MOROGORO: Mdau wa JamiiForums.com anadai Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ina changamoto ya Miundombinu ya Barabara hasa zile zilizo chini ya usimamizi wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)
Anaeleza kuwa Barabara zinazoingia Mitaani zina hali mbaya, akitoa mfano ile ya kuelekea Soko la Mawezi ambayo haijakamilishwa, Mvua inaponyesha hali inakuwa mbaya zaidi na usafiri unakuwa wa tabu kwa Wananchi
Mdau anatoa wito kwa TARURA Mkoa kuchunguza Uwajibikaji wa Watendaji waliopo ili kubaini tatizo ni ukosefu wa Fedha katika bajeti ya Ujenzi na Matengenezo ya barabara au kuna Watu wanahujumu Miradi?
Soma https://jamii.app/TARURAMorogoro
#JamiiForums #Accountability #ServiceDelivery #JamiiAfrica #Uwajibikaji #HudumaZaKijamii
Anaeleza kuwa Barabara zinazoingia Mitaani zina hali mbaya, akitoa mfano ile ya kuelekea Soko la Mawezi ambayo haijakamilishwa, Mvua inaponyesha hali inakuwa mbaya zaidi na usafiri unakuwa wa tabu kwa Wananchi
Mdau anatoa wito kwa TARURA Mkoa kuchunguza Uwajibikaji wa Watendaji waliopo ili kubaini tatizo ni ukosefu wa Fedha katika bajeti ya Ujenzi na Matengenezo ya barabara au kuna Watu wanahujumu Miradi?
Soma https://jamii.app/TARURAMorogoro
#JamiiForums #Accountability #ServiceDelivery #JamiiAfrica #Uwajibikaji #HudumaZaKijamii
👍1
Mdau wa Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko ndani ya JamiiForums.com akirejea hoja aliyotoa Mbunge Joseph Musukuma, Juni 11, 2025 Bungeni, ya kuwa Wenza wa Wabunge waruhusiwe kupita VIP katika Viwanja vya Ndege, ameanzisha Mjadala akisema anayetaka huduma za aina hiyo alipie
Amemnukuu mtumiaji wa mtandao wa X (Oscar) ambaye amesema "Watu wakiruhusiwa kupata huduma za VIP kwa kigezo cha ‘wenza’ ipo siku watataka Watoto na wajukuu wao wapate pia." Mdau anasema hayo ni matumizi mabaya ya kodi za Wananchi
Mdau, una maoni gani kuhusu hoja hii?
Mjadala https://jamii.app/WenzaWaWabungeVIP
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
Amemnukuu mtumiaji wa mtandao wa X (Oscar) ambaye amesema "Watu wakiruhusiwa kupata huduma za VIP kwa kigezo cha ‘wenza’ ipo siku watataka Watoto na wajukuu wao wapate pia." Mdau anasema hayo ni matumizi mabaya ya kodi za Wananchi
Mdau, una maoni gani kuhusu hoja hii?
Mjadala https://jamii.app/WenzaWaWabungeVIP
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
RUVUMA: Huu ndio muonekano wa Kituo kipya na cha kisasa cha Polisi cha Daraja B ambacho ujenzi wake umegharimu Tsh. Milioni 798 Wilayani Namtumbo, kilizinduliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Ally Senga Gugu Juni 20, 2025, ambaye ametoa wito kwa Maafisa wa Ukaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi kuendelea kuzingatia misingi na maadili ya jeshi hilo
Gugu amesema ndani ya Miaka minne iliyopita, Serikali imeboresha mazingira ya kazi kwa Askari Polisi, kwa kujenga na kukarabati Vituo vya Polisi nchini hatua inayolenga kuimarisha huduma za ulinzi kwa Wananchi
Soma https://jamii.app/KituoChaMilioni798
#JamiiForums #Miundombinu #Accountability #ServiceDelivery
Gugu amesema ndani ya Miaka minne iliyopita, Serikali imeboresha mazingira ya kazi kwa Askari Polisi, kwa kujenga na kukarabati Vituo vya Polisi nchini hatua inayolenga kuimarisha huduma za ulinzi kwa Wananchi
Soma https://jamii.app/KituoChaMilioni798
#JamiiForums #Miundombinu #Accountability #ServiceDelivery
Kama kijana una wajibu wa kutambua sio kila kitu kwenye mitandao ni cha kweli
Kabla hujasambaza taarifa, hakiki. Jenga tabia ya kuuliza kama Chanzo ni sahihi na kama Habari imethibitishwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
Kabla hujasambaza taarifa, hakiki. Jenga tabia ya kuuliza kama Chanzo ni sahihi na kama Habari imethibitishwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Makamu Mwenyekiti wa #ACTWazalendo, Isihaka Mchinjita anasema iwapo chama chake kikishinda Uchaguzi Mkuu katika Kiti cha Urais, watafanya mabadiliko katika eneo la Tanganyika Packers lililopo Kawe lisitumiwe na Boniface Mwamposa kwaajili ya kuombea Watu wapate ajira bali litarejeshwa kuwa sehemu ya Viwanda
Soma https://jamii.app/ACTKuhusuKawe
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Democracy #UchaguziMkuu2025
Soma https://jamii.app/ACTKuhusuKawe
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Democracy #UchaguziMkuu2025
❤4
UTEUZI: Rais Samia leo Juni June 23 2025 amemteua Mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi Tanzania Balozi Simon Nyankoro Sirro kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
❤1
Rais Samia leo Juni 23, 2025 amemuhamisha Kenan Laban Kihongosi kutoka kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha akichukua nafasi ya Paul Makonda
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
🔥1
Rais Samia leo Juni 23, 2025 amemteua Mhandisi Machibya Masanja kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC)
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
❤4
Mara nyingi, maamuzi tunayoogopa ndiyo hasa yanayobeba mabadiliko tunayoyahitaji maishani. Hofu hukuzuia kuona picha kubwa lakini ndani yake kuna nafasi ya kukua, kubadilika na kuvuka mipaka uliyoiweka mwenyewe
Usiogope kuchukua hatua kwa sababu ya hofu ya kushindwa, kumbuka, safari ya mafanikio huanza na ujasiri wa kufanya kile ambacho wengine wanaogopa
#JamiiForums #JamiiAfrica #AmkaNaJF #GoodMorning
Usiogope kuchukua hatua kwa sababu ya hofu ya kushindwa, kumbuka, safari ya mafanikio huanza na ujasiri wa kufanya kile ambacho wengine wanaogopa
#JamiiForums #JamiiAfrica #AmkaNaJF #GoodMorning
❤6
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Dodoma: Akizungumza kwenye Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma na Uzinduzi wa Mifumo ya Kidijiti, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema “Wanaokuja kujieleza na kuwashawishi mjiridhishe kuwa lugha zao haziwapelekei na nyie kuingia kwenye machafuko yakapoteza usalama na amani ya nchi”
Soma https://jamii.app/MajaliwaKushawishiwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
Soma https://jamii.app/MajaliwaKushawishiwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Kesi iliyofunguliwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohamed na wenzake wawili dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa Chama hicho, imeahirishwa hadi Julai 10, 2025 baada ya Jaji aliyetakiwa kuisikiliza kudaiwa yupo Mtwara hivyo kushindwa kufika Mahakamani
Juni 10, 2025 Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, iliagiza CHADEMA kusitisha shughuli zote za Kiutendaji na oparesheni hadi Kesi hiyo itakaposikilizwa. Katika kesi hiyo Said na wenzake wanadai CHADEMA imekuwa ikiitenga #Zanzibar katika masuala mbalimbali, ikiwemo mgawanyo wa Rasilimali Fedha
Kupitia Ukurasa wake katika Mtandao wa X, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameandika “Kesi ya kina Said Issa ni Kesi ya Kisiasa kujaribu kuzuia Chama chetu kufanya shughuli zake halali. Jaji aliyepanga Kesi leo anakosaje kuwepo Mahakamani Siku ya Kesi tena Kesi muhimu kama hii kwa Nchi?”
Soma https://jamii.app/KesiYaCHADEMAJulai10
#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa
Juni 10, 2025 Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, iliagiza CHADEMA kusitisha shughuli zote za Kiutendaji na oparesheni hadi Kesi hiyo itakaposikilizwa. Katika kesi hiyo Said na wenzake wanadai CHADEMA imekuwa ikiitenga #Zanzibar katika masuala mbalimbali, ikiwemo mgawanyo wa Rasilimali Fedha
Kupitia Ukurasa wake katika Mtandao wa X, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameandika “Kesi ya kina Said Issa ni Kesi ya Kisiasa kujaribu kuzuia Chama chetu kufanya shughuli zake halali. Jaji aliyepanga Kesi leo anakosaje kuwepo Mahakamani Siku ya Kesi tena Kesi muhimu kama hii kwa Nchi?”
Soma https://jamii.app/KesiYaCHADEMAJulai10
#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa
❤1
DAR: Siku moja kabla ya mchezo dhidi ya #Yanga kwenye Uwanja wa Mkapa, Uongozi wa #Simba haujatuma wawakilishi katika Mkutano uliohusisha Wanahabari ambao ni maalum kwa ajili ya kuzungumzia mtanange huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika kesho Jumatano Juni 25, 2025
Taratibu za Ligi hiyo ni kuwa siku moja kabla ya mchezo, timu husika zinatakiwa kutuma Kocha na Mchezaji kuzungumza na Wanahabari kuhusu mchezo unaofuata ambapo ni ratiba pia inayofuatwa na Azam TV ambao wanahusika kurusha matangazo ya Ligi
Soma https://jamii.app/SimbaMkutanoni
#JamiiForums #JFSports #JFLigiKuu25
Taratibu za Ligi hiyo ni kuwa siku moja kabla ya mchezo, timu husika zinatakiwa kutuma Kocha na Mchezaji kuzungumza na Wanahabari kuhusu mchezo unaofuata ambapo ni ratiba pia inayofuatwa na Azam TV ambao wanahusika kurusha matangazo ya Ligi
Soma https://jamii.app/SimbaMkutanoni
#JamiiForums #JFSports #JFLigiKuu25
🤣4
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
KAGERA: Mkuu wa Mkoa, Fatma Mwassa ameipa siku mbili Kampuni ya IFS Consulting Limited ambayo ilipewa tenda na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ya kupakia na kushusha Mizigo, kuwalipa Wabeba Mizigo malipo yao wanayodai ya Wiki Tisa katika Bandari ya Bukoba
Hatua hiyo imefikiwa baada ya mgomo uliofanywa na Wabeba Mizigo Juni 23, 2025, wakidai stahiki zao kiasi cha Tsh. Milioni 18 ambapo Meneja IFS Consulting Limited Kagera, Godfrey Ismail, amesema wameshakusanya Tsh. Milioni 6 ya Fedha wanayodaiwa na wanaendelea na mchakato
Baada ya maelekezo hayo ya Mkuu wa Mkoa, Wabeba mizigo wameendelea na Kazi wakiisubiri, Jumatano ya Juni 25, 2025 kujua hatima ya malipo yao
Soma https://jamii.app/BukobaBandarini
Video Credits: Azam TV
#Accountability #JamiiForums #Uwajibikaji #Governance #JamiiForums #JamiiAfrica
Hatua hiyo imefikiwa baada ya mgomo uliofanywa na Wabeba Mizigo Juni 23, 2025, wakidai stahiki zao kiasi cha Tsh. Milioni 18 ambapo Meneja IFS Consulting Limited Kagera, Godfrey Ismail, amesema wameshakusanya Tsh. Milioni 6 ya Fedha wanayodaiwa na wanaendelea na mchakato
Baada ya maelekezo hayo ya Mkuu wa Mkoa, Wabeba mizigo wameendelea na Kazi wakiisubiri, Jumatano ya Juni 25, 2025 kujua hatima ya malipo yao
Soma https://jamii.app/BukobaBandarini
Video Credits: Azam TV
#Accountability #JamiiForums #Uwajibikaji #Governance #JamiiForums #JamiiAfrica
❤1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Akizungumza Bungeni, Juni 24, 2025, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema “Utafiti uliofanyika hivi karibuni ukionesha Watanzania wengi wanaunga mkono Serikali ya chama hicho unatakiwa kupingwa kwa Utafiti mwingine na sio wapingaji kujibu kwa hasira kwani hali iliyopo ni nzuri sana.”
Soma https://jamii.app/UtafitiCCM
#JamiiForums #JamiiAfrica #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Soma https://jamii.app/UtafitiCCM
#JamiiForums #JamiiAfrica #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Kutambua haki zako bila kuelewa na kutimiza wajibu wako ni sawa na kuwa na gari bila mafuta, linaweza kuwa la kisasa na lenye uwezo lakini haliwezi kukupeleka popote.
Jamii bora hujengwa na raia wanaotambua kuwa haki huambatana na wajibu
Vijana tushiriki katika shughuli za kimaendelo, mikutano ya kijamii na majukwaa mbali mbali ili kuhakikisha Haki zetu zimezingatiwa na kushauri maboresho tunayoyataka kwenye jamii yetu
#JamiiForums #JamiiAfrica #UraiaWenyeUelewa #CivicEducation #RestlessDevelopment
Jamii bora hujengwa na raia wanaotambua kuwa haki huambatana na wajibu
Vijana tushiriki katika shughuli za kimaendelo, mikutano ya kijamii na majukwaa mbali mbali ili kuhakikisha Haki zetu zimezingatiwa na kushauri maboresho tunayoyataka kwenye jamii yetu
#JamiiForums #JamiiAfrica #UraiaWenyeUelewa #CivicEducation #RestlessDevelopment
❤1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akizungumza #Bungeni leo, Juni 24, 2025 ametoa ufafanuzi wa utofauti kati ya Deni la Taifa na Deni la Serikali
Amesema Deni la Taifa linahusisha Deni la Serikali na Sekta Binafsi, mfano inapotokea Mfanyabiashara amekopa katika Taasisi za Kifedha, wakati Deni la Serikali linahusiana na Mapato ya Serikali
Soma https://jamii.app/DeniUfafanuzi
#Uchumi #Economy #JamiiForums #JamiiAfrica
Amesema Deni la Taifa linahusisha Deni la Serikali na Sekta Binafsi, mfano inapotokea Mfanyabiashara amekopa katika Taasisi za Kifedha, wakati Deni la Serikali linahusiana na Mapato ya Serikali
Soma https://jamii.app/DeniUfafanuzi
#Uchumi #Economy #JamiiForums #JamiiAfrica
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akizungumza kuhusu hoja ya Deni la Taifa amesema ni vema Wananchi wakajadiliana kuhusu matumizi ya Mkopo na sio ukubwa wa deni lililopo
Mwigulu ameyasema hayo Bungeni leo Juni 24, 2025
Soma https://jamii.app/DeniTakwimu
#JFUchumi #JFEconomy #JamiiForums #JamiiAfrica
Mwigulu ameyasema hayo Bungeni leo Juni 24, 2025
Soma https://jamii.app/DeniTakwimu
#JFUchumi #JFEconomy #JamiiForums #JamiiAfrica