RAIS SAMIA AAGIZA TAKUKURU NA ZAECA KUCHUNGUZA MIRADI ILIYOBAINIKA KUWA NA WIZI
Amezitaka Taasisi hizo kuwachukulia hatua Wasimamizi wa Miradi iliyobainika kuwa na Ufujaji, Wizi, Matumizi Mabaya ya Fedha, na #Rushwa wakati wa zoezi la Mwenge
Soma https://jamii.app/RushwaMiradi
#KemeaRushwa
Amezitaka Taasisi hizo kuwachukulia hatua Wasimamizi wa Miradi iliyobainika kuwa na Ufujaji, Wizi, Matumizi Mabaya ya Fedha, na #Rushwa wakati wa zoezi la Mwenge
Soma https://jamii.app/RushwaMiradi
#KemeaRushwa
๐1
KENYA: WASIOSAJILI LAINI ZA SIMU KUZIMIWA MAWASILIANO OKTOBA 15
Watumiaji wa Simu wamebaki na chini ya Saa 24 kukamilisha Usajili wa Laini kabla Mamlaka ya Mawasiliano (CAK) haijachukua uamuzi huo
> CAK imesema lengo ni kuwalinda Watumiaji
Soma https://jamii.app/LainiKE
#DigitalRights
Watumiaji wa Simu wamebaki na chini ya Saa 24 kukamilisha Usajili wa Laini kabla Mamlaka ya Mawasiliano (CAK) haijachukua uamuzi huo
> CAK imesema lengo ni kuwalinda Watumiaji
Soma https://jamii.app/LainiKE
#DigitalRights
๐16๐ฅ1๐1
WASAFIRI KITUO CHA MAGUFULI KUPIMWA EBOLA
Utaratibu huo unawahusu abiria wanaotoka mikoa ya mipakani na Nchi jirani hasa wanaotokea mikoa ambayo Serikali imetangaza kwamba ipo kwenye hatari ya kupata maambukizi ya #Ebola
Soma https://jamii.app/KupimaEbola
#PublicHealth
Utaratibu huo unawahusu abiria wanaotoka mikoa ya mipakani na Nchi jirani hasa wanaotokea mikoa ambayo Serikali imetangaza kwamba ipo kwenye hatari ya kupata maambukizi ya #Ebola
Soma https://jamii.app/KupimaEbola
#PublicHealth
๐19๐4
MWANZA: UTORO NA MIMBA VYAKWAMISHA WANAFUNZI 70 KUMALIZA KIDATO CHA 4
Idadi hiyo ni kati ya Watoto 130 walioanza kidato cha kwanza Mwaka 2019 katika Shule ya Sekondari Kishinda, Sengerema
> Diwani aagiza Uongozi kuchukua hatua za haraka
Soma https://jamii.app/UtoroMWZ
#HakiMtoto
Idadi hiyo ni kati ya Watoto 130 walioanza kidato cha kwanza Mwaka 2019 katika Shule ya Sekondari Kishinda, Sengerema
> Diwani aagiza Uongozi kuchukua hatua za haraka
Soma https://jamii.app/UtoroMWZ
#HakiMtoto
๐ค9๐5
UGANDA: Rais Museveni amesaini Sheria yenye vifungu vya kuwabana Watumiaji Mitandao endapo watachapisha au kusambaza taarifa mbaya kuhusu Serikali au Watu Binafsi
Pia, inazuia kupata taarifa za Mtu mwingine bila idhini yake
Soma https://jamii.app/MitandaoUG
#DataProtection #DigitalRight
Pia, inazuia kupata taarifa za Mtu mwingine bila idhini yake
Soma https://jamii.app/MitandaoUG
#DataProtection #DigitalRight
๐7๐6โค2๐1๐1
LEBANON: WANANCHI WALAZIMIKA KUTUMIA SILAHA KUTOA FEDHA ZAO BENKI
Benki zimeweka masharti magumu ya kutoa Fedha kutokana na Mgogoro wa Kifedha unaoendelea
> Hivi karibuni Mwanamke mmoja ametumia Bunduki ya Bandia kutoa Hela kwa ajili ya Matibabu
Soma https://jamii.app/LebanonBenki
Benki zimeweka masharti magumu ya kutoa Fedha kutokana na Mgogoro wa Kifedha unaoendelea
> Hivi karibuni Mwanamke mmoja ametumia Bunduki ya Bandia kutoa Hela kwa ajili ya Matibabu
Soma https://jamii.app/LebanonBenki
๐12๐ค4๐3๐2
GENEVA: TANZANIA YAOMBA MSAADA WA KUREJESHA WAKIMBIZI KWAO
Waziri Hamad Masauni ameiambia UNHCR hali ya Kisiasa imeimarika #Burundi na hivyo Wakimbizi wa Nyarugusu na Ndutu waondolewe
Tanzania ina Wakimbizi 136,221 kutoka Burundi
Soma https://jamii.app/RefugeTZ
#HumanRights
Waziri Hamad Masauni ameiambia UNHCR hali ya Kisiasa imeimarika #Burundi na hivyo Wakimbizi wa Nyarugusu na Ndutu waondolewe
Tanzania ina Wakimbizi 136,221 kutoka Burundi
Soma https://jamii.app/RefugeTZ
#HumanRights
๐14๐1
JE, WAJUA?: Mwaka 2021, kati ya Wanafunzi 395 ni mmoja tu alifaulu ktk Shule ya Sheria ya #Zambia.
Ufaulu wa Wanafunzi wa sheria ni 4.1% kwa Tanzania, 18.4% Kenya na 9.8% Uganda.
Una maoni gani kwa ufaulu huu wa Wanafunzi wa Sheria
Soma https://jamii.app/LawSchoolZambia
#ServiceDelivery
Ufaulu wa Wanafunzi wa sheria ni 4.1% kwa Tanzania, 18.4% Kenya na 9.8% Uganda.
Una maoni gani kwa ufaulu huu wa Wanafunzi wa Sheria
Soma https://jamii.app/LawSchoolZambia
#ServiceDelivery
๐10๐ค5
#BRAZIL: Kampuni ya #APPLE imepigwa faini ya Tsh. Bil 46.6 kwa kuuza Simu bila chaja huku Jaji akiuita utaratibu huo 'Matusi ya Biashara' kulazimisha wateja kununua Bidhaa ya ziada
> Sept. 2022 ililipa Tsh. Bil 5.8 kwa suala hilo
Soma https://jamii.app/AppleChaja
#DigitalRights
> Sept. 2022 ililipa Tsh. Bil 5.8 kwa suala hilo
Soma https://jamii.app/AppleChaja
#DigitalRights
๐20
UTURUKI: MBUNGE AVUNJA SIMU YAKE KWA NYUNDO
Burak Erbay amefanya tukio hilo Bungeni akipinga Muswada unaotaka Mitandao ya Kijamii na Tovuti kutoa maelezo ya Watumiaji wanaoeneza Habari za kupotosha
Kifungo chake ni hadi Miaka 3 jela
Soma https://jamii.app/UturukiSheria
#DigitalRights
Burak Erbay amefanya tukio hilo Bungeni akipinga Muswada unaotaka Mitandao ya Kijamii na Tovuti kutoa maelezo ya Watumiaji wanaoeneza Habari za kupotosha
Kifungo chake ni hadi Miaka 3 jela
Soma https://jamii.app/UturukiSheria
#DigitalRights
๐11
#JFAFYA: Mtu Mzima anashauriwa kufanya Mazoezi mepesi kwa walau Dakika 150 kwa wiki ili kuimarisha Kinga ya Mwili dhidi ya Magonjwa mbalimbali
Hii ni sawa na dakika 30 kwa siku
Soma https://jamii.app/ExercisesTips
#JFAfyaJamii
Hii ni sawa na dakika 30 kwa siku
Soma https://jamii.app/ExercisesTips
#JFAfyaJamii
๐5
FAIDA ZA MAZOEZI MEPESI
Hupunguza Hatari ya kuugua Magonjwa ya Moyo, Kiharusi, Kisukari, Shinikizo kubwa la damu na Magonjwa ya Akili
Pia, huweka sawa uzito wa mwili, kuboresha mzunguko wa Usingizi na Utendaji Kazi wa Ubongo
Soma https://jamii.app/ExercisesTips
#JFAfyaJamii
Hupunguza Hatari ya kuugua Magonjwa ya Moyo, Kiharusi, Kisukari, Shinikizo kubwa la damu na Magonjwa ya Akili
Pia, huweka sawa uzito wa mwili, kuboresha mzunguko wa Usingizi na Utendaji Kazi wa Ubongo
Soma https://jamii.app/ExercisesTips
#JFAfyaJamii
๐6
DAR: Jeshi la Polisi limeanza uchunguzi dhidi ya Kampuni ya Kalynda E-Commerce inayodaiwa kutapeli kiasi kikubwa cha Fedha za wateja wake
> BRELA imeituhumu Kampuni hiyo kuendesha Biashara kinyume na leseni iliyotolewa
Soma https://jamii.app/PolisiKalynda
#JFGovernance #Uwajibikaji
> BRELA imeituhumu Kampuni hiyo kuendesha Biashara kinyume na leseni iliyotolewa
Soma https://jamii.app/PolisiKalynda
#JFGovernance #Uwajibikaji
๐13
POLISI DAR: NDUGU NI CHANZO KESI ZA UKATILI WA KIJINSIA KUFUTWA
Imeelezwa Kesi 949 kati ya 1271 zilizopelekwa Mahakama ya Wilaya Mwaka 2018/21 ziliondolewa baada ya Ndugu wa waathirika kuacha kufuatilia
Soma https://jamii.app/UkatiliDar
#SocialJustice #DomesticViolence
Imeelezwa Kesi 949 kati ya 1271 zilizopelekwa Mahakama ya Wilaya Mwaka 2018/21 ziliondolewa baada ya Ndugu wa waathirika kuacha kufuatilia
Soma https://jamii.app/UkatiliDar
#SocialJustice #DomesticViolence
๐4
UPATU NI KOSA: Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya Makosa Sura ya 16 iliyorekebishwa 2022, Kifungu cha 171A inakataza kuongoza, kusimamia au kushiriki katika Upatu
Adhabu ni faini hadi Tsh. Milioni 5 au Hukumu ya Kifungo Gerezani Miaka mitano
Soma https://jamii.app/UpatuNiJinai
#JFSheria
Adhabu ni faini hadi Tsh. Milioni 5 au Hukumu ya Kifungo Gerezani Miaka mitano
Soma https://jamii.app/UpatuNiJinai
#JFSheria
๐5๐ค1
RAIS SAMIA: SUALA LA ZAENI TU HAPANA, PUNGUZENI 'SPIDI'
Amesema โHilo la zaeni tu hapana. Jana nimesimama Buseresere naambiwa kituo kimoja kinazalisha Watoto 1000 kwa Mwezi. Baada ya Miaka 3 ni Madarasa mangapi? vituo vya Afya vingapi, tani za Chakula ngapi?
Soma https://jamii.app/HojaYaWatoto
#Siasa
Amesema โHilo la zaeni tu hapana. Jana nimesimama Buseresere naambiwa kituo kimoja kinazalisha Watoto 1000 kwa Mwezi. Baada ya Miaka 3 ni Madarasa mangapi? vituo vya Afya vingapi, tani za Chakula ngapi?
Soma https://jamii.app/HojaYaWatoto
#Siasa
๐17๐14๐8๐3๐คจ2
OKTOBA 16: SIKU YA CHAKULA DUNIANI
Siku hii ilianzishwa na Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO), ikilenga kupambana na Njaa na kuboresha Mifumo ya #Kilimo ili kuhakikisha Baa la Njaa linatokomezwa Duniani
Soma https://jamii.app/WFD2022
#HumanRights #WFD2022
Siku hii ilianzishwa na Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO), ikilenga kupambana na Njaa na kuboresha Mifumo ya #Kilimo ili kuhakikisha Baa la Njaa linatokomezwa Duniani
Soma https://jamii.app/WFD2022
#HumanRights #WFD2022
๐6๐1
RAIS SAMIA: SISI NI WAKUSANYAJI WA FEDHA ZA KUWALETEA MAENDELEO, SIO TUZIBEBE
Akiwa Mkoani Geita, amesema Viongozi wa Serikali ni Wakusanyaji wa Fedha za Kufanya Miradi ya Kimaendeleo kwa ajili ya Wananchi na sio za kujinufaisha wao
Soma https://jamii.app/SamiaInGeita
#Governance
Akiwa Mkoani Geita, amesema Viongozi wa Serikali ni Wakusanyaji wa Fedha za Kufanya Miradi ya Kimaendeleo kwa ajili ya Wananchi na sio za kujinufaisha wao
Soma https://jamii.app/SamiaInGeita
#Governance
๐7๐ค2