MAREKANI YAIDHINISHA MATUMIZI YA DHARURA YA CHANJO YA PFIZER
- Mamlaka ya Chakula na Dawa (FDA) imeidhinisha matumizi ya dharura ya Chanjo hiyo dhidi ya #CoronaVirus
- Rais Trump amedai chanjo za kwanza zitatolewa chini ya saa 24 zijazo
Soma - https://jamii.app/PfizerUS
- Mamlaka ya Chakula na Dawa (FDA) imeidhinisha matumizi ya dharura ya Chanjo hiyo dhidi ya #CoronaVirus
- Rais Trump amedai chanjo za kwanza zitatolewa chini ya saa 24 zijazo
Soma - https://jamii.app/PfizerUS
VODACOM FOUNDATION WAPAMBANA KURUDISHIWA USAJILI WAO
> Sept. 11, 2019 BRELA walifuta kampuni zote zenye ukomo wa ahadi, Vodacom Foundation ikiwa mojawapo
> Vodacom wameomba kurejeshewa usajili ili wamalizane na watendaji na wahisani wao
Soma https://jamii.app/VodacomFoundation
> Sept. 11, 2019 BRELA walifuta kampuni zote zenye ukomo wa ahadi, Vodacom Foundation ikiwa mojawapo
> Vodacom wameomba kurejeshewa usajili ili wamalizane na watendaji na wahisani wao
Soma https://jamii.app/VodacomFoundation
KENYA: MAADHIMISHO YA 57 YA #JAMHURIDAY KUHUDHURIWA NA WATU 5,000
- Kutokana na #COVID19, maadhimisho hayo yatahudhuriwa na watu wachache tofauti na miaka ya nyuma
- #Kenya inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo mdororo wa uchumi na madeni
Soma - https://jamii.app/JamhuriKE
- Kutokana na #COVID19, maadhimisho hayo yatahudhuriwa na watu wachache tofauti na miaka ya nyuma
- #Kenya inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo mdororo wa uchumi na madeni
Soma - https://jamii.app/JamhuriKE
RAIS MAGUFULI AAGIZA WATUMISHI WA TMAA WAPUNGUZIWE MISHAHARA
> Amemtaka Katibu Mkuu Kiongozi kuwapunguzia mishahara Watumishi waliokuwa Wakala wa Ukaguzi wa Madini na kuhamishiwa Wizara ya Madini, kwa kuwa kazi waliyoifanya TMAA ilikuwa ya hovyo
Soma https://jamii.app/MaguMishaharaTMAA
> Amemtaka Katibu Mkuu Kiongozi kuwapunguzia mishahara Watumishi waliokuwa Wakala wa Ukaguzi wa Madini na kuhamishiwa Wizara ya Madini, kwa kuwa kazi waliyoifanya TMAA ilikuwa ya hovyo
Soma https://jamii.app/MaguMishaharaTMAA
ETHIOPIA YAANZA KUWAREJESHA WAKIMBIZI WALIOKIMBIA MAPIGANO #TIGRAY
> Wakimbizi 96,000, wengi wao wakiwa raia wa #Eritrea walitajwa kwenye ripoti ya UN kuwa hatarini kutokana na mapigano yaliyotokea kati ya Vikosi vya Serikali na Waasi wa TPLF
Soma https://jamii.app/WakimbiziTigray
> Wakimbizi 96,000, wengi wao wakiwa raia wa #Eritrea walitajwa kwenye ripoti ya UN kuwa hatarini kutokana na mapigano yaliyotokea kati ya Vikosi vya Serikali na Waasi wa TPLF
Soma https://jamii.app/WakimbiziTigray
MAREKANI: MAHAKAMA KUU YAKATAA KUBATILISHA MATOKEO YA UCHAGUZI
- Mahakama Kuu ya Nchi hiyo imekataa kubatilisha matokeo ktk Majimbo 4 licha ya Rais Trump kushinikiza suala hilo
- Rais Mteule, Joe Biden alitangazwa mshindi wa Majimbo hayo
Soma - https://jamii.app/SupremeCourtTrump
- Mahakama Kuu ya Nchi hiyo imekataa kubatilisha matokeo ktk Majimbo 4 licha ya Rais Trump kushinikiza suala hilo
- Rais Mteule, Joe Biden alitangazwa mshindi wa Majimbo hayo
Soma - https://jamii.app/SupremeCourtTrump
MOSHI: AFISA UGAVI MBARONI KWA KUTAPELI WATUMISHI WA SERIKALI
- Dominic Mpombe amewashawishi kutoa Tsh. milioni 4.3 kama kiingilio kujiunga na Kampuni ya Q-NET huku walengwa wakiwa ni Walimu, Manesi, Madaktari, Wastaafu na Wafanyabiashara
Angalia - https://youtu.be/iTPW09JE1bY
#JFLeo
- Dominic Mpombe amewashawishi kutoa Tsh. milioni 4.3 kama kiingilio kujiunga na Kampuni ya Q-NET huku walengwa wakiwa ni Walimu, Manesi, Madaktari, Wastaafu na Wafanyabiashara
Angalia - https://youtu.be/iTPW09JE1bY
#JFLeo
YouTube
DC SABAYA AMUWEKA NDANI MMOJA WA WATU WA Q-NET KWA UTAPELI. ASEMA HAIJASAJILIWA BRELA
Sabaya amesema wale wote waliotapeliwa hela zao watatakiwa kurudishiwa na kampuni hiyo
CHANJO BILIONI 1 ZA #COVID19 KUTOLEWA KWA NCHI ZENYE UCHUMI WA KATI NA CHINI
- Mkurugenzi Shirika la #Afya Duniani (WHO), Tedros Ghebreyesus amesema, wanakabiliwa na pengo la dola bilioni 4.3 ili kusambaza chanjo kwa Nchi zenye uhitaji mkubwa
Soma https://jamii.app/CoronaUchumiKati
- Mkurugenzi Shirika la #Afya Duniani (WHO), Tedros Ghebreyesus amesema, wanakabiliwa na pengo la dola bilioni 4.3 ili kusambaza chanjo kwa Nchi zenye uhitaji mkubwa
Soma https://jamii.app/CoronaUchumiKati
WAZIRI AAGIZA TAASISI ZINAZODAIWA NA TANESCO KUKATIWA UMEME
- Dkt. Kalemani ameiagiza TANESCO kuzikatia umeme Taasisi za Umma zinazodaiwa zaidi ya Bilioni 182
- Alitaka Shirika la Umeme kukata nishati hiyo akisema lazima mapato yaongezeke
Soma - https://jamii.app/TaasisiUmeme
- Dkt. Kalemani ameiagiza TANESCO kuzikatia umeme Taasisi za Umma zinazodaiwa zaidi ya Bilioni 182
- Alitaka Shirika la Umeme kukata nishati hiyo akisema lazima mapato yaongezeke
Soma - https://jamii.app/TaasisiUmeme
MASWA: WANAFUNZI 68 WAPATA UJAUZITO NDANI YA MIEZI 11
- Taarifa ya Dawati la Jinsia Wilayani humo inasema, Wanafunzi wa Shule ya Msingi ni 3 na Sekondari ni 65
- Pia, Jamii imeendelea kuficha matukio haya na kutotoa ushahidi kwa baadhi ya kesi
Soma https://jamii.app/Mimba68Maswa
#JFLeo
- Taarifa ya Dawati la Jinsia Wilayani humo inasema, Wanafunzi wa Shule ya Msingi ni 3 na Sekondari ni 65
- Pia, Jamii imeendelea kuficha matukio haya na kutotoa ushahidi kwa baadhi ya kesi
Soma https://jamii.app/Mimba68Maswa
#JFLeo
TANAPA KUANZA KUWEKA 'CABLE CAR' MLIMA KILIMANJARO
- Cable Car itaanzia karibu na Geti la Machame la kupandia Mlima #Kilimanjaro na kuishia Uwanda wa Shira
- Itakuwa na Urefu wa mita 3,700 kati ya 5,895 za Mlima na haitafika kwenye Kilele
Soma - https://jamii.app/CarCableKilimanjaro
#JFLeo
- Cable Car itaanzia karibu na Geti la Machame la kupandia Mlima #Kilimanjaro na kuishia Uwanda wa Shira
- Itakuwa na Urefu wa mita 3,700 kati ya 5,895 za Mlima na haitafika kwenye Kilele
Soma - https://jamii.app/CarCableKilimanjaro
#JFLeo
#ETHIOPIA YAAGIZA MAAFISA WA JUU ZAIDI YA 40 KUKAMATWA
- Polisi nchini humo wametoa hati ya kukamatwa kwa zaidi ya Maafisa 40 wakiwemo waliotumikia Jeshi zamani, wakihusishwa na mapigano ya #Tigray
- Wanatuhumiwa kwa uhaini na utekaji nyara
Soma - https://jamii.app/ArrestWarrantsTigray
#JFLeo
- Polisi nchini humo wametoa hati ya kukamatwa kwa zaidi ya Maafisa 40 wakiwemo waliotumikia Jeshi zamani, wakihusishwa na mapigano ya #Tigray
- Wanatuhumiwa kwa uhaini na utekaji nyara
Soma - https://jamii.app/ArrestWarrantsTigray
#JFLeo
MAREKANI: CHANJO YA #COVID19 KUANZA KUTOLEWA KESHO
- Mamlaka zimesema Chanjo dhidi ya #CoronaVirus toka Pfizer na BioNTech itaanza kutolewa kwa Wananchi
- Hadi kesho vituo vya kutolea chanjo 145 vitakuwa vimepokea shehena ya kwanza
Soma - https://jamii.app/USCovidVaccine
- Mamlaka zimesema Chanjo dhidi ya #CoronaVirus toka Pfizer na BioNTech itaanza kutolewa kwa Wananchi
- Hadi kesho vituo vya kutolea chanjo 145 vitakuwa vimepokea shehena ya kwanza
Soma - https://jamii.app/USCovidVaccine
WAZIRI MKUU WA ESWATINI(ZAMANI SWAZILAND) AFARIKI KWA COVID-19
> Ambrose Dlamini(52) amefariki dunia akiendelea na matibabu nchini Afrika Kusini
> Alipata maambukizi ya #CoronaVirus katikati mwa mwezi Novemba lakini hakuwa na dalili yoyote
Soma https://jamii.app/EswatiniPMDies
#JFLeo
> Ambrose Dlamini(52) amefariki dunia akiendelea na matibabu nchini Afrika Kusini
> Alipata maambukizi ya #CoronaVirus katikati mwa mwezi Novemba lakini hakuwa na dalili yoyote
Soma https://jamii.app/EswatiniPMDies
#JFLeo
MAREKANI YATEKELEZA ADHABU NYINGINE YA KIFO, WATATU KUUAWA JANUARI
> Brandon Bernard aliuawa Alhamisi na Alfred Bourgeois siku ya Ijumaa
> Hukumu zote zikitekelezwa Trump atakuwa ameua watu wengi ndani ya karne moja ya historia ya Urais Merekani
Soma https://jamii.app/DeathPenaltUSA
> Brandon Bernard aliuawa Alhamisi na Alfred Bourgeois siku ya Ijumaa
> Hukumu zote zikitekelezwa Trump atakuwa ameua watu wengi ndani ya karne moja ya historia ya Urais Merekani
Soma https://jamii.app/DeathPenaltUSA
UJERUMANI KUFUNGA MADUKA NA SHULE ILI KUDHIBITI CORONA
- Shule zote zitafungwa Desemba 16, 2020 hadi Januari 10, 2021 na Waajiri watatakiwa kusitisha shughuli zao au kufanyia kazi Nyumbani
- Idadi ya maambukizi imefikia 1,320,716
Soma - https://jamii.app/SchoolsShopsBan
- Shule zote zitafungwa Desemba 16, 2020 hadi Januari 10, 2021 na Waajiri watatakiwa kusitisha shughuli zao au kufanyia kazi Nyumbani
- Idadi ya maambukizi imefikia 1,320,716
Soma - https://jamii.app/SchoolsShopsBan
WATOTO NJITI: WITO KWA SERIKALI NA WADAU KWA AJILI YA KUBORESHA HUDUMA YA AFYA
- Wajawazito wahudhurie Kliniki kabla na baada ya kujifungua, wajifungulie ktk vituo vya kutolea huduma
- Mtoto mchanga apatiwe huduma ya Afya stahiki.
https://jamii.app/WitoWatotoNjiti
#PreMatureBabie
- Wajawazito wahudhurie Kliniki kabla na baada ya kujifungua, wajifungulie ktk vituo vya kutolea huduma
- Mtoto mchanga apatiwe huduma ya Afya stahiki.
https://jamii.app/WitoWatotoNjiti
#PreMatureBabie
UNICEF: WATU BILIONI 1.8 WANATEGEMEA VITUO VYA AFYA VISIVYO NA MAJI
> Ripoti ya UNICEF imesema, ukosefu wa Maji na Sabuni huwaweka wagonjwa ktk hatari ya kupata #COVID19
> Hali ni mbaya nchi zinazoendelea ambapo Kituo 1 kati ya 2 hukosa maji
Soma https://jamii.app/HealthCentresWASH
> Ripoti ya UNICEF imesema, ukosefu wa Maji na Sabuni huwaweka wagonjwa ktk hatari ya kupata #COVID19
> Hali ni mbaya nchi zinazoendelea ambapo Kituo 1 kati ya 2 hukosa maji
Soma https://jamii.app/HealthCentresWASH
IRAN YAMNYONGA MWANAHABARI KWA KUHAMASISHA MAANDAMANO 2017
- #Iran imetekeleza adhabu ya kifo dhidi ya Mwandishi wa Habari, Ruhollah Zam, kutokana na kazi zake za mtandaoni zilizohamasisha maandamano ya kuipinga Serikali mwaka 2017
Soma - https://jamii.app/RuhollahExecution
- #Iran imetekeleza adhabu ya kifo dhidi ya Mwandishi wa Habari, Ruhollah Zam, kutokana na kazi zake za mtandaoni zilizohamasisha maandamano ya kuipinga Serikali mwaka 2017
Soma - https://jamii.app/RuhollahExecution
IBM: WADUKUZI WANAILENGA CHANJO YA #COVID19
- Watafiti wanasema, 'Phishing Emails' zimekuwa zikitumwa kwa Mashirika yanayosambaza chanjo tangu Septemba 2020
- Maeneo lengwa ni Ujerumani, Italia, Korea Kusini, Ulaya, Czech na Taiwan
Soma https://jamii.app/CoronaCyberAttacks
#DigitalSecurity
- Watafiti wanasema, 'Phishing Emails' zimekuwa zikitumwa kwa Mashirika yanayosambaza chanjo tangu Septemba 2020
- Maeneo lengwa ni Ujerumani, Italia, Korea Kusini, Ulaya, Czech na Taiwan
Soma https://jamii.app/CoronaCyberAttacks
#DigitalSecurity