MBEYA: Watu 5 wamefariki na 31 kujeruhiwa ktk ajalli iliyotokea leo Okt. 11, 2022 katika Kijiji cha Ibula ikihusisha basi la Kyela Express na basi dogo aina ya Coaster lililokuwa likisafirisha msiba kutoka Dodoma kwenda Wilayani Kyela
Soma https://jamii.app/AjaliMabasi
#JFMatukio
Soma https://jamii.app/AjaliMabasi
#JFMatukio
๐ข8๐3
KAMPALA: KIFO CHA KWANZA CHA EBOLA CHARIPOTIWA
Aliyefariki alianza kuhudumiwa kienyeji, kisha akapelekwa hospitali. Alikutana na watu 42 kabla ya kifo chake
Kifo hicho kinafanya idadi ya waliofariki kwa #Ebola Uganda kufikia 19
Soma https://jamii.app/EbolaKampala
#PublicHealth
Aliyefariki alianza kuhudumiwa kienyeji, kisha akapelekwa hospitali. Alikutana na watu 42 kabla ya kifo chake
Kifo hicho kinafanya idadi ya waliofariki kwa #Ebola Uganda kufikia 19
Soma https://jamii.app/EbolaKampala
#PublicHealth
๐9๐ค5
Kumuelimisha Binti ni suala kubwa zaidi ya kumpeleka Shuleni tu, Kunahusisha kuhakikisha anahisi kuwa salama akiwa Shuleni; Kuwa na Fursa ya kukamilisha Ngazi zote za #Elimu na Kupata Ujuzi wa kushindana katika Soko la #Ajira
Wasichana wanaopata #Elimu kwa Usawa wana Uwezekano mkubwa wa kuwa na Maisha Bora na kuepuka Ndoa katika Umri mdogo
Soma https://jamii.app/ElimuMtotoWaKike
#DayOfTheGirl
Wasichana wanaopata #Elimu kwa Usawa wana Uwezekano mkubwa wa kuwa na Maisha Bora na kuepuka Ndoa katika Umri mdogo
Soma https://jamii.app/ElimuMtotoWaKike
#DayOfTheGirl
๐8
MAREKANI YAIWEKEA VIKWAZO TALIBAN KWA KUKANDAMIZA WANAWAKE
Imechukua hatua hiyo kama adhabu kwa ukandamizaji unaofanywa tangu waingie madarakani Agosti 2021
> Vikwazo vinawahusu Wanachama wa sasa na wa zamani wa Taliban
Soma https://jamii.app/Taliban
#WomenRights
Imechukua hatua hiyo kama adhabu kwa ukandamizaji unaofanywa tangu waingie madarakani Agosti 2021
> Vikwazo vinawahusu Wanachama wa sasa na wa zamani wa Taliban
Soma https://jamii.app/Taliban
#WomenRights
๐5
KENYA: WABUNGE WATAKA SERIKALI KUZUIA WANAWAKE KWENDA KUFANYA KAZI ZA NDANI UARABUNI
Ni Kutokana na ripoti za Unyanyasaji wa Wafanyakazi wahamiaji katika Nchi hizo
Pia, Wameitaka Wizara ya Kazi kutoa ldadi ya Wakenya wanaofanya Kazi huko na hali ya Usalama wao
Soma https://jamii.app/KenyanDomesticWorkers
#HumanRights
Ni Kutokana na ripoti za Unyanyasaji wa Wafanyakazi wahamiaji katika Nchi hizo
Pia, Wameitaka Wizara ya Kazi kutoa ldadi ya Wakenya wanaofanya Kazi huko na hali ya Usalama wao
Soma https://jamii.app/KenyanDomesticWorkers
#HumanRights
๐16๐2
MDAU: DHANA YA KIONGOZI WA UMMA ATOKEE KATIKA UMASIKINI HAIFAI
Anasema dhana hiyo imesababisha Viongozi wengi wa juu kutoweka wazi ukweli kuhusu Mali wanazomiliki kama wanavyotakiwa kufanya, wakihofia kuonekana hawafai kuongoza
Soma https://jamii.app/SifaZaKiongozi
#Accountability
Anasema dhana hiyo imesababisha Viongozi wengi wa juu kutoweka wazi ukweli kuhusu Mali wanazomiliki kama wanavyotakiwa kufanya, wakihofia kuonekana hawafai kuongoza
Soma https://jamii.app/SifaZaKiongozi
#Accountability
๐8
MDAU: WANAFUNZI WENGI WANAOFELI 'LAW SCHOOL' TATIZO LINAANZIA VYUO VYA SHERIA
Anasema chanzo ni sifa za Udahili wa Wanafunzi wanaostahili kusomea Sheria kwani kuna Vyuo ambavyo hadi wanaopata alama ya D katika Masomo wanapata Nafasi
Anasema Asilimia kubwa ya wahitimu wa Sheria hawawezi hata kuandaa kiapo (Affidavit) na kuandaa Mashtaka (Plaint au Charge) au Utetezi
Soma https://jamii.app/MaoniLawSchool
#JFSheria
Anasema chanzo ni sifa za Udahili wa Wanafunzi wanaostahili kusomea Sheria kwani kuna Vyuo ambavyo hadi wanaopata alama ya D katika Masomo wanapata Nafasi
Anasema Asilimia kubwa ya wahitimu wa Sheria hawawezi hata kuandaa kiapo (Affidavit) na kuandaa Mashtaka (Plaint au Charge) au Utetezi
Soma https://jamii.app/MaoniLawSchool
#JFSheria
โค6๐6๐ค3๐1
#JFAFYA: Vidonda vya Tumbo ni Michubuko inayotokea kwenye Kuta za Mfumo wa Chakula, hasa kwenye sehemu ya Tumbo au pia sehemu ya kwanza ya Utumbo Mdogo
Ukubwa wa vidonda hivi hutofautiana na pia Dalili zake mara nyingi hutegemea Umri pamoja na eneo husika vilipo
Soma https://jamii.app/UlcersTips
#JFAfyaJamii
Ukubwa wa vidonda hivi hutofautiana na pia Dalili zake mara nyingi hutegemea Umri pamoja na eneo husika vilipo
Soma https://jamii.app/UlcersTips
#JFAfyaJamii
๐10
SERIKALI IWAJIBIKE KUWALINDA WANANCHI DHIDI YA ULAGHAI NA UTAPELI MITANDAONI
Anasema ukimya wa Serikali kwenye matukio hayo na kuacha Kampuni zikiendelea kujitangaza kuwa zinasaidia Watu kuwekeza Fedha Mitandaoni na kuvuna zaidi kunafanya Watu wengi waendelee kupoteza Fedha zao
Anashauri Serikali ihakikishe inadhibiti utapeli wa Kampuni hizo ambazo baadhi yake zinatajwa kuwa na leseni na vibali vya kufanyia kazi. Kinyume na hapo Watu watapoteza Imani na Fursa zinazopatikana Mitandaoni kwa hofu ya utapeli.
Soma https://jamii.app/Scammers
#JFMaisha
Anasema ukimya wa Serikali kwenye matukio hayo na kuacha Kampuni zikiendelea kujitangaza kuwa zinasaidia Watu kuwekeza Fedha Mitandaoni na kuvuna zaidi kunafanya Watu wengi waendelee kupoteza Fedha zao
Anashauri Serikali ihakikishe inadhibiti utapeli wa Kampuni hizo ambazo baadhi yake zinatajwa kuwa na leseni na vibali vya kufanyia kazi. Kinyume na hapo Watu watapoteza Imani na Fursa zinazopatikana Mitandaoni kwa hofu ya utapeli.
Soma https://jamii.app/Scammers
#JFMaisha
๐9
INDIA: SERIKALI YASITISHA UZALISHAJI WA DAWA ZILIZOUA WATOTO GAMBIA
Mkaguzi wa Dawa alibaini Kiwanda hakikufanya majaribio ya Dawa 3 kati 4 zilizosababisha vifo huku Dawa moja haikuwa na tarehe ya kutengenezwa wala mwisho wa matumizi
Soma https://jamii.app/DawaIndia
#PublicHealth
Mkaguzi wa Dawa alibaini Kiwanda hakikufanya majaribio ya Dawa 3 kati 4 zilizosababisha vifo huku Dawa moja haikuwa na tarehe ya kutengenezwa wala mwisho wa matumizi
Soma https://jamii.app/DawaIndia
#PublicHealth
๐3โค1
#JFAFYA: Maambukizi ya Bakteria wa H.pylori hutokea baada ya Kula Chakula au Kunywa Maji yenye vimelea hivi
Dawa za Kupunguza Maumivu zinapotumika pasipo kufuata Ushauri wa Wataalamu huharibu na kuvunja Mfumo wa Kinga unaolinda Kuta za Tumbo
Aidha, Uvutaji wa Sigara hupelekea kutokea kwa tatizo hili na huongeza ukubwa wa athari zake
Soma https://jamii.app/UlcersTips
#JFAfyaJamii
Dawa za Kupunguza Maumivu zinapotumika pasipo kufuata Ushauri wa Wataalamu huharibu na kuvunja Mfumo wa Kinga unaolinda Kuta za Tumbo
Aidha, Uvutaji wa Sigara hupelekea kutokea kwa tatizo hili na huongeza ukubwa wa athari zake
Soma https://jamii.app/UlcersTips
#JFAfyaJamii
๐13
DODOMA: DKT MWAKYEMBE KUONGOZA UCHUNGUZI MTIHANI WA SHULE YA SHERIA NCHINI
Kamati hiyo ina Wajumbe 7 akiwemo Mhitimu, John Kaombwe na itafanya Kazi siku 30 kuanzia Oktoba 13
Baada ya hapo, Mwenyekiti atatoa taarifa kwa Waandishi wa Habari kuhusu walichobaini
Soma https://jamii.app/LawSchoolSaga
#Governance
Kamati hiyo ina Wajumbe 7 akiwemo Mhitimu, John Kaombwe na itafanya Kazi siku 30 kuanzia Oktoba 13
Baada ya hapo, Mwenyekiti atatoa taarifa kwa Waandishi wa Habari kuhusu walichobaini
Soma https://jamii.app/LawSchoolSaga
#Governance
๐21
MDAU: TUNAHITAJI UONGOZI UNAOWEZA KUBADILI MAAMUZI YASIYO SAHIHI YANAPOGUNDULIKA
Anasema Watu wanapolalamika kwamba #Tozo ni kikwazo, Uongozi haupaswi kusema Wananchi watazizoea
Wanapaswa kukubali kuwa walifanya Maamuzi ambayo hayakuwa Sahihi na kuweka utaratibu mzuri ambao hautakuwa mwiba kwa Watu kama ilivyo sasa
Soma https://jamii.app/MaonoUongozi
#Accountability
Anasema Watu wanapolalamika kwamba #Tozo ni kikwazo, Uongozi haupaswi kusema Wananchi watazizoea
Wanapaswa kukubali kuwa walifanya Maamuzi ambayo hayakuwa Sahihi na kuweka utaratibu mzuri ambao hautakuwa mwiba kwa Watu kama ilivyo sasa
Soma https://jamii.app/MaonoUongozi
#Accountability
MDAU: USIFUATE MKUMBO KWENYE BIASHARA ZA MTANDAONI
Anasema Changamoto za Maisha zimesababisha Watu wengi hasa Vijana kukimbilia Biashara za Mtandaoni pasipo ufahamu wa kutosha
Anashauri kabla hujaanza zingatia Rasilimali Pesa (Mtaji wako), Muda, Vifaa na uelewa wako
Soma https://jamii.app/Mtandaoni
#DigitalRights
Anasema Changamoto za Maisha zimesababisha Watu wengi hasa Vijana kukimbilia Biashara za Mtandaoni pasipo ufahamu wa kutosha
Anashauri kabla hujaanza zingatia Rasilimali Pesa (Mtaji wako), Muda, Vifaa na uelewa wako
Soma https://jamii.app/Mtandaoni
#DigitalRights
๐11๐ฅฐ2
MAGU: MCHUNGAJI ATUHUMIWA KUMBAKA MTOTO WAKE WA MIAKA 6
Nurdin Abdallah anadaiwa kutenda Ukatili huo mara kadhaa kwa Mtoto wake
Alimchukua Mtoto kwa Mama yake baada ya kutengana Julai 2022, ambapo Mama wa mtoto alihamia Wilaya ya Bunda
Soma https://jamii.app/TuhumaMchungaji
#HakiMtoto
Nurdin Abdallah anadaiwa kutenda Ukatili huo mara kadhaa kwa Mtoto wake
Alimchukua Mtoto kwa Mama yake baada ya kutengana Julai 2022, ambapo Mama wa mtoto alihamia Wilaya ya Bunda
Soma https://jamii.app/TuhumaMchungaji
#HakiMtoto
๐ข13๐4๐ค4๐คจ3๐1
UNGUJA: WATU 14 WAKAMATWA WAKIDAIWA KUWA PANYA ROAD
Vijana hao (6 kutoka Dar) wanadaiwa kujihusisha na uhalifu kwa kutumia silaha za jadi kupora na kujeruhi Watu Mkoa wa Mjini Magharibi
Wengine nane wanashikiliwa kwa uchunguzi zaidi
Soma https://jamii.app/PanyaRoadUnguja
#JFMatukio
Vijana hao (6 kutoka Dar) wanadaiwa kujihusisha na uhalifu kwa kutumia silaha za jadi kupora na kujeruhi Watu Mkoa wa Mjini Magharibi
Wengine nane wanashikiliwa kwa uchunguzi zaidi
Soma https://jamii.app/PanyaRoadUnguja
#JFMatukio
๐7
NIGERIA: ZAIDI YA WATU 500 WAFARIKI KWA MAFURIKO
Idadi hiyo imefikiwa kutokana na mafuriko yalitokea wiki za hivi karibuni
Watu 1,500 wamejeruhiwa na wengine milioni 1.4 wamekimbia Makazi yao ikiwemo katika Mji wa #Abuja
Soma https://jamii.app/NigeriaFloods
#Floods
Idadi hiyo imefikiwa kutokana na mafuriko yalitokea wiki za hivi karibuni
Watu 1,500 wamejeruhiwa na wengine milioni 1.4 wamekimbia Makazi yao ikiwemo katika Mji wa #Abuja
Soma https://jamii.app/NigeriaFloods
#Floods
๐5๐ค4
ANNA MAKINDA: VIJANA MSITEGEMEE KUAJIRIWA TU
Amewataka vijana kutumia fursa za maeneo wanayoishi na kutotegemea ajira za Serikalini/Sekta Binafsi
> Amesema kupitia Zoezi la Sensa amebaini vijana wengi hawana shughuli za kuingiza kipato
Soma https://jamii.app/UshauriKwaVijana
#Uwajibikaji
Amewataka vijana kutumia fursa za maeneo wanayoishi na kutotegemea ajira za Serikalini/Sekta Binafsi
> Amesema kupitia Zoezi la Sensa amebaini vijana wengi hawana shughuli za kuingiza kipato
Soma https://jamii.app/UshauriKwaVijana
#Uwajibikaji
๐19๐13๐ค5โค3๐คฉ1
Siku ya Kimataifa ya Kupunguza Hatari ya Maafa Duniani hutumika kuongeza Ufahamu kuhusu Athari za Majanga ya Asili na ya Kibinadamu
Pia, kutambua juhudi za Jumuiya na Watu Binafsi Duniani kote za kupunguza uwezekano na athari za Majanga
Soma https://jamii.app/DRRDay
#DRRDay
Pia, kutambua juhudi za Jumuiya na Watu Binafsi Duniani kote za kupunguza uwezekano na athari za Majanga
Soma https://jamii.app/DRRDay
#DRRDay
๐6