SOMALIA: Maeneo ya karibu na Ikulu ya Rais wa #Somalia Mjini #Mogadishu yameshambuliwa kwa mabomu muda mfupi baada ya Bunge kuidhinisha Baraza la Mawaziri lenye Wajumbe 75
Somalia, taifa lililopo katika pembe ya Afrika linakabiliwa na Umasikini na janga la njaa
Soma - https://jamii.app/BomuIkuluSom
Somalia, taifa lililopo katika pembe ya Afrika linakabiliwa na Umasikini na janga la njaa
Soma - https://jamii.app/BomuIkuluSom
👍7
#SOMALIA: UNHCR imesema ukame wa kihistoria Nchini humo umepelekea Watu 1,000,000 kuyakimbia makazi yao
Idadi ya wanaokabiliwa na Njaa inatarajiwa kuongezeka kutoka Watu milioni 5 hadi zaidi ya milioni 7 Miezi kadhaa ijayo
Soma - https://jamii.app/SomaliaNjaa
#HumanRights
Idadi ya wanaokabiliwa na Njaa inatarajiwa kuongezeka kutoka Watu milioni 5 hadi zaidi ya milioni 7 Miezi kadhaa ijayo
Soma - https://jamii.app/SomaliaNjaa
#HumanRights
👍4😢2
#SOMALIA: Baada ya shambulizi la risasi na mabomu lililoua Watu 21 na kujeruhi 117 katika Hoteli, Rais Hassan Sheikh Mohamud ameahidi vita kali ya kutokomeza Kundi la Al-Shabaab
Aidha, Serikali ya #Norway imedai katika tukio hilo la #Mogadishu kuna raia kadhaa wa Norway wameuawa
Soma - https://jamii.app/AttackInSomalia
#Governance
Aidha, Serikali ya #Norway imedai katika tukio hilo la #Mogadishu kuna raia kadhaa wa Norway wameuawa
Soma - https://jamii.app/AttackInSomalia
#Governance
👍9
UNICEF imesema Nchini #Ethiopia, #Kenya na #Somalia idadi ya Watu wanaokabiliwa na uhaba wa Maji imeongezeka kutoka Milioni 9.5 hadi Milioni 16.2 ndani ya Miezi 5
Nchi za Afrika Magharibi na Kati za Burkina Faso, Chad, #Mali, Niger na #Nigeria, Watoto Milioni 40 wapo katika hatari kubwa ya kukosa Maji
Soma - https://jamii.app/MajiAfrika
#HumanRights
Nchi za Afrika Magharibi na Kati za Burkina Faso, Chad, #Mali, Niger na #Nigeria, Watoto Milioni 40 wapo katika hatari kubwa ya kukosa Maji
Soma - https://jamii.app/MajiAfrika
#HumanRights
👍10
#SOMALIA: Kwa mujibu wa Takwimu za UNICEF, Watoto 730 wamefariki dunia katika Vituo vya Lishe kati ya Januari - Julai 2022. Inahofiwa idadi hiyo inaweza kuongezeka
Magonjwa yanayosumbua Watoto wengi ni Utapiamlo, Surua, Kipindupindu na #Malaria
Soma https://jamii.app/NjaaSomalia2022
#JFAfya
Magonjwa yanayosumbua Watoto wengi ni Utapiamlo, Surua, Kipindupindu na #Malaria
Soma https://jamii.app/NjaaSomalia2022
#JFAfya
😢5👍2
#SOMALIA: BOMU LA KUJITOA MHANGA LAUA MWANAJESHI
Wanajeshi wengine 6 wamejeruhiwa katika tukio hilo ndani ya Kambi ya Jeshi ya #Mogadishu
Kundi Al Shabaab limejitaja kuhusika na limedai bomu hilo limeua Wanajeshi 32 na kujeruhi 40
Soma - https://jamii.app/BomuSomalia
#Terrorists
Wanajeshi wengine 6 wamejeruhiwa katika tukio hilo ndani ya Kambi ya Jeshi ya #Mogadishu
Kundi Al Shabaab limejitaja kuhusika na limedai bomu hilo limeua Wanajeshi 32 na kujeruhi 40
Soma - https://jamii.app/BomuSomalia
#Terrorists
🤯4👍3👎3
SOMALIA: Watu 100 wamefariki na 300 kujeruhiwa katika Milipuko ilitokea katika Magari mawili Jijini #Mogadishu
Rais wa #Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, amelaumu Al-Shabaab kuhusika
Pia Mwandishi wa kujitegemea, Mohamed Isse Kona, ni kati ya waliouawa
Soma https://jamii.app/100PeopleKilled
#HumanRights
Rais wa #Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, amelaumu Al-Shabaab kuhusika
Pia Mwandishi wa kujitegemea, Mohamed Isse Kona, ni kati ya waliouawa
Soma https://jamii.app/100PeopleKilled
#HumanRights
👍3😢3🤔1
#SOMALIA: Mahakama ya Kijeshi imemhukumu kifo Mohamed Abdulkadir Sheikh Ibrahim, Afisa wa Polisi aliyekutwa na hatia ya kumchoma Visu Mfanyabiashara Abdifatah Ali hadi kusababisha kifo chake
> Walikuwa wakigombea Kiberiti cha Sigara
Soma https://jamii.app/SomaliaKiller
#PoliceBrutality
> Walikuwa wakigombea Kiberiti cha Sigara
Soma https://jamii.app/SomaliaKiller
#PoliceBrutality
👍2
MWANAJESHI WA UGANDA AWAUA WENZAKE WATATU KWA RISASI
Tukio limehusisha Wanajeshi wa Uganda waliopo #Mogadishu Nchini #Somalia chini ya Kikosi cha Mpito cha Umoja wa #Afrika
Mtuhumiwa amedhibitiwa na uchunguzi unaendelea kubaini chanzo
Soma https://jamii.app/MauajiSomalia
#Diplomacy
Tukio limehusisha Wanajeshi wa Uganda waliopo #Mogadishu Nchini #Somalia chini ya Kikosi cha Mpito cha Umoja wa #Afrika
Mtuhumiwa amedhibitiwa na uchunguzi unaendelea kubaini chanzo
Soma https://jamii.app/MauajiSomalia
#Diplomacy
👍11🤔2
NCHI 10 ZENYE KIWANGO KIKUBWA CHA RUSHWA DUNIANI
Wakati #Ushelisheli (Seychelles) ikiongoza kwa Nchi za Afrika katika kupambana na #Rushwa na #Ufisadi kupitia ripoti ya #TransparencyInternational (CPI), Somalia imeshika nafasi ya mwisho (180) Afrika na Duniani kote
Ripoti ya #CPI inafanya makadirio ya Viwango vya Rushwa kwenye Sekta za #Umma kwa kutumia kipimo cha 0% hadi 100%, ambapo #Somalia imeonesha kukabiliana na Ufisadi na Rushwa kwa 12% tu
Soma https://jamii.app/CPI2022
#Transparency #Accountability #JFGovernance #CPI2022
Wakati #Ushelisheli (Seychelles) ikiongoza kwa Nchi za Afrika katika kupambana na #Rushwa na #Ufisadi kupitia ripoti ya #TransparencyInternational (CPI), Somalia imeshika nafasi ya mwisho (180) Afrika na Duniani kote
Ripoti ya #CPI inafanya makadirio ya Viwango vya Rushwa kwenye Sekta za #Umma kwa kutumia kipimo cha 0% hadi 100%, ambapo #Somalia imeonesha kukabiliana na Ufisadi na Rushwa kwa 12% tu
Soma https://jamii.app/CPI2022
#Transparency #Accountability #JFGovernance #CPI2022
👍4
ITALIA: BOTI YAZAMA, WAHAMIAJI 59 WAFARIKI
Inadaiwa ilibeba zaidi ya abiria 150 - 200, kati yao 80 wamesalimika
Boti iligonga mwamba wakati ikitokea #Turkey ikiwa na raia wa #Afghanistan, #Pakistan, #Somalia na #Iran wanaokimbia Nchi zao
Soma https://jamii.app/ItaliaBotiKuzama
#Diplomacy
Inadaiwa ilibeba zaidi ya abiria 150 - 200, kati yao 80 wamesalimika
Boti iligonga mwamba wakati ikitokea #Turkey ikiwa na raia wa #Afghanistan, #Pakistan, #Somalia na #Iran wanaokimbia Nchi zao
Soma https://jamii.app/ItaliaBotiKuzama
#Diplomacy
👍4💔4😁1🤯1
AL-SHABAAB WAUA WANAJESHI 54 RAIA WA UGANDA
Rais wa #Uganda, #YoweriMuseveni amesema mauaji yametokea katika kambi ya walinda Amani Nchini #Somalia
Wiki iliyopita Museveni alisema kumetokea vifo vya Waganda lakini hakutoa maelezo zaidi kuhusu Wanajeshi hao wanaohudumu katika Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika Nchini Somalia (ATMIS).
Soma https://jamii.app/UGSoldiersKilled
#Governance #JamiiForums
Rais wa #Uganda, #YoweriMuseveni amesema mauaji yametokea katika kambi ya walinda Amani Nchini #Somalia
Wiki iliyopita Museveni alisema kumetokea vifo vya Waganda lakini hakutoa maelezo zaidi kuhusu Wanajeshi hao wanaohudumu katika Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika Nchini Somalia (ATMIS).
Soma https://jamii.app/UGSoldiersKilled
#Governance #JamiiForums
👍4😱4😢4
#JEWAJUA: Baada ya kupata Ugumu katika Utekelezaji wa Mkataba wake na DP World, Bunge la #Somalia lilikubaliana kuipiga Marufuku kampuni hiyo huku ikieleza Mkataba huo unapingana na Katiba, Kanuni za Uwekezaji wa Kigeni na Sheria nyingine za Nchi
Taarifa ya Azimio la Bunge inasomeka "DP World ilikiuka waziwazi Uhuru na Umoja wa Somalia na hivyo DP World imepigwa marufuku Nchini Somalia,"
#DPWorld ilisaini Mkataba wa Uendeshaji wa Bandari ya Berbera mwaka 2016. Hata hivyo, Mkataba haukuvunjika kutokana na Masharti yake kuwa magumu pamoja na upande mwingine wa Somalia kuutetea.
Soma Zaidi https://jamii.app/DPWSomalia
#JamiiForums #Governance #Accountability #DPWorldSaga
Taarifa ya Azimio la Bunge inasomeka "DP World ilikiuka waziwazi Uhuru na Umoja wa Somalia na hivyo DP World imepigwa marufuku Nchini Somalia,"
#DPWorld ilisaini Mkataba wa Uendeshaji wa Bandari ya Berbera mwaka 2016. Hata hivyo, Mkataba haukuvunjika kutokana na Masharti yake kuwa magumu pamoja na upande mwingine wa Somalia kuutetea.
Soma Zaidi https://jamii.app/DPWSomalia
#JamiiForums #Governance #Accountability #DPWorldSaga
👍7😁6😱2👎1🔥1🥰1
KENYA: Polisi wanawashikilia Abdirahman Shaffi Mkwatili(25) na Sadam Jafari Kitia(30) waliokiri walikuwa wakielekea kujiunga na #AlShabaab, baada ya kuwakamata Julai 12, 2023 wakiwa na daftari lililoandikwa kwa Kiswahili ambalo linadaiwa walikuwa wakitumia kuwaongoza kutoka #Tanzania hadi Jilib, #Somalia
Kukamatwa kwao kumekuja Wiki 2 baada ya Watanzania wengine watatu, Abdul Saif Salimu, Zuberi Ngare Mtondoo na Seif Abdalla Juma, waliodaiwa kuwa katika harakati za kujiunga na kundi hilo kukamatwa Nchini Kenya kufuatia taarifa za Wananchi
Soma https://jamii.app/AlShabaabWaTZ
#JamiiForums
Kukamatwa kwao kumekuja Wiki 2 baada ya Watanzania wengine watatu, Abdul Saif Salimu, Zuberi Ngare Mtondoo na Seif Abdalla Juma, waliodaiwa kuwa katika harakati za kujiunga na kundi hilo kukamatwa Nchini Kenya kufuatia taarifa za Wananchi
Soma https://jamii.app/AlShabaabWaTZ
#JamiiForums
👍11❤1👎1
Uturuki imetoa Hati ya Kimataifa ya Kukamatwa kwa Mohamed Hassan Sheikh Mohamud ambaye ni Mtoto wa Rais wa #Somalia, Hassan Sheikh Mohamud baada ya kudaiwa kumgonga mwendesha Pikipiki Jijini Istanbul ambaye alifariki Siku 6 baadaye kutokana na majeraha aliyoyapata
Mohamed alishikiliwa kwa muda kisha kuachiwa baada ya kudaiwa kosa lilikuwa upande wa mwendesha Pikipiki
Meya wa #Istanbul, Ekrem İmamoglu ameonesha picha za CCTV za tukio hilo la Novemba 30, 2023 zinazodaiwa kuonesha Pikipiki iligongwa kwa nyuma. Askari walipofika nyumbani kwa Mohamed wakajulishwa ana wiki hayupo eneo hilo, ndipo Hati ya Kukamatwa ikatolewa ikiaminika amekimbia Nchi
Soma https://jamii.app/MohamudSomalia
#Diplomacy #Governance #Accountability #JamiiForums
Mohamed alishikiliwa kwa muda kisha kuachiwa baada ya kudaiwa kosa lilikuwa upande wa mwendesha Pikipiki
Meya wa #Istanbul, Ekrem İmamoglu ameonesha picha za CCTV za tukio hilo la Novemba 30, 2023 zinazodaiwa kuonesha Pikipiki iligongwa kwa nyuma. Askari walipofika nyumbani kwa Mohamed wakajulishwa ana wiki hayupo eneo hilo, ndipo Hati ya Kukamatwa ikatolewa ikiaminika amekimbia Nchi
Soma https://jamii.app/MohamudSomalia
#Diplomacy #Governance #Accountability #JamiiForums
👍2❤1
UTAFITI: Mwaka 2023 umetajwa kuwa na idadi kubwa ya vifo na majeruhi ya Raia ndani ya kipindi cha Miaka 10 iliyopita kulingana na Utafiti wa Shirika la Kutoa Misaada Kuhusu Vurugu za Kivita (AOAV) la England
Ongezeko la vifo kwa Asilimia 112 ni kutoka Mwaka 2022 hadi 2023 ambapo vita ya #Israel na #Hamas imechangia kwa kiasi kikubwa ikifuatiwa na migogoro inayoendelea Urusi na #Ukraine, Sudan, #Myanmar na #Somalia
Milipuko ya 2023 ilikuwa 7,307 kutoka 4,322 ya Mwaka 2022, vifo vya Raia vilikuwa 15,305 na matumizi ya silaha zinazorushwa hewani yaliongezeka kwa 226% (kutoka matukio 519 hadi 1,694)
Soma https://jamii.app/Milipuko2023
#HumanRights #CivilRights #Governance #JamiiForums
Ongezeko la vifo kwa Asilimia 112 ni kutoka Mwaka 2022 hadi 2023 ambapo vita ya #Israel na #Hamas imechangia kwa kiasi kikubwa ikifuatiwa na migogoro inayoendelea Urusi na #Ukraine, Sudan, #Myanmar na #Somalia
Milipuko ya 2023 ilikuwa 7,307 kutoka 4,322 ya Mwaka 2022, vifo vya Raia vilikuwa 15,305 na matumizi ya silaha zinazorushwa hewani yaliongezeka kwa 226% (kutoka matukio 519 hadi 1,694)
Soma https://jamii.app/Milipuko2023
#HumanRights #CivilRights #Governance #JamiiForums
👍4❤1
SOMALIA: Mahakama ya Kijeshi Kaskazini mwa #Somalia imewahukumu adhabu ya kifo raia 6 wa Morocco kwa kile kilichoelezwa wana uhusiano na Kundi la Kigaidi, pamoja na hivyo wahusika wana nafasi ya kukata rufaa, ikitokea wakashindwa adhabu itatekelezwa kwa kupigwa risasi hadi kifo
Majina ya wahusika ni Mohamed Hassan, Ahmed Najwi, Khalid Latha, Mohamed Binu Mohamed Ahmed, Ridwan Abdulkadir Osmany na Ahmed Hussein Ibrahim
Wakati huohuo, Mahakama imewahukumu raia wa #Ethiopia na Somalia, vifungo vya Miaka 10 gerezani kila mmoja kutokana na kuhusika katika kesi hiyo. Mwendesha Mashtaka wa Mahakama amewaambia Waandishi wa Habari kwamba raia wa Morocco walikamatwa Puntland kufuatia uchunguzi uliofanyika kwa Mwezi mmoja
Soma https://jamii.app/SomaliaHukumu
#Diplomacy #Governance #JamiiForums
Majina ya wahusika ni Mohamed Hassan, Ahmed Najwi, Khalid Latha, Mohamed Binu Mohamed Ahmed, Ridwan Abdulkadir Osmany na Ahmed Hussein Ibrahim
Wakati huohuo, Mahakama imewahukumu raia wa #Ethiopia na Somalia, vifungo vya Miaka 10 gerezani kila mmoja kutokana na kuhusika katika kesi hiyo. Mwendesha Mashtaka wa Mahakama amewaambia Waandishi wa Habari kwamba raia wa Morocco walikamatwa Puntland kufuatia uchunguzi uliofanyika kwa Mwezi mmoja
Soma https://jamii.app/SomaliaHukumu
#Diplomacy #Governance #JamiiForums
👍8❤1
DIPLOMASIA: Nchi ya #Somalia imekuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) baada ya kukamilisha hatua zote zilizohitajika ili kujiunga na Jumuiya hiyo
Sekretarieti ya #EAC imechapisha taarifa inayoonesha Ujumbe wa Somalia ukikabidhiwa Hati yake ya Kuidhinishwa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ikiwa ni utekelezaji wa Makubaliano yaliyoafikiwa Novemba 2023 na Wakuu wa Nchi nyingine za EAC
Somalia inakuwa Mwanachama wa nane wa EAC ikiungana na #Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, #Kenya, Sudan Kusini, #Tanzania, Rwanda na #Uganda.
Soma https://jamii.app/SomaliaEACOkays
#JamiiForums #Diplomacy #Governance #EACDecides
Sekretarieti ya #EAC imechapisha taarifa inayoonesha Ujumbe wa Somalia ukikabidhiwa Hati yake ya Kuidhinishwa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ikiwa ni utekelezaji wa Makubaliano yaliyoafikiwa Novemba 2023 na Wakuu wa Nchi nyingine za EAC
Somalia inakuwa Mwanachama wa nane wa EAC ikiungana na #Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, #Kenya, Sudan Kusini, #Tanzania, Rwanda na #Uganda.
Soma https://jamii.app/SomaliaEACOkays
#JamiiForums #Diplomacy #Governance #EACDecides
👎3❤1
Shirika la Kimataifa la kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limeitaka #Somalia kutoruhusu marekebisho ya #Katiba ambayo yanalenga kupunguza umri wa Utu uzima kwa madai hali hiyo itadhoofisha Haki za Watoto
Mabadiliko yaliyopendekezwa ambayo yatajadiliwa #Bungeni leo, Machi 30, 2024 yanapendekeza Umri wa Utu Uzima wa Miaka 15 na Miaka 18 kama Umri wa kuwajibika Kisheria
Human Rights Watch imesema mabadiliko yaliyopendekezwa yatawaweka Wasichana katika hatari kubwa ya Ndoa za Utotoni, ambazo huathiri Afya zao, haswa Afya ya Uzazi, upatikanaji wa Elimu, na Ulinzi wao dhidi ya Unyanyasaji
Soma https://jamii.app/SomanChildAge
#JamiiForums #HumanRights #InvestInWomen #ChildProtection #HakiWatoto
Mabadiliko yaliyopendekezwa ambayo yatajadiliwa #Bungeni leo, Machi 30, 2024 yanapendekeza Umri wa Utu Uzima wa Miaka 15 na Miaka 18 kama Umri wa kuwajibika Kisheria
Human Rights Watch imesema mabadiliko yaliyopendekezwa yatawaweka Wasichana katika hatari kubwa ya Ndoa za Utotoni, ambazo huathiri Afya zao, haswa Afya ya Uzazi, upatikanaji wa Elimu, na Ulinzi wao dhidi ya Unyanyasaji
Soma https://jamii.app/SomanChildAge
#JamiiForums #HumanRights #InvestInWomen #ChildProtection #HakiWatoto
👍8❤1
Ripoti ya Utafiti ya Taasisi ya Reporters Without Borders (RSF) iliyotolewa Mei 3, 2024 imeonesha #Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kati ya Nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya Habari upande wa Afrika Mashariki
Tanzania imepanda kutoka nafasi ya 143 kwa Mwaka 2023 hadi 97 huku #Kenya ikishika nafasi ya 102 kutoka 116 na #Somalia ikiwa nafasi ya 141
Baadhi ya vigezo vilivyotumika ni misingi ya Kisheria, hali ya kiuchumi, hali ya kisiasa, usalama wa Wanahabari
Nchi 10 Bora katika ripoti hiyo ni Norway, Denmark, Sweden, Uholanzi, Finland, Estonia, Ureno, Ireland, Switzerland na Ujerumani
Soma https://jamii.app/RSFReport24
#JamiiForums #PressFreedom #UhuruWaHabari2024 #PressFreedom2024 #FreePress2024
Tanzania imepanda kutoka nafasi ya 143 kwa Mwaka 2023 hadi 97 huku #Kenya ikishika nafasi ya 102 kutoka 116 na #Somalia ikiwa nafasi ya 141
Baadhi ya vigezo vilivyotumika ni misingi ya Kisheria, hali ya kiuchumi, hali ya kisiasa, usalama wa Wanahabari
Nchi 10 Bora katika ripoti hiyo ni Norway, Denmark, Sweden, Uholanzi, Finland, Estonia, Ureno, Ireland, Switzerland na Ujerumani
Soma https://jamii.app/RSFReport24
#JamiiForums #PressFreedom #UhuruWaHabari2024 #PressFreedom2024 #FreePress2024
👍3👏1