MIFUMO YA BIOMETRIKI INAZINGATIA NA KUHESHIMU HAKI YA FARAGHA?
Mataifa mbalimbali ikiwemo #Tanzania yamekuwa yakitumia Mifumo hiyo inayohusisha Alama za Vidole katika Utoaji wa Huduma kama usajili wa Namba za Simu, Vitambulisho na Hati za Kusafiria
Kila Mtu ana Haki ya Faragha ikiwemo katika Mawasiliano na Taarifa zake Binafsi
Ni muhimu kuwa na Misingi imara itakayohakikisha Taarifa hizo zinalindwa na zipo salama
Soma https://jamii.app/PrivacyBiometric
#RightToPrivacy
Mataifa mbalimbali ikiwemo #Tanzania yamekuwa yakitumia Mifumo hiyo inayohusisha Alama za Vidole katika Utoaji wa Huduma kama usajili wa Namba za Simu, Vitambulisho na Hati za Kusafiria
Kila Mtu ana Haki ya Faragha ikiwemo katika Mawasiliano na Taarifa zake Binafsi
Ni muhimu kuwa na Misingi imara itakayohakikisha Taarifa hizo zinalindwa na zipo salama
Soma https://jamii.app/PrivacyBiometric
#RightToPrivacy
👍3