This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla, leo Juni 18, 2025 amezungumzia hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2024 pamoja na Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Bajeti kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026, akisema bado deni letu ni himilivu, hivyo kama Waziri wa Fedha anakopa ili kuleta maendeleo akope, Bunge litapitisha
Soma https://jamii.app/KigwangallaMikopoMwigulu
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #JamiiAfrica #Bungeni
Soma https://jamii.app/KigwangallaMikopoMwigulu
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #JamiiAfrica #Bungeni
Ulitumia mbinu gani ili kufanikisha kujenga Nyumba yako ya kwanza? Ulichukua Mkopo au uliweka Akiba kidogokidogo?
Mjadala zaidi https://jamii.app/NyumbaMaraKwanza
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFChitChats #JFStories #Maisha
Mjadala zaidi https://jamii.app/NyumbaMaraKwanza
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFChitChats #JFStories #Maisha
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
GEITA: Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (#CCM) Bara, Stephen Wasira amesema tangu kupata uhuru, Tanzania imepata maendeleo makubwa na kwamba anayesema hakuna kilichofanyika anamfanisha na 'Kasuku' kwa kuwa anazungumza mambo kwa kukariri bila kujua maana yake
Amesema hayo Juni 17, 2025 alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara huko Wilayani Katoro
Soma https://jamii.app/WasiraKatoro
#Siasa #Governance #JamiiForums #Kuelekea2025
Amesema hayo Juni 17, 2025 alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara huko Wilayani Katoro
Soma https://jamii.app/WasiraKatoro
#Siasa #Governance #JamiiForums #Kuelekea2025
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
ARUSHA: Akizungumza katika tukio la Serikali kusaini Mkataba wa Ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Kisasa wa Arusha Council Sports Complex, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema “Nawaomba tumrudishe Mama, tutafanya makubwa zaidi.....mtakaposhtaki hamuwezi kufanikiwa.”
Uwanja huo ambao utajengwa eneo la Bondeni City, utakuwa na uwezo wa kubeba Watu kati ya 8000 - 10,000 walioketi, ukiwa umezungukwa na Viwanja vya Mpira wa Kikapu 2, Uwanja wa Mpira wa Wavu (1) na Viwanja vya Tenisi (2)
Soma https://jamii.app/KariaArusha
#JamiForums #JamiiAfrica #JFSports
Uwanja huo ambao utajengwa eneo la Bondeni City, utakuwa na uwezo wa kubeba Watu kati ya 8000 - 10,000 walioketi, ukiwa umezungukwa na Viwanja vya Mpira wa Kikapu 2, Uwanja wa Mpira wa Wavu (1) na Viwanja vya Tenisi (2)
Soma https://jamii.app/KariaArusha
#JamiForums #JamiiAfrica #JFSports
❤1
Mbio za Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Msimu wa 2024/25 zinaendelea kushika kasi, #Yanga imeendelea kubaki katika nafasi ya kwanza kwa kufikisha Pointi 76 baada ya kuiunga Tanzania Prisons Magoli 5-0, #Simba ipo nafasi ya pili ikiwa na alama 75 baada ya kuichapa KenGold Magoli 5-0 pia
Yanga imeshinda ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Sokoine Mkoani Mbeya wakati Simba nayo ilikuwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora
Timu hizo mbili zimesaliwa na michezo miwili kukamilisha Ligi, ukiwemo unaozikutanisha zenyewe mnamo Juni 25, 2025 kwenye Uwanja wa Mkapa, ambapo ni mchezo unaotarajiwa na wengi kuwa utaamua bingwa wa Ligi
Soma https://jamii.app/MbioZaUbingwa
#JamiiForums #JFSports #JFLigiKuu25
Yanga imeshinda ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Sokoine Mkoani Mbeya wakati Simba nayo ilikuwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora
Timu hizo mbili zimesaliwa na michezo miwili kukamilisha Ligi, ukiwemo unaozikutanisha zenyewe mnamo Juni 25, 2025 kwenye Uwanja wa Mkapa, ambapo ni mchezo unaotarajiwa na wengi kuwa utaamua bingwa wa Ligi
Soma https://jamii.app/MbioZaUbingwa
#JamiiForums #JFSports #JFLigiKuu25
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Viti Maalum, Jacqueline Ngonyani amesema amekoshwa na majibu yaliyotolewa na Rais Samia Suluhu kuelekea kwa Mbunge, Luhaga Mpina kwamba yalimfurahisha na kumpa furaha
Jana Juni 17, 2025, Rais Samia akiwa ziarani Mkoani Simiyu alisema Mbunge wa Kisesa (Mpina) 'amerukaruka' kwenye kutaja Mambo yaliyofanyika Jimboni kwake, huku akieleza amelidharau Jimbo lake kwa kusema "Kisesa iko kama Mwanamke aliyesuka Nywele"
Soma https://jamii.app/MbungeNgonyani
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025
Jana Juni 17, 2025, Rais Samia akiwa ziarani Mkoani Simiyu alisema Mbunge wa Kisesa (Mpina) 'amerukaruka' kwenye kutaja Mambo yaliyofanyika Jimboni kwake, huku akieleza amelidharau Jimbo lake kwa kusema "Kisesa iko kama Mwanamke aliyesuka Nywele"
Soma https://jamii.app/MbungeNgonyani
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025
❤2
Kijana, Kujua haki zako ni ngao ya kukulinda. Ukiwa na uelewa wa haki zako, unapata ujasiri wa kuzitetea si tu kwa ajili yako, bali pia kwa ajili ya wengine katika jamii.
Ni wajibu wetu sote kujielimisha kuhusu haki na majukumu yetu kama raia
Tuelewe sheria, sera na mifumo ya kisheria inayotuathiri na tushiriki kikamilifu katika michakato ya maamuzi ili kuhakikisha jamii yenye haki, usawa na uwajibikaji
#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
Ni wajibu wetu sote kujielimisha kuhusu haki na majukumu yetu kama raia
Tuelewe sheria, sera na mifumo ya kisheria inayotuathiri na tushiriki kikamilifu katika michakato ya maamuzi ili kuhakikisha jamii yenye haki, usawa na uwajibikaji
#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
SIMIYU: Rais Samia amesema “Halmashauri zote zijitahidi katika makusanyo ya Mapato, kwa upande wa TRA wanajitahidi sana lakini kwa Halmashauri mnakula nyingi mnaleta kidogo. Niwaombe sana mjizatiti katika makusanyo ili maendeleo yaendelee kama tulivyoyapeleka katika Miaka hii mitano”
Amesema hayo leo Juni 18, 2025 wakati akizungumza na Wananchi wa Bariadi
Soma https://jamii.app/HalmshauriMakusanyoKidogo
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Accountability
Amesema hayo leo Juni 18, 2025 wakati akizungumza na Wananchi wa Bariadi
Soma https://jamii.app/HalmshauriMakusanyoKidogo
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Accountability
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Jeshi la Polisi limetoa taarifa ya matukio ya Watu kupotea au kutekwa, kwa kusema taarifa zote zinazopokelewa huwa zinafanyiwa uchunguzi wa kukusanya ushahidi kutoka vyanzo mbalimbali, ili kupata ukweli wa taarifa ya nini kilichotokea ili kupata ushahidi wa kuthibitisha
Polisi imeeleza Kifungu cha 117 cha Sheria ya Ushahidi Sura ya 6 Marejeo ya Mwaka 2022 na Kifungu cha 161 cha Sheria ya Ndoa Sura ya 29 marejeo ya Mwaka 2019, dhana ya Mtu kuchukuliwa kuwa amekufa inapaswa kuthibitishwa na Mahakama baada ya Miaka mitano kupita, kulingana na vielelezo na ushahidi utakaowasilishwa
Soma https://jamii.app/PolisiKuhusuUtekaji
#JamiiForums #HumanRights #Accountability #Governance
Polisi imeeleza Kifungu cha 117 cha Sheria ya Ushahidi Sura ya 6 Marejeo ya Mwaka 2022 na Kifungu cha 161 cha Sheria ya Ndoa Sura ya 29 marejeo ya Mwaka 2019, dhana ya Mtu kuchukuliwa kuwa amekufa inapaswa kuthibitishwa na Mahakama baada ya Miaka mitano kupita, kulingana na vielelezo na ushahidi utakaowasilishwa
Soma https://jamii.app/PolisiKuhusuUtekaji
#JamiiForums #HumanRights #Accountability #Governance
❤2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Jeshi la Polisi limesema Sheikh Zuberi Said Nkokoo (53) Mwalimu wa dini na Kiongozi wa Taasisi ya Islam Foundation ya Singida ambaye iliripotiwa ametekwa, imebainika hakutekwa na anatarajiwa kufikishwa Mahakamani baada ya taratibu za Kisheria kukamilika
Taarifa ya Polisi imeeleza Sheikh Nkokoo alidai kutekwa na Watu aliowataja kuwa ni Askari wa Jeshi la Polisi, Juni 2, 2025 akiwa na Tsh. Milioni 42, lakini Uchunguzi umebaini alitengeneza tukio la uongo la kutekwa ili kukimbia madeni aliyokuwa akidaiwa na Watu mbalimbali (majina yao yamehifadhiwa) jumla ya Tsh. Milioni 521.5
Soma https://jamii.app/PolisiKuhusuUtekaji
#JamiiForums #HumanRights #Accountability #Governance
Taarifa ya Polisi imeeleza Sheikh Nkokoo alidai kutekwa na Watu aliowataja kuwa ni Askari wa Jeshi la Polisi, Juni 2, 2025 akiwa na Tsh. Milioni 42, lakini Uchunguzi umebaini alitengeneza tukio la uongo la kutekwa ili kukimbia madeni aliyokuwa akidaiwa na Watu mbalimbali (majina yao yamehifadhiwa) jumla ya Tsh. Milioni 521.5
Soma https://jamii.app/PolisiKuhusuUtekaji
#JamiiForums #HumanRights #Accountability #Governance
❤2🤣1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Jeshi la Polisi limeeleza Uchunguzi wa tukio la Novemba 11, 2024 lililomhusu Deogratius Tarimo, Mkazi wa Kibaha - Pwani ambaye alionekana kwenye picha mjongeo akipambana na Watu waliotaka kumteka ila wakashindwa, umeonesha Watuhumiwa sio Askari Polisi
Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, amesema uchunguzi ulibaini waliohusika sio Askari Polisi na chanzo cha tukio hilo ni wivu wa Mapenzi ambapo Watuhumiwa 6 walikamatwa na kufikishwa Mahakamani.
Soma https://jamii.app/PolisiKuhusuUtekaji
#JamiiForums #HumanRights #Accountability #Governance
Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, amesema uchunguzi ulibaini waliohusika sio Askari Polisi na chanzo cha tukio hilo ni wivu wa Mapenzi ambapo Watuhumiwa 6 walikamatwa na kufikishwa Mahakamani.
Soma https://jamii.app/PolisiKuhusuUtekaji
#JamiiForums #HumanRights #Accountability #Governance
❤1
Ndoto nyingi hufa kwa sababu wengi hukata tamaa kabla hawajaanza.
Wanaogopa kushindwa, wanasahau kuwa hata mafanikio yanaanza na makosa.
Usiache ndoto zako zife kwa woga au kushindwa mara moja. Jifunze, simama tena, songa mbele.
#JamiiAfrica #JamiiForums #Maisha #GoodMorning #AmkaNaJF
Wanaogopa kushindwa, wanasahau kuwa hata mafanikio yanaanza na makosa.
Usiache ndoto zako zife kwa woga au kushindwa mara moja. Jifunze, simama tena, songa mbele.
#JamiiAfrica #JamiiForums #Maisha #GoodMorning #AmkaNaJF
❤3
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
JFKUMBUKIZI: Machi 04, 2019 Hayati John Pombe Magufuli alizungumzia matukio ya Utekaji Nchini na kusema "Watanzania wanajua kuchambua mambo, na lilipotokea tukio la kutekwa kwa Mo Dewji zilikuja habari nyingi kwamba waliohusika na Utekaji ni Wazungu wa aina fulani lakini suala hilo lilipomalizika, liliacha maswali mengi zaidi."
Aliongeza kwa kusema wahusika walijaribu kulichoma Moto Gari lakini baadae aliyetekwa akaonekana anakunywa Chai na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam (wakati huo), Lazaro Mambosasa.
Soma https://jamii.app/MagufuliMatukioUtekaji
#JamiiForums #JFKumbukizi #JamiiAfrica #HumanRights #Transparency #Siasa
Aliongeza kwa kusema wahusika walijaribu kulichoma Moto Gari lakini baadae aliyetekwa akaonekana anakunywa Chai na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam (wakati huo), Lazaro Mambosasa.
Soma https://jamii.app/MagufuliMatukioUtekaji
#JamiiForums #JFKumbukizi #JamiiAfrica #HumanRights #Transparency #Siasa
❤2
Umeajiri Vijana katika Biashara yako? Ni Waaminifu?
Unamshauri Mdau atumie mbinu gani ili kushughulikia changamoto za Uaminifu kutoka kwa Vijana wake wa Dukani?
Mjadala zaidi? huu https://jamii.app/KijanaDukaniWizi
#JamiiForums #JamiiAfrica #Biashara #Uchumi #JFChitChats #JFStories
Unamshauri Mdau atumie mbinu gani ili kushughulikia changamoto za Uaminifu kutoka kwa Vijana wake wa Dukani?
Mjadala zaidi? huu https://jamii.app/KijanaDukaniWizi
#JamiiForums #JamiiAfrica #Biashara #Uchumi #JFChitChats #JFStories
❤2