JamiiForums
52.6K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
#JFDATA: Zaidi ya Watu Bilioni 1 Duniani wanahitaji angalau kifaa kimoja cha Usaidizi kwa ajili ya Mawasiliano na Utambuzi. Wengi wao hawawezi kupata kutokana na gharama kuwa kubwa

Wakati ufikiaji wa Teknolojia Saidizi (#AssistiveTechnology) ukiwa 3% katika Nchi masikini na za Kipato cha Kati, kwenye Mataifa tajiri uwezekano wa Wananchi kupata vifaa hivyo vya usaidizi ni 90%
👍5
TEKNOLOJIA SAIDIZI: NYENZO MUHIMU KWA USTAWI WA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM

Teknolojia Saidizi ni pamoja na Kiti cha Magurudumu, Programu ya Kompyuta, 'Keyboard' au 'Mouse' Maalum inayoweza kumsaidia Mtu mwenye Ulemavu kufanya kazi ambayo vinginevyo ingekuwa ngumu au isiyowezekana

Vifaa au Programu Saidizi huwapa watu wote fursa ya kushiriki shughuli za kijamii

Fahamu zaidi https://jamii.app/ATech1

#AssistiveTechnology
👍7