Rais Samia Suluhu alimteua Dkt. Mahera kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
Soma https://jamii.app/DktMaheraUbunge
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #ServiceDelivery #KuelekeaUchaguzi2025
Mnamo Oktoba 1, 2019, Hayati John Magufuli alimteua Dkt. Mahera kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ambapo kabla ya uteuzi huo, alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
Aidha, Februari 26, 2023, Rais Samia Suluhu alimteua Dkt. Mahera kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
Soma https://jamii.app/DktMaheraUbunge
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #ServiceDelivery #KuelekeaUchaguzi2025
❤2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Baada ya Jeshi la Polisi kudhibiti eneo lote la pembezoni mwa Barabara ya kutoka Ubungo Maji hadi Kibo kutawanya waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima, waumini hao wameibukia kwenye Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM) na kuendelea na ibada leo Juni 29, 2025
Kanisa hilo lipo jirani na Makao Makuu ya Kanisa la Ufufuo na Uzima, Ubungo Kibo, Dar es Salaam
Soma https://jamii.app/WauminiWaGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #Democracy #Governance #HumanRights
Kanisa hilo lipo jirani na Makao Makuu ya Kanisa la Ufufuo na Uzima, Ubungo Kibo, Dar es Salaam
Soma https://jamii.app/WauminiWaGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #Democracy #Governance #HumanRights
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Muumini wa Kanisa la Ufufuo na uzima, amedaiwa kujeruhiwa kichwani na Polisi katika vurugu zilizojitokeza wakati Polisi wakiwatawanya waumini waliokusanyika karibu na Kanisa hilo kwaajili ya kufanya ibada, leo Juni 29, 2025
Soma https://jamii.app/MuuminiAjeruhiwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #HumanRights #Governance #Democracy
Soma https://jamii.app/MuuminiAjeruhiwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #HumanRights #Governance #Democracy
❤1
Uwajibikaji unaanza na vitendo kama kushiriki mijadala ya Kijamii, kutoa maoni, kusaidia wenye uhitaji, kufuatilia sera na maamuzi ya viongozi na kujifunza haki na wajibu wetu kama raia
#JamiiForums #JamiiAfrica #Democracy #RestlessDevelopment #CivicEducation #UraiaWenyeUelewa
#JamiiForums #JamiiAfrica #Democracy #RestlessDevelopment #CivicEducation #UraiaWenyeUelewa