This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
SIASA: Mwanasiasa Godbless Lema ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA) Kanda ya Kaskazini amezungumza na Wanahabari, leo Januari 14, 2025 na kutangaza kuwa anamuunga mkono Tundu Lissu katika kuwania nafasi ya Uenyekiti wa chama hicho dhidi ya #FreemanMbowe ambaye anatetea nafasi hiyo
Soma https://jamii.app/LemaPress
#JamiiForums #JFMatukio #Siasa #Democracy
Soma https://jamii.app/LemaPress
#JamiiForums #JFMatukio #Siasa #Democracy
π1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
SIASA: Aliyekuwa Mwenyekiti wa #CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema Mwenyekiti wa chama hicho, #FreemanMbowe aliwahi kumwambia kuwa amechoka na anahitaji kupata watu wa kumsaidia kazi hiyo
Soma https://jamii.app/LemaPress
#JamiiForums #JFMatukio #Siasa #Democracy
Soma https://jamii.app/LemaPress
#JamiiForums #JFMatukio #Siasa #Democracy
π1
#BURUNDI: Washiriki watatu waandamizi wa timu ya ushauri ya Rais Evariste Ndayishimiye wamepelekwa Gereza Kuu la Mpimba, #Bujumbura, wakikabiliwa na tuhuma za Uhaini
Maafisa hao wanatuhumiwa kuwaachia huru baadhi ya Wafungwa wa Makosa ya Ubakaji na Mauaji ambao hawakuwemo kwenye Orodha ya Wafungwa waliopata Msamaha wa Rais
Soma https://jamii.app/SeriorsJailedNdayishimiye
#JamiiForums #Governance
Maafisa hao wanatuhumiwa kuwaachia huru baadhi ya Wafungwa wa Makosa ya Ubakaji na Mauaji ambao hawakuwemo kwenye Orodha ya Wafungwa waliopata Msamaha wa Rais
Soma https://jamii.app/SeriorsJailedNdayishimiye
#JamiiForums #Governance
π3
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
SIASA: Aliyekuwa Mwenyekiti wa #CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ambaye ametangaza kumuunga mkono #TunduLissu katika kuwania nafasi ya Uenyekiti wa chama hicho, amesema suala la uendeshaji wa chama hautakiwi kutegemea fedha za Mtu mmoja
Pia, amehoji βKama Makamu Mwenyekiti wako huwezi kumuamini kumuachia chama, ni nani utamuamini na kumuachia chama?β
Soma https://jamii.app/LemaPress
#JamiiForums #JFMatukio #Siasa #Democracy
Pia, amehoji βKama Makamu Mwenyekiti wako huwezi kumuamini kumuachia chama, ni nani utamuamini na kumuachia chama?β
Soma https://jamii.app/LemaPress
#JamiiForums #JFMatukio #Siasa #Democracy
π3
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dkt. Dorothy Gwajima akizungumzia tabia ya Wazazi/Walezi kutoa adhabu kali kwa Watoto ikiwemo kuwapiga kila mara
Soma https://jamii.app/GwajimaVipigoWatoto
#JamiiForums #Malezi #Maisha #ChildRights #HakiMtoto
Soma https://jamii.app/GwajimaVipigoWatoto
#JamiiForums #Malezi #Maisha #ChildRights #HakiMtoto
β€1
#MICHEZO: Shirikisho la Soka Afrika (#CAF) limetoa adhabu ya faini ya Dola 40,000 (zaidi ya Tsh. Milioni 100) kwa Klabu ya Simba pamoja na kutakiwa kucheza Mechi moja bila Mashabiki, ambapo itakuwa dhidi ya CS Constantine
Adhabu hizo zimetolewa kutokana na vurugu zilizofanywa na Mashabiki katika Mchezo dhidi ya CS Sfaxien wa Desemba 15, 2024 kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam
Kutokana na adhabu hiyo, Simba imesitisha mauzo ya tiketi ya mchezo wao ujao na kueleza ambao wameshanunua tiketi, zitatumika katika Mchezo ujao wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho
Soma https://jamii.app/SimbaAdhabuVurugu
#JamiiForums #Sports #JFCAFCC
Adhabu hizo zimetolewa kutokana na vurugu zilizofanywa na Mashabiki katika Mchezo dhidi ya CS Sfaxien wa Desemba 15, 2024 kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam
Kutokana na adhabu hiyo, Simba imesitisha mauzo ya tiketi ya mchezo wao ujao na kueleza ambao wameshanunua tiketi, zitatumika katika Mchezo ujao wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho
Soma https://jamii.app/SimbaAdhabuVurugu
#JamiiForums #Sports #JFCAFCC
π2π’2π1
Kila mafanikio huanza na kujua unachotaka na sababu ya kukitaka
Fanya tafakari ya kina, weka malengo yako wazi, na elewa kwanini ni muhimu kwako. Ukishajua hili, hatua za kufanikisha lengo lako zitakuwa rahisi kufuata
Anza leo kwa kuweka malengo yako wazi na kuyafanyia kazi kwa uthubutu na bidii
#JamiiForums #Maisha #Goodmorning #MorningQuote #LifeTips
Fanya tafakari ya kina, weka malengo yako wazi, na elewa kwanini ni muhimu kwako. Ukishajua hili, hatua za kufanikisha lengo lako zitakuwa rahisi kufuata
Anza leo kwa kuweka malengo yako wazi na kuyafanyia kazi kwa uthubutu na bidii
#JamiiForums #Maisha #Goodmorning #MorningQuote #LifeTips
π1
KAGERA: Mdau wa JamiiForums.com ametoa wito kwa Mamlaka kuchunguza Ukarabati wa Kituo cha Mabasi Bukoba, mradi uliotengewa Tsh. Bilioni 1 za Serikali maarufu kwa jina la "Bilioni za Rais Samiaβ kisha kuonekana kama umetelekezwa tangu Oktoba 2023
Anatoa wito kwa kuwa mara ya kwanza fedha hizo zilitaka βkupigwaβ na baadhi ya Watumishi wa Manispaa ya Bukoba kama alivyosema Mkuu wa Mkoa huo, ifuatiliwe isije kuwa hali hiyo imejirudia na kusababisha Mradi kusimama
Soma https://jamii.app/UkarabatiKituoMabasiKutelekezwa
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #ServiceDelivery
Anatoa wito kwa kuwa mara ya kwanza fedha hizo zilitaka βkupigwaβ na baadhi ya Watumishi wa Manispaa ya Bukoba kama alivyosema Mkuu wa Mkoa huo, ifuatiliwe isije kuwa hali hiyo imejirudia na kusababisha Mradi kusimama
Soma https://jamii.app/UkarabatiKituoMabasiKutelekezwa
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #ServiceDelivery
MWANZA: Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kudai kuwa kuna changamoto kadhaa ndani ya mfumo wa Chuo Kikuu cha SAUT (Augustine University of Tanzania - SAUT), ufafanuzi umetolewa
Taarifa iliyotolewa na Afisa Uhusiano wa Chuo Kikuu cha SAUT, Medard Wilfred imesema kuwa mfumo huo umeimarishwa tofauti na uliokuwa unatumika awali na kunapofanyika mabadiliko yoyote ya taarifa za Wanafunzi katika mfumo huo zitaonekana
Soma https://jamii.app/MfumoMatokeoSAUT
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #ServiceDelivery
Taarifa iliyotolewa na Afisa Uhusiano wa Chuo Kikuu cha SAUT, Medard Wilfred imesema kuwa mfumo huo umeimarishwa tofauti na uliokuwa unatumika awali na kunapofanyika mabadiliko yoyote ya taarifa za Wanafunzi katika mfumo huo zitaonekana
Soma https://jamii.app/MfumoMatokeoSAUT
#JamiiForums #Accountability #JFUwajibikaji #ServiceDelivery
MWANZA: Mdau wa JamiiForums.com ametoa wito kwa Mamlaka kushughulia Barabara Mtaa wa Chenga ambayo imekuwa kero kwa Wakazi wa eneo hilo
Upande wa Serikali za Mitaa, Mwenyekiti Venance Edward amesema kuwa Changamoto hiyo inajulikana na imewasilishwa TARURA lakini hawajazuia Wananchi kufukia au kushughulikia barabara hizo mbovu
Soma https://jamii.app/BarabaraMtaaChengaMbovu
#JamiiForums #JFUwajibikaji #ServiceDelivery #Accountability
Upande wa Serikali za Mitaa, Mwenyekiti Venance Edward amesema kuwa Changamoto hiyo inajulikana na imewasilishwa TARURA lakini hawajazuia Wananchi kufukia au kushughulikia barabara hizo mbovu
Soma https://jamii.app/BarabaraMtaaChengaMbovu
#JamiiForums #JFUwajibikaji #ServiceDelivery #Accountability
β€2