ARUSHA: Jeshi la Polisi limesema linawashikilia Vijana wawili wanaojulikana kwa jina la Wachokonozi ambao ni Joseph Mrindoko (37) na Jackson Kabalo (32) kwa tuhuma za matumizi mabaya ya Mtandao, ambao awali taarifa zilizosambaa Mtandaoni zilidaiwa wamechukuliwa na Watu Wasiojulikana waliokuwa na silaha
Taarifa ya Polisi ya Juni 21, 2025 imesema Watuhumiwa hao walikamatwa na Jeshi la Polisi mnamo Juni 20, 2025
Aidha, katika taarifa hiyo Jeshi la Polisi limeonya watumiaji wa Mitandao ya Kijamii kuacha kusambaza taarifa ambazo hawana uhakika nazo zinazoleta taharuki katika Jamii, hasa zile za kuzusha kuwa Watuhumiwa wamekamatwa na Watu Wasiojulikana jambo ambalo sio la kweli.
Soma https://jamii.app/WachokonozMatumizMtandao
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Accountability #FreedomofSpeech
Taarifa ya Polisi ya Juni 21, 2025 imesema Watuhumiwa hao walikamatwa na Jeshi la Polisi mnamo Juni 20, 2025
Aidha, katika taarifa hiyo Jeshi la Polisi limeonya watumiaji wa Mitandao ya Kijamii kuacha kusambaza taarifa ambazo hawana uhakika nazo zinazoleta taharuki katika Jamii, hasa zile za kuzusha kuwa Watuhumiwa wamekamatwa na Watu Wasiojulikana jambo ambalo sio la kweli.
Soma https://jamii.app/WachokonozMatumizMtandao
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #Accountability #FreedomofSpeech
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Baadhi ya Waumini wa Kanisa la Kanisa la 'Glory of Christ Tanzania' (Kanisa la Ufufuo na Uzima), wameamriwa kutawanyika wakati walipokuwa wakifanya maombi pembezoni mwa Barabara maeneo ya karibu na kanisa hilo lililopo Ubungo
Soma https://jamii.app/WauminiJuni22
#JamiiForums #JFMatukio
Soma https://jamii.app/WauminiJuni22
#JamiiForums #JFMatukio
❤2
DAR: Chama cha #ACTWazalendo kimesema Serikali imetenga Tsh. Trilioni 1 kwaajili ya Uchaguzi Mkuu, ambapo tayari Tsh. Bilioni 741.5 zimetumika na Tsh. Bilioni 378.2 zimeelekezwa kutumika katika Uchaguzi Mkuu wa 2025
ACT imesema “Tunasisitiza fedha hizo ni mali ya Wananchi wa #Tanzania si mali ya #CCM wala Chama chochote cha Siasa, zinapaswa kutumika kuimarisha haki na Demokrasia, si kuharibu mchakato wa Uchaguzi kwa upendeleo au udhalimu wa Kisiasa.”
Taarifa ya ACT imeeleza “Tunakumbusha kuwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019, zaidi ya Tsh. Bilioni 254.82 zilitumika, badala ya kuleta haki, zilishuhudiwa kuwezesha uporaji wa #Demokrasia. Hali hiyo ya kuvunjwa kwa misingi ya haki bado inaendelea hadi sasa.”
Soma https://jamii.app/ACTTamkoJuni
#JamiiForums #Democracy #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
ACT imesema “Tunasisitiza fedha hizo ni mali ya Wananchi wa #Tanzania si mali ya #CCM wala Chama chochote cha Siasa, zinapaswa kutumika kuimarisha haki na Demokrasia, si kuharibu mchakato wa Uchaguzi kwa upendeleo au udhalimu wa Kisiasa.”
Taarifa ya ACT imeeleza “Tunakumbusha kuwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019, zaidi ya Tsh. Bilioni 254.82 zilitumika, badala ya kuleta haki, zilishuhudiwa kuwezesha uporaji wa #Demokrasia. Hali hiyo ya kuvunjwa kwa misingi ya haki bado inaendelea hadi sasa.”
Soma https://jamii.app/ACTTamkoJuni
#JamiiForums #Democracy #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
MICHEZO: Timu ya #Yanga imeshinda Magoli 5-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC na hivyo kuendelea kubaki kileleni katika Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kufikisha Pointi 79, nafasi ya pili inashikwa na #Simba ambayo imefikisha alama 78 baada ya kuifunga Kagera Sugar Goli 1-0
Kutokana na matokeo hayo bingwa wa ligi hiyo msimu huu anatarajiwa kujulikana wiki ijayo Jumatano Juni 25, 2025 ambapo Yanga itaikaribisha Simba kwenye Uwanja wa Mkapa ukiwa ni mchezo wa mwisho kabisa wa Ligi Kuu Msimu wa 2024/25
Soma https://jamii.app/LigiKuuMatokeo
#JFSports #JFLigiKuu25 #JamiiForums
Kutokana na matokeo hayo bingwa wa ligi hiyo msimu huu anatarajiwa kujulikana wiki ijayo Jumatano Juni 25, 2025 ambapo Yanga itaikaribisha Simba kwenye Uwanja wa Mkapa ukiwa ni mchezo wa mwisho kabisa wa Ligi Kuu Msimu wa 2024/25
Soma https://jamii.app/LigiKuuMatokeo
#JFSports #JFLigiKuu25 #JamiiForums
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MWANZA: Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Lugata Wilayani Sengerema, wameandamana kupinga hatua za viongozi wa Chama hicho ngazi ya Kata kuzuia ujenzi wa Ofisi ya chama hicho, baada ya Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo, kuahidi kuijenga ofisi hiyo kwa gharama zake
Wanachama hao wamesema kuwa wao kama wanachama wa #CCM wanahaki ya kupata msaada kutoka kwa Mbunge wao ambaye amejitolea kujenga ofisi, lakini kuna vikwazo kutoka kwa viongozi wa Chama hicho ngazi ya Kata na kuomba mamlaka husika kuingilia kati Suala hilo
Soma https://jamii.app/ShigongoAkataliwaKujengaOfisi
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #ServiceDelivery
Wanachama hao wamesema kuwa wao kama wanachama wa #CCM wanahaki ya kupata msaada kutoka kwa Mbunge wao ambaye amejitolea kujenga ofisi, lakini kuna vikwazo kutoka kwa viongozi wa Chama hicho ngazi ya Kata na kuomba mamlaka husika kuingilia kati Suala hilo
Soma https://jamii.app/ShigongoAkataliwaKujengaOfisi
#JamiiForums #JamiiAfrica #Uwajibikaji #ServiceDelivery
❤2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Wakili Addo November kutoka Chama cha Wanasheria wa Serikali amesema “CHADEMA wakija wakitaka kushiriki Uchaguzi nafasi wanayo 'as long as' hatujafikia hatua ya kuanza mchakato wa uchaguzi"
Alisema hayo katika Kongamano la Sheria lililofanyika Juni 21, 2025, alipokuwa akijibu swali la mmoja wa wadau aliyeuliza iwapo CHADEMA bado watakuwa na nafasi ya kushiriki katika Uchaguzi kama wakiamua
Soma https://jamii.app/CHADEMAKanuniUchaguzi
#JamiiAfrica #JamiiForums #KuelekeaUchaguzi2025
Alisema hayo katika Kongamano la Sheria lililofanyika Juni 21, 2025, alipokuwa akijibu swali la mmoja wa wadau aliyeuliza iwapo CHADEMA bado watakuwa na nafasi ya kushiriki katika Uchaguzi kama wakiamua
Soma https://jamii.app/CHADEMAKanuniUchaguzi
#JamiiAfrica #JamiiForums #KuelekeaUchaguzi2025
❤2
Kusoma kwa undani habari hizi na nyingine zilizojiri juma lililopita bofya https://jamii.app/YaliyojiriJumaLililopita
#JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
#JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
❤1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MWANZA: Akizungumza katika kikao cha ndani na Viongozi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ukerewe, Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira amesema Utawala Bora ni kutii Katiba na Sheria za nchi, yeyote asiyezingatia hayo ni gaidi
Soma https://jamii.app/WasiraUgaidi
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025 #Democracy
Soma https://jamii.app/WasiraUgaidi
#JamiiForums #Siasa #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025 #Democracy
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi CCM, Ally Hapi akishiriki Mjadala wa #CafeTalk amesema ripoti ya CAG sio hukumu ya Mahakama kwamba wanaotajwa wote moja kwa moja huwa ni Mafisadi au Wezi, bali ripoti husomwa kisha kuwapa nafasi Watumishi na Taasisi kutoa vielelezo ambavyo havikuwasilishwa wakati wa ukaguzi
Soma https://jamii.app/HapiCAGReport
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #Uwajibikaji #Siasa #Governance #Kuelekea2025
Soma https://jamii.app/HapiCAGReport
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #Uwajibikaji #Siasa #Governance #Kuelekea2025
Mdau anasema Watu wengi hasa Vijana wanalalamika kuhusu Ajira lakini Moja ya Ajira ambazo huna haja ya kutuma maombi wala kibali cha kuitumia ni Mitandao ya Kijamii
Ukiwa na 'Followers' wengi wanaotembelea kurasa zako, unaweza kutumia fursa hiyo kufanya matangazo ya Bidhaa za Watu wengine kwa malipo nafuu. Kadri unavyofanya matangazo vizuri, ndivyo utakavyowavutia wengine kutangaza nawe
Pia, unaweza kutumia Mitandao ya Kinamii kupata ‘Connections’ za Kibiashara, kutangaza kipaji au uwezo wako, pamoja na kuwaonesha Watu Ubunifu au Taaluma yako
Je, umewahi kupata faida gani kupitia Mitandao ya Kijamii?
Soma https://jamii.app/MitandaoFaida
#JamiiForums #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
Ukiwa na 'Followers' wengi wanaotembelea kurasa zako, unaweza kutumia fursa hiyo kufanya matangazo ya Bidhaa za Watu wengine kwa malipo nafuu. Kadri unavyofanya matangazo vizuri, ndivyo utakavyowavutia wengine kutangaza nawe
Pia, unaweza kutumia Mitandao ya Kinamii kupata ‘Connections’ za Kibiashara, kutangaza kipaji au uwezo wako, pamoja na kuwaonesha Watu Ubunifu au Taaluma yako
Je, umewahi kupata faida gani kupitia Mitandao ya Kijamii?
Soma https://jamii.app/MitandaoFaida
#JamiiForums #CivicEducation #SautiYaRaia #UraiaWenyeUelewa
❤3
#MAISHA: Malezi uliyoyapata kutoka kwa Wazazi/Walezi wako yamekuathiri vipi kwenye namna unavyolea/utakavyowalea Watoto wako?
Mjadala zaidi https://jamii.app/MaleziTulivyolelewa
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFStories #JFChitChats #Malezi
Mjadala zaidi https://jamii.app/MaleziTulivyolelewa
#JamiiAfrica #JamiiForums #JFStories #JFChitChats #Malezi