'SYSTEM' ZA CHANJO YA #COVID19 YA PFIZER ZADUKULIWA
> Kwa mujibu wa taarifa, baadhi ya nyaraka kuhusu chanjo ya #Pfizer na #BioNTech zimeingiliwa
> Chanjo hiyo ilionesha uwezo wa kinga kwa asilimia 95 kwa watu 30,000 waliojaribiwa
Soma - https://jamii.app/PfizerCyberAttack
#DigitalSecurity
> Kwa mujibu wa taarifa, baadhi ya nyaraka kuhusu chanjo ya #Pfizer na #BioNTech zimeingiliwa
> Chanjo hiyo ilionesha uwezo wa kinga kwa asilimia 95 kwa watu 30,000 waliojaribiwa
Soma - https://jamii.app/PfizerCyberAttack
#DigitalSecurity
RAIS MAGUFULI ATEUA NAIBU WAZIRI WA MADINI
- Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amemteua Prof. Shukrani E. Manya kuwa Mbunge na vilevile, Naibu Waziri wa Madini
- Uteuzi wake unaanza leo na ataapishwa mchana Ikulu, Dodoma
Soma - https://jamii.app/JPMUteuzi
- Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amemteua Prof. Shukrani E. Manya kuwa Mbunge na vilevile, Naibu Waziri wa Madini
- Uteuzi wake unaanza leo na ataapishwa mchana Ikulu, Dodoma
Soma - https://jamii.app/JPMUteuzi
SERIKALI KUDHIBITI WANAOUZA DAWA BILA KUFUATA TARATIBU
> Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Abel Makubi, amewaagiza Wakaguzi wa Dawa na Watumishi wa Sekta ya #Afya kudhibiti uuzaji na ununuzi holela ya Dawa bila cheti wala maelekezo ya Daktari
Soma - https://jamii.app/MsakoUuzajiDawa
#JFLeo
> Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Abel Makubi, amewaagiza Wakaguzi wa Dawa na Watumishi wa Sekta ya #Afya kudhibiti uuzaji na ununuzi holela ya Dawa bila cheti wala maelekezo ya Daktari
Soma - https://jamii.app/MsakoUuzajiDawa
#JFLeo
SHERIA INASEMA NINI KUHUSU UFUJAJI WA MALI YA UMMA
> Kifungu cha 28 - Kosa: Mtumishi wa umma anayefuja mali za umma, au mtumishi katika taasisi binafsi anayefuja mali alizokabidhiwa, au anayebadilisha umiliki na kuwa mali zake.
> Faini isiyozidi Tsh. Milioni 10 au kifungo kisichozidi miaka 7 au vyote kwa pamoja.
> Mahakama yaweza pia kuamuru mali zilizofujwa au kubadilishwa umiliki zirejeshwe kwa mmiliki au mtuhumiwa alipe fidia kama mali hizo hazipatikani
Soma https://jamii.app/MakosaRushwaAdhabu
#KemeaRushwa #JFLeo
> Kifungu cha 28 - Kosa: Mtumishi wa umma anayefuja mali za umma, au mtumishi katika taasisi binafsi anayefuja mali alizokabidhiwa, au anayebadilisha umiliki na kuwa mali zake.
> Faini isiyozidi Tsh. Milioni 10 au kifungo kisichozidi miaka 7 au vyote kwa pamoja.
> Mahakama yaweza pia kuamuru mali zilizofujwa au kubadilishwa umiliki zirejeshwe kwa mmiliki au mtuhumiwa alipe fidia kama mali hizo hazipatikani
Soma https://jamii.app/MakosaRushwaAdhabu
#KemeaRushwa #JFLeo
JAJI WARIOBA: VIONGOZI WA SIASA WATAFAKARI NAMNA YA KULINDA AMANI
- Amesema ikiwa Viongozi bila kujali itikadi za Vyama vyao watabeba jukumu la kuhubiri amani kama wanavyofanya Viongozi wa Dini, itasaidia kuimarisha Amani na Haki hapa nchini
Soma https://jamii.app/SiasaHakiAmani
- Amesema ikiwa Viongozi bila kujali itikadi za Vyama vyao watabeba jukumu la kuhubiri amani kama wanavyofanya Viongozi wa Dini, itasaidia kuimarisha Amani na Haki hapa nchini
Soma https://jamii.app/SiasaHakiAmani
#MALAWI: ADHABU KALI KUTOLEWA KWA WANAOFANYA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
- Rais Chakwera ametangaza mipango ya kutoa adhabu kali baada ya vitendo hivyo kuongezeka kutokana na #COVID19
- Maboresho yanaandaliwa kuharakisha mchakato wa kesi hizo
Soma - https://jamii.app/SheriaMalawi
- Rais Chakwera ametangaza mipango ya kutoa adhabu kali baada ya vitendo hivyo kuongezeka kutokana na #COVID19
- Maboresho yanaandaliwa kuharakisha mchakato wa kesi hizo
Soma - https://jamii.app/SheriaMalawi
#KENYA: WABUNGE WATAKIWA KUREJESHA FEDHA ZOTE WALIZOJILIPA
- Mahakama Kuu imemuamuru Katibu wa Bunge kurejesha Ksh. bilioni 1.2 kutoka kwenye mishahara ya Wabunge, fedha ambazo walijilipa wenyewe kama posho ya nyumba kinyume na #Katiba ya Nchi
Soma - https://jamii.app/MpsCashPayback
- Mahakama Kuu imemuamuru Katibu wa Bunge kurejesha Ksh. bilioni 1.2 kutoka kwenye mishahara ya Wabunge, fedha ambazo walijilipa wenyewe kama posho ya nyumba kinyume na #Katiba ya Nchi
Soma - https://jamii.app/MpsCashPayback
DR CONGO: WABUNGE WAPIGA KURA NA KUMUONDOA SPIKA MADARAKANI
- Hatua hiyo imetajwa kuwa ya ushindi kwa Rais Tshisekedi ktk jaribio la kujitenga na Rais wa zamani wa nchi hiyo
- Spika Jeanine Mabunda ni mshirika wa muda mrefu wa Joseph Kabila
Soma https://jamii.app/SpikaBungeDRC
- Hatua hiyo imetajwa kuwa ya ushindi kwa Rais Tshisekedi ktk jaribio la kujitenga na Rais wa zamani wa nchi hiyo
- Spika Jeanine Mabunda ni mshirika wa muda mrefu wa Joseph Kabila
Soma https://jamii.app/SpikaBungeDRC
WHO: GHARAMA KUBWA ZA MATIBABU HUSABABISHA WATU KUWA MASIKINI
- Takriban nusu ya watu Duniani hawana huduma nzuri ya #Afya na kila mwaka watu milioni 100 huwa masikini sana kutokana na kutumia fedha nyingi kupata matibabu
Soma - https://jamii.app/UmasikiniMatibabu
#HealthForAll
- Takriban nusu ya watu Duniani hawana huduma nzuri ya #Afya na kila mwaka watu milioni 100 huwa masikini sana kutokana na kutumia fedha nyingi kupata matibabu
Soma - https://jamii.app/UmasikiniMatibabu
#HealthForAll
MOROCCO NA ISRAEL KUANZISHA MAHUSIANO YA KIDIPLOMASIA
- Mataifa hayo yamekubaliana kuanzisha mahusiano ya kidiplomasia chini ya mkataba uliofadhiliwa na Marekani
- Morocco inakuwa taifa la 4 la kiarabu kumaliza uhasama na Israel tangu Agosti
Soma https://jamii.app/MoroccoIsrael
- Mataifa hayo yamekubaliana kuanzisha mahusiano ya kidiplomasia chini ya mkataba uliofadhiliwa na Marekani
- Morocco inakuwa taifa la 4 la kiarabu kumaliza uhasama na Israel tangu Agosti
Soma https://jamii.app/MoroccoIsrael
SPIKA NDUGAI ATOA WITO KWA WABUNGE WA ACT-WAZALENDO KWENDA KUAPA
- Spika wa Bunge la Tanzania asema, kama kweli waliomba Ubunge kutumikia Raia hawana sababu ya kuendelea kuzurura
- Amewataka watoe taarifa haraka ili wapangiwe kupata kiapo
Soma - https://jamii.app/SpikaWabungeACT
- Spika wa Bunge la Tanzania asema, kama kweli waliomba Ubunge kutumikia Raia hawana sababu ya kuendelea kuzurura
- Amewataka watoe taarifa haraka ili wapangiwe kupata kiapo
Soma - https://jamii.app/SpikaWabungeACT
RIPOTI: UTOAJI WA GESI YA UKAA WAPUNGUA 2020
> Utoaji wa Gesi ya Ukaa kutokana na matumizi ya Makaa ya Mawe, Petroli na Gesi Asilia umepungua kwa 7%
> #CoronaVirus imechangia kutokana na kufungwa kwa shughuli nyingi za uzalishaji Duniani
Soma - https://jamii.app/GesiUkaa2020
> Utoaji wa Gesi ya Ukaa kutokana na matumizi ya Makaa ya Mawe, Petroli na Gesi Asilia umepungua kwa 7%
> #CoronaVirus imechangia kutokana na kufungwa kwa shughuli nyingi za uzalishaji Duniani
Soma - https://jamii.app/GesiUkaa2020
UGANDA: MGOMBEA MWANAMKE PEKEE WA URAIS ASITISHA KAMPENI SABABU YA UKATA
- Nancy Kalembe amesema hatajiondoa katika mbio za kuwania Urais, na badala yake anajipanga upya
- Uchaguzi Mkuu nchini #Uganda unatarajiwa kufanyika Januari 14, 2021
Soma - https://jamii.app/NancyCampaignsUG
- Nancy Kalembe amesema hatajiondoa katika mbio za kuwania Urais, na badala yake anajipanga upya
- Uchaguzi Mkuu nchini #Uganda unatarajiwa kufanyika Januari 14, 2021
Soma - https://jamii.app/NancyCampaignsUG
SERIKALI KUINUA #UTALII KANDA YA KUSINI
- Serikali imewekeza zaidi ya Bilioni 365 kuinua Sekta hiyo
- Kaya 27,450 ktk Vijiji 61 vinavyozunguka mradi huo vitanufaika, na utawekwa utaratibu wa kuboresha shughuli za kujipatia kipato
Soma - https://jamii.app/UtaliiKandaKusini
- Serikali imewekeza zaidi ya Bilioni 365 kuinua Sekta hiyo
- Kaya 27,450 ktk Vijiji 61 vinavyozunguka mradi huo vitanufaika, na utawekwa utaratibu wa kuboresha shughuli za kujipatia kipato
Soma - https://jamii.app/UtaliiKandaKusini
RAIS MAGUFULI: WIZARA YA MADINI INAKOSA WATAALAMU NAFASI ZA JUU
- Katika hafla ya kumuapisha Naibu Waziri, Rais amesema taaluma ya Waziri wa Madini ni Mwalimu
- Ameitaka Wizara kuhusisha Wataalamu ili madini yaliyopo nchini yaanze kutumika
Soma https://jamii.app/JPMWizaraMadini
- Katika hafla ya kumuapisha Naibu Waziri, Rais amesema taaluma ya Waziri wa Madini ni Mwalimu
- Ameitaka Wizara kuhusisha Wataalamu ili madini yaliyopo nchini yaanze kutumika
Soma https://jamii.app/JPMWizaraMadini
MINYOO ISIPOTIBIWA HUWEZA KUSABABISHA MATATIZO YA AKILI
> Afisa Lishe Mwandamizi wa TFNC, Dkt. Analace Kamala amesema, Minyoo inapojenga himaya ndani ya mwili wa binadamu huenda kuathiri mifumo mingine ikiwamo ya Hewa, Damu na Fahamu
Soma - https://jamii.app/MinyooTatizoAkili
#Afya
> Afisa Lishe Mwandamizi wa TFNC, Dkt. Analace Kamala amesema, Minyoo inapojenga himaya ndani ya mwili wa binadamu huenda kuathiri mifumo mingine ikiwamo ya Hewa, Damu na Fahamu
Soma - https://jamii.app/MinyooTatizoAkili
#Afya
WATOTO NJITI: Takwimu zinaonesha Watoto wachanga 25 kati ya 100 hufa kutokana na matatizo yanayoambatana na kuzaliwa na uzito pungufu
- Inaelezwa kuwa wengi wa wanaofariki ni wale ambao wamezaliwa kabla ya wakati(WatotoNjiti)
Soma > https://jamii.app/WitoWatotoNjiti
#PrematureBabies
- Inaelezwa kuwa wengi wa wanaofariki ni wale ambao wamezaliwa kabla ya wakati(WatotoNjiti)
Soma > https://jamii.app/WitoWatotoNjiti
#PrematureBabies
KASSIM MAJALIWA: KUAPA KUNAHITAJI NGUVU KIDOGO
> Waziri Mkuu amesema, kitendo cha kuapa sio kitendo rahisi na yaliyotokea juzi (Uapisho wa Francis Ndulane) 'sio ya Lindi'
> Amuambia Rais Magufuli "Tuendelee kumuombea kijana wetu. Naamini bado unaweza ukaangalia angalia"
#JamiiForums
> Waziri Mkuu amesema, kitendo cha kuapa sio kitendo rahisi na yaliyotokea juzi (Uapisho wa Francis Ndulane) 'sio ya Lindi'
> Amuambia Rais Magufuli "Tuendelee kumuombea kijana wetu. Naamini bado unaweza ukaangalia angalia"
#JamiiForums
JE, UNAFAHAMU UHURU WA MAHAKAMA UNAMAANISHA NINI?
- Dhana ya uhuru wa mahakama inaitaka mahakama kutekeleza majukumu yake bila woga wala upendeleo. Uhuru wa mahakama unahifadhiwa na kulindwa katika maeneo manne yafuatayo;
i) Kuzuia kuondolewa kwa Jaji au Hakimu ktk ofisi bila ya sababu za msingi na bila ya kufuata taratibu zilizowekwa hata kama kuna sababu za kumuondoa
ii) Kuweka kinga ya kutoshtakiwa kwa Jaji au Hakimu kwa makosa yoyote na maamuzi yake ya kimahakama aliyoyafanya
iii) Kutopunguza au kuondoa mishahara na maslahi ya Jaji au Hakimu
iv) Kutokuwa na vyeo kwenye vyombo vingine vya dola au kushiriki katika shughuli za vyama vya siasa
https://jamii.app/UhuruMahakama
#UhuruWaMahakamaTz
- Dhana ya uhuru wa mahakama inaitaka mahakama kutekeleza majukumu yake bila woga wala upendeleo. Uhuru wa mahakama unahifadhiwa na kulindwa katika maeneo manne yafuatayo;
i) Kuzuia kuondolewa kwa Jaji au Hakimu ktk ofisi bila ya sababu za msingi na bila ya kufuata taratibu zilizowekwa hata kama kuna sababu za kumuondoa
ii) Kuweka kinga ya kutoshtakiwa kwa Jaji au Hakimu kwa makosa yoyote na maamuzi yake ya kimahakama aliyoyafanya
iii) Kutopunguza au kuondoa mishahara na maslahi ya Jaji au Hakimu
iv) Kutokuwa na vyeo kwenye vyombo vingine vya dola au kushiriki katika shughuli za vyama vya siasa
https://jamii.app/UhuruMahakama
#UhuruWaMahakamaTz
MBWA MWITU NA FARU HATARINI KUPOTEA TANZANIA
- Sensa ya mwaka 1970, walikuwepo Faru 10,000 lakini kufikia 2020 idadi ni 190. Ujangili umechangia kupungua kwao
- Mbwa Mwitu sasa wapo 220 na kupungua kwao kunatokana na shughuli za Binadamu
Soma - https://jamii.app/FaruMbwaMwitu
#Animals
- Sensa ya mwaka 1970, walikuwepo Faru 10,000 lakini kufikia 2020 idadi ni 190. Ujangili umechangia kupungua kwao
- Mbwa Mwitu sasa wapo 220 na kupungua kwao kunatokana na shughuli za Binadamu
Soma - https://jamii.app/FaruMbwaMwitu
#Animals