DAR: Watumishi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), Shabani Kajiru (Msimamizi wa Kituo cha Kivukoni) na Brown Mlawa (Afisa Ufuatiliaji wa Kituo) wamesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa tukio la vurugu zilizotokea kituoni hapo Machi 26, 2024
#DART imeeleza kuwa wahusika hao walipewa taarifa mapema kuhusu Changamoto ya Usafiri iliyosababisha Abiria kupelekwa Kituo cha Morocco kisha kurejeshwa Kivukoni na kutelekezwa hapo kwa saa kadhaa, lakini hawakushughulikia suala hilo ambalo lilisababisha usumbufu
DART imesema kuwa inamuelekeza Mtoa Huduma wa Mpito (#UDART) kuwachukulia hatua na kuwasimamisha kazi Salehe Maziku na Chande Likotimo (Madereva), Lameck Kapufi (Msimamizi wa Kituo) na Erick Mukaro (Afisa Usafirishaji) ambao pia walihusika katika tukio hilo
Soma https://jamii.app/TamkoLaDART
#JFHuduma #JFUwajibikaji #Governance #JamiiForums
#DART imeeleza kuwa wahusika hao walipewa taarifa mapema kuhusu Changamoto ya Usafiri iliyosababisha Abiria kupelekwa Kituo cha Morocco kisha kurejeshwa Kivukoni na kutelekezwa hapo kwa saa kadhaa, lakini hawakushughulikia suala hilo ambalo lilisababisha usumbufu
DART imesema kuwa inamuelekeza Mtoa Huduma wa Mpito (#UDART) kuwachukulia hatua na kuwasimamisha kazi Salehe Maziku na Chande Likotimo (Madereva), Lameck Kapufi (Msimamizi wa Kituo) na Erick Mukaro (Afisa Usafirishaji) ambao pia walihusika katika tukio hilo
Soma https://jamii.app/TamkoLaDART
#JFHuduma #JFUwajibikaji #Governance #JamiiForums
👍1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (#UDART), Waziri Kindamba amesema makosa ya nyuma katika usimamizi wa huduma hiyo yamechangiwa na kutokuwepo kwa mkazo katika matengenezo ya mara kwa mara (routine maintenance) ya mabasi.
Ameongeza kuwa kutokana na changamoto zilizojitokeza za mabasi, UDART imejifunza na sasa inaweka mkazo mkubwa kwenye usimamizi endelevu na wenye tija na mabasi mapya yatakapoletwa watazingatia uthibiti na utunzaji.
Mara kwa mara Wadau wamekuwa wakilalamikia huduma mbovu zinazopatikana katika usafiri huo pamoja na changamoto ya mbasi kuharibika mara kwa mara.
Zaidi https://jamii.app/HudumaMwendokasi
#JamiiForums #JFHuduma #ServiceDelivery #Accountability #JamiiAfrica
Ameongeza kuwa kutokana na changamoto zilizojitokeza za mabasi, UDART imejifunza na sasa inaweka mkazo mkubwa kwenye usimamizi endelevu na wenye tija na mabasi mapya yatakapoletwa watazingatia uthibiti na utunzaji.
Mara kwa mara Wadau wamekuwa wakilalamikia huduma mbovu zinazopatikana katika usafiri huo pamoja na changamoto ya mbasi kuharibika mara kwa mara.
Zaidi https://jamii.app/HudumaMwendokasi
#JamiiForums #JFHuduma #ServiceDelivery #Accountability #JamiiAfrica
👎2❤1