JamiiForums
52.6K subscribers
34.4K photos
2.45K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
MIFUMO YA BIOMETRIKI INAZINGATIA NA KUHESHIMU HAKI YA FARAGHA?

Mataifa mbalimbali ikiwemo #Tanzania yamekuwa yakitumia Mifumo hiyo inayohusisha Alama za Vidole katika Utoaji wa Huduma kama usajili wa Namba za Simu, Vitambulisho na Hati za Kusafiria

Kila Mtu ana Haki ya Faragha ikiwemo katika Mawasiliano na Taarifa zake Binafsi

Ni muhimu kuwa na Misingi imara itakayohakikisha Taarifa hizo zinalindwa na zipo salama

Soma https://jamii.app/PrivacyBiometric

#RightToPrivacy
👍3