Kila mafanikio yana safari yake. Usikate tamaa unapokutana na vikwazo; vinafundisha, vinakuimarisha na mwisho vinakuandaa kwa ushindi.
#JamiiForums #JamiiAfrica #AmkaNaJF #GoodMorning
#JamiiForums #JamiiAfrica #AmkaNaJF #GoodMorning
DAR: Mdau wa JamiiForums.com anatoa wito kwa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kufuatilia malipo ya mitihani ambayo Mwanafunzi hakufanya vizuri (Supplementary Examination), akidai baadhi ya Vyuo vinatoza gharama kubwa kuliko maelekezo ya Serikali
Anadai hiyo inawezekana ikatengenezwa mazingira ya Wanafunzi ‘kufelishwa’ ili Chuo kiingize malipo mengi ya Sup
Pia, anadai mifumo ya uendeshaji taasisi hizo za Elimu ikiwemo usajili wa Wanafunzi, matokeo na utoaji vyeti hakuna utaratibu wa kueleweka na kwamba baadhi ya Vyuo vimeweka namba za mawasiliano katika matangazo na mitandao ya kijamii lakini namba zao hazipokelewi na nyingine hazipatikani
Soma https://jamii.app/VyuoVyaKati
#JamiiForums #Accountability
Anadai hiyo inawezekana ikatengenezwa mazingira ya Wanafunzi ‘kufelishwa’ ili Chuo kiingize malipo mengi ya Sup
Pia, anadai mifumo ya uendeshaji taasisi hizo za Elimu ikiwemo usajili wa Wanafunzi, matokeo na utoaji vyeti hakuna utaratibu wa kueleweka na kwamba baadhi ya Vyuo vimeweka namba za mawasiliano katika matangazo na mitandao ya kijamii lakini namba zao hazipokelewi na nyingine hazipatikani
Soma https://jamii.app/VyuoVyaKati
#JamiiForums #Accountability
👍2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mdau wa JamiiForums.com anasema tukio la Waamuzi kubughudhiwa na kunusurika kupigwa kama ilivyotokea katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake kati ya Simba Queens na Mashujaa Queens, Mei 12, 2025, halitakiwi kuachwa kama lilivyo kwani ikiwa hivyo inaweza kutokea makubwa zaidi ya hapo
Anaeleza kuwa tukio hilo lililohusisha baadhi ya memba wa Benchi la Ufundi wa Simba Queens kuanzisha vurugu baada ya mchezo huo linaweza kuwa ni ishara kuna baadhi ya matukio ambayo sio mazuri yanayoendelea nyuma ya kamera
Mdau anasema kama mtu anaweza kufanya hivyo hadharani kukiwa na kamera, je Waamuzi ambao kawaida sio wazungumzaji katika Vyombo vya Habari, usalama wao upoje?
Soma https://jamii.app/WaamuziViwanjani
Video Credits: Tuzo Online
#JamiiForums #JFSports #JamiiAfrica
Anaeleza kuwa tukio hilo lililohusisha baadhi ya memba wa Benchi la Ufundi wa Simba Queens kuanzisha vurugu baada ya mchezo huo linaweza kuwa ni ishara kuna baadhi ya matukio ambayo sio mazuri yanayoendelea nyuma ya kamera
Mdau anasema kama mtu anaweza kufanya hivyo hadharani kukiwa na kamera, je Waamuzi ambao kawaida sio wazungumzaji katika Vyombo vya Habari, usalama wao upoje?
Soma https://jamii.app/WaamuziViwanjani
Video Credits: Tuzo Online
#JamiiForums #JFSports #JamiiAfrica
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema Sheria ya Tanzania inaeleza Mtanzania yeyote aliye nje ya mipaka akiwa na Hati ya Kusafiria (Passport) ni Mtanzania kama wengine lakini Diaspora ni yule ambaye ni Mzaliwa wa Tanzania anayeenda nje na kuukana uraia wake
Soma https://jamii.app/DiasporaUfafanuzi
#JamiiForums #Governance #Diplomacy
Soma https://jamii.app/DiasporaUfafanuzi
#JamiiForums #Governance #Diplomacy
#TANZIA: Sifa Bujuni aliyeimba wimbo wa “Tanzania Inaelekea Wapi?” yenye kionjo cha “Mnatuona Nyani tu” amefariki Dunia hospitali ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu. Baba Mzazi wa Marehemu amethibitisha taarifo za kifo chake
Ikumbukwe, Septemba 13, 2023, Sifa na wenzake Wawili walikamatwa huko Isyesye - Mbeya wakidaiwa kuandaa wimbo wenye maudhui ya uchochezi dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuusambaza kupitia mitandao ya kijamii pamoja na mtandao wa kurusha maudhui wa YouTube
Septemba 19, 2023, Sifa na wenzake Salome Mwampeta (Mwimbaji) na Mtayarishaji wa Wimbo huo, Hezekiel Millyashi George walipandishwa Mahakamani na kusomewa Shtaka la Kusambaza Taarifa za Uongo kwa njia ya Mtandao ambapo wote walikana na baadaye kesi yao kufutwa
Soma https://jamii.app/SifaAfariki
#JamiiAfrica #JamiiForums #FreedomOfExpression #Demokrasia #UhuruWaKujieleza
Ikumbukwe, Septemba 13, 2023, Sifa na wenzake Wawili walikamatwa huko Isyesye - Mbeya wakidaiwa kuandaa wimbo wenye maudhui ya uchochezi dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuusambaza kupitia mitandao ya kijamii pamoja na mtandao wa kurusha maudhui wa YouTube
Septemba 19, 2023, Sifa na wenzake Salome Mwampeta (Mwimbaji) na Mtayarishaji wa Wimbo huo, Hezekiel Millyashi George walipandishwa Mahakamani na kusomewa Shtaka la Kusambaza Taarifa za Uongo kwa njia ya Mtandao ambapo wote walikana na baadaye kesi yao kufutwa
Soma https://jamii.app/SifaAfariki
#JamiiAfrica #JamiiForums #FreedomOfExpression #Demokrasia #UhuruWaKujieleza
👍1
DAR: Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa taarifa kuwa ajali ya treni ya Mjini kwenda Pugu, iliyotokea Stesheni ya KAMATA kwenye makutano ya reli na Barabara ya Kawawa, jana Mei 13, 2025 imejeruhi Watu 10
TRC imesema ajali hiyo iliyohusisha mabehewa 12 yaliyobeba abiria takribani 1,200 na kuwa Wataalamu wa Shirika na Timu ya Afya ya Shirika, walifika kutoa msaada wa huduma ya kwanza, waliojeruhiwa wawili ni Wanaume na nane Wanawake walikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Amana
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano wa TRC, Fredy Mwanjala amesema chanzo cha ajali hiyo ambayo imesababisha mabehewa 6 kuathirika bado hakijafahamika lakini huduma ya usafiri wa treni ya Mjini kwenda Pugu inaendelea kama kawaida leo Mei 14, 2025
Soma https://jamii.app/TreniYaMjini
#JamiiForums #JFMatukio
TRC imesema ajali hiyo iliyohusisha mabehewa 12 yaliyobeba abiria takribani 1,200 na kuwa Wataalamu wa Shirika na Timu ya Afya ya Shirika, walifika kutoa msaada wa huduma ya kwanza, waliojeruhiwa wawili ni Wanaume na nane Wanawake walikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Amana
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano wa TRC, Fredy Mwanjala amesema chanzo cha ajali hiyo ambayo imesababisha mabehewa 6 kuathirika bado hakijafahamika lakini huduma ya usafiri wa treni ya Mjini kwenda Pugu inaendelea kama kawaida leo Mei 14, 2025
Soma https://jamii.app/TreniYaMjini
#JamiiForums #JFMatukio
👎1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mei 13, 2025 katika Ibada ya kumuaga aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali ya Zanzibar, Charles Hillary, Askofu Jackson Sosthenes (wa Kanisa la Anglikani - DSM), alizungumzia Matukio ya watu kuvamiwa, kutekwa na kuuawa, akisema wote wanaofanya vitendo hivyo, wanapora haki na Mamlaka ya Mungu ya kuchukua uhai wa binadamu
Zaidi https://jamii.app/MamlakaYaMungu
#JamiiForums #JamiiAfrica #SocialJustice #HumanRights #Accountability #Governance
Zaidi https://jamii.app/MamlakaYaMungu
#JamiiForums #JamiiAfrica #SocialJustice #HumanRights #Accountability #Governance
👍1
UHISPANIA: Nyota wa #RealMadrid, Rodrygo inadaiwa hana mpango wa kuendelea kuichezea Timu hiyo kutokana na nafasi anayocheza kutawaliwa na Jude Bellingham na Kylian Mbappe wanaopewa nafasi zaidi
Mtandao wa Marca umeeleza kuwa anataka kuondoka ili kwenda kutafuta sehemu nyingine atakayopata nafasi ya kucheza Mechi nyingi
Inadaiwa kilichomkera zaidi Rodrygo ni kitendo cha kutojumuishwa kwenye kikosi kilichocheza El Clasico (dhidi ya Barcelona), hivyo anajiona hana umuhimu
Soma https://jamii.app/RodrygoTransfer
#JamiiForums #JFSports #Michezo
Mtandao wa Marca umeeleza kuwa anataka kuondoka ili kwenda kutafuta sehemu nyingine atakayopata nafasi ya kucheza Mechi nyingi
Inadaiwa kilichomkera zaidi Rodrygo ni kitendo cha kutojumuishwa kwenye kikosi kilichocheza El Clasico (dhidi ya Barcelona), hivyo anajiona hana umuhimu
Soma https://jamii.app/RodrygoTransfer
#JamiiForums #JFSports #Michezo
UHISPANIA: Kipa wa #FCBarcelona, Wojciech Szczesny amesema anasubiri mwongozo wa Mkewe na Familia yake kabla ya kusaini Mkataba mpya wa kuendelea kubaki Klabuni hapo au kuondoka
Kipa huyo wa zamani wa Arsenal, alisajiliwa Oktoba 2024 ikiwa ni Mwezi mmoja tangu atangaze kustaafu akitokea Juventus, alipewa nafasi hiyo baada ya kipa chaguo la kwanza Marc-Andre ter Stegen kuumia goti
Szczesny na Luczenko walifunga Ndoa Mwaka 2016 baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa Miaka mitatu, walikutana wakati akiwa anaichezea #Arsenal
Soma https://jamii.app/SzczesnyTransfer
#JamiiForums #JFSports #Michezo
Kipa huyo wa zamani wa Arsenal, alisajiliwa Oktoba 2024 ikiwa ni Mwezi mmoja tangu atangaze kustaafu akitokea Juventus, alipewa nafasi hiyo baada ya kipa chaguo la kwanza Marc-Andre ter Stegen kuumia goti
Szczesny na Luczenko walifunga Ndoa Mwaka 2016 baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa Miaka mitatu, walikutana wakati akiwa anaichezea #Arsenal
Soma https://jamii.app/SzczesnyTransfer
#JamiiForums #JFSports #Michezo
👍2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson aliyasema hayo jana, Mei 13, 2025 wakati wa ibada ya mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Rais wa Kwanza, Cleopa David Msuya huko Usangi - Mwanga
Zaidi https://jamii.app/KwendaMbinguni
#JamiiForums #JamiiAfrica #Demokrasia #Kuelekea2025
Zaidi https://jamii.app/KwendaMbinguni
#JamiiForums #JamiiAfrica #Demokrasia #Kuelekea2025
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa kichama wa Kinondoni, Henry Kilewo ametangaza kujiondoa rasmi ndani ya chama hicho na kueleza “Hatuendi kuanza upya, tunabadili Jukwaa.”
Akizungumza na Wanahabari, leo Mei 14, 2025, Kilewo ambaye pia ni Mwanachama wa Kundi la G-55 ndani ya chama hicho amesema “Chama kama kimepoteza mwelekeo wa Kiuongozi, kimepoteza mwelekeo wa kutovumiliana Kidemokrasia. Nimekubaliana na nafsi yangu kuwa dhana iliyonivutia kujiunga CHADEMA haipo tena.”
Soma https://jamii.app/G55Mei14
#JamiiForums #Siasa #Democracy #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Akizungumza na Wanahabari, leo Mei 14, 2025, Kilewo ambaye pia ni Mwanachama wa Kundi la G-55 ndani ya chama hicho amesema “Chama kama kimepoteza mwelekeo wa Kiuongozi, kimepoteza mwelekeo wa kutovumiliana Kidemokrasia. Nimekubaliana na nafsi yangu kuwa dhana iliyonivutia kujiunga CHADEMA haipo tena.”
Soma https://jamii.app/G55Mei14
#JamiiForums #Siasa #Democracy #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
👍1
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo amesema yeye pamoja na Viongozi wengine wa Chama cha Mapinduzi wametembelea Kivuko cha Mto Rajabu ambapo Awamu ya Kwanza imekamilika na wapo kwenye utaratibu wa kuanza Awamu ya Pili
#Gambo, kupitia kurasa zake za Mitandao ya Kijamii ameandika “Jana pamoja na Viongozi wa Chama tulitembelea Kivuko cha Mto Rajabu kwenye Kata ya Sakina. Kivuko hiki Awamu ya Kwanza imekamilika na sasa tupo kwenye utaratibu wa kuanza awamu ya pili! Kazi na Utu: Tunasonga Mbele”
Soma https://jamii.app/GamboKivuko
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #ServiceDelivery #HudumaZaKijamii #Accountability #Uwajibikaji
#Gambo, kupitia kurasa zake za Mitandao ya Kijamii ameandika “Jana pamoja na Viongozi wa Chama tulitembelea Kivuko cha Mto Rajabu kwenye Kata ya Sakina. Kivuko hiki Awamu ya Kwanza imekamilika na sasa tupo kwenye utaratibu wa kuanza awamu ya pili! Kazi na Utu: Tunasonga Mbele”
Soma https://jamii.app/GamboKivuko
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #ServiceDelivery #HudumaZaKijamii #Accountability #Uwajibikaji
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina akiongelea mwenendo wa biashara na uwekezaji Nchini amesema taarifa ya 2022/23 kupitia Dirisha la Uwekezaji la Pamoja (One stop facilitation Centre) inaonesha kuwa miradi 240 ilisajiliwa, yenye thamani ya Trilioni 11.4, ambapo miradi 94 ni ya wageni, 89 Watanzania na 57 wabia
Ameeleza kwa mwaka 2023/24 maombi kwenye Tume ya Kugawa Ardhi kwaajili ya Uwekezaji yalikuwa 191 ambapo 130 yalikuwa ya Kampuni za wageni na 61 ya Watanzania hali inayoonesha wageni wanaongoza katika kupewa ardhi ya uwekezaji na uwekezaji kuliko Wazawa
Ameyasema hayo akichangia Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara Bungeni, leo Mei 14, 2025
Zaidi https://jamii.app/MpinaBungeniMei14
#JamiiForums #JamiiAfrica #Biashara #Uwekezaji #Uchumi
Ameeleza kwa mwaka 2023/24 maombi kwenye Tume ya Kugawa Ardhi kwaajili ya Uwekezaji yalikuwa 191 ambapo 130 yalikuwa ya Kampuni za wageni na 61 ya Watanzania hali inayoonesha wageni wanaongoza katika kupewa ardhi ya uwekezaji na uwekezaji kuliko Wazawa
Ameyasema hayo akichangia Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara Bungeni, leo Mei 14, 2025
Zaidi https://jamii.app/MpinaBungeniMei14
#JamiiForums #JamiiAfrica #Biashara #Uwekezaji #Uchumi
Raia wa Norway huwa na utaratibu wa kuwaacha Watoto wao nje iwe ni msimu wa joto au wa baridi kali kwa madai kuwa ni njia moja wapo ya Watoto hao wachanga kupata hewa safi na kujenga kinga dhidi ya Magonjwa kama Mafua na kikohozi
Utaratibu huu ukifanyika wakati wa baridi Watoto huvishwa nguo za joto na kuachwa kwenye Magari ya Kutembelea Watoto (Stroller) na mara nyingine hutumia Kipima Joto kufuatilia hali ya hewa
Mdau unaweza kumuacha mwanao nje kwenye baridi ili kuimarisha kinga yake dhidi ya Magonjwa ya Msimu wa Baridi?
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #ParentHood #Lifestyle
Utaratibu huu ukifanyika wakati wa baridi Watoto huvishwa nguo za joto na kuachwa kwenye Magari ya Kutembelea Watoto (Stroller) na mara nyingine hutumia Kipima Joto kufuatilia hali ya hewa
Mdau unaweza kumuacha mwanao nje kwenye baridi ili kuimarisha kinga yake dhidi ya Magonjwa ya Msimu wa Baridi?
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #ParentHood #Lifestyle
👍1