DAR: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametoa siku 14 kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kufanya marekebisho ya Mabasi 70 yaliyoripotiwa kuwa Mabovu ili yarudi kutoa huduma za Usafiri na kuondoa kero kwa Wananchi
Hatua inakuja siku chache tangu JamiiForums iripoti hali ya Msongamano wa Abiria katika Kituo cha Abiria cha Kimara Mwisho ambapo Wananchi walilalamikia uchache wa Mabasi
Akizungumza baada ya kufanya ziara katika Kituo hicho, RC Chalamila amesema anashangazwa kwanini idadi kubwa ya Mabasi ni mabovu licha ya kuwa mtoa huduma amekuwa akilipwa Fedha katika mradi huo huku Abiria wakiendelea kusumbuliwa na Kero hiyo
Hadi sasa #DART imesaliwa na Mabasi 140 yanayotoa huduma kati ya 210
Soma https://jamii.app/DARTBus
#JamiiForums #Governance #ServiceDelivery #SocialJustice #JFHuduma #Accountability
Hatua inakuja siku chache tangu JamiiForums iripoti hali ya Msongamano wa Abiria katika Kituo cha Abiria cha Kimara Mwisho ambapo Wananchi walilalamikia uchache wa Mabasi
Akizungumza baada ya kufanya ziara katika Kituo hicho, RC Chalamila amesema anashangazwa kwanini idadi kubwa ya Mabasi ni mabovu licha ya kuwa mtoa huduma amekuwa akilipwa Fedha katika mradi huo huku Abiria wakiendelea kusumbuliwa na Kero hiyo
Hadi sasa #DART imesaliwa na Mabasi 140 yanayotoa huduma kati ya 210
Soma https://jamii.app/DARTBus
#JamiiForums #Governance #ServiceDelivery #SocialJustice #JFHuduma #Accountability
π2
Mdau wa JamiiForums.com anasema Oktoba 29, 2022 kuliripotiwa habari ya kupatikana Mwekezaji mpya wa kuendesha Mabasi ya Mwendokasi ambaye ni Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu
Taarifa ya Serikali kupitia kwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Usafiri wa #DART, Mhandisi Fanuel Kalugendo ilisema Kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022 ambapo mwanzoni ingeingiza Mabasi 177, na ndani ya Miezi 6 (kuanzia Novemba 2022) ingeingiza jumla ya Mabasi 750
Anahoji, hadi sasa tatizo ni nini? Magari mapya mbona hayaonekani wala Mwekezaji wake? Mbona Wananchi hawaelezwi mkwamo umetokea wapi?
Mjadala zaidi https://jamii.app/MwekezajiDARTVipi
#ServiceDelivery #Governance #JamiiForums #Accountability
Taarifa ya Serikali kupitia kwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Usafiri wa #DART, Mhandisi Fanuel Kalugendo ilisema Kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022 ambapo mwanzoni ingeingiza Mabasi 177, na ndani ya Miezi 6 (kuanzia Novemba 2022) ingeingiza jumla ya Mabasi 750
Anahoji, hadi sasa tatizo ni nini? Magari mapya mbona hayaonekani wala Mwekezaji wake? Mbona Wananchi hawaelezwi mkwamo umetokea wapi?
Mjadala zaidi https://jamii.app/MwekezajiDARTVipi
#ServiceDelivery #Governance #JamiiForums #Accountability
π6
USAFIRISHAJI: MKURUGENZI WA MABASI YA MWENDOKASI ATENGULIWA
Rais Samia ametengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Kasi (#DART), Dkt. Edwin P. Mhede huku taarifa ikisema atapangiwa kazi nyingine
Aidha, Rais Samia amemteua Dkt. Athuman Kihamia kuwa Mtendaji Mkuu wa DART. Hapo awali, Dkt. Kihamia aliwahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha
Hatua hii inakuja wakati ambao kumekuwa na malalamiko ya Watumiaji wa Mabasi hayo wakieleza kutoridhishwa na ubora wa huduma zake
Soma https://jamii.app/DARTCEO
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #Accountability
Rais Samia ametengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Kasi (#DART), Dkt. Edwin P. Mhede huku taarifa ikisema atapangiwa kazi nyingine
Aidha, Rais Samia amemteua Dkt. Athuman Kihamia kuwa Mtendaji Mkuu wa DART. Hapo awali, Dkt. Kihamia aliwahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha
Hatua hii inakuja wakati ambao kumekuwa na malalamiko ya Watumiaji wa Mabasi hayo wakieleza kutoridhishwa na ubora wa huduma zake
Soma https://jamii.app/DARTCEO
#JamiiForums #Governance #JFHuduma #Accountability
π7
Mtendaji Mkuu wa Mabasi Yaendayo Haraka (#DART), Dkt. Athuman Kihamia amesema amepata ripoti ya tukio la Dereva wa Mwendokasi kuwatelekeza Abiria Kituo cha Kivukoni na wanatarajia kumchukulia hatua za kinidhamu yeye pamoja na Wasimamizi wa Kituo cha Kivukoni
Amesema βNilipata taarifa na nikafika kituoni, nikakuta Dereva mwingine amewapeleka Abiria Kimara baada ya Dereva wa awali kuwapeleka Abiria Morocco kisha kuwarejesha Kivukoni na kuwatelekeza hapo. Hatua zitachukuliwa ili iwe funzo kwa kuwa kuna malalamiko mengi tunapata kuhusu huduma zetu.β
Awali, Mdau wa JamiiForums.com aliripoti juu ya tukio hilo na kusema Dereva husika aliungwa mkono na Msimamizi wa Kivukoni. Pia, alidai Abiria walipanda basi saa 1:00 Usiku lakini safari ya kwenda Kimara ilianza saa 3:25 Usiku
Soma https://jamii.app/MwendokasiUfafanuzi
#JFHuduma #Governance #JFUwajibikaji #JamiiForums
Amesema βNilipata taarifa na nikafika kituoni, nikakuta Dereva mwingine amewapeleka Abiria Kimara baada ya Dereva wa awali kuwapeleka Abiria Morocco kisha kuwarejesha Kivukoni na kuwatelekeza hapo. Hatua zitachukuliwa ili iwe funzo kwa kuwa kuna malalamiko mengi tunapata kuhusu huduma zetu.β
Awali, Mdau wa JamiiForums.com aliripoti juu ya tukio hilo na kusema Dereva husika aliungwa mkono na Msimamizi wa Kivukoni. Pia, alidai Abiria walipanda basi saa 1:00 Usiku lakini safari ya kwenda Kimara ilianza saa 3:25 Usiku
Soma https://jamii.app/MwendokasiUfafanuzi
#JFHuduma #Governance #JFUwajibikaji #JamiiForums
π4β€1
DAR: Watumishi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), Shabani Kajiru (Msimamizi wa Kituo cha Kivukoni) na Brown Mlawa (Afisa Ufuatiliaji wa Kituo) wamesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa tukio la vurugu zilizotokea kituoni hapo Machi 26, 2024
#DART imeeleza kuwa wahusika hao walipewa taarifa mapema kuhusu Changamoto ya Usafiri iliyosababisha Abiria kupelekwa Kituo cha Morocco kisha kurejeshwa Kivukoni na kutelekezwa hapo kwa saa kadhaa, lakini hawakushughulikia suala hilo ambalo lilisababisha usumbufu
DART imesema kuwa inamuelekeza Mtoa Huduma wa Mpito (#UDART) kuwachukulia hatua na kuwasimamisha kazi Salehe Maziku na Chande Likotimo (Madereva), Lameck Kapufi (Msimamizi wa Kituo) na Erick Mukaro (Afisa Usafirishaji) ambao pia walihusika katika tukio hilo
Soma https://jamii.app/TamkoLaDART
#JFHuduma #JFUwajibikaji #Governance #JamiiForums
#DART imeeleza kuwa wahusika hao walipewa taarifa mapema kuhusu Changamoto ya Usafiri iliyosababisha Abiria kupelekwa Kituo cha Morocco kisha kurejeshwa Kivukoni na kutelekezwa hapo kwa saa kadhaa, lakini hawakushughulikia suala hilo ambalo lilisababisha usumbufu
DART imesema kuwa inamuelekeza Mtoa Huduma wa Mpito (#UDART) kuwachukulia hatua na kuwasimamisha kazi Salehe Maziku na Chande Likotimo (Madereva), Lameck Kapufi (Msimamizi wa Kituo) na Erick Mukaro (Afisa Usafirishaji) ambao pia walihusika katika tukio hilo
Soma https://jamii.app/TamkoLaDART
#JFHuduma #JFUwajibikaji #Governance #JamiiForums
π1
USAFIRISHAJI: Taarifa ya Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (#DART) maarufu kwa jina la Mabasi ya Mwendokasi ya Aprili 23, 2024 imesema Barabara ya #Jangwani imefungwa kutokana na mafuriko, hivyo Mabasi kwa njia za #Kimara hadi #Kivukoni na Gerezani yataishia #MagomeniMapipa
Vilevile, huduma ya usafiri wa Mabasi ya DART inaendelea kutolewa kwa njia ya #Morocco kwenda Kimara na eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam kwa njia ya #Muhimbili na #Gerezani
Soma https://jamii.app/UsafiriMwendokasi
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #ServiceDelivery #JFHuduma #Governance
Vilevile, huduma ya usafiri wa Mabasi ya DART inaendelea kutolewa kwa njia ya #Morocco kwenda Kimara na eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam kwa njia ya #Muhimbili na #Gerezani
Soma https://jamii.app/UsafiriMwendokasi
#JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #ServiceDelivery #JFHuduma #Governance
π2
DAR: Mdau wa JamiiForums.com anatoa wito kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (#DART) kutafuta njia ya haraka kuboresha huduma ya usafiri wa Mwendokasi kwa maelezo kuwa inazidi kupungua ubora kila siku.
Anasema "Mabasi ni machache na hali hiyo inalazimu Watu kukaa zaidi ya Saa moja hadi mbili Kituoni kusubiria magari ambayo nayo yakifika kupata nafasi ya kuingia unatakiwa uwe 'umeshiba' kutokana na utaratibu mbovu uliopo."
Soma zaidi https://jamii.app/MdauMwendokasi
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFHuduma #ServiceDelivery #JFMdau2025
Anasema "Mabasi ni machache na hali hiyo inalazimu Watu kukaa zaidi ya Saa moja hadi mbili Kituoni kusubiria magari ambayo nayo yakifika kupata nafasi ya kuingia unatakiwa uwe 'umeshiba' kutokana na utaratibu mbovu uliopo."
Soma zaidi https://jamii.app/MdauMwendokasi
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFHuduma #ServiceDelivery #JFMdau2025
β€2π1
DAR: Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) imepiga marufuku Watoa Huduma Binafsi kutoa taarifa zozote kwa Vyombo vya Habari kuhusu utekelezaji wa miradi ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), ikiwemo mikataba na mipango mbalimbali ya uendeshaji.
Mtendaji Mkuu wa #DART, Dkt. Athumani Kihamia amesema mawasiliano yote ya umma yanayohusu sera, ununuzi wa mabasi au shughuli za waendeshaji wenzao lazima yatolewe na DART pekee. Amesisitiza baadhi ya taarifa zilizotolewa na watoa huduma binafsi ni batili na zinakiuka taratibu rasmi za mawasiliano na watoa huduma kuheshimu majukumu yao bila kuingilia mamlaka ya msimamizi.
Aidha, ameongeza kuwa DART inatarajia kuanza kutoa huduma kupitia Mradi wa BRT Awamu ya Pili β Mbagala katikati ya Agosti 2025, na kufikia Oktoba zaidi ya mabasi 930 yanatarajiwa kuwepo, yakiletwa na wawekezaji kupitia ushirikiano wa Sekta ya Umma na Binafsi (PPP).
Soma zaidi https://jamii.app/WatoaHudumaDART
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #Accountability #JFHuduma
Mtendaji Mkuu wa #DART, Dkt. Athumani Kihamia amesema mawasiliano yote ya umma yanayohusu sera, ununuzi wa mabasi au shughuli za waendeshaji wenzao lazima yatolewe na DART pekee. Amesisitiza baadhi ya taarifa zilizotolewa na watoa huduma binafsi ni batili na zinakiuka taratibu rasmi za mawasiliano na watoa huduma kuheshimu majukumu yao bila kuingilia mamlaka ya msimamizi.
Aidha, ameongeza kuwa DART inatarajia kuanza kutoa huduma kupitia Mradi wa BRT Awamu ya Pili β Mbagala katikati ya Agosti 2025, na kufikia Oktoba zaidi ya mabasi 930 yanatarajiwa kuwepo, yakiletwa na wawekezaji kupitia ushirikiano wa Sekta ya Umma na Binafsi (PPP).
Soma zaidi https://jamii.app/WatoaHudumaDART
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #Accountability #JFHuduma
β€1π€1
DAR: Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kueleza utaratibu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kutouza kadi za kununua tiketi za usafiri wa Mwendokasi siku za Wikiendi, ni kero na unasababisha Watu wengi kukosa huduma, DART imetoa ufafanuzi.
Mtendaji Mkuu wa #DART, Dkt. Athumani Kihamia amesema si lengo lao kuuza kadi siku za Jumamosi na Jumapili, kwani abiria anaweza kupata kadi hizo kwa siku tano za wiki kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa na kwamba Wananchi wamehamasika na wamenunua kwa wingi kadi na zinaongeza ufanisi wa kukusanya mapato na kuepusha ubadhirifu.
Soma https://jamii.app/MajibuDART
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFHuduma #Uwajibikaji #JFMdau
Mtendaji Mkuu wa #DART, Dkt. Athumani Kihamia amesema si lengo lao kuuza kadi siku za Jumamosi na Jumapili, kwani abiria anaweza kupata kadi hizo kwa siku tano za wiki kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa na kwamba Wananchi wamehamasika na wamenunua kwa wingi kadi na zinaongeza ufanisi wa kukusanya mapato na kuepusha ubadhirifu.
Soma https://jamii.app/MajibuDART
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFHuduma #Uwajibikaji #JFMdau
β€3