Kusoma kwa undani habari hizi na nyingine zilizojiri juma lililopita bofya https://jamii.app/YaliyojiriJumaLililopita
#JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
#JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
Wakati Barani Ulaya inajulikana wazi kuwa mchezo wa soka (Football) ndio namba moja kwa kupendwa na kufuatiliwa zaidi na Watu, Nchini #Finland hali ni tofauti, wao mchezo wao namba moja ni Ice Hockey
Mchezo huo unaongoza kwa umaarufu na kwa kufuatiliwa na watu wengi, hii inajumlisha wanaofuatilia kupitia TV (TV Viewership) na wanaofika uwanjani
Finland ilitwaa Ubingwa wa Dunia wa IIHF World Championship Mwaka 2022, 2019, 2011 na 1995, pia mpinzani wao wa jadi katika mchezo huo ni Sweden, licha ya kuwa mara kadhaa kumekuwa na ushindani mkali dhidi ya Canada na Marekani
Soma https://jamii.app/FinlandIceHockey
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #JFSports
Mchezo huo unaongoza kwa umaarufu na kwa kufuatiliwa na watu wengi, hii inajumlisha wanaofuatilia kupitia TV (TV Viewership) na wanaofika uwanjani
Finland ilitwaa Ubingwa wa Dunia wa IIHF World Championship Mwaka 2022, 2019, 2011 na 1995, pia mpinzani wao wa jadi katika mchezo huo ni Sweden, licha ya kuwa mara kadhaa kumekuwa na ushindani mkali dhidi ya Canada na Marekani
Soma https://jamii.app/FinlandIceHockey
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #JFSports
Je, Viongozi wetu wanatimiza wajibu wao ipasavyo kwa Wananchi? Uwajibikaji wao unahusiana moja kwa moja na Maendeleo endelevu?
Usikose kuungana nasi kwenye mjadala kupitia #XSpaces ya JamiiForums, ambapo tutachambua mifano hai ya Nchi zenye Utawala bora, njia walizotumia kupata Mafanikio na nafasi ya Wananchi katika kuwawajibisha Viongozi wao
Usikose fursa hii ya kipekee ya kujifunza, kushiriki hoja mbalimbali, Mei 28, 2025 kuanzia saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://twitter.com/i/spaces/1eaKbWqZegXGX
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSpaces #TheNordics #NordicWeek #Uwajibikaji #Accountability
Usikose kuungana nasi kwenye mjadala kupitia #XSpaces ya JamiiForums, ambapo tutachambua mifano hai ya Nchi zenye Utawala bora, njia walizotumia kupata Mafanikio na nafasi ya Wananchi katika kuwawajibisha Viongozi wao
Usikose fursa hii ya kipekee ya kujifunza, kushiriki hoja mbalimbali, Mei 28, 2025 kuanzia saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://twitter.com/i/spaces/1eaKbWqZegXGX
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSpaces #TheNordics #NordicWeek #Uwajibikaji #Accountability
DIPLOMASIA: Kwa mujibu wa Vyombo vya Habari vya Nchini Uganda, imeelezwa baadhi ya wanadiplomasia wa Ulaya walitoa malalamiko dhidi ya Kainerugaba katika kikao na Kaka wa Museveni, Jenerali mstaafu Salim Saleh, ambaye aliahidi "kumdhibiti" kiongozi huyo wa Kijeshi
Aidha, makundi ya kutetea haki za binadamu yamesema kuwa Serikali ya Uganda imeongeza kasi ya ukandamizaji dhidi ya Wapinzani na wakosoaji wake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Januari 2026, ambapo Rais Museveni anatarajia kuongeza Miaka mingine ya utawala baada ya kuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 40
Soma https://jamii.app/UchocheziBaloziUG
#JamiiForums #UgandaPolitics
Aidha, makundi ya kutetea haki za binadamu yamesema kuwa Serikali ya Uganda imeongeza kasi ya ukandamizaji dhidi ya Wapinzani na wakosoaji wake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Januari 2026, ambapo Rais Museveni anatarajia kuongeza Miaka mingine ya utawala baada ya kuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 40
Soma https://jamii.app/UchocheziBaloziUG
#JamiiForums #UgandaPolitics
DAR: Mdau wa JamiiForums.com anadai sehemu ya miundombinu ya Vyoo vya Wanaume katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi - Kimara Mwisho imefungwa haitumiki kwa muda, hivyo anahoji Mamlaka zinazokusanya mapato kituoni hapo kila siku hazioni uhitaji wa kuboresha miundombinu hiyo?
Soma https://jamii.app/VyooKimara
#ServiceDelivery #JFHuduma #JamiiForums
Soma https://jamii.app/VyooKimara
#ServiceDelivery #JFHuduma #JamiiForums
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
PEMBA: Wananchi wa Kijiji cha Andikoni, Shehia Chumbageni, Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba walazimika kuwabeba wagonjwa wakiwa kwenye vitanda katika mabega kutokana na ubovu wa barabara ili kupata Huduma za Afya
Wakizungumza na Halisi Media Online, baadhi ya Wananchi wamesema wanapitia wakati mgumu kutokana na ubovu wa Barabara na kwamba mvua ikinyesha hali inakuwa mbaya zaidi
Akizungumzia hali hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Rashid Hadid, amesema Serikali ina mpango wa kujenga barabara hiyo
Soma https://jamii.app/BarabaraAndikoniPemba
#JamiiForums #Accountability #Governance
Wakizungumza na Halisi Media Online, baadhi ya Wananchi wamesema wanapitia wakati mgumu kutokana na ubovu wa Barabara na kwamba mvua ikinyesha hali inakuwa mbaya zaidi
Akizungumzia hali hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Rashid Hadid, amesema Serikali ina mpango wa kujenga barabara hiyo
Soma https://jamii.app/BarabaraAndikoniPemba
#JamiiForums #Accountability #Governance
👍2
Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua ametoa wito kwa Wananchi wa eneo la Mlima Kenya kuwasusia Wasanii kutoka eneo hilo waliokutana na Naibu Rais Kithure Kindiki, akiwatuhumu kwa kuisaliti jamii ya eneo hilo kwa kuzingatia maslahi yao binafsi.
Hata hivyo, Naibu Rais Kithure Kindiki ametetea Mkutano huo, akisema kuwa ulikuwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kushughulikia changamoto za Wasanii, hasa kuhusu unyonyaji unaofanywa na 'magenge ya kati' katika Sekta ya Ubunifu
#Kindiki pia aliwashutumu baadhi ya Wanasiasa kwa kutumia vibaya Wasanii katika Kampeni na kuwashawishi kutunga nyimbo za uchochezi kwa malipo duni
Soma https://jamii.app/GachaguaNaWasanii
#JamiiForums #JamiiAfrica #KenyanPolitics #Democracy #Kuelekea2025
Hata hivyo, Naibu Rais Kithure Kindiki ametetea Mkutano huo, akisema kuwa ulikuwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kushughulikia changamoto za Wasanii, hasa kuhusu unyonyaji unaofanywa na 'magenge ya kati' katika Sekta ya Ubunifu
#Kindiki pia aliwashutumu baadhi ya Wanasiasa kwa kutumia vibaya Wasanii katika Kampeni na kuwashawishi kutunga nyimbo za uchochezi kwa malipo duni
Soma https://jamii.app/GachaguaNaWasanii
#JamiiForums #JamiiAfrica #KenyanPolitics #Democracy #Kuelekea2025
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
IRINGA: Wananchi wa Kiwalamo, Wilaya ya Kilolo wakiwa wamembeba mgonjwa kwenda Kidabaga kwa miguu ili akatibiwe, changamoto ya barabara imekuwa kero kwa muda mrefu
Alipotafutwa Mkuu wa Wilaya, Rebecca Sanga Nsemwa amesema “Nimefika eneo la tukio, nimeelekeza TARURA washughulikie Barabara japokuwa sio sehemu kubwa iliyoharibika, huku kwetu mvua ikinyesha kunakuwa na changamoto ya aina hiyo kutokana na asili ya udongo ulivyo.”
Ameongeza “Yule aliyebebwa ni mjamzito, Daktari alishawajulisha ndugu zake kuwa wakiona dalili ambazo si nzuri apelekwe hospitali mapema lakini wao walichelewa, pamoja na hivyo 'Ambulance' ilifika na kumchukua. Nitoe wito kwa Wananchi wafikisha Wagonjwa hospitali mapema badala ya kusubiri hali iwe mbaya.”
Soma https://jamii.app/MiundombinuKilolo
#JamiiForums #ServiceDelivery #Accountability
Alipotafutwa Mkuu wa Wilaya, Rebecca Sanga Nsemwa amesema “Nimefika eneo la tukio, nimeelekeza TARURA washughulikie Barabara japokuwa sio sehemu kubwa iliyoharibika, huku kwetu mvua ikinyesha kunakuwa na changamoto ya aina hiyo kutokana na asili ya udongo ulivyo.”
Ameongeza “Yule aliyebebwa ni mjamzito, Daktari alishawajulisha ndugu zake kuwa wakiona dalili ambazo si nzuri apelekwe hospitali mapema lakini wao walichelewa, pamoja na hivyo 'Ambulance' ilifika na kumchukua. Nitoe wito kwa Wananchi wafikisha Wagonjwa hospitali mapema badala ya kusubiri hali iwe mbaya.”
Soma https://jamii.app/MiundombinuKilolo
#JamiiForums #ServiceDelivery #Accountability
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Balozi wa Tanzania Nchini Cuba, Humphrey Polepole, katika kipindi chake cha #ShuleYaUongozi Septemba 11, 2021, alizungumzia Watu wanaosema hawapendi Siasa akisema Siasa ndio inaamua maisha. Aliongeza kuwa Raia yoyote anayewajibika lazima aulize maswali kuhusu mambo yanayofanywa na Serikali
Zaidi https://jamii.app/KuhojiPolepole
#JamiiForums #JamiiAfrica #Kuelekea2025 #Demokrasia #Democracy #Uwajibikaji #Accountability #Transparency
Zaidi https://jamii.app/KuhojiPolepole
#JamiiForums #JamiiAfrica #Kuelekea2025 #Demokrasia #Democracy #Uwajibikaji #Accountability #Transparency
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku Musukuma amesema Awamu ya Tano hakukuwa na Mwanasiasa aliyefungua mdomo wala hakukuwa na mikutano, kauli hiyo ameitoa kutokana na kile alichoeleza kuna Mwanasiasa rafiki yake aliyezungumza na Wanahabari na kuhoji maamuzi ya Rais
Musukuma amesema hayo Bungeni, leo Mei 26, 2025 wakati akichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa Mwaka wa Fedha 2025/26
Soma https://jamii.app/MusukumaOnGwajima
#JamiiForums #Siasa #Democracy #Kuelekea2025
Musukuma amesema hayo Bungeni, leo Mei 26, 2025 wakati akichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa Mwaka wa Fedha 2025/26
Soma https://jamii.app/MusukumaOnGwajima
#JamiiForums #Siasa #Democracy #Kuelekea2025
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma amesema Jeshi la Uhamiaji na Jeshi la Polisi lingewapeleka kulima raia wa kigeni waliokamatwa na kurejeshwa nchini kwao hivi karibuni na kusisitiza kuwa Jeshi la Polisi linatakiwa kuendelea kufanya kazi yake kwa mwendo ule ule
Amesema hayo wakati akichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, leo Mei 26, 2025
Soma https://jamii.app/MusukumaMei26
#JamiiForums #Siasa #Democracy #Kuelekea2025
Amesema hayo wakati akichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, leo Mei 26, 2025
Soma https://jamii.app/MusukumaMei26
#JamiiForums #Siasa #Democracy #Kuelekea2025