Yanga SC imeendeleza rekodi yake ya kutopoteza katika Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya kutoa dozi ya 2-1 kwa Ruvu Shooting
#Yanga imefikisha pointi 13 ikiwa sawa na Simba SC ambayo inaongoza Ligi kwa tofauti ya Magoli ya kufunga na kufungwa.
Soma https://jamii.app/RuvuYanga
#Sports
#Yanga imefikisha pointi 13 ikiwa sawa na Simba SC ambayo inaongoza Ligi kwa tofauti ya Magoli ya kufunga na kufungwa.
Soma https://jamii.app/RuvuYanga
#Sports
π8π6π₯5π2
TUNDURU: POLISI WAZUIA ZIARA WAKIDAI KUNA VITISHO VYA UGAIDI
Hiyo imetajwa kuwa sababu ya Jeshi la Polisi kuzuia ziara ya kichama ya Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, katika Wilaya ya Tunduru
Soma https://jamii.app/TunduruVitisho
#JFSiasa
Hiyo imetajwa kuwa sababu ya Jeshi la Polisi kuzuia ziara ya kichama ya Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, katika Wilaya ya Tunduru
Soma https://jamii.app/TunduruVitisho
#JFSiasa
π14π6
ALIYETOKA GEREZANI KWA MSAMAHA WA RAIS ADAIWA KUFANYA MAUAJI
Nestory Elias (62) aliyeachiwa huru kutoka gerezani Mei Mosi, 2022 anatuhumiwa kumuua Mwajuma Sadru (75), Mkazi wa Mtaa wa Bong'ola, chanzo kikiwa ni Mgogoro wa eneo la Biashara
Soma https://jamii.app/MfungwaMoro
#JFMatukio
Nestory Elias (62) aliyeachiwa huru kutoka gerezani Mei Mosi, 2022 anatuhumiwa kumuua Mwajuma Sadru (75), Mkazi wa Mtaa wa Bong'ola, chanzo kikiwa ni Mgogoro wa eneo la Biashara
Soma https://jamii.app/MfungwaMoro
#JFMatukio
π’6π1
#JFAFYA: Hali ya βPicaβ husababishwa na uwepo wa Upungufu mkubwa wa Madini Chuma ambayo hupelekea kutokea kwa tatizo la upungufu wa Damu. Pia Upungufu wa Madini ya Zinc, au aina mbalimbali za Vitamini B
Wajawazito hushauriwa kula mlo kamili pamoja na Virutubisho vyenye utajiri wa Madini Chuma na Asidi za Foliki (FEFO), Zinc pamoja na aina mbalimbali za Vitamini B ili kujikinga na hali hii
Soma https://jamii.app/PicaTips
#JFAfyaJamii
Wajawazito hushauriwa kula mlo kamili pamoja na Virutubisho vyenye utajiri wa Madini Chuma na Asidi za Foliki (FEFO), Zinc pamoja na aina mbalimbali za Vitamini B ili kujikinga na hali hii
Soma https://jamii.app/PicaTips
#JFAfyaJamii
π3
#TANZANIA: Imeelezwa kuwa Mtu mmoja katika kila Watu 8 ana tatizo la Afya ya Akili, wakati awali ilikuwa Mtu mmoja katika kila Watu 10
Pia, Wanawake 4 kati ya 10 wenye Miaka 15 hadi 45 wamefanyiwa Ukatili wa Kimwili huku Wanawake wawili kati ya 10 ikiwa ni Ukatili wa Kingono na wote wanaelekea kupata tatizo la Afya ya Akili
Soma https://jamii.app/AfyaAkiliTZ
#MentalHealth
Pia, Wanawake 4 kati ya 10 wenye Miaka 15 hadi 45 wamefanyiwa Ukatili wa Kimwili huku Wanawake wawili kati ya 10 ikiwa ni Ukatili wa Kingono na wote wanaelekea kupata tatizo la Afya ya Akili
Soma https://jamii.app/AfyaAkiliTZ
#MentalHealth
π€―7π€4π3π€‘2
KAGERA: Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma, Dkt. Ama Kasangala, amesema Serikali haitafunga Mipaka yake na #Uganda bali itajikita ktk kutoa Elimu ya namna ya kujikinga na Maambukizi ya #Ebola
Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Issessanda Kaniki, amesema Serikali imeweka Maabara Tembezi ya kupima Virusi vya Ugonjwa wa #Ebola iliyofungwa katika Kituo cha Afya Kabyaire, Wilaya ya Misenyi
Soma https://jamii.app/MpakaEbola
#JFAfya #PublicHealth
Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Issessanda Kaniki, amesema Serikali imeweka Maabara Tembezi ya kupima Virusi vya Ugonjwa wa #Ebola iliyofungwa katika Kituo cha Afya Kabyaire, Wilaya ya Misenyi
Soma https://jamii.app/MpakaEbola
#JFAfya #PublicHealth
π8π4π€1
MARA: WAOMBA MAMLAKA YA KUWASHUGHULIKIA MAJAMBAZI KIMILA
Wakazi wa Kijiji cha Nyamakobiti, Kata ya Majimoto wameomba ruhusa watumie Mila na Desturi zao kumaliza uhalifu huo wakieleza wanawafahamu Majambazi kwasababu wanaishi nao
Soma > https://jamii.app/UjambaziMara
#JFMatukio
Wakazi wa Kijiji cha Nyamakobiti, Kata ya Majimoto wameomba ruhusa watumie Mila na Desturi zao kumaliza uhalifu huo wakieleza wanawafahamu Majambazi kwasababu wanaishi nao
Soma > https://jamii.app/UjambaziMara
#JFMatukio
π10π€‘6
SARATANI YA MATITI: Ni Saratani inayowaathiri zaidi Wanawake Duniani
Mara nyingi, dalili ya kwanza huwa uvimbe kwenye Titi au Kwapa, japokuwa haimaanisha moja kwa moja kuwa kila uvimbe ni Saratani
Unapohisi uvimbe wowote usio wa kawaida, ni muhimu kuonana na Mtaalamu haraka iwezekanavyo kwani Saratani hii ikigundulika mapema, uwezekano wa kupona ni mkubwa zaidi
#BreastCancerAwarenessMonth #PublicHealth #BreastCancer
Mara nyingi, dalili ya kwanza huwa uvimbe kwenye Titi au Kwapa, japokuwa haimaanisha moja kwa moja kuwa kila uvimbe ni Saratani
Unapohisi uvimbe wowote usio wa kawaida, ni muhimu kuonana na Mtaalamu haraka iwezekanavyo kwani Saratani hii ikigundulika mapema, uwezekano wa kupona ni mkubwa zaidi
#BreastCancerAwarenessMonth #PublicHealth #BreastCancer
π6
#JFUWAJIBIKAJI: Rushwa ni janga ambalo lina athari hasi katika Jamii. Linasababisha kucheleweshwa Maendeleo na kudhoofisha utoaji wa Huduma za Msingi
Vitendo vya #Rushwa huumiza Wananchi kwani vinachepusha Rasilimali zilizotengwa kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo kwa Manufaa ya wachache
Umewahi kuombwa "Chochote kitu" ili kupatiwa Huduma ya Msingi?
Vitendo vya #Rushwa huumiza Wananchi kwani vinachepusha Rasilimali zilizotengwa kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo kwa Manufaa ya wachache
Umewahi kuombwa "Chochote kitu" ili kupatiwa Huduma ya Msingi?
π6
#JFDATA: Inakadiriwa kuwa 81% ya takriban Watu Bilioni 1 wenye changamoto ya Utambulisho kutokana na kukosa Vielelezo muhimu wanatokea Afrika (Kusini mwa Jangwa la Sahara - Milioni 494) na Asia Kusini - Milioni 312
#JamiiForums
#JamiiForums
π6
MUHIMBILI: Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali (MNH), Prof. Mohamed Janabi, ameagiza Wagonjwa kupelekwa Wodini kwa Magari ya Wagonjwa na sio kusukumwa Vitandani
> Pia, Miili ya marehemu ibebwe kwa Ambulance sio Vitanda kama awali
Soma https://jamii.app/JanabiMNH
#SeriviceDelivery
> Pia, Miili ya marehemu ibebwe kwa Ambulance sio Vitanda kama awali
Soma https://jamii.app/JanabiMNH
#SeriviceDelivery
π16
DAR: AIRTEL YADAIWA TSH. MIL 490 KWA KUTUMIA SAUTI YA MTU BILA RIDHAA YAKE
Nixon Bandago amefungua kesi Mahakama Kuu kwa kutoridhia sauti ya "Airtel the Smartphone Network" kutumika kwenye matangazo ya Biashara
Zaidi https://jamii.app/AirtelTZ
#DigitalRights #DataProtection
Nixon Bandago amefungua kesi Mahakama Kuu kwa kutoridhia sauti ya "Airtel the Smartphone Network" kutumika kwenye matangazo ya Biashara
Zaidi https://jamii.app/AirtelTZ
#DigitalRights #DataProtection
π22π13β€3
NECTA: WENYE MAHITAJI MAALUM WAONGEZEWE DAKIKA KWENYE MITIHANI YA DARASA LA 7
Kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA amesema wenye mahitaji maalum waongezewe Dakika 20 kwa kila Saa ktk Somo la Hisabati na Dakika 10 kwa kila Saa kwa Masomo mengine
Soma https://jamii.app/MahitajiMaalum
#HakiMtoto
Kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA amesema wenye mahitaji maalum waongezewe Dakika 20 kwa kila Saa ktk Somo la Hisabati na Dakika 10 kwa kila Saa kwa Masomo mengine
Soma https://jamii.app/MahitajiMaalum
#HakiMtoto
π11π2
POLISI: UCHUNGUZI UNAONESHA MKE WA MASANJA ALIMKATAA KIMAPENZI ALIYEJIUA
Uchunguzi wa awali unaonesha Joas Steven, aliyekuwa Katibu wa Kanisa la 'Feel Free Church' linaloongozwa na Emmanuel Mgaya alipata mfadhaiko na kujiua kwa kujinyonga
Soma https://jamii.app/KatibuKujinyonga
#JFMatukio
Uchunguzi wa awali unaonesha Joas Steven, aliyekuwa Katibu wa Kanisa la 'Feel Free Church' linaloongozwa na Emmanuel Mgaya alipata mfadhaiko na kujiua kwa kujinyonga
Soma https://jamii.app/KatibuKujinyonga
#JFMatukio
π9π4π€4
MWANZA: ZUMARIDI NA WENZAKE WAKUTWA NA KESI YA KUJIBU
Mashtaka yao ni kufanya shambulio la kudhuru Mwili, kuzuia Askari kutekeleza majukumu yake na kuzuia Ofisa wa Umma kutekeleza majukumu yake
Ushahidi wa utetezi utaanza Oktoba 17, 2022
Soma https://jamii.app/ZumaridiKesi3
#SocialJustice
Mashtaka yao ni kufanya shambulio la kudhuru Mwili, kuzuia Askari kutekeleza majukumu yake na kuzuia Ofisa wa Umma kutekeleza majukumu yake
Ushahidi wa utetezi utaanza Oktoba 17, 2022
Soma https://jamii.app/ZumaridiKesi3
#SocialJustice
π8
MAPINDUZI YA KIDIGITALI YASIWAACHE NYUMA WATU WENYE ULEMAVU
Ujumuishaji wa Kidigitali unapaswa kutomwacha yeyote. Hii itasaidia kukuza Maendeleo jumuishi
Kusaidia Watu wenye Ulemavu kukuza Ujuzi wa Kidigitali kunaweza kuwatengenezea fursa mpya
Zaidi https://jamii.app/DigInclusion
#DigitalRights
Ujumuishaji wa Kidigitali unapaswa kutomwacha yeyote. Hii itasaidia kukuza Maendeleo jumuishi
Kusaidia Watu wenye Ulemavu kukuza Ujuzi wa Kidigitali kunaweza kuwatengenezea fursa mpya
Zaidi https://jamii.app/DigInclusion
#DigitalRights
π8
KENYA: RAIS RUTO ARUHUSU KILIMO CHA MAHINDI YALIYOZUIWA KWASABABU ZA KIAFYA
Ameidhinisha uingizwaji wa Mazao na Vyakula vilivyobadilishwa Vinasaba (GMO) kwa lengo la kukabiliana na Njaa kali
Pia, amepunguza Bei ya Mbolea kwa nusu bei
Soma https://jamii.app/GMOKE
#Accountability
Ameidhinisha uingizwaji wa Mazao na Vyakula vilivyobadilishwa Vinasaba (GMO) kwa lengo la kukabiliana na Njaa kali
Pia, amepunguza Bei ya Mbolea kwa nusu bei
Soma https://jamii.app/GMOKE
#Accountability
π12π2
Takriban 15% ya idadi ya Watu duniani wanaishi na aina fulani ya Ulemavu
Idadi kubwa ya Watu wenye Ulemavu katika Nchi za Kipato cha Chini hawana Ujuzi/Ufahamu mpana wa Mitandao, au wanapata changamoto ya kuifikia na kuitumia kupata Elimu, Kazi na Huduma mbalimbali
#DigitalRights
Idadi kubwa ya Watu wenye Ulemavu katika Nchi za Kipato cha Chini hawana Ujuzi/Ufahamu mpana wa Mitandao, au wanapata changamoto ya kuifikia na kuitumia kupata Elimu, Kazi na Huduma mbalimbali
#DigitalRights
π6π€2π₯1
INDIA: RAIA WA KENYA WAKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA
Faridah alikutwa na Gramu 980 zinazodhaniwa kuwa #Cocaine na Nyanzangu akiwa na Kilo 5.16 zinazoshukiwa kuwa #Heroine
Watuhumiwa hao wanaweza kufungwa hadi miaka 20 jela wakikutwa na hatia
Soma https://jamii.app/DrugsInIndiak
#DrugTrafficking
Faridah alikutwa na Gramu 980 zinazodhaniwa kuwa #Cocaine na Nyanzangu akiwa na Kilo 5.16 zinazoshukiwa kuwa #Heroine
Watuhumiwa hao wanaweza kufungwa hadi miaka 20 jela wakikutwa na hatia
Soma https://jamii.app/DrugsInIndiak
#DrugTrafficking
π±5π2
BEI MPYA ZA MAFUTA: Kuanzia Oktoba 5, 2022 kwa Dar Petroli itauzwa Tsh. 2,886, Dizeli Tsh. 3083 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,275 kwa lita
EWURA imesema hiyo ni kutokana na kushuka kwa bei ya bidhaa hizo kwenye Soko la Dunia
Soma https://jamii.app/EWURAOct
#JFGovernance #ServiceDelivery
EWURA imesema hiyo ni kutokana na kushuka kwa bei ya bidhaa hizo kwenye Soko la Dunia
Soma https://jamii.app/EWURAOct
#JFGovernance #ServiceDelivery
π8π₯1π1