DAR: Timu ya #Simba imeendeleza mbio za Ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa kasi, hiyo ni baada ya kuichapa #PambaJiji Magoli 5-1 kwenye Uwanja wa KMC Complex
Kiungo mshambuliaji Jean Ahoua amefunga magoli matatu (hat trick dakika ya 15, 36 na 48) huku mawili yakifungwa na Leonel Ateba (80 na 84), goli la Pamba Jiji limewekwa wavuni na Mathew Tegisi dakika ya 85
Ushindi huo unaifanya Simba ifikishe alama 66 katika michezo 25 ikiwa nyuma ya #Yanga yenye pointi 70 katika michezo 26 wakati Pamba Jiji ipo nafasi ya 13 kwa kuwa na pointi 27 katika mechi 27
Soma https://jamii.app/SimbaPamba
#JamiiForums #JFLigiKuu25 #JFSports
Kiungo mshambuliaji Jean Ahoua amefunga magoli matatu (hat trick dakika ya 15, 36 na 48) huku mawili yakifungwa na Leonel Ateba (80 na 84), goli la Pamba Jiji limewekwa wavuni na Mathew Tegisi dakika ya 85
Ushindi huo unaifanya Simba ifikishe alama 66 katika michezo 25 ikiwa nyuma ya #Yanga yenye pointi 70 katika michezo 26 wakati Pamba Jiji ipo nafasi ya 13 kwa kuwa na pointi 27 katika mechi 27
Soma https://jamii.app/SimbaPamba
#JamiiForums #JFLigiKuu25 #JFSports
π1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
VATICAN: Robert Francis Prevost (69), raia wa Marekani ametangazwa kuwa Papa Mpya wa 267 wa Kanisa Katoliki, leo Mei 8, 2025 akichukua nafasi hiyo baada ya kifo cha Papa Francis (88) aliyefariki Aprili 21, 2025
Mara baada ya Papa kutambulishwa imeelezwa atakuwa anatambulika kwa jina la Pope Leo XIV
Idadi ya Wapigakura ilikuwa ni Makardinali 133 walio chini ya umri wa Miaka 80 na Mshindi alihitajika kupata angalau Kura 89, sawa na theluthi mbili ya kura zote
Soma https://jamii.app/PapaMpya
#JamiiForums
Mara baada ya Papa kutambulishwa imeelezwa atakuwa anatambulika kwa jina la Pope Leo XIV
Idadi ya Wapigakura ilikuwa ni Makardinali 133 walio chini ya umri wa Miaka 80 na Mshindi alihitajika kupata angalau Kura 89, sawa na theluthi mbili ya kura zote
Soma https://jamii.app/PapaMpya
#JamiiForums
β€1π1
Andiko hili la Stories of Change 2022 limeshauri TANROADS kuwa na Utaratibu wa kukagua Barabara mara kwa mara sabau Watendaji wanapojifungia Ofisini kwa muda mrefu, ndipo hata kunapotokea tatizo Barabarani, inachukua muda mrefu kulishughulikia
Pia, anasema ulinzi wa Miundombinu hii ni wajibu kwa kila Mwananchi. Unapoona walakini mahali toa taarifa kwa wahusika ili wanaposhindwa kuchukua hatua kwa wakati wawajibishwe kwa Ushahidi wa kushindwa kwao
Soma Andiko hili zaidi https://jamii.app/UlinziMiundombinu
#JamiiForums #JamiiAfrica #SOC2022 #Accountability #Uwajibikaji
Pia, anasema ulinzi wa Miundombinu hii ni wajibu kwa kila Mwananchi. Unapoona walakini mahali toa taarifa kwa wahusika ili wanaposhindwa kuchukua hatua kwa wakati wawajibishwe kwa Ushahidi wa kushindwa kwao
Soma Andiko hili zaidi https://jamii.app/UlinziMiundombinu
#JamiiForums #JamiiAfrica #SOC2022 #Accountability #Uwajibikaji
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, mjadala kuhusu Marekebisho ya Mfumo wa Uchaguzi (Reforms) haukwepeki. Kuna wanaosema reforms tayari zimefanyika, huku wengine vikisema bado kuna kasoro na wengine wakisema hawatashiriki Uchaguzi hadi kasoro hizo zishughulikiwe
Maswali muhimu ni je, βReformsβ zilizofanyika zinatosha? Kwanini sauti ya pamoja ya Vyama haijasikika? Vyama vingine vinaona umuhimu wa βreformsβ? Je, Wananchi wanafahamu mabadiliko yaliyofanywa na kuyaridhia?
Kufahamu haya na mengine, jiunge nasi katika Mjadala, kupitia Xspaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025 kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #Kuelekea2025 #ReformsSpace #Accountability #Democracy #FreeAndFairElections
Maswali muhimu ni je, βReformsβ zilizofanyika zinatosha? Kwanini sauti ya pamoja ya Vyama haijasikika? Vyama vingine vinaona umuhimu wa βreformsβ? Je, Wananchi wanafahamu mabadiliko yaliyofanywa na kuyaridhia?
Kufahamu haya na mengine, jiunge nasi katika Mjadala, kupitia Xspaces ya JamiiForums, Mei 12, 2025 kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://jamii.app/ReformsSpace
#ElectionReforms #Kuelekea2025 #ReformsSpace #Accountability #Democracy #FreeAndFairElections
π2β€1
Warembo mpo? Mdau wa Jukwaa la Urembo, Mitindo na Utanashati (LifeStyle), ndani ya JamiiForums.com amehoji baada ya kusuka Rasta ama vinginevyo, ni kwa muda gani inafaa kuziosha au kusuka tena ili kuepusha usumbufu na Kero kwa wengine?
Wadada, mnafumua Nywele zikianza kutoa harufu au hadi gharama ya kusuka irudi?
Mjadala https://jamii.app/UsafiWaNywele
#JamiiAfrica #JamiiForums #LifeStyle #Maisha
Wadada, mnafumua Nywele zikianza kutoa harufu au hadi gharama ya kusuka irudi?
Mjadala https://jamii.app/UsafiWaNywele
#JamiiAfrica #JamiiForums #LifeStyle #Maisha
Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/24 imebaini Miundombinu ya alama za Barabarani katika makutano muhimu Dar es Salaam imepitwa na wakati, hali iliyosababisha hitaji la udhibiti wa foleni kwa Mikono kupitia Askari wa Usalama Barabarani
Aidha, ukosefu wa bajeti ya kutosha umekwamisha juhudi za matengenezo, ambapo Tsh. Bilioni 1.8 hutengwa kwa Mwaka ikilinganishwa na mahitaji halisi ya Tsh. Bilioni 200
Pia, imebainika kuna upungufu wa alama za Barabarani, ambapo Barabara ya Bagamoyo ina upungufu wa Taa za Barabarani kwa 73%, huku mistari ya Barabarani iliyofifia na ukosefu wa alama za Barabara vikiongeza hatari za ajali.
Soma https://jamii.app/CAGBarabaraDar
#JamiiForums #JamiiAfrica #ServiceDelivery #HudumaZaKijamii #Accountability #Uwajibikaji
Aidha, ukosefu wa bajeti ya kutosha umekwamisha juhudi za matengenezo, ambapo Tsh. Bilioni 1.8 hutengwa kwa Mwaka ikilinganishwa na mahitaji halisi ya Tsh. Bilioni 200
Pia, imebainika kuna upungufu wa alama za Barabarani, ambapo Barabara ya Bagamoyo ina upungufu wa Taa za Barabarani kwa 73%, huku mistari ya Barabarani iliyofifia na ukosefu wa alama za Barabara vikiongeza hatari za ajali.
Soma https://jamii.app/CAGBarabaraDar
#JamiiForums #JamiiAfrica #ServiceDelivery #HudumaZaKijamii #Accountability #Uwajibikaji
π1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mdau wa JamiiForums.com anaeleza kuwa hali ya Mvua imesababisha changamoto ya foleni, katika maeneo mengi ikiwemo Barabara ya Morogoro hasa katika maeneo ya Ubungo, Kimara Mwisho, Stop Over na Mbezi Temboni
Anasema changamoto ya foleni imekuwepo kila siku asubuhi hata kama hakuna Mvua na Mvua ikinyesha hali ndio inakuwa mbaya zaidi. Anahoji, hakuna namna Mamlaka zinaweza kufanya kukabiliana na kero hiyo?
Soma https://jamii.app/UbungoMbezi
#JamiiForums #Accountability #ServiceDelivery
Anasema changamoto ya foleni imekuwepo kila siku asubuhi hata kama hakuna Mvua na Mvua ikinyesha hali ndio inakuwa mbaya zaidi. Anahoji, hakuna namna Mamlaka zinaweza kufanya kukabiliana na kero hiyo?
Soma https://jamii.app/UbungoMbezi
#JamiiForums #Accountability #ServiceDelivery
β€1π1
SHERIA: Wakili Bashir Yakub amechambua kuhusu kosa la Uhaini kupitia andiko lake ndani ya JamiiForums.com, akisema Kifungu cha 39 Kanuni za Adhabu, RE 2022 kinaelezea matendo ambayo yanahesabika kuwa ni makosa ya Uhaini
Soma https://jamii.app/KosaLaUhaini
#JFSheria #JamiiForums #CivilRights
Soma https://jamii.app/KosaLaUhaini
#JFSheria #JamiiForums #CivilRights
Historia inaeleza baada ya Said Mwamwindi kumuua Dkt. Wilbert Kleruu, Mwamwindi alichukua kofia ya pama ya Kleruu akaivaa, akaubeba Mwili (akisaidiwa na Mtoto wake) na kuuweka kwenye buti la Gari alilokuja nalo Marehemu na kisha kuendesha kuelekea Kituo cha Polisi Iringa Mjini kujisalimisha
Mahakamani, Mwamwindi alijitetea kuwa alipokuwa anamuua Kleruu alirukwa na Akili, ila Jaji aliukataa utetezi huo kwa kutilia maanani kwamba baada ya Mshitakiwa kughadhibishwa ndipo alipokwenda ndani kuchukua Bunduki ambayo aliitumia kuua
Kesi ya Mwamwindi ni miongoni mwa zile chache ambapo adhabu ya kifo ilitekelezwa nchini, kabla ya kusitishwa kwa vitendo kwa utekelezaji wa adhabu hiyo tangu miaka ya 1990
Bonyeza hapa kusoma Historia hii kwa urefu zaidi https://jamii.app/DktKleruuKifoMwamwindi
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFKumbukizi #Historia
Mahakamani, Mwamwindi alijitetea kuwa alipokuwa anamuua Kleruu alirukwa na Akili, ila Jaji aliukataa utetezi huo kwa kutilia maanani kwamba baada ya Mshitakiwa kughadhibishwa ndipo alipokwenda ndani kuchukua Bunduki ambayo aliitumia kuua
Kesi ya Mwamwindi ni miongoni mwa zile chache ambapo adhabu ya kifo ilitekelezwa nchini, kabla ya kusitishwa kwa vitendo kwa utekelezaji wa adhabu hiyo tangu miaka ya 1990
Bonyeza hapa kusoma Historia hii kwa urefu zaidi https://jamii.app/DktKleruuKifoMwamwindi
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFKumbukizi #Historia
π2
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
ARUSHA: Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge la Tanzania halijatimiza wajibu wake wa kuwasemea Wananchi katika kushughulikia masuala nyeti ya Kitaifa ndio maana Bunge la Ulaya limeamua kujukua majukumu hayo
Amesema βTunaona Bunge la Ulaya ndilo linayajadili mambo yanayopaswa kujadiliwa na Bunge la Tanzania, hii ni ishara kuwa Bunge letu limekosa uthubutu na linaogopa wajibu wake.β
Ameeleza hayo Mei 8, 2025 katika Mkutano wa TLS uliojadili hali ya Kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma https://jamii.app/MwabukusiMaoni
#JamiiForums #Democracy #JFMatukio
Amesema βTunaona Bunge la Ulaya ndilo linayajadili mambo yanayopaswa kujadiliwa na Bunge la Tanzania, hii ni ishara kuwa Bunge letu limekosa uthubutu na linaogopa wajibu wake.β
Ameeleza hayo Mei 8, 2025 katika Mkutano wa TLS uliojadili hali ya Kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma https://jamii.app/MwabukusiMaoni
#JamiiForums #Democracy #JFMatukio
π2
Serikali ya Tanzania imetoa tamko kujibu maazimio ya Bunge la Ulaya yaliyotolewa Mei 8, 2025 kuhusu mwenendo wa mashauri ya Kisheria kwa kueleza kuwa Tanzania inashikilia misingi ya Utawala wa Sheria, Demokrasia na Haki za Binadamu kwa mujibu wa Katiba yake
Tanzania inaendelea kuthamini ushirikiano wake na Umoja wa Ulaya na iko tayari kwa mazungumzo ya wazi, yenye heshima na yanayozingatia ushahidi kuhusu masuala ya maslahi na umuhimu wa pamoja, ambayo lazima yajengwe juu ya uwazi, usawa, kuheshimiana na uelewa wa uhuru wa Taasisi za kila nchi, Katiba zake na muktadha wa Sheria na Utamaduni wa kila Taifa
Tamko limeeleza kuwa Serikali ya Tanzania inathibitisha dhamira yake ya kulinda amani, kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa 2025 huru na wa haki, kulinda haki na uhuru wa msingi wa Wananchi wote kwa mujibu wa Katiba
Soma https://jamii.app/TamkoLaTanzania
#JamiiForums #JFDiplomacy #Diplomasia #Governance #CivilRights
Tanzania inaendelea kuthamini ushirikiano wake na Umoja wa Ulaya na iko tayari kwa mazungumzo ya wazi, yenye heshima na yanayozingatia ushahidi kuhusu masuala ya maslahi na umuhimu wa pamoja, ambayo lazima yajengwe juu ya uwazi, usawa, kuheshimiana na uelewa wa uhuru wa Taasisi za kila nchi, Katiba zake na muktadha wa Sheria na Utamaduni wa kila Taifa
Tamko limeeleza kuwa Serikali ya Tanzania inathibitisha dhamira yake ya kulinda amani, kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa 2025 huru na wa haki, kulinda haki na uhuru wa msingi wa Wananchi wote kwa mujibu wa Katiba
Soma https://jamii.app/TamkoLaTanzania
#JamiiForums #JFDiplomacy #Diplomasia #Governance #CivilRights