NAMNA YA KUZUIA MAGONJWA YA AKILI
Kutoa Elimu kuhusu #AfyaYaAkili ikiwepo jinsi ya kuitunza, namna ya kuzungumzia na wapi pa kupata msaada ikiwa unapitia/unafahamu anayepitia changamoto hii
Kupunguza vihatarishi vya Afya ya Akili ikiwemo Migogoro ya Kimapenzi, Unyanyapaa wa Watu wenye Mahitaji Maalum na kuepuka dhana au Mila potofu katika Jamii
Soma https://jamii.app/AfyaYaAkili2022
#MentalHealthDay
Kutoa Elimu kuhusu #AfyaYaAkili ikiwepo jinsi ya kuitunza, namna ya kuzungumzia na wapi pa kupata msaada ikiwa unapitia/unafahamu anayepitia changamoto hii
Kupunguza vihatarishi vya Afya ya Akili ikiwemo Migogoro ya Kimapenzi, Unyanyapaa wa Watu wenye Mahitaji Maalum na kuepuka dhana au Mila potofu katika Jamii
Soma https://jamii.app/AfyaYaAkili2022
#MentalHealthDay
π6
UTAFITI TAKUKURU: Ilibainika Taasisi zinazoongoza kwa Rushwa Nchini #Tanzania ni:
Jeshi la Polisi limeshika nafasi ya kwanza (asilimia 45.6), likifuatiwa na Sekta ya Afya (asilimia 17.9) na Mahakama ya Sheria ilishika nafasi ya tatu kwa asilimia 11.9
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilishika nafasi ya nne (asilimia 6.1).
Miongoni mwa Kampuni, TRA ilishika nafasi ya pili ikionesha mwingiliano wa karibu kati yake na Sekta ya #Biashara
Taasisi hizi zilizoorodheshwa juu ni Sekta zilezile kama zilivyotambuliwa/zilizoripotiwa na NGACS ya 2009. (Jeshi la Polisi, Vituo vya Afya na Mahakama za Sheria)
#JamiiForums #UtafitiTAKUKURU #KemeaRushwa
Jeshi la Polisi limeshika nafasi ya kwanza (asilimia 45.6), likifuatiwa na Sekta ya Afya (asilimia 17.9) na Mahakama ya Sheria ilishika nafasi ya tatu kwa asilimia 11.9
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilishika nafasi ya nne (asilimia 6.1).
Miongoni mwa Kampuni, TRA ilishika nafasi ya pili ikionesha mwingiliano wa karibu kati yake na Sekta ya #Biashara
Taasisi hizi zilizoorodheshwa juu ni Sekta zilezile kama zilivyotambuliwa/zilizoripotiwa na NGACS ya 2009. (Jeshi la Polisi, Vituo vya Afya na Mahakama za Sheria)
#JamiiForums #UtafitiTAKUKURU #KemeaRushwa
π11π€―2
RIPOTI: WATOTO WA KIUME 1,114 WAMELAWITIWA KWA MWAKA 2021
Idadi hiyo ni sawa na wastani wa Watoto 93 kila mwezi, huku imeelezwa kuwa 60% ya vitendo hivyo vimetokea kwenye ngazi ya familia
Soma https://jamii.app/UkatiliWatoto2021
#DomesticViolence #ChildRights #JamiiForums
Idadi hiyo ni sawa na wastani wa Watoto 93 kila mwezi, huku imeelezwa kuwa 60% ya vitendo hivyo vimetokea kwenye ngazi ya familia
Soma https://jamii.app/UkatiliWatoto2021
#DomesticViolence #ChildRights #JamiiForums
π6π€2π€―1
MOSHI: Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya imeahirishwa kwa mara ya 10 leo Oktoba 10, 2022 hadi Oktoba 24, 2022
> Mwendesha Mashtaka wa Serikali amesema ndani ya siku 90 upelelezi utakamilika kama Mwongozo mpya unavyotaka
Soma https://jamii.app/SabayaOktoba10
#JFMatukio
> Mwendesha Mashtaka wa Serikali amesema ndani ya siku 90 upelelezi utakamilika kama Mwongozo mpya unavyotaka
Soma https://jamii.app/SabayaOktoba10
#JFMatukio
π8
UTEUZI: Rais Samia amemteua Dkt. Boniphace Christopher Luhende kuwa Wakili Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Gabriel Paschal Malata aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu
Pia, amemteua Sarah Duncan Mwaipopo kuwa Naibu Wakili Mkuu
Soma https://jamii.app/WakiliMkuu
#Governance
Pia, amemteua Sarah Duncan Mwaipopo kuwa Naibu Wakili Mkuu
Soma https://jamii.app/WakiliMkuu
#Governance
π14β€5
#JFAFYA: Wataalamu wa Afya wanasema Maziwa Fresh huleta ahueni ya muda mfupi kwa kutengeneza Utando juu ya Kuta za Vidonda
Pia, huongeza uzalishwaji wa Tindikali Tumboni pamoja na Vimengβenya vingine ambavyo husababisha Maumivu makali zaidi baadaye
Soma https://jamii.app/UlcersTips
#JFAfyaJamii
Pia, huongeza uzalishwaji wa Tindikali Tumboni pamoja na Vimengβenya vingine ambavyo husababisha Maumivu makali zaidi baadaye
Soma https://jamii.app/UlcersTips
#JFAfyaJamii
π9
MDAU: USTAHIMILIVU WA KIDIJITALI KATIKA TAASISI HULINDA HESHIMA
Anasema Taasisi hujenga Uaminifu wa kweli kwa Wateja wake kwa kuhakikisha Usalama wa Taarifa zao na Huduma Bora, hasa pale zinapojitokeza Changamoto za Kidigitali kama Kudukuliwa
Ameshauri Wafanyakazi kupatiwa Mafunzo yatakayowawezesha kupata ujuzi mpya wa Kidigitali ili kuendana na kasi ya Mabadiliko ya #Teknolojia
Soma https://jamii.app/DigitalResilience2
#DigitalWorld
Anasema Taasisi hujenga Uaminifu wa kweli kwa Wateja wake kwa kuhakikisha Usalama wa Taarifa zao na Huduma Bora, hasa pale zinapojitokeza Changamoto za Kidigitali kama Kudukuliwa
Ameshauri Wafanyakazi kupatiwa Mafunzo yatakayowawezesha kupata ujuzi mpya wa Kidigitali ili kuendana na kasi ya Mabadiliko ya #Teknolojia
Soma https://jamii.app/DigitalResilience2
#DigitalWorld
π6
WANAFUNZI 26 TU KATI YA 633 WAMEFAULU LAW SCHOOL YA TANZANIA
Idadi hiyo ni sawa na 4.1% pekee kati ya wote waliofanya Mtihani, huku wengine 484 wakitakiwa kurudia Mtihani na 265 wakiondolewa kabisa baada ya kushindwa
Wanasheria na wadau wengine wametaka iundwe Tume ya kuchunguza sababu wakieleza Nguvukazi kubwa inapotea kwa wahitimu wengi kukwama Shuleni hapo
Soma https://jamii.app/LSTFails
#SocialJustice
Idadi hiyo ni sawa na 4.1% pekee kati ya wote waliofanya Mtihani, huku wengine 484 wakitakiwa kurudia Mtihani na 265 wakiondolewa kabisa baada ya kushindwa
Wanasheria na wadau wengine wametaka iundwe Tume ya kuchunguza sababu wakieleza Nguvukazi kubwa inapotea kwa wahitimu wengi kukwama Shuleni hapo
Soma https://jamii.app/LSTFails
#SocialJustice
π9π€6
Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike huadhimishwa ili kuongeza ufahamu kuhusu umuhimu wa Watoto wa Kike katika jamii
Pia, Kuangazia Changamoto zinazowakabili na kuangalia namna za kuwainua na kuwawezesha kufikia Malengo Yao
Soma https://jamii.app/GirlChildDay2022
#DayOfTheGirl
Pia, Kuangazia Changamoto zinazowakabili na kuangalia namna za kuwainua na kuwawezesha kufikia Malengo Yao
Soma https://jamii.app/GirlChildDay2022
#DayOfTheGirl
π2
MTUHUMIWA ANA HAKI YA KUJUA UKOMO WA UPELELEZI WA MASHTAKA DHIDI YAKE
Mwongozo mpya wa Mashtaka unawaagiza Wakuu wa Mashitaka na Vyombo vya Uchunguzi kukamilisha Upelelezi ndani ya Siku 90
> Endapo Siku zitazidi, DPP atoe kibali maalumu
Soma https://jamii.app/DDPMashtaka
#JFHakiRaia
Mwongozo mpya wa Mashtaka unawaagiza Wakuu wa Mashitaka na Vyombo vya Uchunguzi kukamilisha Upelelezi ndani ya Siku 90
> Endapo Siku zitazidi, DPP atoe kibali maalumu
Soma https://jamii.app/DDPMashtaka
#JFHakiRaia
π7π₯1
DAKTARI: MIREMBE KUNA WAGONJWA WANAUME WENGI KULIKO WANAWAKE
Veronica Lyimo ambaye ni Daktari wa Mirembe amesema upande wa umri wanapokea zaidi vijana wa umri wa miaka 20 hadi 45
> Ameongeza kuna Watu wenye umri wa miaka 50-70 lakini ni wachache
Soma https://jamii.app/Mirembe
#PublicHealth #JFAfya
Veronica Lyimo ambaye ni Daktari wa Mirembe amesema upande wa umri wanapokea zaidi vijana wa umri wa miaka 20 hadi 45
> Ameongeza kuna Watu wenye umri wa miaka 50-70 lakini ni wachache
Soma https://jamii.app/Mirembe
#PublicHealth #JFAfya
π5
NI HAKI YA MTUHUMIWA KUPEWA DHAMANA ENDAPO UPELELEZI HAUJAKAMILIKA
Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Jinai Sura iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2022, inawaagiza Wakuu wa Mashtaka na Vyombo vyote vya Uchunguzi kumpa Mtuhumiwa dhamana wakati upelelezi ukiendelea
Kifungu cha 131A kimeweka ulazima wa kukamilisha Upelelezi kabla ya kufungua Mashtaka isipokuwa kwa makosa makubwa na yanayosikilizwa na Mahakama Kuu
Soma https://jamii.app/DDPMashtaka
#JFHakiRaia
Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Jinai Sura iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2022, inawaagiza Wakuu wa Mashtaka na Vyombo vyote vya Uchunguzi kumpa Mtuhumiwa dhamana wakati upelelezi ukiendelea
Kifungu cha 131A kimeweka ulazima wa kukamilisha Upelelezi kabla ya kufungua Mashtaka isipokuwa kwa makosa makubwa na yanayosikilizwa na Mahakama Kuu
Soma https://jamii.app/DDPMashtaka
#JFHakiRaia
π6
KATIBU MKUU TEC: SERIKALI HAIWEZI KUDHIBITI RUSHWA BILA UWAZI
Padre Dkt. Charles Kitima amesema Wananchi wanapaswa kujua matumizi kwenye Miradi yote kwa ngazi mbalimbali ili kudhibiti wizi na Ubadhirifu wa Fedha za Umma
Soma https://jamii.app/KitimaRushwa
#KemeaRushwa #JFHakiRaia
Padre Dkt. Charles Kitima amesema Wananchi wanapaswa kujua matumizi kwenye Miradi yote kwa ngazi mbalimbali ili kudhibiti wizi na Ubadhirifu wa Fedha za Umma
Soma https://jamii.app/KitimaRushwa
#KemeaRushwa #JFHakiRaia
π6
Siku ya Mtoto wa Kike hutumika kama fursa ya kusaidia na kuimarisha Wasichana ili waweze kuishi Maisha Bora kwa kuangazia #Haki zao na namna ya kupunguza na kuondoa kabisa Vikwazo vya Kitamaduni, Mfano: Ndoa za Utotoni
Hata baada ya Dunia kuendelea katika nyanja Muhimu kama #Teknolojia, bado Wasichana wananyimwa Haki zao za Kimsingi kama Kupata Elimu bora, Huduma za Kiafya
Soma https://jamii.app/GirlChildDay2022
#DayOfTheGirl
Hata baada ya Dunia kuendelea katika nyanja Muhimu kama #Teknolojia, bado Wasichana wananyimwa Haki zao za Kimsingi kama Kupata Elimu bora, Huduma za Kiafya
Soma https://jamii.app/GirlChildDay2022
#DayOfTheGirl
π6
MDAU: TUNAHITAJI VIONGOZI WANAOWAJIBIKA KWA WAKATI
Anasema, Kiongozi anayewajibika ni yule ambaye hasubiri kushtuliwa nini kifanyike pindi Changamoto za Kijamii au Kiuchumi zikijitokeza
Ametoa Wito kwa Viongozi Kuwajibika mapema katika kutatua Changamoto za Watu kabla hali haijawa mbaya na kuishia kutoa sababu zisizoeleweka
Soma https://jamii.app/MaonoUongozi
#accountability
Anasema, Kiongozi anayewajibika ni yule ambaye hasubiri kushtuliwa nini kifanyike pindi Changamoto za Kijamii au Kiuchumi zikijitokeza
Ametoa Wito kwa Viongozi Kuwajibika mapema katika kutatua Changamoto za Watu kabla hali haijawa mbaya na kuishia kutoa sababu zisizoeleweka
Soma https://jamii.app/MaonoUongozi
#accountability
π4
INDIA: WANAKIJIJI HUZIMA INTANETI NA RUNINGA KWA MUDA ILI WAZUNGUMZE
Wakazi wa Kijiji cha #Maharashtra wamedai kujitangazia βUhuruβ kutoka ktk Dunia ya Kidigitali
Wanazima kila Siku Saa 1:00 - 2:30 Usiku wakiamini Watu wengi wamekuwa walevi wa Mitandao
Soma https://jamii.app/OfflineDaily
#DigitalRights
Wakazi wa Kijiji cha #Maharashtra wamedai kujitangazia βUhuruβ kutoka ktk Dunia ya Kidigitali
Wanazima kila Siku Saa 1:00 - 2:30 Usiku wakiamini Watu wengi wamekuwa walevi wa Mitandao
Soma https://jamii.app/OfflineDaily
#DigitalRights
π14β€9π5
VYANZO VYA MAGONJWA YA AFYA YA AKILI
1. Kibaiolojia - Inaweza kusababishwa na kurithi au kuumwa Magonjwa
2. Kisaikolojia - Baadhi ya visababishi ni Malezi, kutengana kwa Wazazi, Ugumu wa Maisha, kufiwa
3. Kijamii - Inaweza kusababishwa na changamoto za Kiuchumi, Ndoa na Upweke
Soma https://jamii.app/Mirembe
#JFAfya
1. Kibaiolojia - Inaweza kusababishwa na kurithi au kuumwa Magonjwa
2. Kisaikolojia - Baadhi ya visababishi ni Malezi, kutengana kwa Wazazi, Ugumu wa Maisha, kufiwa
3. Kijamii - Inaweza kusababishwa na changamoto za Kiuchumi, Ndoa na Upweke
Soma https://jamii.app/Mirembe
#JFAfya
π9β€2
LINDA AFYA YAKO YA AKILI NA YA WENGINE
Ukarimu pamoja na Tabia Njema za Kushukuru, Kusamehe na Kuomba Msamaha wengine pamoja na Kuridhika husaidia kuilinda Afya ya Akili
Pia, ni Muhimu kuwa na Matumizi mazuri ya Mitandao ya Kijamii
Soma https://jamii.app/AfyaYaAkili2022
#MentalHealthDay
Ukarimu pamoja na Tabia Njema za Kushukuru, Kusamehe na Kuomba Msamaha wengine pamoja na Kuridhika husaidia kuilinda Afya ya Akili
Pia, ni Muhimu kuwa na Matumizi mazuri ya Mitandao ya Kijamii
Soma https://jamii.app/AfyaYaAkili2022
#MentalHealthDay
π17π1
AINA KUU MBILI ZA UMILIKI WA ARDHI TANZANIA
Umiliki wa kimila kama ilivyobainishwa katika Sheria ya Ardhi ya Vijiji Na. 5 (1999) na Umiliki kwa Hati, Mmiliki anaweza kumiliki kwa hati ya miaka 33, 66 au 99 na anakuwa na hadhi ya upangaji
Soma https://jamii.app/ElimuYaArdhi
#HakiRaia
Umiliki wa kimila kama ilivyobainishwa katika Sheria ya Ardhi ya Vijiji Na. 5 (1999) na Umiliki kwa Hati, Mmiliki anaweza kumiliki kwa hati ya miaka 33, 66 au 99 na anakuwa na hadhi ya upangaji
Soma https://jamii.app/ElimuYaArdhi
#HakiRaia
π9
RIPOTI IMF: UKUAJI UCHUMI WA DUNIA UTASHUKA HADI 2.7% MWAKA 2023
Mfumuko wa Bei utafika 9.5% huku nafuu ikitarajiwa Mwaka 2024
Nchi tajiri zaidi Duniani (G8) utakua kwa 1.1% kutoka 2.4% ya 2022
Kusini mwa Jangwa la Sahara utakua 3.7% kutoka 3.6%.
Zaidi https://jamii.app/IMF2023
#EconomyCrisis
Mfumuko wa Bei utafika 9.5% huku nafuu ikitarajiwa Mwaka 2024
Nchi tajiri zaidi Duniani (G8) utakua kwa 1.1% kutoka 2.4% ya 2022
Kusini mwa Jangwa la Sahara utakua 3.7% kutoka 3.6%.
Zaidi https://jamii.app/IMF2023
#EconomyCrisis
π11