Katika Ukusanyaji wa Taarifa/Data za Watu miongozo mbalimbali inapaswa kuzingatiwa ikiwemo kuwepo kwa Sheria ya #UlinziWaData
Mkusanyaji wa Data/Taarifa anapaswa kuzingatia Faragha/Usiri wa wenye Data na kutekeleza Ukusanyaji kwa njia iliyo halali
Ni vema Mkusanya Data awe na kusudi maalum na lengo la kuendeleza ukusanyaji huo
Soma - https://jamii.app/UkusanyajiData
#DataProtection #DigitalRights
Mkusanyaji wa Data/Taarifa anapaswa kuzingatia Faragha/Usiri wa wenye Data na kutekeleza Ukusanyaji kwa njia iliyo halali
Ni vema Mkusanya Data awe na kusudi maalum na lengo la kuendeleza ukusanyaji huo
Soma - https://jamii.app/UkusanyajiData
#DataProtection #DigitalRights
MABADILIKO YA KANUNI: CHANELI ZA KULIPIA RUKSA KURUSHA MATUKIO MUBASHARA
Ili kuboresha Huduma ya Mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imerekebisha baadhi ya kanuni za Leseni za mwaka 2018
Kuanzia sasa, chaneli za kulipia zitaruhusiwa kurusha matukio mubashara (Live Events). Mabadiliko haya ni katika kanuni ya 29. Awali, chaneli zilizorusha matukio mubashara zilikuwa chaneli zisizolipiwa tu
#JamiiForums #DigitalRights
Ili kuboresha Huduma ya Mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imerekebisha baadhi ya kanuni za Leseni za mwaka 2018
Kuanzia sasa, chaneli za kulipia zitaruhusiwa kurusha matukio mubashara (Live Events). Mabadiliko haya ni katika kanuni ya 29. Awali, chaneli zilizorusha matukio mubashara zilikuwa chaneli zisizolipiwa tu
#JamiiForums #DigitalRights
ALGOPHOBIA: Ni hali ya kuwa na hofu kali/isiyo ya kawaida kuhusu Maumivu ya Kimwili (Mf. kuchomwa Sindano)
Mwenye #Algophobia anaweza kupata shambulio la hofu (Panic attacks) akiwaza kuhusu Maumivu. Dalili zinaweza kujumuisha: Kizunguzungu, kutokwa Jasho, Kutetemeka, kubanwa pumzi, Mapigo ya Moyo kuongezeka au Tumbo kuvurugika ghafla.
Soma - https://jamii.app/Algophobia
#JFMaarifa
Mwenye #Algophobia anaweza kupata shambulio la hofu (Panic attacks) akiwaza kuhusu Maumivu. Dalili zinaweza kujumuisha: Kizunguzungu, kutokwa Jasho, Kutetemeka, kubanwa pumzi, Mapigo ya Moyo kuongezeka au Tumbo kuvurugika ghafla.
Soma - https://jamii.app/Algophobia
#JFMaarifa
DR CONGO: WAKIMBIZI ZAIDI YA 50 WAUAWA NA WAASI
Waasi wa CODECO walijipenyeza kambi ya Savo iliyopo Ngujona Mkoani Ituri na kuwaua kwa kuwashambulia kwa visu wakimbizi waliokuwa wanaishi hapo
Hii si mara ya kwanza kwa tukio kama hilo kutokea
Soma - https://jamii.app/50Wauawa
Waasi wa CODECO walijipenyeza kambi ya Savo iliyopo Ngujona Mkoani Ituri na kuwaua kwa kuwashambulia kwa visu wakimbizi waliokuwa wanaishi hapo
Hii si mara ya kwanza kwa tukio kama hilo kutokea
Soma - https://jamii.app/50Wauawa
MDAU: NAMNA ZA KUPATA 'CONNECTION' ZA AJIRA
Anashauri kutumia Mitandao kutangaza ujuzi, Kujitolea na kushiriki shughuli za kijamii
Anasema jipendekeze kwa watu au Kampuni fulani kwani 'kuwa chawa' kwenye vitu vya msingi si vibaya
Soma https://jamii.app/ConnectionTz
#StoriesOfChange #JFMdau
Anashauri kutumia Mitandao kutangaza ujuzi, Kujitolea na kushiriki shughuli za kijamii
Anasema jipendekeze kwa watu au Kampuni fulani kwani 'kuwa chawa' kwenye vitu vya msingi si vibaya
Soma https://jamii.app/ConnectionTz
#StoriesOfChange #JFMdau
#AFCON2021: SENEGAL YAINGIA FAINALI
- #TeamSenegal imeingia fainali kwa kuifunga #TeamBurkinaFaso goli 3-1 ndani ya dakika 90
- Senegal itacheza fainali na mshindi wa mechi ya kesho kati ya #TeamCameroon na #TeamEgypt
- Burkina Faso itashindania nafasi ya 3 na timu itakayofungwa kesho
#JFSports
- #TeamSenegal imeingia fainali kwa kuifunga #TeamBurkinaFaso goli 3-1 ndani ya dakika 90
- Senegal itacheza fainali na mshindi wa mechi ya kesho kati ya #TeamCameroon na #TeamEgypt
- Burkina Faso itashindania nafasi ya 3 na timu itakayofungwa kesho
#JFSports
ARUSHA: Mlinzi wa Shule ya Winnings Spirit iliyopo Terati, Issa Dinaiah (57) amechinjwa. Waliotekeleza mauaji hayo wamechukua kichwa chake
Mwili wa Mlinzi huyo uligundulika Februari 2, 2022. Chanzo na waliofanya tukio hilo hawajajulikana
Soma - https://jamii.app/MlinziAuawa
#JFMatukio
Mwili wa Mlinzi huyo uligundulika Februari 2, 2022. Chanzo na waliofanya tukio hilo hawajajulikana
Soma - https://jamii.app/MlinziAuawa
#JFMatukio
TBS: KUWEKA BIDHAA ZA VYAKULA JUANI KUNAHARIBU UBORA
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa tahadhari kwa Wafanyabiashara wa bidhaa za Chakula ikiwemo Mafuta ya Kula kuweka Juani ili Wateja wazione
Yasema ktk uchunguzi wamebaini hali hiyo inaweza kuhatarisha Afya ya Walaji kwa kuharibu ubora wa bidhaa hata kama haijafikisha muda wake wa matumizi kuisha (Expire date)
Soma - https://jamii.app/VyakulaJuani
#JFAfya
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa tahadhari kwa Wafanyabiashara wa bidhaa za Chakula ikiwemo Mafuta ya Kula kuweka Juani ili Wateja wazione
Yasema ktk uchunguzi wamebaini hali hiyo inaweza kuhatarisha Afya ya Walaji kwa kuharibu ubora wa bidhaa hata kama haijafikisha muda wake wa matumizi kuisha (Expire date)
Soma - https://jamii.app/VyakulaJuani
#JFAfya
KENYA: MWANAFUNZI AJERUHIWA KWA KULA CHAPATI 5 BADALA YA 1
Caleb anayesoma Darasa la 7 anadaiwa kupigwa na Walimu ambao pia waliamuru Wanafunzi wenzie wampige
Hawezi kusimama, ana vidonda vya Moto Mgongoni na Figo yake 1 imeharibika
Soma https://jamii.app/CalebChapatiKE
#UkatiliWatoto
Caleb anayesoma Darasa la 7 anadaiwa kupigwa na Walimu ambao pia waliamuru Wanafunzi wenzie wampige
Hawezi kusimama, ana vidonda vya Moto Mgongoni na Figo yake 1 imeharibika
Soma https://jamii.app/CalebChapatiKE
#UkatiliWatoto
UNICEF: WATOTO WALIO MAENEO YENYE MIZOZO WALINDWE
Shirika la Kuhudumia Watoto limelaani mauaji yaliyotokea DR Congo hivi karibuni ambapo Watoto wapatao 15 waliuawa
Wengine takriban 30 walijeruhiwa baada ya Waasi kuvamia Kambi ya Wakimbizi
Soma - https://jamii.app/IturiWatoto
#HakiMtoto
Shirika la Kuhudumia Watoto limelaani mauaji yaliyotokea DR Congo hivi karibuni ambapo Watoto wapatao 15 waliuawa
Wengine takriban 30 walijeruhiwa baada ya Waasi kuvamia Kambi ya Wakimbizi
Soma - https://jamii.app/IturiWatoto
#HakiMtoto
ARUSHA: ANAYETUHUMIWA KUMUUA MLINZI NA KUONDOKA NA KICHWA APATIKANA
Raymond Mollel amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumchinja Mlinzi mwenzake na kuondoka na kichwa
Amekiri kuhusika na mauaji na kuonesha alipoficha kichwa cha mwenzake
Soma - https://jamii.app/MauajiYaArusha
#JFMatukio
Raymond Mollel amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumchinja Mlinzi mwenzake na kuondoka na kichwa
Amekiri kuhusika na mauaji na kuonesha alipoficha kichwa cha mwenzake
Soma - https://jamii.app/MauajiYaArusha
#JFMatukio
Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimesema Mawakili 65 wamefariki dunia kwa #COVID19 tangu kutangazwa kisa cha kwanza cha Ugonjwa huo Machi 16, 2020
Serikali imechukua hatua kadhaa kudhibiti maambukizi ikiwemo kutoa chanjo bila malipo
Soma - https://jamii.app/Mawakili65Corona
#UVIKO3
Serikali imechukua hatua kadhaa kudhibiti maambukizi ikiwemo kutoa chanjo bila malipo
Soma - https://jamii.app/Mawakili65Corona
#UVIKO3
UCHAGUZI WA KUMPATA NAIBU SPIKA KUFANYIKA FEBRUARI 11, 2022
Kila Chama chenye Uwakilishi Bungeni kinachokusudia kushiriki, kinashauriwa kuanza mchakato wa kumpata Mgombea miongoni mwa Wabunge wake
Jina la Mgombea linapaswa kuwasilishwa kwa Msimamizi wa Uchaguzi kabla ya Saa 10:00 Jioni, Februari 10
Soma - https://jamii.app/NSpikaFeb11
#Bungeni #Democracy
Kila Chama chenye Uwakilishi Bungeni kinachokusudia kushiriki, kinashauriwa kuanza mchakato wa kumpata Mgombea miongoni mwa Wabunge wake
Jina la Mgombea linapaswa kuwasilishwa kwa Msimamizi wa Uchaguzi kabla ya Saa 10:00 Jioni, Februari 10
Soma - https://jamii.app/NSpikaFeb11
#Bungeni #Democracy
#AFGHANISTAN: WASICHANA KURUHUSIWA KUHUDHURIA MASOMO CHUONI
Wanafunzi wa Kike wataruhusiwa kuhudhuria Masomo endapo watatenganishwa na wa kiume na mtaala utafuata kanuni za Kiislamu
Wanafunzi wa kiume watahudhuria masomo Asubuhi na wa Kike mchana
Soma - https://jamii.app/GirlsUnivTaliban
#ChildRights #JFElimu
Wanafunzi wa Kike wataruhusiwa kuhudhuria Masomo endapo watatenganishwa na wa kiume na mtaala utafuata kanuni za Kiislamu
Wanafunzi wa kiume watahudhuria masomo Asubuhi na wa Kike mchana
Soma - https://jamii.app/GirlsUnivTaliban
#ChildRights #JFElimu
DAR: Kesi inayomkabili aliyekuwa RC wa Dar, Paul Makonda imeahirishwa hadi Februari 8 baada ya Makonda kutofika Mahakamani
> Kesi ilifunguliwa na Saed Kubenea, ilitakiwa kusomwa kwa mara ya kwanza leo, Februari 3 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni
Soma https://jamii.app/MakondaKesi
#JFSiasa
> Kesi ilifunguliwa na Saed Kubenea, ilitakiwa kusomwa kwa mara ya kwanza leo, Februari 3 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni
Soma https://jamii.app/MakondaKesi
#JFSiasa
UJERUMANI: KADINALI AOMBA KANISA KATOLIKI KURUHUSU NDOA KWA MAPADRI
Askofu Reinhard Marx amekitaja kigezo cha Useja kuwa hatari lakini hawezi kukihusisha moja kwa moja na Kashfa za Unyanyasaji wa Kijinsia zinazotikisa Kanisa hilo Duniani
Soma - https://jamii.app/NdoaMapadri
#JFLeo
Askofu Reinhard Marx amekitaja kigezo cha Useja kuwa hatari lakini hawezi kukihusisha moja kwa moja na Kashfa za Unyanyasaji wa Kijinsia zinazotikisa Kanisa hilo Duniani
Soma - https://jamii.app/NdoaMapadri
#JFLeo
TACAIDS: 40% YA VIJANA HAWAJUI HALI ZAO ZA MAAMBUKIZI YA UKIMWI
Imeelezwa, Wasichana wanapata maambukizi kwa kasi mara tatu zaidi ya Wavulana
Ndoa za kulazimishwa zimetajwa miongoni mwa sababu zinazopelekea Wasichana kupata maambukizi zaidi
Soma - https://jamii.app/MaambukiziWasichana
#JFAfya
Imeelezwa, Wasichana wanapata maambukizi kwa kasi mara tatu zaidi ya Wavulana
Ndoa za kulazimishwa zimetajwa miongoni mwa sababu zinazopelekea Wasichana kupata maambukizi zaidi
Soma - https://jamii.app/MaambukiziWasichana
#JFAfya
Waziri wa Ujenzi, Prof. Mbarawa amesema Fedha zilizojenga Daraja la Tanzanite ni za Mkopo kutoka Korea Kusini na zitalipwa na Serikali, hivyo Watanzania hawatalipa kulitumia
Daraja la Kigamboni linalipiwa kwasababu lilijengwa na Fedha za NSSF
Soma - https://jamii.app/DarajaTanzanite
#JFSiasa
Daraja la Kigamboni linalipiwa kwasababu lilijengwa na Fedha za NSSF
Soma - https://jamii.app/DarajaTanzanite
#JFSiasa
Mshiriki wa #StoriesOfChange amesema Wanawake hupoteza fedha kufanya sherehe zisizo za lazima huku wengine wakitunga sherehe ili kutunzwa na wanakikundi
> Ameshauri "Msisubiri Rais aje awawezeshe wakati mtaji mdogo mlionao mnautumia vibaya"
Soma https://jamii.app/ShereheUmasikini
#JFMdau
> Ameshauri "Msisubiri Rais aje awawezeshe wakati mtaji mdogo mlionao mnautumia vibaya"
Soma https://jamii.app/ShereheUmasikini
#JFMdau