Kupitia akaunti yake ya Mtandao wa Truth Social, Rais wa Marekani, Donald Trump ameandika "Siku nyingi za mapumziko zisizo za kazi nchini Marekani zinatugharimu mabilioni kwa sababu biashara nyingi hufungwa. Wafanyakazi nao hawapendi hali hiyo."
Trump ametoa kauli hiyo Juni 19, 2025, katika Sikukuu ya Kitaifa ya "Juneteenth" ambayo husherekewa Juni 19 kila Mwaka kwa ajili ya kuadhimisha kuachwa huru kwa Waamerika Weusi waliokuwa Watumwa
Trump ameongeza "Kwa mwendo huu tutakuja kuwa na sikukuu kila siku ya kazi. Hali hii lazima ibadilike kama kweli tunataka kuifanya Marekani kuwa na Nguvu tena." Pia Rais huyo hakuhudhuria wala kushiriki katika shughuli yoyote ya kuadhimisha sikukuu hiyo
Soma https://jamii.app/MapumzikoHugharimuMarekani
#JamiiForums #JamiiAfrica #NationalCelebrations
Trump ametoa kauli hiyo Juni 19, 2025, katika Sikukuu ya Kitaifa ya "Juneteenth" ambayo husherekewa Juni 19 kila Mwaka kwa ajili ya kuadhimisha kuachwa huru kwa Waamerika Weusi waliokuwa Watumwa
Trump ameongeza "Kwa mwendo huu tutakuja kuwa na sikukuu kila siku ya kazi. Hali hii lazima ibadilike kama kweli tunataka kuifanya Marekani kuwa na Nguvu tena." Pia Rais huyo hakuhudhuria wala kushiriki katika shughuli yoyote ya kuadhimisha sikukuu hiyo
Soma https://jamii.app/MapumzikoHugharimuMarekani
#JamiiForums #JamiiAfrica #NationalCelebrations
❤4
Watafiti wa Masuala ya Usalama wamethibitisha kuwa hili ni tukio kubwa zaidi la uvujaji wa taarifa kuwahi kutokea baada ya nywila bilioni 16 pamoja na taarifa za Watumiaji wa Mitandao mbalimbali kuvuja kuanzia Januari 2025
Watafiti wamedai taarifa na nywila hizo zilikusanywa kwa kutumia programu hatari za kuiba taarifa (infostealer malware)
Tukio hilo limesababisha Wadukuaji kuiba akaunti za Watu, kufanya udanganyifu wa utambulisho (Identity theft) pamoja na kutuma mashambulizi ya kimtandao (phishing) kwa Watu wengine
Soma https://jamii.app/WorldLargestBreach
#JamiiForums #JamiiAfrica #CyberSecurity #DigitalSecurity
Watafiti wamedai taarifa na nywila hizo zilikusanywa kwa kutumia programu hatari za kuiba taarifa (infostealer malware)
Tukio hilo limesababisha Wadukuaji kuiba akaunti za Watu, kufanya udanganyifu wa utambulisho (Identity theft) pamoja na kutuma mashambulizi ya kimtandao (phishing) kwa Watu wengine
Soma https://jamii.app/WorldLargestBreach
#JamiiForums #JamiiAfrica #CyberSecurity #DigitalSecurity
Kijana unafahamu matumizi ya kodi nchini?
Fedha za umma si za viongozi ni za wananchi. Kama raia anayewajibika unayohaki ya kufuatilia miradi ya maendeleo, kuhoji kuhusu bajeti zake na kuhakikisha zinatumika kwa usahihi.
#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
Fedha za umma si za viongozi ni za wananchi. Kama raia anayewajibika unayohaki ya kufuatilia miradi ya maendeleo, kuhoji kuhusu bajeti zake na kuhakikisha zinatumika kwa usahihi.
#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
Mshiriki wa Shindano la Stories of Change Mwaka 2024, alishauri Serikali ibadilishe Mfumo wa Mitihani Vyuo Vikuu kutoka wa Maandishi na kuwa wa Vitendo kuendana na Mabadiliko yanayotokea sasa Duniani
Anasema hii inaweza kusaidia kupunguza changamoto ya Ajira, kwani Watu wengi wanapoajiriwa ndipo wanaanza kupewa Mafunzo ya Kazi fulani, ambayo angepewa akiwa anasoma.
Soma zaidi Andiko hili https://jamii.app/MitihaniVitendoChuo
#JamiiForums #Governance #JamiiAfrica #SOC2024 #Elimu
Anasema hii inaweza kusaidia kupunguza changamoto ya Ajira, kwani Watu wengi wanapoajiriwa ndipo wanaanza kupewa Mafunzo ya Kazi fulani, ambayo angepewa akiwa anasoma.
Soma zaidi Andiko hili https://jamii.app/MitihaniVitendoChuo
#JamiiForums #Governance #JamiiAfrica #SOC2024 #Elimu
MAREKANI: Mamlaka ya Chakula na Dawa (FDA) imeidhinisha dawa mpya iitwayo (Yeztugo) Lenacapavir ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya #UKIMWI, ambayo imeelezwa kupunguza hatari ya maambukizi kwa Asilimia 99.9
Dawa hiyo inatolewa kwa sindano mara mbili kwa Mwaka na inadaiwa inaweza kuuzwa kwa hadi Tsh. Milioni 66
Aidha, uidhinishwaji wa dawa hiyo umetokea wakati ambapo Serikali ya Trump imepunguza kwa kiasi kikubwa fedha zinazotolewa kwaajili ya huduma za matibabu na kinga dhidi ya #VVU, ndani na nje ya Marekani, jambo linalozua wasiwasi kuhusu upatikanaji wa dawa hiyo kwa Watu wa kipato cha chini
Soma https://jamii.app/DawaKuzuiaVVU
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFAfya
Dawa hiyo inatolewa kwa sindano mara mbili kwa Mwaka na inadaiwa inaweza kuuzwa kwa hadi Tsh. Milioni 66
Aidha, uidhinishwaji wa dawa hiyo umetokea wakati ambapo Serikali ya Trump imepunguza kwa kiasi kikubwa fedha zinazotolewa kwaajili ya huduma za matibabu na kinga dhidi ya #VVU, ndani na nje ya Marekani, jambo linalozua wasiwasi kuhusu upatikanaji wa dawa hiyo kwa Watu wa kipato cha chini
Soma https://jamii.app/DawaKuzuiaVVU
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFAfya
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
UGANDA: Naibu Waziri Mkuu wa Pili na Jenerali Mstaafu Moses Ali amechukua fomu za uteuzi ili kuwania Ubunge wa Jimbo la Adjumani West kupitia Chama cha National Resistance Movement (NRM), kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2026
Moses Ali amewahi kushikilia nyadhifa mbalimbali za juu Serikalini kwa Miaka mingi, ikiwa ni pamoja na kuwa Naibu Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni (2011–2016), kisha kupewa wadhifa wa Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza (2016–2021)
Wanaowania nafasi hizo wanatakiwa kuchukua fomu, kukusanya sahihi kutoka kwa Wanachama wa chama waliopo kwenye majimbo yao, na kurejesha fomu hizo zilizojazwa
Soma https://jamii.app/MkongweKuwaniaUbunge
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance
Moses Ali amewahi kushikilia nyadhifa mbalimbali za juu Serikalini kwa Miaka mingi, ikiwa ni pamoja na kuwa Naibu Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni (2011–2016), kisha kupewa wadhifa wa Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza (2016–2021)
Wanaowania nafasi hizo wanatakiwa kuchukua fomu, kukusanya sahihi kutoka kwa Wanachama wa chama waliopo kwenye majimbo yao, na kurejesha fomu hizo zilizojazwa
Soma https://jamii.app/MkongweKuwaniaUbunge
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance
❤2
Ukivitambua na kuvishinda Vizuizi vya ndani, unafungua mlango wa Mafanikio ya kweli.
Komesha Uvivu kwa kuchukua hatua, tuliza Hasira kwa Busara. Ndani yako kuna nguvu ya kubadilika.
#JamiiAfrica #JamiiForums #AmkaNaJF #GoodMorning #Maisha
Komesha Uvivu kwa kuchukua hatua, tuliza Hasira kwa Busara. Ndani yako kuna nguvu ya kubadilika.
#JamiiAfrica #JamiiForums #AmkaNaJF #GoodMorning #Maisha
❤1👍1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Naibu Spika na Mbunge wa Ilala (CCM), Mussa Zungu akiwaaga Wabunge na Watumishi wa Bunge Juni 20, 2025, amewahimiza kuwa na Ushupavu na kuwajali Wananchi hasa wale wa Kipato cha chini na Yatima kwani wanahitaji kusaidiwa
Soma https://jamii.app/ZunguAdabuHeshima
#JamiiForums #Accountability #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Bungeni
Soma https://jamii.app/ZunguAdabuHeshima
#JamiiForums #Accountability #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Bungeni
DAR: Taarifa ya Kanisa Katoliki imesema Maaskofu wameagiza maboresho ya Maadhimisho yanayohusu Daraja Takatifu, Nadhiri za Kitawa, Ndoa, Jubilei na Maziko ya Kikristo kutokana na kuwepo kwa tabia ya kuingiza matangazo mengi na hotuba nyingi kwenye Maadhimisho mbalimbali ya Kiliturujia
Taarifa imesema kwenye Mkutano Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania-TEC, Kikao cha 109, kilichofanyika Kurasini tarehe 16-19 Juni 2025, Maaskofu wameagiza mwishoni mwa Adhimisho (baada ya sala ya komuniyo), itatolewa mara moja Baraka ya mwisho
Hakutakuwa na hotuba za kupongezana, isipokuwa tu Mwadhimishaji (Paroko/Padri/Askofu/Rais wa TEC) atatambua kwa ufupi uwepo wa Wageni wa Kidini, Kiserikali, Kijamii na Waalikwa wote bila kuwapa nafasi ya kuongea, kutoa hotuba wala kusalimia. Mwadhimishi Mkuu anawajibika kuwaalika wageni kutoa zawadi zao na bila ya wao kutoa Salamu za pongezi.
Soma https://jamii.app/TECBanWanasiasa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #Accountability #Uwajibikaji
Taarifa imesema kwenye Mkutano Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania-TEC, Kikao cha 109, kilichofanyika Kurasini tarehe 16-19 Juni 2025, Maaskofu wameagiza mwishoni mwa Adhimisho (baada ya sala ya komuniyo), itatolewa mara moja Baraka ya mwisho
Hakutakuwa na hotuba za kupongezana, isipokuwa tu Mwadhimishaji (Paroko/Padri/Askofu/Rais wa TEC) atatambua kwa ufupi uwepo wa Wageni wa Kidini, Kiserikali, Kijamii na Waalikwa wote bila kuwapa nafasi ya kuongea, kutoa hotuba wala kusalimia. Mwadhimishi Mkuu anawajibika kuwaalika wageni kutoa zawadi zao na bila ya wao kutoa Salamu za pongezi.
Soma https://jamii.app/TECBanWanasiasa
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #Accountability #Uwajibikaji
❤4👍1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Viti Maalumu, Thea Ntara, amesisitiza Serikali kuwalipa Watumishi wa Vyuo Vikuu wakiwemo Wahadhiri madeni yao, akieleza wengi wao wanafanya kazi katika Mazingira magumu na hawajitokezi kugoma au kuonesha utovu wa Nidhamu
Ikumbukwe Januari 2025, Mdai wa JamiiForums.com aliandika hoja akisema "Chuo Kikuu Huria Tanzania lipeni Waajiriwa wenu pesa zao za kujikimu, mtawaua njaa na kuwafedhehesha Mtaani"
Mdau huyo alitoa Mfano kuwa Watumishi wanaohamishwa Vituo vya Kazi hukaa hadi zaidi ya Mwaka bila kupewa Fedha zao za kujikimu
Soma https://jamii.app/MbungeMadeniWahadhiri
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #Bungeni #JFMdau2025
Ikumbukwe Januari 2025, Mdai wa JamiiForums.com aliandika hoja akisema "Chuo Kikuu Huria Tanzania lipeni Waajiriwa wenu pesa zao za kujikimu, mtawaua njaa na kuwafedhehesha Mtaani"
Mdau huyo alitoa Mfano kuwa Watumishi wanaohamishwa Vituo vya Kazi hukaa hadi zaidi ya Mwaka bila kupewa Fedha zao za kujikimu
Soma https://jamii.app/MbungeMadeniWahadhiri
#JamiiForums #JamiiAfrica #Governance #Bungeni #JFMdau2025
👍1