AFISA HABARI WA AZAM FC AFUNGIWA MIEZI 3 NA FAINI YA TSH LAKI 5
Thabiti Zakaria amekutwa na kosa la kuwatuhumu Waamuzi kuwanyima penati mbili
Namungo FC imetozwa faini ya Tsh. Milioni 1 na Dodoma Jiji imetozwa faini ya Tsh. Laki 5
Soma https://jamii.app/TPLBAdhabu
#JFSports
Thabiti Zakaria amekutwa na kosa la kuwatuhumu Waamuzi kuwanyima penati mbili
Namungo FC imetozwa faini ya Tsh. Milioni 1 na Dodoma Jiji imetozwa faini ya Tsh. Laki 5
Soma https://jamii.app/TPLBAdhabu
#JFSports
π6π1π1
#UGANDA: Rais Museven amewaomba radhi Wakenya kwa Tweets za Mtoto wake, Jenerali Muhoozi, kuhusu kuiteka #Nairobi
> Amezungumzia hatua ya kumpandisha Cheo na kusema licha ya kukosea kwake kuna Michango mingi aliyotoa na bado anaweza kutoa
Soma https://jamii.app/YoweriRadhi
#Diplomacy
> Amezungumzia hatua ya kumpandisha Cheo na kusema licha ya kukosea kwake kuna Michango mingi aliyotoa na bado anaweza kutoa
Soma https://jamii.app/YoweriRadhi
#Diplomacy
π10π4π2
RWANDA: WANAHABARI WATATU WATOLEWA JELA BAADA YA MIAKA MINNE
Walikamatwa kwa madai ya kueneza habari za uongo dhidi ya Serikali ya Rais Paul Kagame wakitumia Mtandao wa #YouTube
Wamefutiwa Mashtaka yote kutokana na kukosekana kwa ushahidi
Soma https://jamii.app/RwandaMedia
#PressFreedom
Walikamatwa kwa madai ya kueneza habari za uongo dhidi ya Serikali ya Rais Paul Kagame wakitumia Mtandao wa #YouTube
Wamefutiwa Mashtaka yote kutokana na kukosekana kwa ushahidi
Soma https://jamii.app/RwandaMedia
#PressFreedom
π10π2
MDAU: TOZO BADO NI MWIBA KWA WATANZANIA
Anasema Serikali imeshindwa kuzuia Mfumuko wa bei za Vyakula na Bidhaa muhimu badala yake imeleta #Tozo ambazo hazina #Uwazi na #Uwajibikaji ktk matumizi yake
Ameshauri ikiwa ni lazima kukata Tozo hizo basi zitumike kuchangia #BimaYaAfya kwa kila Mwananchi ili matumizi ya Tozo yamguse Mtanzania mmoja mmoja
Soma https://jamii.app/TozoMwiba
#Governance
Anasema Serikali imeshindwa kuzuia Mfumuko wa bei za Vyakula na Bidhaa muhimu badala yake imeleta #Tozo ambazo hazina #Uwazi na #Uwajibikaji ktk matumizi yake
Ameshauri ikiwa ni lazima kukata Tozo hizo basi zitumike kuchangia #BimaYaAfya kwa kila Mwananchi ili matumizi ya Tozo yamguse Mtanzania mmoja mmoja
Soma https://jamii.app/TozoMwiba
#Governance
π28
#IRAN: POLISI WASAMBAZWA VYUONI KUDHIBITI MAANDAMANO YA KIFO CHA MAHSA
Kifo hicho kimeamsha hasira za Raia wanaoshinikiza kuondolewa kwa Sheria na Utawala wa Kiislamu uliopo tangu 1979
> Watu 150 wameripotiwa kufariki kwenye vurugu hizo
Soma https://jamii.app/IranUnrest
#MahsaAmin
Kifo hicho kimeamsha hasira za Raia wanaoshinikiza kuondolewa kwa Sheria na Utawala wa Kiislamu uliopo tangu 1979
> Watu 150 wameripotiwa kufariki kwenye vurugu hizo
Soma https://jamii.app/IranUnrest
#MahsaAmin
π10π10
NI WAJIBU WA NDUGU KUWAPA MSAADA WA KIJAMII WATU WENYE ULEMAVU
Kwa Mujibu wa vifungu vya 16 na 17 vya Sheria ya Watu wenye Ulemavu ya Mwaka 2010, Kushindwa kutoa Msaada wa Kijamii unaostahili kwa Mtu mwenye Ulemavu, Mahakama kwa Maombi ya Mtu Mwenye Ulemavu au Mwakilishi wake itamwamuru Ndugu kutoa malipo ya kila Mwezi kwa kiwango cha Fedha ambacho itaona kinafaa
Soma https://jamii.app/WatuWenyeUlemavuMsaada
#HumanRights
Kwa Mujibu wa vifungu vya 16 na 17 vya Sheria ya Watu wenye Ulemavu ya Mwaka 2010, Kushindwa kutoa Msaada wa Kijamii unaostahili kwa Mtu mwenye Ulemavu, Mahakama kwa Maombi ya Mtu Mwenye Ulemavu au Mwakilishi wake itamwamuru Ndugu kutoa malipo ya kila Mwezi kwa kiwango cha Fedha ambacho itaona kinafaa
Soma https://jamii.app/WatuWenyeUlemavuMsaada
#HumanRights
π10
AUSTRALIA: Serikali imelazimika kubadili Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na kuzitaka Kampuni za Mawasiliano kushirikiana na Taasisi za Kibenki na Serikali ili kuchunguza na Kudhibiti Mashambulio ya Kimtandao
Kampuni ya Simu ya #Optus ilidukuliwa Sept. 21, 2022 na kupoteza rekodi za wateja milioni 9.8 ikiwemo Pasipoti, Leseni za Udereva na Kitambulisho cha Afya
Soma https://jamii.app/DataLaw
#DataProtection #DataPrivacy
Kampuni ya Simu ya #Optus ilidukuliwa Sept. 21, 2022 na kupoteza rekodi za wateja milioni 9.8 ikiwemo Pasipoti, Leseni za Udereva na Kitambulisho cha Afya
Soma https://jamii.app/DataLaw
#DataProtection #DataPrivacy
π8
#THAILAND: WATU 31 WAMEUAWA BAADA YA ASKARI KUSHAMBULIA SHULE
Polisi wamesema shambulio hilo limefanywa na Afisa wa zamani wa Polisi aliyefyatua risasi na kuchoma Visu Watoto na Watu wazima ktk kituo cha Kulea Watoto wa Shule ya Awali
Soma https://jamii.app/VifoThailand
#HumanRights
Polisi wamesema shambulio hilo limefanywa na Afisa wa zamani wa Polisi aliyefyatua risasi na kuchoma Visu Watoto na Watu wazima ktk kituo cha Kulea Watoto wa Shule ya Awali
Soma https://jamii.app/VifoThailand
#HumanRights
π’6π4
Ni muhimu kupata Uchunguzi kamili wa Kitabibu kwasababu Saratani ya Matiti inaweza kuonekana kwa namna nyingi
Dalili nyingine za Saratani ya Matiti ni Mabadiliko katika Mwonekano wa Ngozi kama vile kuchubuka, kufifia au wekundu na chuchu kuzama ndani ya Titi
#PublicHealth #BreastCancer #BreastCancerAwarenessMonth
Dalili nyingine za Saratani ya Matiti ni Mabadiliko katika Mwonekano wa Ngozi kama vile kuchubuka, kufifia au wekundu na chuchu kuzama ndani ya Titi
#PublicHealth #BreastCancer #BreastCancerAwarenessMonth
π2
Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) imesema itawachukulia hatua za Kisheria wamiliki wa Magari yenye Namba ambazo hazijatolewa na TRA au Taasisi nyingine za Serikali ambazo zimepewa jukumu hilo Kisheria, ikiwemo kutaifisha Gari husika
Soma https://jamii.app/MarufukuTRA
#Governance
Soma https://jamii.app/MarufukuTRA
#Governance
π4
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari ya Kimataifa kuhusu Dawa za #Promethazine Oral Solution, Kofexmalin Baby Cough Syrup, Makoff Baby Cough Syrup na Magrip N Cold Syrup zilizohusishwa na majeraha ya Figo na Vifo vya Watoto 66 Nchini #Gambia
Soma https://jamii.app/TahadhariYaDawa
#JFAfya
Soma https://jamii.app/TahadhariYaDawa
#JFAfya
π11
MAREKANI KUTOA MAPIPA MILIONI 10 YA MAFUTA BAADA YA OPEC KUPUNGUZA UZALISHAJI
OPEC+ itapunguza uzalishaji wa Mapipa milioni 2 kwa Siku kuanzia Novemba 2022 ili kudhibiti Bei iliyoshuka hadi Tsh. 186,560 kutoka Tsh. 279,840 kwa Pipa
Soma https://jamii.app/OPECPunguzo
#ServiceDelivery
OPEC+ itapunguza uzalishaji wa Mapipa milioni 2 kwa Siku kuanzia Novemba 2022 ili kudhibiti Bei iliyoshuka hadi Tsh. 186,560 kutoka Tsh. 279,840 kwa Pipa
Soma https://jamii.app/OPECPunguzo
#ServiceDelivery
π7
TMDA YAKAMATA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME NA P2 HATARI KWA UZAZI KANDA YA ZIWA
Dawa hizo ni VEGA 100 ambazo hazina usajili pamoja na Dawa za kuzuia Ujauzito ambazo hazijulikani zilikotengenezwa
> Zimekutwa kwenye 30% ya Maduka ya Dawa
Soma https://jamii.app/TMDABandia
#PublicHealth
Dawa hizo ni VEGA 100 ambazo hazina usajili pamoja na Dawa za kuzuia Ujauzito ambazo hazijulikani zilikotengenezwa
> Zimekutwa kwenye 30% ya Maduka ya Dawa
Soma https://jamii.app/TMDABandia
#PublicHealth
π5π3
#JFAFYA: Goita (#Goiter) ni Uvimbe unaotokea kwenye Tezi ya βThyroidβ inayopatikana sehemu ya mbele ya Shingo
Huzalisha Homoni za T4 na T3 ambazo huratibu Mifumo mbalimbali ya Mwili ikiwemo Joto, Mihemko ya Mwili, Mapigo ya Moyo na Mmengβenyo wa Chakula
Soma https://jamii.app/GoiterTips
#JFAfyaJamii
Huzalisha Homoni za T4 na T3 ambazo huratibu Mifumo mbalimbali ya Mwili ikiwemo Joto, Mihemko ya Mwili, Mapigo ya Moyo na Mmengβenyo wa Chakula
Soma https://jamii.app/GoiterTips
#JFAfyaJamii
π6π₯°1
SERIKALI KUZISAKA DAWA ZILIZOPIGWA MARUFUKU NA WHO
Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Aifelo Sichwale, amesema licha ya TMDA kusema Dawa hizo hazijaingia nchini, Wizara ya Afya itafanya ukaguzi maalumu
Dawa hizo zinaripotiwa kuua Watoto 66 Nchini #Gambia
Soma https://jamii.app/DawaSumu
#PublicHealth
Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Aifelo Sichwale, amesema licha ya TMDA kusema Dawa hizo hazijaingia nchini, Wizara ya Afya itafanya ukaguzi maalumu
Dawa hizo zinaripotiwa kuua Watoto 66 Nchini #Gambia
Soma https://jamii.app/DawaSumu
#PublicHealth
π7
#MSUMBIJI: Wizara ya Afya imetangaza kisa cha kwanza cha Ugonjwa wa #MonkeyPox baada ya Mtu mmoja mwenye Historia ya kusafiri kugundulika kuwa na Maambukizi ya Virusi hivyo
Mamlaka zinaendelea kuchukua vipimo vya wanaohusiana na Mgonjwa
Soma https://jamii.app/MozambiqueMonkeyPox
#JFAfya
Mamlaka zinaendelea kuchukua vipimo vya wanaohusiana na Mgonjwa
Soma https://jamii.app/MozambiqueMonkeyPox
#JFAfya
π’6π1π₯°1
UINGEREZA: ELTON JOHN, PRINCE HARRY WAISHTAKI DAILY MAIL
Wanadai wachapishaji hao wameingilia Faragha zao kwa kutumia Vifaa kusikiliza Mazungumzo yao Binafsi kwenye Gari na Nyumbani
#DailyMail yamesema madai hayo yanalenga kuchafua Biashara yao
Soma https://jamii.app/PrinceHarryDailyMail
#DataPrivacy
Wanadai wachapishaji hao wameingilia Faragha zao kwa kutumia Vifaa kusikiliza Mazungumzo yao Binafsi kwenye Gari na Nyumbani
#DailyMail yamesema madai hayo yanalenga kuchafua Biashara yao
Soma https://jamii.app/PrinceHarryDailyMail
#DataPrivacy
π7
MALORI ZAIDI YA 600 YADAIWA KUKWAMA MPAKA WA KENYA NA #TANZANIA
Yamekwama katika Mpaka wa #Namanga kwa zaidi ya wiki moja ambapo Madereva wamedai mchakato upande wa #Kenya ndio umechangia mkwamo huo licha ya kukamilisha taratibu za vibali
Soma https://jamii.app/NamangaMpakani
#ServiceDelivery
Yamekwama katika Mpaka wa #Namanga kwa zaidi ya wiki moja ambapo Madereva wamedai mchakato upande wa #Kenya ndio umechangia mkwamo huo licha ya kukamilisha taratibu za vibali
Soma https://jamii.app/NamangaMpakani
#ServiceDelivery
π8π€1
SUDAN KUSINI: Benki ya Dunia imesema haiwezi kutoa Ufadhili wa kujenga Barabara kutokana na Nchi hiyo kukosa Uwazi wa Matumizi ya Fedha
> #Sudan inatajwa kuongoza kwa Barabara mbovu kwa pembe ya Afrika Mashariki
Soma https://jamii.app/RoadFundSK
#Accountability #ServiceDelivery
> #Sudan inatajwa kuongoza kwa Barabara mbovu kwa pembe ya Afrika Mashariki
Soma https://jamii.app/RoadFundSK
#Accountability #ServiceDelivery
π9
TFF YAZIFUNGIA TANZANIA PRISONS NA SINGIDA BIG STARS KWA KOSA LA USAJILI
Tanzania Prisons ilimsajili Musa Mbise akiwa na mkataba na Coastal Union huku Singida Big Stars ilimsajili kipa Metacha Mnata akiwa na mkataba na Polisi Tanzania
Soma https://jamii.app/TFFBan
#JFSports
Tanzania Prisons ilimsajili Musa Mbise akiwa na mkataba na Coastal Union huku Singida Big Stars ilimsajili kipa Metacha Mnata akiwa na mkataba na Polisi Tanzania
Soma https://jamii.app/TFFBan
#JFSports
π7π6