UPDATE: #CoronaVirus vimeua Watu 427 kufikia leo huku Watu 20,627 wakiathirika Duniani. Vifo viwili na waathirika 190 wametokea nje ya #China
- Nje ya China, Mataifa 25 yamekumbwa na CoronaVirus huku #Japan (20), #Thailand (19) na #Singapore (18) yakiwa na Waathirika zaidi
- Nje ya China, Mataifa 25 yamekumbwa na CoronaVirus huku #Japan (20), #Thailand (19) na #Singapore (18) yakiwa na Waathirika zaidi
THAILAND: WANANCHI WAANDAMANA KUPINGA UTAWALA WA KIFALME
> Raia wa #Thailand wameandamana kumshinikiza Waziri Mkuu, Prayuth Chan-ocha kujiuzulu na kuukomesha Mfumo wa Kifalme
> Pia, wanadai kuachiliwa kwa waliokamatwa kwasababu za Kisiasa
Soma https://jamii.app/ThailandMaandamano
> Raia wa #Thailand wameandamana kumshinikiza Waziri Mkuu, Prayuth Chan-ocha kujiuzulu na kuukomesha Mfumo wa Kifalme
> Pia, wanadai kuachiliwa kwa waliokamatwa kwasababu za Kisiasa
Soma https://jamii.app/ThailandMaandamano
THAILAND YASITISHA MATUMIZI YA ASTRAZENECA
> #Thailand imesema haina sababu ya kuharakisha utoaji wa chanjo hivyo imesitisha zoezi hilo
> #AstraZeneca inasemekana inasababisha Damu Kuganda, huku Mamlaka za Afya zikisisitiza kuwa ni salama
Soma https://jamii.app/AstraZEnecaThailand
> #Thailand imesema haina sababu ya kuharakisha utoaji wa chanjo hivyo imesitisha zoezi hilo
> #AstraZeneca inasemekana inasababisha Damu Kuganda, huku Mamlaka za Afya zikisisitiza kuwa ni salama
Soma https://jamii.app/AstraZEnecaThailand
#THAILAND: MAHAKAMA YAMSIMAMISHA KAZI WAZIRI MKUU
Mahakama ya #Katiba imemsimamisha kazi Prayuth Chan-ocha baada ya kuwekewa pingamizi na Vyama vya Upinzani vilivyodai Kiongozi huyo amemaliza muhula wake wa Miaka minne
Soma - https://jamii.app/ThaiPM
#Democracy
Mahakama ya #Katiba imemsimamisha kazi Prayuth Chan-ocha baada ya kuwekewa pingamizi na Vyama vya Upinzani vilivyodai Kiongozi huyo amemaliza muhula wake wa Miaka minne
Soma - https://jamii.app/ThaiPM
#Democracy
👍1🎉1
#THAILAND: WATU 31 WAMEUAWA BAADA YA ASKARI KUSHAMBULIA SHULE
Polisi wamesema shambulio hilo limefanywa na Afisa wa zamani wa Polisi aliyefyatua risasi na kuchoma Visu Watoto na Watu wazima ktk kituo cha Kulea Watoto wa Shule ya Awali
Soma https://jamii.app/VifoThailand
#HumanRights
Polisi wamesema shambulio hilo limefanywa na Afisa wa zamani wa Polisi aliyefyatua risasi na kuchoma Visu Watoto na Watu wazima ktk kituo cha Kulea Watoto wa Shule ya Awali
Soma https://jamii.app/VifoThailand
#HumanRights
😢6👍4
KENYA: Bunge la Kitaifa limepokea Ombi linalotaka Mtandao wa #TikTok ufungiwe Nchini humo kwa maelezo umekuwa ukitumika kuchapisha Maudhui ya Ngono, Uchochezi na Uchafu Unaodhoofisha Maadili ya Kitamaduni na Kidini
Mlalamikaji ameonya endapo Mtandao huo hautafungiwa, utahatarisha Usalama wa Wananchi hasa katika #AfyaYaAkili kwa Vijana na kushuka kwa Ufaulu wa Masomo
Katika utafiti uliofanywa na #Reuters, #Kenya inaongoza kwa 54% katika matumizi ya kila namna ya TikTok Duniani na 29% ikitumika kwaajili ya kupata Habari ikifuatiwa na #Thailand na Afrika Kusini
Soma https://jamii.app/TiktoKE
#JamiiForums #DigitalRights #InternetSafety #Governance #MentalHealthAwareness #DigitalWorld #JFDigitali
Mlalamikaji ameonya endapo Mtandao huo hautafungiwa, utahatarisha Usalama wa Wananchi hasa katika #AfyaYaAkili kwa Vijana na kushuka kwa Ufaulu wa Masomo
Katika utafiti uliofanywa na #Reuters, #Kenya inaongoza kwa 54% katika matumizi ya kila namna ya TikTok Duniani na 29% ikitumika kwaajili ya kupata Habari ikifuatiwa na #Thailand na Afrika Kusini
Soma https://jamii.app/TiktoKE
#JamiiForums #DigitalRights #InternetSafety #Governance #MentalHealthAwareness #DigitalWorld #JFDigitali
👍11👏1