Ushiriki wako kama kijana katika mchakato wa maamuzi, kuanzia ngazi ya familia, jamii hadi taifa ni njia ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayoathiri maisha yako yanazingatia mahitaji na sauti yako
Shiriki kwenye midahalo, mikutano ya kijamii na michakato ya Kidemokrasia, uweze kuchangia mawazo, kuchochea mjadala na kushinikiza mabadiliko ya Sera kwa maslahi ya wengi
Zaidi soma https://jamii.app/VijanaUshiriki
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFVijana #RestlessDevelopment #UshirikiWaVijana
Shiriki kwenye midahalo, mikutano ya kijamii na michakato ya Kidemokrasia, uweze kuchangia mawazo, kuchochea mjadala na kushinikiza mabadiliko ya Sera kwa maslahi ya wengi
Zaidi soma https://jamii.app/VijanaUshiriki
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFVijana #RestlessDevelopment #UshirikiWaVijana
Ajira kwa Vijana ni nyenzo muhimu kwa maendeleo ya Mtu Binafsi, Jamii na Taifa kwa ujumla. Ajira humfanya mtu awe na ari ya kutosha, kuwajibika na kushiriki kikamilifu katika nyanja zote za Kijamii na Kiuchumi
Kwa mujibu wa Utafiti wa Nguvu Kazi (ILFS 2021), Tanzania, ilikuwa na nguvu kazi ya Watu wapatao 25,861,023 ambapo kati ya Nguvu kazi hiyo, Vijana ni 14,219,191 sawa na 55.6%.
Soma https://jamii.app/UwajibikajiWaVijana
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFVijana #RestlessDevelopment #UshirikiWaVijana
Kwa mujibu wa Utafiti wa Nguvu Kazi (ILFS 2021), Tanzania, ilikuwa na nguvu kazi ya Watu wapatao 25,861,023 ambapo kati ya Nguvu kazi hiyo, Vijana ni 14,219,191 sawa na 55.6%.
Soma https://jamii.app/UwajibikajiWaVijana
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFVijana #RestlessDevelopment #UshirikiWaVijana