#JFAFYA: Watu hushauriwa kula Vyakula vyenye utajiri mkubwa wa Madini Joto (Iodine) kama Samaki wa Baharini, Maziwa pamoja na Bidhaa zake, Mayai na Maini ya Wanyama ili kujikinga na Goita
Pia ni vyema kutumia chumvi iliyoongezewa Madini Joto kupikia Chakula
Soma https://jamii.app/GoiterTips
#JFAfyaJamii
Pia ni vyema kutumia chumvi iliyoongezewa Madini Joto kupikia Chakula
Soma https://jamii.app/GoiterTips
#JFAfyaJamii
👍5
#Uraghbishi ni Falsafa, Mtazamo na namna ya kuwachochea Wananchi kushiriki katika kujiletea Maendeleo
Pia, ni Mtindo wa Maisha wenye lengo la kuwafanya Wananchi washiriki kwenye Uhamasishaji wa Maendeleo katika Maeneo yao
Soma https://jamii.app/Uraghbishi
#JFHakiRaia #Twaweza
Pia, ni Mtindo wa Maisha wenye lengo la kuwafanya Wananchi washiriki kwenye Uhamasishaji wa Maendeleo katika Maeneo yao
Soma https://jamii.app/Uraghbishi
#JFHakiRaia #Twaweza
👍5
TEKNOLOJIA SAIDIZI: NYENZO MUHIMU KWA USTAWI WA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM
Teknolojia Saidizi ni pamoja na Kiti cha Magurudumu, Programu ya Kompyuta, 'Keyboard' au 'Mouse' Maalum inayoweza kumsaidia Mtu mwenye Ulemavu kufanya kazi ambayo vinginevyo ingekuwa ngumu au isiyowezekana
Vifaa au Programu Saidizi huwapa watu wote fursa ya kushiriki shughuli za kijamii
Fahamu zaidi https://jamii.app/ATech1
#AssistiveTechnology
Teknolojia Saidizi ni pamoja na Kiti cha Magurudumu, Programu ya Kompyuta, 'Keyboard' au 'Mouse' Maalum inayoweza kumsaidia Mtu mwenye Ulemavu kufanya kazi ambayo vinginevyo ingekuwa ngumu au isiyowezekana
Vifaa au Programu Saidizi huwapa watu wote fursa ya kushiriki shughuli za kijamii
Fahamu zaidi https://jamii.app/ATech1
#AssistiveTechnology
👍7
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, amesema kuna wakati uliibuka mjadala wa kuongeza muda wa Rais kukaa Madarakani kutoka Miaka 5 hadi 7, wao kama washauri wailikataa hoja hiyo
Asema Heshima kubwa ya #Tanzania ni kuheshimu vipindi viwili vya Miaka 5
Soma https://jamii.app/JKKatiba
#Democracy
Asema Heshima kubwa ya #Tanzania ni kuheshimu vipindi viwili vya Miaka 5
Soma https://jamii.app/JKKatiba
#Democracy
👏7👍2
MBEYA: KADA WA CHADEMA ALIYEFUNGWA MAISHA JELA AACHIWA HURU
Gerald Mwakitalu alihukumiwa kutumikia adhabu hiyo Februari 15, 2022 kwa kosa la kudaiwa kuchoma Nyumba ya Mgombea wa CCM wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020
Soma https://jamii.app/KadaCDM
#SocialJustice #Democracy
Gerald Mwakitalu alihukumiwa kutumikia adhabu hiyo Februari 15, 2022 kwa kosa la kudaiwa kuchoma Nyumba ya Mgombea wa CCM wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020
Soma https://jamii.app/KadaCDM
#SocialJustice #Democracy
👍16❤1
Mdau anasema kukosekana kwa Huduma ya Uhakika ya Maji safi kuna athari nyingi kwa Jamii. Mfano: Wanawake na Watoto hubakwa wakifuata Maji Umbali mrefu au Hatari za kiafya kutokana na Kunywa Maji yasiyo salama
Ameshauri Serikali kuwezesha Huduma hii muhimu kwa Wananchi kwa kukomesha ufisadi kwenye fedha za Miradi kwa kufuatilia utekelezaji wa Miradi ya Maji
Soma https://jamii.app/HakiYaHudumaYaMaji
#ServiceDelivery
Ameshauri Serikali kuwezesha Huduma hii muhimu kwa Wananchi kwa kukomesha ufisadi kwenye fedha za Miradi kwa kufuatilia utekelezaji wa Miradi ya Maji
Soma https://jamii.app/HakiYaHudumaYaMaji
#ServiceDelivery
👍5
KIKWETE: WADOKOZI TAASISI NYETI WANAKWAMISHA NCHI
Rais huyo Mstaafu, amesema ufanyaji Kazi kwa Mazoea, Udokozi, Ufinyu wa Utafiti, Ubora hafifu wa Bidhaa uepukwe ili kufikia malengo ya Nchi kwa kuwa kuna baadhi ya Watumishi hawaendi na kasi iliyopo
Soma https://jamii.app/Wadokozi
#Uwajibikaji
Rais huyo Mstaafu, amesema ufanyaji Kazi kwa Mazoea, Udokozi, Ufinyu wa Utafiti, Ubora hafifu wa Bidhaa uepukwe ili kufikia malengo ya Nchi kwa kuwa kuna baadhi ya Watumishi hawaendi na kasi iliyopo
Soma https://jamii.app/Wadokozi
#Uwajibikaji
👍11
MAWAKILI WATAJWA KUCHELEWESHA MASHAURI YA ARDHI
Mashauri 2000 kati ya 3000 ya Migogoro ya Ardhi yanayosimamiwa na Mawakili ndiyo yaliyochukua muda mrefu kumalizika tofauti na yale ambayo hayawakilishwi na Mawakili
Soma https://jamii.app/MashauriYaArdhi
#Uwajibikaji #ServiceDelivery
Mashauri 2000 kati ya 3000 ya Migogoro ya Ardhi yanayosimamiwa na Mawakili ndiyo yaliyochukua muda mrefu kumalizika tofauti na yale ambayo hayawakilishwi na Mawakili
Soma https://jamii.app/MashauriYaArdhi
#Uwajibikaji #ServiceDelivery
👍3
#ZANZIBAR: RAIA WAWILI WA UGANDA WAWEKWA KARANTINI
Kagola Heribery na Mawanda Verai waliingia Visiwani humo kwa kutumia Jahazi
Wapo Karantini ya tahadhari ya maambukizi ya Ugonjwa wa #Ebola ambao umeua Watu kadhaa #Uganda
Soma https://jamii.app/KarantiniPemba
#JFAfya
Kagola Heribery na Mawanda Verai waliingia Visiwani humo kwa kutumia Jahazi
Wapo Karantini ya tahadhari ya maambukizi ya Ugonjwa wa #Ebola ambao umeua Watu kadhaa #Uganda
Soma https://jamii.app/KarantiniPemba
#JFAfya
👍8
DAR: PAUL MAKONDA AFUNGULIWA KESI YA KUPORA GARI
Mfanyabiashara Patrick Kamwelwe amefungua kesi hiyo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akitaka kulipwa fidia ya Tsh. Milioni 240
> Mdaiwa mwingine ni William Malecela (Le Mutuz)
Soma https://jamii.app/UporajiGari
#SocialJustice
Mfanyabiashara Patrick Kamwelwe amefungua kesi hiyo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akitaka kulipwa fidia ya Tsh. Milioni 240
> Mdaiwa mwingine ni William Malecela (Le Mutuz)
Soma https://jamii.app/UporajiGari
#SocialJustice
👍14
TOYOTA: TAARIFA BINAFSI ZA WATEJA 296,019 ZIMEDUKULIWA
Taarifa zilizovuja ni pamoja na wanaotumia Mfumo wa T-Connect, Barua Pepe na Namba za Simu
> Waathirika ni wateja Duniani kote waliojisajili kuanzia Julai 2017
Soma https://jamii.app/ToyotaData
#DataProtection #DataPrivacy
Taarifa zilizovuja ni pamoja na wanaotumia Mfumo wa T-Connect, Barua Pepe na Namba za Simu
> Waathirika ni wateja Duniani kote waliojisajili kuanzia Julai 2017
Soma https://jamii.app/ToyotaData
#DataProtection #DataPrivacy
🤔4😢2👍1
JACOB ZUMA AMALIZA KIFUNGO CHA MIEZI 15
Rais huyo wa zamani wa Afrika Kusini alianza kutumikia kifungo Julai 7, 2021 kwa kosa la kuidharau Mahakama
Septemba 2021 alitoka Gerezani na kutumikia Kifungo cha nje kwasababu za Kiafya
Soma https://jamii.app/ZumaFree
#Governance
Rais huyo wa zamani wa Afrika Kusini alianza kutumikia kifungo Julai 7, 2021 kwa kosa la kuidharau Mahakama
Septemba 2021 alitoka Gerezani na kutumikia Kifungo cha nje kwasababu za Kiafya
Soma https://jamii.app/ZumaFree
#Governance
👍10
#AFYA: Mkaa huzalisha gesi yenye Sumu inayoitwa #Carbonmonoxide (CO) ambayo hupelekea mhusika kupatwa na Maumivu makali ya Kichwa, Kizunguzungu, Uchovu Mkubwa, Kuongezeka kwa Mapigo ya Moyo, kukata kwa pumzi na hatimaye kupoteza Fahamu
Pia, huweza kusababisha uharibifu wa kudumu kwenye Seli muhimu za Ubongo pamoja na kusababisha kifo ikiwa msaada wa haraka hautatolewa
Soma https://jamii.app/SafeCharcoalUsage
#JFAfyaJamii
Pia, huweza kusababisha uharibifu wa kudumu kwenye Seli muhimu za Ubongo pamoja na kusababisha kifo ikiwa msaada wa haraka hautatolewa
Soma https://jamii.app/SafeCharcoalUsage
#JFAfyaJamii
👍16🙏3
HAITI: SERIKALI YAOMBA MSAADA WA KIJESHI KUDHIBITI MACHAFUKO YANAYOONGEZEKA
Waziri Mkuu, Ariel Henry, amesema Nchi yake inakabiliwa na hatari ya Mgogoro mkubwa wa Kibinadamu
> Ubalozi wa Marekani umeshauri raia wake kuondoka haraka
Soma https://jamii.app/HaitiUnrest
#HumanRights
Waziri Mkuu, Ariel Henry, amesema Nchi yake inakabiliwa na hatari ya Mgogoro mkubwa wa Kibinadamu
> Ubalozi wa Marekani umeshauri raia wake kuondoka haraka
Soma https://jamii.app/HaitiUnrest
#HumanRights
👍2🤯1
BIMA YA AFYA KWA WOTE: FAMILIA YA WATU 6 KULIPA TSH. 340,000
Idadi ya Watu itajumuisha Mchangiaji, Mwenza wake na Wategemezi wasiozidi 4 kwa kipindi cha Mwaka mmoja
Wasio na Familia watachangia Tsh. 84,000 kwa Mtu mmoja kwa Mwaka mmoja
Soma https://jamii.app/BimaPay
#PublicHealth
Idadi ya Watu itajumuisha Mchangiaji, Mwenza wake na Wategemezi wasiozidi 4 kwa kipindi cha Mwaka mmoja
Wasio na Familia watachangia Tsh. 84,000 kwa Mtu mmoja kwa Mwaka mmoja
Soma https://jamii.app/BimaPay
#PublicHealth
👍10🤔1
MZAZI MWENZA ANA HAKI YA KUMUONA MTOTO HATA KAMA HATOI MATUNZO
Sheria Namba 21 ya Mwaka 2009 Kifungu cha 38 cha Sheria ya Mtoto kinatoa Haki hiyo na Mzazi/Mlezi anayekaa na Mtoto hapaswi kuipinga
Anayenyimwa Haki hiyo anaweza kufungua Malalamiko Mahakama ya Mwanzo au ya Wilaya iliyopo ndani ya eneo analoishi Mtoto (Awe na chini ya Miaka 18)
Soma https://jamii.app/HakiKwaMtoto
#HakiMtoto
Sheria Namba 21 ya Mwaka 2009 Kifungu cha 38 cha Sheria ya Mtoto kinatoa Haki hiyo na Mzazi/Mlezi anayekaa na Mtoto hapaswi kuipinga
Anayenyimwa Haki hiyo anaweza kufungua Malalamiko Mahakama ya Mwanzo au ya Wilaya iliyopo ndani ya eneo analoishi Mtoto (Awe na chini ya Miaka 18)
Soma https://jamii.app/HakiKwaMtoto
#HakiMtoto
👍15
#ZAMBIA: Mbunge Munir Zulu amesimamishwa Kazi kwa muda wa Mwezi Mmoja baada ya kusema Wabunge ni watu wazima "Wanaonyoa Nywele zao za sehemu za siri"
Ni baada ya kukerwa na Mbunge mwenzie aliyemwita Kijana
Soma https://jamii.app/MPSuspended
#Democracy
Ni baada ya kukerwa na Mbunge mwenzie aliyemwita Kijana
Soma https://jamii.app/MPSuspended
#Democracy
😁13👍6
RIPOTI WHO: AFRIKA INAONGOZA KWA IDADI YA WATU WANAOJIUA DUNIANI
Afrika ina Nchi 6 kati ya 10 zenye Viwango vya juu zaidi vya Watu kujiua Duniani ambapo tatizo la Afya ya Akili linachangia Vifo kwa hadi 11%
Takriban Watu 11 kwa kila Watu 100,000 wanajiua Barani Afrika kila Mwaka ikiwa ni juu ya wastani wa Kimataifa wa Watu 9 kwa kila Watu 100,000
Soma https://jamii.app/WHOSuicides
#MentalHealth
Afrika ina Nchi 6 kati ya 10 zenye Viwango vya juu zaidi vya Watu kujiua Duniani ambapo tatizo la Afya ya Akili linachangia Vifo kwa hadi 11%
Takriban Watu 11 kwa kila Watu 100,000 wanajiua Barani Afrika kila Mwaka ikiwa ni juu ya wastani wa Kimataifa wa Watu 9 kwa kila Watu 100,000
Soma https://jamii.app/WHOSuicides
#MentalHealth
👍4
BAADHI YA MAENEO KATIKA MIKOA 17 KUKOSA UMEME OKTOBA 9 NA 10, 2022
Mikoa hiyo ni Dar, Pwani, Tanga, Arusha, Morogoro, Iringa, Mbeya, Ruvuma, Njombe, Shinyanga, Tabora, Mwanza, Mara, Simiyu, #Kilimanjaro, Manyara na Songwe
Sababu ni kuzimwa kwa laini 2 kubwa za Umeme
Soma https://jamii.app/UmemeKukatika
#ServiceDelivery
Mikoa hiyo ni Dar, Pwani, Tanga, Arusha, Morogoro, Iringa, Mbeya, Ruvuma, Njombe, Shinyanga, Tabora, Mwanza, Mara, Simiyu, #Kilimanjaro, Manyara na Songwe
Sababu ni kuzimwa kwa laini 2 kubwa za Umeme
Soma https://jamii.app/UmemeKukatika
#ServiceDelivery
👍4🤯2