Karibu kwenye Mjadala wa Mizania katika Uandishi wa Habari. Je, waandishi wa habari wanawezaje kusimamia ukweli bila kupindishwa na shinikizo, upendeleo au ushawishi?
Tujadili pamoja, ni maeneo gani yanahitaji mizania zaidi? Uhuru wa habari unalindwaje katika mazingira ya sasa?
Jiunge nasi kuanzia saa 12 jioni hadi 2 usiku kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kujiunga bofya https://jamii.app/MizaniaSpaceJune26th
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Tujadili pamoja, ni maeneo gani yanahitaji mizania zaidi? Uhuru wa habari unalindwaje katika mazingira ya sasa?
Jiunge nasi kuanzia saa 12 jioni hadi 2 usiku kupitia #Xspaces ya JamiiForums
Kujiunga bofya https://jamii.app/MizaniaSpaceJune26th
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
👍1
Akizungumza katika mjadala wa “Mizania katika Uandishi wa Habari Kuelekea Uchaguzi Mkuu; Ni Wapi Inahitajika?” Peter Elias Mhariri msaidizi wa siasa (Mwananchi) amesema “Mizania bado ni changamoto katika tasnia ya Habari Nchini hasa katika Vyombo vya Habari vya Mtandaoni, ni mara chache unaweza kukuta kuna Mizania sawa”
Ameongeza kwa kusema kuwa kuelekea katika Uchaguzi kunakuwa na mashinikizo mengi, hasa kutoka kwa Wanasiasa ambao wanakuwa na nguvu ya Ushawishi, ni vema Wadau wa Habari wakawa makini kwa hili
Amesema kwamba Vyombo vya Habari vinahitaji kusimamia au kuweka mkazo zaidi katika suala la Wanasiasa wenye Ushawishi kutumia nguvu waliyonayo ndani ya Vyumba vya Habari kwa lengo la kunufaika wao au kwa maana ya kupata maslahi binafsi
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Ameongeza kwa kusema kuwa kuelekea katika Uchaguzi kunakuwa na mashinikizo mengi, hasa kutoka kwa Wanasiasa ambao wanakuwa na nguvu ya Ushawishi, ni vema Wadau wa Habari wakawa makini kwa hili
Amesema kwamba Vyombo vya Habari vinahitaji kusimamia au kuweka mkazo zaidi katika suala la Wanasiasa wenye Ushawishi kutumia nguvu waliyonayo ndani ya Vyumba vya Habari kwa lengo la kunufaika wao au kwa maana ya kupata maslahi binafsi
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Akichangia mjadala kuhusu “Mizania katika Uandishi wa Habari Kuelekea Uchaguzi Mkuu; Ni Wapi Inahitajika?” Ergon (Mdau) amesema Vyombo vingi vya Habari vimekuwa vikiendesha shughuli zao zikiwa katika mazingira ya hofu kutokana na Uhalisia wa Hali ilivyo
Ameongeza kuwa “Media” nyingi zimekuwa visemeo vya Wanasiasa badala ya kuwa Wasemaji wa Jamii ya kawaida ndio maana hata taarifa nyingi zinazotawala zinahusu ambacho wanasiasa walikuwa wanakisema au wanatarajia kukisema
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Ameongeza kuwa “Media” nyingi zimekuwa visemeo vya Wanasiasa badala ya kuwa Wasemaji wa Jamii ya kawaida ndio maana hata taarifa nyingi zinazotawala zinahusu ambacho wanasiasa walikuwa wanakisema au wanatarajia kukisema
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Akiongea katika Mjadala, Mwanahabari Elias Msuya, amesema Vyombo vya Habari vilirekodi mkutano wa Waandishi wa Habari na Askofu Josephat Gwajima, baadaye kukawa na shinikizo vikitakiwa kuondoa taarifa hiyo. Siku kadhaa baadaye kukawa na Watu mbalimbali wakiwemo Wanasiasa ambao walimjibu (Gwajima) lakini hakukuwa na shinikizo la kwamba hayo majibu nayo yasiwekwe hewani
Anasema Matukio kama yale ya kujibiwa kwa Askofu Gwajima yanaonesha kunakosekana kwa Mizania ya usawa, kwa kuwa kila upande unastahili kupata Haki sawa
Ameeleza kuwa, Kuelekea kwenye Uchaguzi ni vema Watu wote wanaohusika kwenye Vyama wakapewa Haki sawa, hii isiwe kwa Vyombo vya Habari Binafsi bali vyote
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Anasema Matukio kama yale ya kujibiwa kwa Askofu Gwajima yanaonesha kunakosekana kwa Mizania ya usawa, kwa kuwa kila upande unastahili kupata Haki sawa
Ameeleza kuwa, Kuelekea kwenye Uchaguzi ni vema Watu wote wanaohusika kwenye Vyama wakapewa Haki sawa, hii isiwe kwa Vyombo vya Habari Binafsi bali vyote
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
❤1
Akichangia mada katika mjadala wa Mizania katika Uandishi wa Habari Kuelekea Uchaguzi Mkuu Mkurugenzi Mtendaji (UTPC), Kenneth Simbaya, amesema kuna Wanahabari hawajalipwa Miaka kadhaa, wanategemea “source” ndio awape, tayari inatengeneza ushawishi wa Mwanahabari kuandika tofauti na kile ambacho aliyetoa hela hatakipenda
Ameongeza kwa kusema “Unapopata stori ambayo inakuwa ya upande mmoja na ukaitumia, uwezo wako wewe Mwandishi unakuwa unafifishwa na unawanyima Haki wale wanaotaka kusikia upande wa pili unataka kusema nini”
Amesema Jamii ikielewa kuwa chombo chako cha Habari kina mwelekeo fulani inakuwa inashusha thamani ya Biashara yako
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Ameongeza kwa kusema “Unapopata stori ambayo inakuwa ya upande mmoja na ukaitumia, uwezo wako wewe Mwandishi unakuwa unafifishwa na unawanyima Haki wale wanaotaka kusikia upande wa pili unataka kusema nini”
Amesema Jamii ikielewa kuwa chombo chako cha Habari kina mwelekeo fulani inakuwa inashusha thamani ya Biashara yako
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Akichangia mada katika mjadala, Mdau Caejay, amesema ikionekana Chombo cha Habari fulani kinaripoti taarifa ambazo haziwafurahishi waliopo katika Utawala, kunatengenezwa Mazingira ya kuonekana hicho kilichoripotiwa sio sahihi
Ameongeza kuwa Kinachofanyika kwa sasa katika Vyombo vya Habari ni kuua Uzalendo wa Watanzania, kwani kusema mambo kwa maslahi ya Taifa sio kulichukia Taifa lako
Amesema “Kuna hii falsafa ya No Reforms No Election, inaonekana kuwa ni ya Kichama lakini kuna mambo ambayo ni ya Kitaifa, mambo kama hayo yalitakiwa kuwa katika Vyombo vya Habari ili kujadiliwa na kupatikana kwa Usawa”
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Ameongeza kuwa Kinachofanyika kwa sasa katika Vyombo vya Habari ni kuua Uzalendo wa Watanzania, kwani kusema mambo kwa maslahi ya Taifa sio kulichukia Taifa lako
Amesema “Kuna hii falsafa ya No Reforms No Election, inaonekana kuwa ni ya Kichama lakini kuna mambo ambayo ni ya Kitaifa, mambo kama hayo yalitakiwa kuwa katika Vyombo vya Habari ili kujadiliwa na kupatikana kwa Usawa”
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Akichangia mada katika mjadala Mjumbe Mtendaji Kamati Tendaji (TEF), Neville Meena, amesema “Wakati wa Uchaguzi kumekuwa hakuna Mizania ya usawa kwa Vyombo vya Umma ambavyo vinaendeshwa kwa Kodi za Wananchi, vingi vimekuwa vikiegemea upande mmoja”
Ameongeza kuwa “Suala la kusukumwa kuandika kwa upendeleo ni jambo ambalo lipo kwenye Vyombo vya Habari wala siyo siri, hilo jambo lipo na linatokea, Mimi mwenyewe nimekutana na hali hiyo mara tatu katika Vyombo vikubwa hapa Nchini”
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Ameongeza kuwa “Suala la kusukumwa kuandika kwa upendeleo ni jambo ambalo lipo kwenye Vyombo vya Habari wala siyo siri, hilo jambo lipo na linatokea, Mimi mwenyewe nimekutana na hali hiyo mara tatu katika Vyombo vikubwa hapa Nchini”
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Akichangia mada katika mjadala wa Mizania katika Uandishi wa Habari Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mkurugenzi Mtendaji (JamiiAfrica), Maxence Melo, amesema Suala la Mizania bado ni changamoto katika sekta ya Habari na hilo lipo wazi
Ameongeza kuwa “Mwanahabari anatakiwa kuelewa yeye anaishi katika Jamii, unachokiandika na kukiripoti kinatakiwa kuendana na Jamii husika, usipofanya hivyo ni rahisi Mwananchi kutafuta njia nyingine ya kufikisha ujumbe wake, ndio maana Watu wengi wanakimbilia kuwasilisha ujumbe wao kupitia njia mbalimbali za Mtandaoni
Amesema “Sisi JamiiAfrica tumekuwa tukiwapa nafasi Wananchi kueleza hisia zao ikiwemo kero zao, kufanya hivyo haimaanishi tunaichukia Serikali bali tunaonesha uhalisia wa kile kilichopo kwenye Jamii na ambacho kinahitajika”
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Ameongeza kuwa “Mwanahabari anatakiwa kuelewa yeye anaishi katika Jamii, unachokiandika na kukiripoti kinatakiwa kuendana na Jamii husika, usipofanya hivyo ni rahisi Mwananchi kutafuta njia nyingine ya kufikisha ujumbe wake, ndio maana Watu wengi wanakimbilia kuwasilisha ujumbe wao kupitia njia mbalimbali za Mtandaoni
Amesema “Sisi JamiiAfrica tumekuwa tukiwapa nafasi Wananchi kueleza hisia zao ikiwemo kero zao, kufanya hivyo haimaanishi tunaichukia Serikali bali tunaonesha uhalisia wa kile kilichopo kwenye Jamii na ambacho kinahitajika”
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
❤1
Akichangia mada katika mjadala, Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Ernest Sungura, amesema Usipokuwa na Uhuru wa Kiuchumi ni ngumu kuwa na Mizania, ni lazima utaegemea upande fulani
Ameongeza kuwa, Matarajio ya nafasi za Kisiasa pamoja na Mabadiliko ya Kiteknolojia yanachangia kukosekana kwa Mizania ya Habari
Amesema “Mizania ni kujibu maswali bila kuacha maswali, chochote ambacho kinaonekana kuacha maswali, kinamlazimu Mwanahabari kufuatilia majibu ambayo hayajakamilika”
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
Ameongeza kuwa, Matarajio ya nafasi za Kisiasa pamoja na Mabadiliko ya Kiteknolojia yanachangia kukosekana kwa Mizania ya Habari
Amesema “Mizania ni kujibu maswali bila kuacha maswali, chochote ambacho kinaonekana kuacha maswali, kinamlazimu Mwanahabari kufuatilia majibu ambayo hayajakamilika”
#JamiiForums #JamiiAfrica #PressFreedom #Democracy #Accountability #Uwajibikaji #MizaniaSpace #KuelekeaUchaguzi2025
❤1
Kupumzika ni njia ya kuonyesha kwamba tunajithamini. Ni wakati wa kujisikia, kusikiliza mwili wako na kuiruhusu akili yako kutulia
Kupumzika kunaimarisha afya ya mwili na akili, huongeza ubunifu na hutupa nafasi ya kuona mambo kwa mtazamo mpya, hivyo usione aibu au kuhisi hatia unapojipa muda wa kupumzika
Leo chagua kupumzika, jipe nafasi ya kupumua, tulia, zima simu kwa muda, lala mapema au kaa sehemu iliyotulia
#JamiiForums #JamiiAfrica #AmkaNaJF #GoodMorning #Maisha #LifeStyle
Kupumzika kunaimarisha afya ya mwili na akili, huongeza ubunifu na hutupa nafasi ya kuona mambo kwa mtazamo mpya, hivyo usione aibu au kuhisi hatia unapojipa muda wa kupumzika
Leo chagua kupumzika, jipe nafasi ya kupumua, tulia, zima simu kwa muda, lala mapema au kaa sehemu iliyotulia
#JamiiForums #JamiiAfrica #AmkaNaJF #GoodMorning #Maisha #LifeStyle
❤4👍1
Usikubali kuwa raia mtazamaji wa mustakabali wa Nchi yako. Taifa linahitaji Vijana wenye maono, Maadili na Moyo wa kujitoa, Vijana wanaochukua hatua badala ya kungoja.
Simama kwenye Misingi ya Haki na Uwajibikaji, sema kwa ujasiri dhidi ya Ukatili, Rushwa na Ubaguzi na Shiriki kwa vitendo kwenye shughuli za Kijamii, mchakato wa Uchaguzi au hata kwa kutoa Elimu na msaada kwa wengine
#JamiiForums #JamiiAfrica #UraiaWenyeUelewa #CivicEducation #RestlessDevelopment
Simama kwenye Misingi ya Haki na Uwajibikaji, sema kwa ujasiri dhidi ya Ukatili, Rushwa na Ubaguzi na Shiriki kwa vitendo kwenye shughuli za Kijamii, mchakato wa Uchaguzi au hata kwa kutoa Elimu na msaada kwa wengine
#JamiiForums #JamiiAfrica #UraiaWenyeUelewa #CivicEducation #RestlessDevelopment
DAR: Kesi ya Marejeo iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri itatajwa leo Juni 27, 2025 Mahakama Kuu
Awali, shauri hilo lilipangwa kusikilizwa kwa njia ya Mtandao mbele ya Jaji Mkwizu, lakini Juni 17, 2025 Mahakama iliagiza kuwa litakapotajwa tena Juni 27, Lissu anatakiwa kufikishwa Mahakamani
Soma https://jamii.app/KesiMarejeoLissu
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #Uwajibikaji #Governance #Democracy
Awali, shauri hilo lilipangwa kusikilizwa kwa njia ya Mtandao mbele ya Jaji Mkwizu, lakini Juni 17, 2025 Mahakama iliagiza kuwa litakapotajwa tena Juni 27, Lissu anatakiwa kufikishwa Mahakamani
Soma https://jamii.app/KesiMarejeoLissu
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #Uwajibikaji #Governance #Democracy
Chama cha Mapinduzi kimesema ni marufuku kwa Mwanachama yeyote kualika kundi la wapambe au kuandaa msafara wa Magari, Pikipiki, Baiskeli, Ngoma na Matarumbeta ya kumsindikiza kwenda kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea
Taarifa hiyo imeeleza zaidi kuwa mchakato wa ndani wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za Kugombea Uongozi katika Vyombo vya Dola, unaanza rasmi Juni 28, 2025, hivyo kuwakumbusha Viongozi, Watendaji na Wanachama kuendelea kufuata Maadili ya Uchaguzi kama ilivyoanishwa kwenye Katiba, Kanuni za Uchaguzi wa CCM na Miongozo yake
Soma https://jamii.app/KuchukuaFomuCCM
#JamiiAfrica #JamiiForums #KuelekeaUchaguzi2025 #Democracy #Accountability #Governance
Taarifa hiyo imeeleza zaidi kuwa mchakato wa ndani wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za Kugombea Uongozi katika Vyombo vya Dola, unaanza rasmi Juni 28, 2025, hivyo kuwakumbusha Viongozi, Watendaji na Wanachama kuendelea kufuata Maadili ya Uchaguzi kama ilivyoanishwa kwenye Katiba, Kanuni za Uchaguzi wa CCM na Miongozo yake
Soma https://jamii.app/KuchukuaFomuCCM
#JamiiAfrica #JamiiForums #KuelekeaUchaguzi2025 #Democracy #Accountability #Governance
❤1
DAR: Baadhi ya Viongozi na Wanachama wa CHADEMA wapo Mahakamani wakifuatilia shauri la Jinai No. 14496/2025, la Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Tundu Antiphas Lissu dhidi ya Jamhuri, ambapo anaomba Mahakama irejee uamuzi wa awali wa Hakimu anayeendesha kesi ya Uchochezi inayomkabili, ambaye alikubali maombi ya upande wa Jamhuri, ya kusikiliza ushahidi wa “mashahidi wa siri”
CHADEMA imeeleza kuwa Lissu hakufahamu jambo hilo ambalo linaathiri Haki yake ya kujitetea ipasavyo na linaweza kusababisha maamuzi yenye athari kubwa kwake binafsi
Soma https://jamii.app/LissuJuni27
#JamiiForums #Governance #Accountability #Democracy
CHADEMA imeeleza kuwa Lissu hakufahamu jambo hilo ambalo linaathiri Haki yake ya kujitetea ipasavyo na linaweza kusababisha maamuzi yenye athari kubwa kwake binafsi
Soma https://jamii.app/LissuJuni27
#JamiiForums #Governance #Accountability #Democracy