CAF: YANGA 1-1 AL HILAL
Timu hizo zimetoshana nguvu kwenye Uwanja wa Mkapa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo Oktoba 8, 2022
Zinatarajiwa kurudiana Oktoba 16, 2022, Mshindi wa hapo atasonga mbele hatua ya Makundi ya Michuano hiyo
Soma https://jamii.app/YangaAlHilal
#JFSports #CAF
Timu hizo zimetoshana nguvu kwenye Uwanja wa Mkapa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo Oktoba 8, 2022
Zinatarajiwa kurudiana Oktoba 16, 2022, Mshindi wa hapo atasonga mbele hatua ya Makundi ya Michuano hiyo
Soma https://jamii.app/YangaAlHilal
#JFSports #CAF
👍9😁2
#JFAFYA: Changamoto ya Kiungulia kwa Wajawazito hutokana na mabadiliko makubwa ya Mfumo wa Homoni pamoja na kasi ya ukuaji wa Mtoto ambayo huleta mgandamizo kwenye Tumbo la Chakula
Soma https://jamii.app/HeartBurnTips
#JFAfyaJamii
Soma https://jamii.app/HeartBurnTips
#JFAfyaJamii
👍8
Ustahimilivu wa Digitali ni uwezo wa kujikwamua kutoka nyakati ngumu anazopitia Mtu Mtandaoni kama vile Kuonewa, Kutukanwa, au kubaguliwa
Hii inajumuisha kuwa na uwezo wa Kuelewa unapokuwa hatarini, kujua la kufanya ikiwa utakutana na Mabadiliko Usiyoyatarajia, kujifunza kutokana na unachopitia Mtandaoni na kuweza kupona kutokana na Misukosuko ya Mtandaoni
Soma https://jamii.app/DigitalResilience
#DigitalRights
Hii inajumuisha kuwa na uwezo wa Kuelewa unapokuwa hatarini, kujua la kufanya ikiwa utakutana na Mabadiliko Usiyoyatarajia, kujifunza kutokana na unachopitia Mtandaoni na kuweza kupona kutokana na Misukosuko ya Mtandaoni
Soma https://jamii.app/DigitalResilience
#DigitalRights
👍8
UGANDA: SERIKALI YARIDHIA MAJARIBIO YA CHANJO MPYA ZA EBOLA
Kwa mujibu wa WHO, aina 8 za chanjo zitafanyiwa majaribio baada ya ufanisi hafifu wa chanjo za awali kutokana na kutofautiana kwa aina Kirusi kilichopo nchini humo
Soma https://jamii.app/EVDTrials
#PublicHealth #Governance
Kwa mujibu wa WHO, aina 8 za chanjo zitafanyiwa majaribio baada ya ufanisi hafifu wa chanjo za awali kutokana na kutofautiana kwa aina Kirusi kilichopo nchini humo
Soma https://jamii.app/EVDTrials
#PublicHealth #Governance
👍2😁1
META: HUENDA WATUMIAJI MILIONI 1 WA FACEBOOK WAMEDUKULIWA
Programu zilizobainika kuwa sehemu ya ulaghai huo ni za Afya, Michezo na za Kuhariri Picha, ambapo huwahitaji Watumiaji kuingiza taarifa za akunti zao za Facebook
Soma https://jamii.app/MetaHack
#DataProtection #DataPrivacy
Programu zilizobainika kuwa sehemu ya ulaghai huo ni za Afya, Michezo na za Kuhariri Picha, ambapo huwahitaji Watumiaji kuingiza taarifa za akunti zao za Facebook
Soma https://jamii.app/MetaHack
#DataProtection #DataPrivacy
🤔1
IGAD: WATU MILIONI 51 AFRIKA MASHARIKI HAWANA UHAKIKA WA CHAKULA
Pia, ripoti hiyo ya Shirikisho la Maendeleo Afrika (IGAD) imeonesha kuwa Watoto milioni 10 wana Utapiamlo
> Zaidi ya Watu 380,000 wako hatarini kufa kwa njaa
Soma https://jamii.app/IGADFood
#FoodSecurity
Pia, ripoti hiyo ya Shirikisho la Maendeleo Afrika (IGAD) imeonesha kuwa Watoto milioni 10 wana Utapiamlo
> Zaidi ya Watu 380,000 wako hatarini kufa kwa njaa
Soma https://jamii.app/IGADFood
#FoodSecurity
👍5
IRAN: KITUO CHA UTANGAZAJI CHA TAIFA CHADUKULIWA WAKATI WA TAARIFA YA HABARI
Kwa sekunde kadhaa wadukuaji waliweka picha ya mtu aliyevaa kinyago ikafuatiwa na sura ya Kiongozi Mkuu, Ali Khamenei akizungukwa na Wanawake wanne waliouawa hivi karibuni
Soma https://jamii.app/IranChaos
#Governance
Kwa sekunde kadhaa wadukuaji waliweka picha ya mtu aliyevaa kinyago ikafuatiwa na sura ya Kiongozi Mkuu, Ali Khamenei akizungukwa na Wanawake wanne waliouawa hivi karibuni
Soma https://jamii.app/IranChaos
#Governance
👍10😱2
NIGERIA: Maafisa wamegundua njia haramu iliyounganishwa kutoka baharini yenye urefu wa kilomita 4 inayodaiwa kupitisha mafuta ya wizi kwa miaka 9
Bomba lipo katika kituo kinachotoa mapipa 250,000 ya mafuta kwa siku
Soma https://jamii.app/OilExport
#Governance #Accountability
Bomba lipo katika kituo kinachotoa mapipa 250,000 ya mafuta kwa siku
Soma https://jamii.app/OilExport
#Governance #Accountability
👍15
NIGERIA: MASHUA YAZAMA, WATU 76 WAFARIKI
Maafa hayo yametokea katika Jimbo la Anambra, mashua ikiwa imebeba watu 85 kutoka Onukwu kwenda Nkwo Ogbakuba
Pia, watu watatu hawajulikani walipo katika Jimbo la Enugu kutokana na mafuriko
Soma https://jamii.app/76DieAnambra
#Governance
Maafa hayo yametokea katika Jimbo la Anambra, mashua ikiwa imebeba watu 85 kutoka Onukwu kwenda Nkwo Ogbakuba
Pia, watu watatu hawajulikani walipo katika Jimbo la Enugu kutokana na mafuriko
Soma https://jamii.app/76DieAnambra
#Governance
🤔2👍1😢1
HARRY MAGUIRE APEWA MAPUMZIKO MAN. UNITED
Kocha wa #ManUnited, Erik ten Hag ndiye ambaye amempa ruhusa hiyo ili apate muda wa kukaa sawa kiakili na kurejesha kiwango chake kutokana na presha kubwa anayopitia ya kushuka kiwango
Soma https://jamii.app/Maguire
#JFSports
Kocha wa #ManUnited, Erik ten Hag ndiye ambaye amempa ruhusa hiyo ili apate muda wa kukaa sawa kiakili na kurejesha kiwango chake kutokana na presha kubwa anayopitia ya kushuka kiwango
Soma https://jamii.app/Maguire
#JFSports
👍10😁5🔥1
#JFAFYA: Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa Watu takriban Bilioni 2.2 wana changamoto za macho zinazohusisha upofu na uoni hafifu
Changamoto hizi zinaweza kuepukika kwa kutibu vizuri Magonjwa yanayoweza kudumaza #Afya ya Macho (Kisukari na Shinikizo kubwa la Damu)
Soma https://jamii.app/HealthyEyesTips
#AfyaJamii
Changamoto hizi zinaweza kuepukika kwa kutibu vizuri Magonjwa yanayoweza kudumaza #Afya ya Macho (Kisukari na Shinikizo kubwa la Damu)
Soma https://jamii.app/HealthyEyesTips
#AfyaJamii
👍5
CAF: AGOSTO 1-3 SIMBA
Magoli ya #Simba SC katika Mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa yamefungwa na Clatous Chama, Israel Patrick na Moses Phiri kwenye Uwanja wa 11 de Novembro Jijini Luanda
Mechi ya marudio ni Oktoba 16, 2022, Uwanja wa Mkapa
Soma https://jamii.app/Agosto1Simba3
#JFSports
Magoli ya #Simba SC katika Mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa yamefungwa na Clatous Chama, Israel Patrick na Moses Phiri kwenye Uwanja wa 11 de Novembro Jijini Luanda
Mechi ya marudio ni Oktoba 16, 2022, Uwanja wa Mkapa
Soma https://jamii.app/Agosto1Simba3
#JFSports
👍27🔥10👏1🎉1💩1
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ilifanya Utafiti kuhusu Hali ya Utawala na Rushwa (National Governance and Corruption Survey – NGACS) Tanzania Bara 2020
Wahojiwa walikuwa na Mitazamo tofauti katika Uelewa wao wa Maana ya Rushwa ambapo Asilimia 63.6 walisema Rushwa ni "Uhitaji wa malipo yasiyo rasmi"
#JamiiForums #KemeaRushwa #UtafitiTAKUKURU
Wahojiwa walikuwa na Mitazamo tofauti katika Uelewa wao wa Maana ya Rushwa ambapo Asilimia 63.6 walisema Rushwa ni "Uhitaji wa malipo yasiyo rasmi"
#JamiiForums #KemeaRushwa #UtafitiTAKUKURU
👍7
KENYA: WAATHIRIKA WA VVU WALALAMIKA SIRI ZAO KUVUJA
Sababu ni Kliniki za Wagonjwa wa VVU kuwa maeneo ya wazi katika Hospitali
Waathirika wanadai kuitwa majina yao kwa sauti na watoa Huduma wakati wa kuwapatia Dawa za kupunguza makali ya virusi
Soma https://jamii.app/HIVDataKenya
#DataPrivacy
Sababu ni Kliniki za Wagonjwa wa VVU kuwa maeneo ya wazi katika Hospitali
Waathirika wanadai kuitwa majina yao kwa sauti na watoa Huduma wakati wa kuwapatia Dawa za kupunguza makali ya virusi
Soma https://jamii.app/HIVDataKenya
#DataPrivacy
👍18🥰1
ZANZIBAR: TRA KUPIGA MNADA MALI ZA MBUNGE AKIDAIWA USHURU WA GARI NA KODI
Mbunge Toufky Turky ameshindwa kulipa ushuru wa Gari aina ya Marcedes Benz G Wagon aliloliingiza Nchini Januari 2022
Pia, Kampuni yake ya Mifuko inadaiwa Tsh. Milioni 170.5 huku msamaha wa kodi alioomba ukikataliwa mara mbili
Soma https://jamii.app/TRATurky
#Uwajibikaji
Mbunge Toufky Turky ameshindwa kulipa ushuru wa Gari aina ya Marcedes Benz G Wagon aliloliingiza Nchini Januari 2022
Pia, Kampuni yake ya Mifuko inadaiwa Tsh. Milioni 170.5 huku msamaha wa kodi alioomba ukikataliwa mara mbili
Soma https://jamii.app/TRATurky
#Uwajibikaji
👍12🤔1
UTAFITI TAKUKURU: Wahojiwa waliulizwa ni kwa kiasi gani waliona Rushwa kuwa mbaya katika Jamii ambapo Asilimia 81.5 walisema ni tatizo (44.7% waliona ni tatizo kubwa huku 36.8% waliona kama tatizo la wastani)
Ikilinganishwa na Mwaka 2009, zaidi ya Asilimia 90 ya Maafisa waliohojiwa katika Mikoa 11 walisema Rushwa ilikuwa tatizo kubwa katika Jamii huku Mikoa minne (4) ikiiona Rushwa kuwa si tatizo
#KemeaRushwa #JamiiForums #UtafitiTAKUKURU
Ikilinganishwa na Mwaka 2009, zaidi ya Asilimia 90 ya Maafisa waliohojiwa katika Mikoa 11 walisema Rushwa ilikuwa tatizo kubwa katika Jamii huku Mikoa minne (4) ikiiona Rushwa kuwa si tatizo
#KemeaRushwa #JamiiForums #UtafitiTAKUKURU
👍6
OKTOBA 10: Siku ya Afya ya Akili Duniani ni Siku ya Kimataifa maalumu kwa kutoa #Elimu ya masuala ya #Afya ya Akili
Pia, Uhamasishaji na Utetezi dhidi ya Unyanyapaa wa Kijamii pamoja na athari zake kwa wale walioathiriwa na Walezi wao
Soma https://jamii.app/MentalHealthDay
#MentalHealthDay
Pia, Uhamasishaji na Utetezi dhidi ya Unyanyapaa wa Kijamii pamoja na athari zake kwa wale walioathiriwa na Walezi wao
Soma https://jamii.app/MentalHealthDay
#MentalHealthDay
👍1
USAMBAAJI WA SARATANI YA MATITI
Kwa kawaida Saratani husambaa kwa njia tatu zifuatazo;
1. Kupitia Tishu - Saratani husambaa kwenye Tishu za kawaida ambazo zimezunguka eneo la Saratani
2. Kupitia mfumo wa Limfu (Lymphatic System) - Saratani huvamia Mfumo wa #Lymph na kufuata Mishipa yake hadi sehemu nyingine za Mwili
3. Kupitia Damu - Saratani inaweza kusambaa kupitia Damu kwa kuvamia Mishipa ya Damu ya Vena (Veins) na Capillaries na kusafiri hadi Sehemu nyingine za Mwili.
#JamiiForums #BreastCancerAwarenessMonth #PublicHealth #JFAfya
Kwa kawaida Saratani husambaa kwa njia tatu zifuatazo;
1. Kupitia Tishu - Saratani husambaa kwenye Tishu za kawaida ambazo zimezunguka eneo la Saratani
2. Kupitia mfumo wa Limfu (Lymphatic System) - Saratani huvamia Mfumo wa #Lymph na kufuata Mishipa yake hadi sehemu nyingine za Mwili
3. Kupitia Damu - Saratani inaweza kusambaa kupitia Damu kwa kuvamia Mishipa ya Damu ya Vena (Veins) na Capillaries na kusafiri hadi Sehemu nyingine za Mwili.
#JamiiForums #BreastCancerAwarenessMonth #PublicHealth #JFAfya
👍2
UFARANSA: Mamilioni ya raia wameandamana wakiishinikiza Ufaransa kujitoa NATO na Rais Emmanuel Macron kujiuzulu
Pia, wameitaka Serikali kuacha kutoa silaha kwa #Ukraine kutokana na Uhaba wa Mafuta uliosababishwa na Vikwazo dhidi ya #Russia
Soma https://jamii.app/ParisProtests
#Democracy
Pia, wameitaka Serikali kuacha kutoa silaha kwa #Ukraine kutokana na Uhaba wa Mafuta uliosababishwa na Vikwazo dhidi ya #Russia
Soma https://jamii.app/ParisProtests
#Democracy
👍20😁5👎2
Changamoto za kila siku za Maisha ya Binadamu ndiyo chanzo kikuu cha Matatizo ya Afya ya Akili
Pia, uwepo wa Majanga mapya ya kidunia kama COVID-19 unatajwa kuongeza tatizo la #AfyaYaAkili kwa zaidi ya 25%
Soma https://jamii.app/AfyaYaAkili2022
#MentalHealthDay
Pia, uwepo wa Majanga mapya ya kidunia kama COVID-19 unatajwa kuongeza tatizo la #AfyaYaAkili kwa zaidi ya 25%
Soma https://jamii.app/AfyaYaAkili2022
#MentalHealthDay
👍6