TANZANIA KUANZA KUTUMIA 5G
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dr. Jabir Kuwe amesema Tanzania inaelekea kuanza kutumia huduma ya 5G
> Majaribio ya #5G yatafanyika kuhakikisha kasi ya Teknolojia inayotakiwa inapatikana ili kuongeza Huduma ya Mawasiliano ya #Data nchini
Soma https://jamii.app/Tz5G
#DigitalRights
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dr. Jabir Kuwe amesema Tanzania inaelekea kuanza kutumia huduma ya 5G
> Majaribio ya #5G yatafanyika kuhakikisha kasi ya Teknolojia inayotakiwa inapatikana ili kuongeza Huduma ya Mawasiliano ya #Data nchini
Soma https://jamii.app/Tz5G
#DigitalRights
IRELAND: Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EU) inayosimamia Ulinzi wa Taarifa Binafsi (DPC) imeipiga faini kampuni ya #META baada ya kuendelea kuhamisha #Data za watumiaji wa #Facebook kwenda #Marekani, licha ya zuio la Mahakama
DPC ilitoa miezi 5 kwa #META kusitisha uhamishaji wa Taarifa Binafsi za Watumiaji wake ikiwa ni utekelezaji wa zuio la Mahakama ya EU lililotolewa mwaka 2020 dhidi ya kampuni zinazochakata na kuhifadhi #TaarifaBinafsi
Soma https://jamii.app/MetaFines
#JamiiForums #DigitalRights #DataProtection #DataPrivacy #Accountability
DPC ilitoa miezi 5 kwa #META kusitisha uhamishaji wa Taarifa Binafsi za Watumiaji wake ikiwa ni utekelezaji wa zuio la Mahakama ya EU lililotolewa mwaka 2020 dhidi ya kampuni zinazochakata na kuhifadhi #TaarifaBinafsi
Soma https://jamii.app/MetaFines
#JamiiForums #DigitalRights #DataProtection #DataPrivacy #Accountability
👍3