DAR: Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza, Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa wa Chama hicho, Janeth Rithe amepewa dhamana baada ya kushikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini kwa sharti la kuripoti tena Kituoni Juni 29, 2025
Juni 20, 2025, Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma wa Chama cha ACT - Wazalendo, Shangwe Ayo kupitia akaunti yake ya Mtandao wa X, alisema Polisi wamefika katika Ofisi za Chama hicho na kumkamata Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa, Janeth Rithe kwa agizo la Afisa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam (ZCO)
Soma https://jamii.app/RitheAachiwa
#JamiiForums #Governance #JamiiAfrica
Juni 20, 2025, Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma wa Chama cha ACT - Wazalendo, Shangwe Ayo kupitia akaunti yake ya Mtandao wa X, alisema Polisi wamefika katika Ofisi za Chama hicho na kumkamata Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa, Janeth Rithe kwa agizo la Afisa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam (ZCO)
Soma https://jamii.app/RitheAachiwa
#JamiiForums #Governance #JamiiAfrica
❤4
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akichambua Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha #ACTWazalendo, Isihaka Mchinjita, amesema "Athari za ukubwa wa Deni la Serikali linaangukia kwenye mabega ya Wananchi wanyonge, wanaongezewa Kodi, Ushuru na Makato katika Huduma muhimu ili kulipa madeni haya.”
Soma https://jamii.app/ACTKuhusuDeni
#JamiiForums #Uwajibikaji #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Economy
Soma https://jamii.app/ACTKuhusuDeni
#JamiiForums #Uwajibikaji #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Economy
❤1
Mdau wa JamiiForums.com anadai kumekuwa na tabia ya baadhi ya Wazazi, Walezi na Ndugu kutumia nafasi zao za Umri, Cheo au Wadhifa kushinikiza baadhi ya Ndugu watoe Ahadi za Michango kwenye Vikao vya Sherehe, jambo linalowaumiza Kisaikolojia na Kiuchumi wanaolazimishwa
Vipi Mdau, umeshawahi kulazimishwa utoe Mchango/Ahadi kwa ajili ya Sherehe?
Soma https://jamii.app/Jobless
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFChitChats #JFStories #Maisha
Vipi Mdau, umeshawahi kulazimishwa utoe Mchango/Ahadi kwa ajili ya Sherehe?
Soma https://jamii.app/Jobless
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFChitChats #JFStories #Maisha
❤4
Mahakama Kuu Kanda ya Mtwara imewahukumu kunyongwa hadi kufa Askari Polisi wawili kati ya saba waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya Mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamisi aliyekuwa Mkazi wa Kijiji cha Luponda, Wilaya ya Nachingwea, Mkoani Lindi
Azam TV imeripoti kuwa katika kesi hiyo ya mauaji ambayo yalitokea Mwaka 2022 mkoani Mtwara, Watuhumiwa watano wameachiwa huru baada ya Mahakama kuwakuta hawana hatia.
Soma https://jamii.app/PolisiHukumiwa
#JFMatukio #Accountability #Governance #JamiiAfrica #HakiZaBinadamu #JamiiForums
Azam TV imeripoti kuwa katika kesi hiyo ya mauaji ambayo yalitokea Mwaka 2022 mkoani Mtwara, Watuhumiwa watano wameachiwa huru baada ya Mahakama kuwakuta hawana hatia.
Soma https://jamii.app/PolisiHukumiwa
#JFMatukio #Accountability #Governance #JamiiAfrica #HakiZaBinadamu #JamiiForums
❤3
Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica, Maxence Melo atakuwa miongoni mwa wazungumzaji katika Mkutano wa 20 wa Utawala wa Mtandao (IGF) utakaofanyika Jijini Lillestrøm, Norway kuanzia Juni 23 hadi 27, 2025
Juni 24, 2025, Maxence Melo atazungumza katika mjadala kuhusu “Miundombinu ya Maslahi ya Umma” (Public Interest Infrastructure), akielezea namna jukwaa la JamiiForums.com linavyotumika kama uwanja wa Wananchi kujadili na kuchochea mabadiliko kwenye jamii yao
Jukwaa la Utawala wa Mtandao (IGF) ni jukwaa la kimataifa linalowaleta pamoja wadau mbalimbali wa Serikali, Sekta Binafsi, Jamii za Kiraia na Wataalamu wa Teknolojia kujadili Sera na mustakabali wa mtandao wa intaneti duniani
Bofya 'link' hii ili uweze kushiriki mtandaoni https://intgovforum.zoom.us/meeting/registerCArMB7gRTWWSC4LXsJ_ybQ
#JamiiAfrica #JamiiForums #AfIGF2025 #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
Juni 24, 2025, Maxence Melo atazungumza katika mjadala kuhusu “Miundombinu ya Maslahi ya Umma” (Public Interest Infrastructure), akielezea namna jukwaa la JamiiForums.com linavyotumika kama uwanja wa Wananchi kujadili na kuchochea mabadiliko kwenye jamii yao
Jukwaa la Utawala wa Mtandao (IGF) ni jukwaa la kimataifa linalowaleta pamoja wadau mbalimbali wa Serikali, Sekta Binafsi, Jamii za Kiraia na Wataalamu wa Teknolojia kujadili Sera na mustakabali wa mtandao wa intaneti duniani
Bofya 'link' hii ili uweze kushiriki mtandaoni https://intgovforum.zoom.us/meeting/registerCArMB7gRTWWSC4LXsJ_ybQ
#JamiiAfrica #JamiiForums #AfIGF2025 #HakiZaKidijitali #UsalamaMtandaoni #UtawalaWaMtandao #Uwajibikaji #DigitalRights
❤1
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imetangaza kuwa Mchezo wa Ligi hiyo wa kukamilisha Msimu wa 2024/25 ambao pia utaamua timu itakayotwaa ubingwa kati ya Yanga dhidi ya Simba (Kariakoo Derby) utachezeshwa na Waamuzi kutoka Nchini Misri
Mwamuzi wa kati atakuwa Amin Mohamed Amin Omar, Msaidizi Namba Moja ni Mahmoud Ahmed Abo El Regal, Msaidizi Namba Mbili ni Samir Gamal Saad Mohamed na Mwamuzi wa Akiba ni Ahmed Mahrous Elghandour
Kamishna wa Mchezo ni Salim Omary Singano kutoka Tanga wakati Mkaguzi wa Waamuzi ni Alli Mohamed kutoka Somalia
Pia, Catherine Chammy kutoka N-Card amesema “Kadi zilezile ambazo zilitumika Juni 15, 2025 kabla ya mechi kuahirishwa na kupangiwa siku nyingine ambayo ni Juni 25, 2025, zitatumika tena.”
Soma https://jamii.app/DabiYaKariakoo
#JFLigiKuu25 #JFSports #JamiiAfrica
Mwamuzi wa kati atakuwa Amin Mohamed Amin Omar, Msaidizi Namba Moja ni Mahmoud Ahmed Abo El Regal, Msaidizi Namba Mbili ni Samir Gamal Saad Mohamed na Mwamuzi wa Akiba ni Ahmed Mahrous Elghandour
Kamishna wa Mchezo ni Salim Omary Singano kutoka Tanga wakati Mkaguzi wa Waamuzi ni Alli Mohamed kutoka Somalia
Pia, Catherine Chammy kutoka N-Card amesema “Kadi zilezile ambazo zilitumika Juni 15, 2025 kabla ya mechi kuahirishwa na kupangiwa siku nyingine ambayo ni Juni 25, 2025, zitatumika tena.”
Soma https://jamii.app/DabiYaKariakoo
#JFLigiKuu25 #JFSports #JamiiAfrica
❤2
MOROGORO: Mdau wa JamiiForums.com anadai Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ina changamoto ya Miundombinu ya Barabara hasa zile zilizo chini ya usimamizi wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)
Anaeleza kuwa Barabara zinazoingia Mitaani zina hali mbaya, akitoa mfano ile ya kuelekea Soko la Mawezi ambayo haijakamilishwa, Mvua inaponyesha hali inakuwa mbaya zaidi na usafiri unakuwa wa tabu kwa Wananchi
Mdau anatoa wito kwa TARURA Mkoa kuchunguza Uwajibikaji wa Watendaji waliopo ili kubaini tatizo ni ukosefu wa Fedha katika bajeti ya Ujenzi na Matengenezo ya barabara au kuna Watu wanahujumu Miradi?
Soma https://jamii.app/TARURAMorogoro
#JamiiForums #Accountability #ServiceDelivery #JamiiAfrica #Uwajibikaji #HudumaZaKijamii
Anaeleza kuwa Barabara zinazoingia Mitaani zina hali mbaya, akitoa mfano ile ya kuelekea Soko la Mawezi ambayo haijakamilishwa, Mvua inaponyesha hali inakuwa mbaya zaidi na usafiri unakuwa wa tabu kwa Wananchi
Mdau anatoa wito kwa TARURA Mkoa kuchunguza Uwajibikaji wa Watendaji waliopo ili kubaini tatizo ni ukosefu wa Fedha katika bajeti ya Ujenzi na Matengenezo ya barabara au kuna Watu wanahujumu Miradi?
Soma https://jamii.app/TARURAMorogoro
#JamiiForums #Accountability #ServiceDelivery #JamiiAfrica #Uwajibikaji #HudumaZaKijamii
👍1
Mdau wa Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko ndani ya JamiiForums.com akirejea hoja aliyotoa Mbunge Joseph Musukuma, Juni 11, 2025 Bungeni, ya kuwa Wenza wa Wabunge waruhusiwe kupita VIP katika Viwanja vya Ndege, ameanzisha Mjadala akisema anayetaka huduma za aina hiyo alipie
Amemnukuu mtumiaji wa mtandao wa X (Oscar) ambaye amesema "Watu wakiruhusiwa kupata huduma za VIP kwa kigezo cha ‘wenza’ ipo siku watataka Watoto na wajukuu wao wapate pia." Mdau anasema hayo ni matumizi mabaya ya kodi za Wananchi
Mdau, una maoni gani kuhusu hoja hii?
Mjadala https://jamii.app/WenzaWaWabungeVIP
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
Amemnukuu mtumiaji wa mtandao wa X (Oscar) ambaye amesema "Watu wakiruhusiwa kupata huduma za VIP kwa kigezo cha ‘wenza’ ipo siku watataka Watoto na wajukuu wao wapate pia." Mdau anasema hayo ni matumizi mabaya ya kodi za Wananchi
Mdau, una maoni gani kuhusu hoja hii?
Mjadala https://jamii.app/WenzaWaWabungeVIP
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
RUVUMA: Huu ndio muonekano wa Kituo kipya na cha kisasa cha Polisi cha Daraja B ambacho ujenzi wake umegharimu Tsh. Milioni 798 Wilayani Namtumbo, kilizinduliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Ally Senga Gugu Juni 20, 2025, ambaye ametoa wito kwa Maafisa wa Ukaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi kuendelea kuzingatia misingi na maadili ya jeshi hilo
Gugu amesema ndani ya Miaka minne iliyopita, Serikali imeboresha mazingira ya kazi kwa Askari Polisi, kwa kujenga na kukarabati Vituo vya Polisi nchini hatua inayolenga kuimarisha huduma za ulinzi kwa Wananchi
Soma https://jamii.app/KituoChaMilioni798
#JamiiForums #Miundombinu #Accountability #ServiceDelivery
Gugu amesema ndani ya Miaka minne iliyopita, Serikali imeboresha mazingira ya kazi kwa Askari Polisi, kwa kujenga na kukarabati Vituo vya Polisi nchini hatua inayolenga kuimarisha huduma za ulinzi kwa Wananchi
Soma https://jamii.app/KituoChaMilioni798
#JamiiForums #Miundombinu #Accountability #ServiceDelivery
Kama kijana una wajibu wa kutambua sio kila kitu kwenye mitandao ni cha kweli
Kabla hujasambaza taarifa, hakiki. Jenga tabia ya kuuliza kama Chanzo ni sahihi na kama Habari imethibitishwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
Kabla hujasambaza taarifa, hakiki. Jenga tabia ya kuuliza kama Chanzo ni sahihi na kama Habari imethibitishwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Makamu Mwenyekiti wa #ACTWazalendo, Isihaka Mchinjita anasema iwapo chama chake kikishinda Uchaguzi Mkuu katika Kiti cha Urais, watafanya mabadiliko katika eneo la Tanganyika Packers lililopo Kawe lisitumiwe na Boniface Mwamposa kwaajili ya kuombea Watu wapate ajira bali litarejeshwa kuwa sehemu ya Viwanda
Soma https://jamii.app/ACTKuhusuKawe
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Democracy #UchaguziMkuu2025
Soma https://jamii.app/ACTKuhusuKawe
#JamiiForums #Kuelekea2025 #Democracy #UchaguziMkuu2025
❤4
UTEUZI: Rais Samia leo Juni June 23 2025 amemteua Mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi Tanzania Balozi Simon Nyankoro Sirro kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
❤1
Rais Samia leo Juni 23, 2025 amemuhamisha Kenan Laban Kihongosi kutoka kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha akichukua nafasi ya Paul Makonda
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
🔥1
Rais Samia leo Juni 23, 2025 amemteua Mhandisi Machibya Masanja kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC)
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
Zaidi bofya https://jamii.app/UteuziJuni23
#JamiiAfrica #Utawala #JamiiForums #Uteuzi
❤4
Mara nyingi, maamuzi tunayoogopa ndiyo hasa yanayobeba mabadiliko tunayoyahitaji maishani. Hofu hukuzuia kuona picha kubwa lakini ndani yake kuna nafasi ya kukua, kubadilika na kuvuka mipaka uliyoiweka mwenyewe
Usiogope kuchukua hatua kwa sababu ya hofu ya kushindwa, kumbuka, safari ya mafanikio huanza na ujasiri wa kufanya kile ambacho wengine wanaogopa
#JamiiForums #JamiiAfrica #AmkaNaJF #GoodMorning
Usiogope kuchukua hatua kwa sababu ya hofu ya kushindwa, kumbuka, safari ya mafanikio huanza na ujasiri wa kufanya kile ambacho wengine wanaogopa
#JamiiForums #JamiiAfrica #AmkaNaJF #GoodMorning
❤6
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
Dodoma: Akizungumza kwenye Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma na Uzinduzi wa Mifumo ya Kidijiti, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema “Wanaokuja kujieleza na kuwashawishi mjiridhishe kuwa lugha zao haziwapelekei na nyie kuingia kwenye machafuko yakapoteza usalama na amani ya nchi”
Soma https://jamii.app/MajaliwaKushawishiwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
Soma https://jamii.app/MajaliwaKushawishiwa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Kesi iliyofunguliwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohamed na wenzake wawili dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa Chama hicho, imeahirishwa hadi Julai 10, 2025 baada ya Jaji aliyetakiwa kuisikiliza kudaiwa yupo Mtwara hivyo kushindwa kufika Mahakamani
Juni 10, 2025 Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, iliagiza CHADEMA kusitisha shughuli zote za Kiutendaji na oparesheni hadi Kesi hiyo itakaposikilizwa. Katika kesi hiyo Said na wenzake wanadai CHADEMA imekuwa ikiitenga #Zanzibar katika masuala mbalimbali, ikiwemo mgawanyo wa Rasilimali Fedha
Kupitia Ukurasa wake katika Mtandao wa X, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameandika “Kesi ya kina Said Issa ni Kesi ya Kisiasa kujaribu kuzuia Chama chetu kufanya shughuli zake halali. Jaji aliyepanga Kesi leo anakosaje kuwepo Mahakamani Siku ya Kesi tena Kesi muhimu kama hii kwa Nchi?”
Soma https://jamii.app/KesiYaCHADEMAJulai10
#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa
Juni 10, 2025 Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, iliagiza CHADEMA kusitisha shughuli zote za Kiutendaji na oparesheni hadi Kesi hiyo itakaposikilizwa. Katika kesi hiyo Said na wenzake wanadai CHADEMA imekuwa ikiitenga #Zanzibar katika masuala mbalimbali, ikiwemo mgawanyo wa Rasilimali Fedha
Kupitia Ukurasa wake katika Mtandao wa X, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameandika “Kesi ya kina Said Issa ni Kesi ya Kisiasa kujaribu kuzuia Chama chetu kufanya shughuli zake halali. Jaji aliyepanga Kesi leo anakosaje kuwepo Mahakamani Siku ya Kesi tena Kesi muhimu kama hii kwa Nchi?”
Soma https://jamii.app/KesiYaCHADEMAJulai10
#JamiiAfrica #JamiiForums #Siasa
❤1