MAN UNITED YABAMIZWA GOLI 6-3
#ManUnited imekubali kipigo hicho kutoka kwa #ManCity katika Premier League
Wafungaji wa City wamefunga magoli matatu (hat trick) kila mmoja (Phil Foden na Erling Haaland) wafungaji wa United ni Antony na Martial
Soma https://jamii.app/ManDerby
#ManUnited imekubali kipigo hicho kutoka kwa #ManCity katika Premier League
Wafungaji wa City wamefunga magoli matatu (hat trick) kila mmoja (Phil Foden na Erling Haaland) wafungaji wa United ni Antony na Martial
Soma https://jamii.app/ManDerby
π18π€‘6π5π3
#SRILANKA: SERIKALI YAFUTA KODI ZOTE KWENYE TAULO ZA KIKE
Ofisi ya Rais imeagiza kufutwa mara moja kwa Ushuru wa Forodha, Ushuru unaolipwa Viwanja vya Ndege na Kodi nyingine za ndani zinazogusa Malighafi za kutengeneza Bidhaa zote za Usafi wa Wanawake
Soma https://jamii.app/SriPads
#WomensRights
Ofisi ya Rais imeagiza kufutwa mara moja kwa Ushuru wa Forodha, Ushuru unaolipwa Viwanja vya Ndege na Kodi nyingine za ndani zinazogusa Malighafi za kutengeneza Bidhaa zote za Usafi wa Wanawake
Soma https://jamii.app/SriPads
#WomensRights
π16π4
#JFAFYA: βHeat Strokeβ au Kiharusi cha Joto ni hali ambayo huweza kutokea baada ya Mifumo ya Mwili kushindwa kudhibiti ongezeko la ghafla la Joto kubwa linaloweza kufikia zaidi ya Nyuzi Joto 41
Huweza kumpelekea Mtoto kupoteza fahamu, kuweweseka, kuzunguzungu, Kiu kali, Degedege pamoja na kufeli kwa Viungo vya ndani ya Mwili na kusababisha kifo au changamoto za kudumu
Soma https://jamii.app/HeatStrokeTips
#JFAfyaJamii
Huweza kumpelekea Mtoto kupoteza fahamu, kuweweseka, kuzunguzungu, Kiu kali, Degedege pamoja na kufeli kwa Viungo vya ndani ya Mwili na kusababisha kifo au changamoto za kudumu
Soma https://jamii.app/HeatStrokeTips
#JFAfyaJamii
WAZEE WASIACHWE NYUMA KIDIJITALI
Kutokana na changamoto za Uzee ni muhimu Wazee kuwezeshwa kutumia Teknolojia ya Digitali kwani itawasaidia kwa Afya na uystawi wao. Mfano; Kupata dondoo za Afya na Maisha zilizopo Mtandaoni
Ni muhimu kwa Jamii kutafuta njia za kuwawezesha Wazee katika ushiriki huru wa Kijamii kupitia Mtandao
Soma https://jamii.app/WazeeNaDijitali
#DigitalWorld
Kutokana na changamoto za Uzee ni muhimu Wazee kuwezeshwa kutumia Teknolojia ya Digitali kwani itawasaidia kwa Afya na uystawi wao. Mfano; Kupata dondoo za Afya na Maisha zilizopo Mtandaoni
Ni muhimu kwa Jamii kutafuta njia za kuwawezesha Wazee katika ushiriki huru wa Kijamii kupitia Mtandao
Soma https://jamii.app/WazeeNaDijitali
#DigitalWorld
π9β€2π2
SIMBA YAONGOZA LIGI KWA USHINDI WA 3-0
Simba SC imeifunga Dodoma Jiji katika Mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Mkapa
Magoli yamefungwa na Shaibu βNinjaβ (amejifunga), Moses Phiri na Kyombo. #Simba imefikisha pointi 13 katika Mechi 5
Soma: https://jamii.app/SimbaDodomaJiji
#JFSports
Simba SC imeifunga Dodoma Jiji katika Mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Mkapa
Magoli yamefungwa na Shaibu βNinjaβ (amejifunga), Moses Phiri na Kyombo. #Simba imefikisha pointi 13 katika Mechi 5
Soma: https://jamii.app/SimbaDodomaJiji
#JFSports
π2
UTEUZI: BASHUNGWA AHAMISHIWA ULINZI, KAIRUKI APELEKWA TAMISEMI
Rais Samia amefanya mabadiliko hayo kwa kumteua Innocent Lugha Bashungwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Pia, amemteua Angellah Jasmine Kairuki kuwa Mbunge na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
#JamiiForums #JFGovernance
Rais Samia amefanya mabadiliko hayo kwa kumteua Innocent Lugha Bashungwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Pia, amemteua Angellah Jasmine Kairuki kuwa Mbunge na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
#JamiiForums #JFGovernance
π4π₯2
UTEUZI: DKT. STERGOMENA ACHUKUA NAFASI YA BALOZI MULAMULA
Rais Samia amefanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri kwa kumteua Dkt. Stergomena Lawrence Tax kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, anachukua nafasi ya Balozi Liberata Mulamula
#JamiiForums #JFGovernance
Rais Samia amefanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri kwa kumteua Dkt. Stergomena Lawrence Tax kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, anachukua nafasi ya Balozi Liberata Mulamula
#JamiiForums #JFGovernance
π9π₯°2
MOROGORO: Watoto 100 wa Kitongoji cha Maloweke Wilayani Gairo wamekosa fursa ya kupata Elimu kutokana na kukosa Shule, huku Shule za karibu zikiwa Umbali wa Kilometa 11
DC wa Gairo, Jabir Makame ameagiza Halmashauri kupeleka Mwalimu ujenzi wa Madarasa ukikamilika
Soma > https://jamii.app/ShuleMoro
#ServiceDelivery
DC wa Gairo, Jabir Makame ameagiza Halmashauri kupeleka Mwalimu ujenzi wa Madarasa ukikamilika
Soma > https://jamii.app/ShuleMoro
#ServiceDelivery
π7π€2
Mathalani matapishi, Choo, Mate, Mbegu za Kiume (Semen) na Damu. Maambukizi yanaweza kutokea pia iwapo Ngozi yenye uwazi ya Mtu asiye na Ugonjwa itakumbwa na Majimaji yenye kirusi yaliyomo kwenye Nguo chafu za Mgonjwa, Mashuka au Sindano zilizotumika
WHO haishauri Familia au Jamii kuhudumia Wagonjwa wanaoweza kuwa na dalili za Ebola Majumbani mwao. Badala yake wanatakiwa wapate Huduma Hospitali au Kituo cha Afya kilicho karibu.
#JamiiForums #EbolaOutbreak
WHO haishauri Familia au Jamii kuhudumia Wagonjwa wanaoweza kuwa na dalili za Ebola Majumbani mwao. Badala yake wanatakiwa wapate Huduma Hospitali au Kituo cha Afya kilicho karibu.
#JamiiForums #EbolaOutbreak
π4π2
Rais Samia Suluhu Hassan akiapisha Viongozi wateule Ikulu - Dar Es Salaam amesema "Katika viapo vyetu tunaapa kuilinda #Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa #Tanzania. Muungano wenye pande mbili na mtatumika sehemu zote sawa kwa jinsi Katiba ilivyogawa majukumu"
Zaidi: https://jamii.app/IkuluLeo
#Uapisho #JamiiForums
Zaidi: https://jamii.app/IkuluLeo
#Uapisho #JamiiForums
π6π5
RAIS SAMIA: WAZIRI HUWEZI KUJIONDOA KWENYE MAAMUZI YA SERIKALI
-
Rais Samia amewataka Mawaziri Wateule kujua kuwa wao ni sehemu ya Serikali hivyo Maamuzi ya Serikali ni yao kulingana na viapo vyao
Amesema, βLinaloamuliwa na Serikali wewe Waziri ni lako na unatakiwa ulibebe ukalifanyie kazi kwa misingi uliyoelekezwa. Huwezi kusema nimeelekezwa hivi ila mimi sikutaka hivi lakini imebidi nifanye hivi kwa sababu nimeelekezwa, huwezi kujitoaβ
#JamiiForums #Uwajibikaji #Governance
-
Rais Samia amewataka Mawaziri Wateule kujua kuwa wao ni sehemu ya Serikali hivyo Maamuzi ya Serikali ni yao kulingana na viapo vyao
Amesema, βLinaloamuliwa na Serikali wewe Waziri ni lako na unatakiwa ulibebe ukalifanyie kazi kwa misingi uliyoelekezwa. Huwezi kusema nimeelekezwa hivi ila mimi sikutaka hivi lakini imebidi nifanye hivi kwa sababu nimeelekezwa, huwezi kujitoaβ
#JamiiForums #Uwajibikaji #Governance
π9
MOROGORO: MWANAMKE AFUNGWA JELA MAISHA KWA KUBAKA MTOTO WA MIAKA 12
Shani Suleiman (35) alikamatwa baada ya Mama mzazi wa mtoto, kumwekea mtego nyumbani kwake ambapo alirekodi tukio hilo kwa kutumia simu janja
Soma https://jamii.app/MwanamkeAbakaMtoto
#HakiMtoto
Shani Suleiman (35) alikamatwa baada ya Mama mzazi wa mtoto, kumwekea mtego nyumbani kwake ambapo alirekodi tukio hilo kwa kutumia simu janja
Soma https://jamii.app/MwanamkeAbakaMtoto
#HakiMtoto
π15π5π€3
BURKINA FASO: ALIYEONDOLEWA MADARAKANI AJIUZULU NA KUKIMBIA NCHI
Paul-Henri Damiba amekwenda uhamishoni Nchini #Togo baada ya kuhakishiwa Usalama wake na kurejeshwa kwa Utawala wa Kiraia ndani ya Miaka miwili
> Ametawala kwa Siku 252
Soma https://jamii.app/DamibaBF
#Democracy
Paul-Henri Damiba amekwenda uhamishoni Nchini #Togo baada ya kuhakishiwa Usalama wake na kurejeshwa kwa Utawala wa Kiraia ndani ya Miaka miwili
> Ametawala kwa Siku 252
Soma https://jamii.app/DamibaBF
#Democracy
π4π4
UHURU WA KUJIELEZA UNA NAFASI GANI KATIKA DEMOKRASIA?
#UhuruWaKujieleza na Kupata Taarifa ni Haki muhimu katika Demokrasia na Ushirikishwaji Wananchi. Kuruhusu mtiririko huru wa mawazo pia huimarisha Uwazi na Uwajibikaji
Kushindwa kujieleza kwa uhuru kuna athari ya moja kwa moja kwenye ushiriki wa Kidemokrasia kwani kunapunguza ushiriki wa watu katika Mijadala inayogusa Maisha yao ya kila siku
#FreedomOfExpression #RightToInformation
#UhuruWaKujieleza na Kupata Taarifa ni Haki muhimu katika Demokrasia na Ushirikishwaji Wananchi. Kuruhusu mtiririko huru wa mawazo pia huimarisha Uwazi na Uwajibikaji
Kushindwa kujieleza kwa uhuru kuna athari ya moja kwa moja kwenye ushiriki wa Kidemokrasia kwani kunapunguza ushiriki wa watu katika Mijadala inayogusa Maisha yao ya kila siku
#FreedomOfExpression #RightToInformation
π6
UGANDA: Dkt. Mohamed Ali aliyefariki kwa #Ebola amezikwa Nchini humo ili kuepusha Maambukizi kuingia #Tanzania
> Miongozo ya Wizara ya Afya inaagiza wanaofariki kwa Ebola kuzikwa palepale wanapofia
Soma https://jamii.app/AliAzikwa
#PublicHealth #EbolaOutbreakUG
> Miongozo ya Wizara ya Afya inaagiza wanaofariki kwa Ebola kuzikwa palepale wanapofia
Soma https://jamii.app/AliAzikwa
#PublicHealth #EbolaOutbreakUG
π11π’6π€¨5
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
SPIKA TULIA: ATAKAYEMSEMA VIBAYA RAIS, SHUGHULIKENI NAYE
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Tanzania, amewataka Vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki ktk kumsema vibaya Rais na Viongozi wa Jimbo hilo
Zaidi https://jamii.app/TuliaRaisKusemwa
#Democracy #FreeSpeech
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Tanzania, amewataka Vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki ktk kumsema vibaya Rais na Viongozi wa Jimbo hilo
Zaidi https://jamii.app/TuliaRaisKusemwa
#Democracy #FreeSpeech
π18π5
RUSHWA YA NGONO: Wahanga wengi wamekuwa waoga kutoa Taarifa wanapobaini au wanapoombwa #RushwaYaNgono kutokana na uvujaji wa Taarifa hizo
Aidha, uoga wa kuzungumza pia unasababishwa na Urasimu wa Mfumo wa uwasilishaji na ushughulikiaji wa malalamiko na mrejesho hafifu wa hatua zilizochukuliwa dhidi ya walalamikiwa
#VunjaUkimya
Aidha, uoga wa kuzungumza pia unasababishwa na Urasimu wa Mfumo wa uwasilishaji na ushughulikiaji wa malalamiko na mrejesho hafifu wa hatua zilizochukuliwa dhidi ya walalamikiwa
#VunjaUkimya
π2
MIFUMO YA BIOMETRIKI INAZINGATIA NA KUHESHIMU HAKI YA FARAGHA?
Mataifa mbalimbali ikiwemo #Tanzania yamekuwa yakitumia Mifumo hiyo inayohusisha Alama za Vidole katika Utoaji wa Huduma kama usajili wa Namba za Simu, Vitambulisho na Hati za Kusafiria
Kila Mtu ana Haki ya Faragha ikiwemo katika Mawasiliano na Taarifa zake Binafsi
Ni muhimu kuwa na Misingi imara itakayohakikisha Taarifa hizo zinalindwa na zipo salama
Soma https://jamii.app/PrivacyBiometric
#RightToPrivacy
Mataifa mbalimbali ikiwemo #Tanzania yamekuwa yakitumia Mifumo hiyo inayohusisha Alama za Vidole katika Utoaji wa Huduma kama usajili wa Namba za Simu, Vitambulisho na Hati za Kusafiria
Kila Mtu ana Haki ya Faragha ikiwemo katika Mawasiliano na Taarifa zake Binafsi
Ni muhimu kuwa na Misingi imara itakayohakikisha Taarifa hizo zinalindwa na zipo salama
Soma https://jamii.app/PrivacyBiometric
#RightToPrivacy
π3
MDAU: WAZAZI ONGEENI NA WATOTO KUHUSU UBAKAJI NA ULAWITI
Anasema matukio hayo yanachangiwa na Watoto kutokuwa na Elimu ya kutosha kuhusu madhara ya vitendo hivyo na wengine wanafahamu kuhusu matukio hayo lakini hawajui namna sahihi ya kuyakabili
Ameshauri Wazazi/Walezi kuacha dhana kuwa watawambia wakiwa wakubwa, kwani kufanya hivyo ni kuwaacha watoto hatarini bila ya msaada wowote
Mjadala https://jamii.app/UkatiliElimu
#HakiMtoto
Anasema matukio hayo yanachangiwa na Watoto kutokuwa na Elimu ya kutosha kuhusu madhara ya vitendo hivyo na wengine wanafahamu kuhusu matukio hayo lakini hawajui namna sahihi ya kuyakabili
Ameshauri Wazazi/Walezi kuacha dhana kuwa watawambia wakiwa wakubwa, kwani kufanya hivyo ni kuwaacha watoto hatarini bila ya msaada wowote
Mjadala https://jamii.app/UkatiliElimu
#HakiMtoto
π6
TANZANIA YACHAGULIWA BARAZA KUU LA ITU
Imekuwa miongoni mwa Nchi 13 za Afrika zitakazowakilisha katika Baraza la Shirika la Mawasiliano Duniani (ITU) kwa 2023 - 2026
Baraza hilo linasimamia masuala ya Kisera ya Mawasiliano ya Simu
Soma: https://jamii.app/BarazaLaITU
#DigitalRights
Imekuwa miongoni mwa Nchi 13 za Afrika zitakazowakilisha katika Baraza la Shirika la Mawasiliano Duniani (ITU) kwa 2023 - 2026
Baraza hilo linasimamia masuala ya Kisera ya Mawasiliano ya Simu
Soma: https://jamii.app/BarazaLaITU
#DigitalRights
π6π1