This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
#Bungeni: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema "Adui wa nchi yoyote, ikiwemo yetu, katika karne hii ya 21 si lazima aje na vifaru ndipo ahesabike kuwa ni mvamizi. Anaweza kuja kwa njia ya magenge ya wanaharakati wenye ajenda ya kuvuruga amani kama tulivyoshuhudia hivi karibuni."
Amezungumza leo Jumatatu, Mei 26, 2025, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa mwaka wa fedha 2025/26
Soma https://jamii.app/BashungwaAmani
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #Accountability #Uwajibikaji
Amezungumza leo Jumatatu, Mei 26, 2025, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa mwaka wa fedha 2025/26
Soma https://jamii.app/BashungwaAmani
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #Accountability #Uwajibikaji
π1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mkurugenzi wa Idara ya Miundombinu (DICTI) kutoka Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Leo Magomba amesema katika Bara la Afrika Watu wanaotumia intaneti ya uhakika ni Asilimia 38 hivyo ameeleza kuwa zinahitajika juhudi za pamoja kuchochea ongezeko
Aidha, ameeleza katika Mkutano wa 14 wa Jukwaa la Utawala wa Mtandao Afrika (AfIGF) utakaofanyika Mei 29 hadi 31, 2025, Wadau wanatarajia kujadili masuala mbalimbali ikiwemo yanayoweza kuchochea ongezeko hilo
Amebainisha mambo kadhaa yatayojadiliwa, namna ya kuongeza upatikanaji wa intaneti kwa wote, kuondoa tofauti ya matumizi kati ya Mijini na Vijijini na kuimarisha usalama wa Mtandao pamoja na kujadili suala la Teknolojia ya Akili Mnemba (AI)
Soma https://jamii.app/TakwimuZaIntaneti
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaAfrikaKidigitali #JamiiForums #JamiiAfrica #DigitalRights
Aidha, ameeleza katika Mkutano wa 14 wa Jukwaa la Utawala wa Mtandao Afrika (AfIGF) utakaofanyika Mei 29 hadi 31, 2025, Wadau wanatarajia kujadili masuala mbalimbali ikiwemo yanayoweza kuchochea ongezeko hilo
Amebainisha mambo kadhaa yatayojadiliwa, namna ya kuongeza upatikanaji wa intaneti kwa wote, kuondoa tofauti ya matumizi kati ya Mijini na Vijijini na kuimarisha usalama wa Mtandao pamoja na kujadili suala la Teknolojia ya Akili Mnemba (AI)
Soma https://jamii.app/TakwimuZaIntaneti
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaAfrikaKidigitali #JamiiForums #JamiiAfrica #DigitalRights
π1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mwanasiasa Jerry Muro amezungumzia ujumbe uliotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima kwa kusema βSijui unatafuta nini baba yangu, kuna kitu fulani, naona una kitu, kuna kitu unakitafuta, lakini hakuna kitu kimefanyika Rais Samia hajawahi kutolea maelekezo.β
Muro amesema hayo akijibu hotuba ya Askofu Gwajima aliyoitoa Mei 24, 2025 alipozungumzia masuala mbalimbali ikiwemo matukio ya utekaji
Soma https://jamii.app/MurroOnGwajima
#Siasa #Democracy #JamiiForums #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Muro amesema hayo akijibu hotuba ya Askofu Gwajima aliyoitoa Mei 24, 2025 alipozungumzia masuala mbalimbali ikiwemo matukio ya utekaji
Soma https://jamii.app/MurroOnGwajima
#Siasa #Democracy #JamiiForums #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Akizungumza na Wanahabari, leo Mei 26, 2025, Mwanasiasa Jerry Muro kuhusu Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, amesema "Kama kweli umediriki kujivua nafasi yako ya Ubunge na Uaskofu na nafasi yako ya Ujumbe wa Kamati ya CCM kwa lengo tu la kushindana na Rais Samia, Biblia inasema yatupasa tutii mamlaka maana mamlaka inatoka kwa Mungu, hata kama Rais wetu ni wa ovyo kiasi gani, lazima tumtii."
Soma https://jamii.app/MuroAmtajaGwajima
#Siasa #Democracy #JamiiForums #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Soma https://jamii.app/MuroAmtajaGwajima
#Siasa #Democracy #JamiiForums #Kuelekea2025 #UchaguziMkuu2025
Afrika inapiga hatua kubwa kwenye mapinduzi ya kidigitali, lakini bado tunahitaji Sera bora na ushiriki wa kila mmoja wetu
Jukwaa la Utawala wa Mtandao Afrika (AfIGF2025) kuanzia Mei 29-31 linawaleta pamoja Wadau wa Teknolojia, Serikali, Sekta Binafsi, Asasi za Kiraia na Vijana ili kujadili masuala muhimu ya Utawala wa Mtandao (Internet Governance) Barani Afrika
Kwa wadau wote wa Teknolojia na Mtandao, Jukwaa hili litakuwa la Mazungumzo, Ushirikiano na kubadilishana Mawazo
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaAfrikaKidigitali #JamiiForums #JamiiAfrica
Jukwaa la Utawala wa Mtandao Afrika (AfIGF2025) kuanzia Mei 29-31 linawaleta pamoja Wadau wa Teknolojia, Serikali, Sekta Binafsi, Asasi za Kiraia na Vijana ili kujadili masuala muhimu ya Utawala wa Mtandao (Internet Governance) Barani Afrika
Kwa wadau wote wa Teknolojia na Mtandao, Jukwaa hili litakuwa la Mazungumzo, Ushirikiano na kubadilishana Mawazo
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaAfrikaKidigitali #JamiiForums #JamiiAfrica
Rais wa Marekani Donald Trump amesema hafurahishiwi kabisa na Rais wa Urusi, Vladimir Putin baada ya Urusi kufanya mashambulizi ya anga Ukraine yanayotajwa kuwa makubwa kabisa tangu vita hiyo ianze mwaka 2022, yaliyosababisha vifo 12 na majeruhi kadhaa
Urusi ilituma makombora na drones takriban 360 usiku wa Jumapili, Mei 25, 2025 makombora ambayo wachambuzi wamesema ni idadi kubwa zaidi ya makombora kuwahi kutumwa Ukraine katika usiku mmoja tangu vita hiyo ianze mwaka 2022
Ikumbukwe, Wiki iliyopita, Trump na Putin walizungumza kwa njia ya simu kwa zaidi ya saa 2 kujadili pendekezo la Marekani la kusitisha mapigano. Trump alisema mazungumzo hayo βyalienda vizuri sanaβ na kwamba Urusi na Ukraine ziko tayari kuanza mazungumzo ya moja kwa moja ya kuelekea kusitisha vita.
Soma https://jamii.app/MakomboraPutin
#JamiiForums #JamiiAfrica #RussiaVsUkraine
Urusi ilituma makombora na drones takriban 360 usiku wa Jumapili, Mei 25, 2025 makombora ambayo wachambuzi wamesema ni idadi kubwa zaidi ya makombora kuwahi kutumwa Ukraine katika usiku mmoja tangu vita hiyo ianze mwaka 2022
Ikumbukwe, Wiki iliyopita, Trump na Putin walizungumza kwa njia ya simu kwa zaidi ya saa 2 kujadili pendekezo la Marekani la kusitisha mapigano. Trump alisema mazungumzo hayo βyalienda vizuri sanaβ na kwamba Urusi na Ukraine ziko tayari kuanza mazungumzo ya moja kwa moja ya kuelekea kusitisha vita.
Soma https://jamii.app/MakomboraPutin
#JamiiForums #JamiiAfrica #RussiaVsUkraine
β€1π1
Kada wa Chama cha Demokrasia na Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia alikuwa mtia nia wa Ubunge katika Jimbo la Magu - Mwanza (Uchaguzi Mkuu Mwaka 2020), Juma Kaswahili inadaiwa hajulikani alipo, leo ikiwa ni siku ya tano
Kada huyo ambaye katika Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA, Januari 2025 alikuwa katika Timu ya Kampeni ya Tundu Lissu, inadaiwa Watu wake wa karibu hawajui alipo na simu zake zote hazipatikani, mara ya mwisho alionekana hadharani Mei 12 katika Mkutano wa chama Igoma, Mwanza
Upande wa Mkurugenzi wa Uenezi na Mawasiliano wa CHADEMA, Brenda Rupia amesema βBado tunaendelea kufuatilia ila tumejulishwa aliondoka Kanda ya Ziwa mara baada ya Mkutano, akapanda Basi la Shabiby na alizungumza na Mbyella kuwa tayari amefika Dar ila hajisikii vizuri na hiyo ilikuwa Mei 19, 2025.β
Soma https://jamii.app/JumaKaswahili
#JamiiForums #HumanRights #Democracy
Kada huyo ambaye katika Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA, Januari 2025 alikuwa katika Timu ya Kampeni ya Tundu Lissu, inadaiwa Watu wake wa karibu hawajui alipo na simu zake zote hazipatikani, mara ya mwisho alionekana hadharani Mei 12 katika Mkutano wa chama Igoma, Mwanza
Upande wa Mkurugenzi wa Uenezi na Mawasiliano wa CHADEMA, Brenda Rupia amesema βBado tunaendelea kufuatilia ila tumejulishwa aliondoka Kanda ya Ziwa mara baada ya Mkutano, akapanda Basi la Shabiby na alizungumza na Mbyella kuwa tayari amefika Dar ila hajisikii vizuri na hiyo ilikuwa Mei 19, 2025.β
Soma https://jamii.app/JumaKaswahili
#JamiiForums #HumanRights #Democracy
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DODOMA: Mbunge wa Viti Maalum (Mjini Magharibi-CCM), Tauhida Gallos akizungumza Bungeni amesema "Tuwaambie Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuna kenge wa ndani halafu kuna kenge wa nje, shughulikeni na kenge wa ndani mmalize na hao wa nje."
Amesema hayo leo Mei 26, 2025 wakati akichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa Mwaka wa Fedha 2025/26
Soma https://jamii.app/WananchiKenge
#Siasa #JamiiForums #AfricanPolitics #Democracy
Amesema hayo leo Mei 26, 2025 wakati akichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa Mwaka wa Fedha 2025/26
Soma https://jamii.app/WananchiKenge
#Siasa #JamiiForums #AfricanPolitics #Democracy
π2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
#BUNGENI: Maryam Omar Said, Mbunge wa Pandani, Zanzibar, leo Mei 26, 2025 amesema "Tumemuacha Martha Karua anaendelea kuzungumza akiwa Kenya kule, Mheshimiwa Waziri hili lisitokee tena. Anayekuja kwetu tunamalizana naye hapa hapa, anayeingia ndani ya kumi na nane zetu, tumalizane naye hapa, hapa,"
Zaidi https://jamii.app/KaruaKurudishwaMzima
#JamiiForums #JamiiAfrica #SocialJustice #Kuelekea2025 #Governance #Diplomacy
Zaidi https://jamii.app/KaruaKurudishwaMzima
#JamiiForums #JamiiAfrica #SocialJustice #Kuelekea2025 #Governance #Diplomacy
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
#BUNGENI: Leo Mei 26, 2025, Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko amesema "Udhalilishaji mtandaoni unafanywa na hao watu wa nje tunasema lakini zinasambazwa na kwenye mitandao ya Kitanzania, tuko wapi? Kwa nini tunaruhusu hii? Ni udhalilishaji na unaweza kuona kwamba ni udhalilishaji kwa sababu Mama, yaani Rais wetu ni mwanamke,"
Ameongeza "Mshirikiane, Mambo ya Ndani ya hapa, Idara ya Mawasiliano na kule Kenya, tuwakamate hawa Gen-Z wa kule"
Soma https://jamii.app/GenZWakamatwe
#JamiiAfrica #JamiiForums #Diplomacy #Kuelekea2025 #Accountability #DigitalRights
Ameongeza "Mshirikiane, Mambo ya Ndani ya hapa, Idara ya Mawasiliano na kule Kenya, tuwakamate hawa Gen-Z wa kule"
Soma https://jamii.app/GenZWakamatwe
#JamiiAfrica #JamiiForums #Diplomacy #Kuelekea2025 #Accountability #DigitalRights
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Abbas Tarimba amekitaka Chama cha Mapinduzi (CCM) kumchukulia hatua Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima kupitia Kamati ya Maadili ya Chama hicho, kufuatia kauli alizotoa dhidi ya Rais, alipozungumza na Waandishi wa Habari, Mei 24, 2025
Akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2025/2026, leo Mei 26, 2025, Tarimba amesema kauli za Gwajima kuhusu madai ya utekaji ni za kudhalilisha na hazikubaliki
Soma https://jamii.app/TarimbaVsGwajima
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #Uwajibikaji #SocialJustice
Akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2025/2026, leo Mei 26, 2025, Tarimba amesema kauli za Gwajima kuhusu madai ya utekaji ni za kudhalilisha na hazikubaliki
Soma https://jamii.app/TarimbaVsGwajima
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #Uwajibikaji #SocialJustice
Katika dunia ya leo yenye ushindani mkubwa, hakuna njia ya mkato kuelekea mafanikio ya kweli. Mafanikio si jambo la bahati au muujiza wa ghafla, ni matokeo ya juhudi za kila siku, nidhamu, na kujitoa kwa dhati.
Mafanikio hayawezi kuja bila kutoka 'jasho', lazima tukubali kupitia changamoto, kuamka mapema, kukosa usingizi na mara nyingine hata kushindwa, lakini tusikate tamaa.
Vumilia, endelea kujituma na uamini kuwa jasho lako leo litakuwa faraja yako kesho
#JamiiForums #JamiiAfrica #AmkaNaJF #GoodMorning
Mafanikio hayawezi kuja bila kutoka 'jasho', lazima tukubali kupitia changamoto, kuamka mapema, kukosa usingizi na mara nyingine hata kushindwa, lakini tusikate tamaa.
Vumilia, endelea kujituma na uamini kuwa jasho lako leo litakuwa faraja yako kesho
#JamiiForums #JamiiAfrica #AmkaNaJF #GoodMorning
π2
MOROGORO: Mdau wa JamiiForums.com anadai baadhi ya Viongozi katika Kata ya Lukobe Kihonda, Mtaa wa Majengo Mapya wamekuwa wakiuza mchanga unaochimbwa kwenye maeneo ya Shule ya Juhudi kisha Fedha zinaenda kwenye Mifuko yao
Anatoa wito kwa Mamlaka za juu kufika kukagua Miundombinu inavyozidi kuharibika na kuchukua hatua, tofauti na hapo Shule hiyo ndio inaweza kuzidi kupoteza mwelekeo
Soma https://jamii.app/MorogoroMazingira
#JamiiForums #Accountability #JamiiAfrica #Uwajibikaji
Anatoa wito kwa Mamlaka za juu kufika kukagua Miundombinu inavyozidi kuharibika na kuchukua hatua, tofauti na hapo Shule hiyo ndio inaweza kuzidi kupoteza mwelekeo
Soma https://jamii.app/MorogoroMazingira
#JamiiForums #Accountability #JamiiAfrica #Uwajibikaji
π1
#SIASA: Kupitia akaunti rasmi ya #JohnMrema, aliyekuwa Mkurugenzi wa Habari na Uenezi CHADEMA ametangaza kuwa kundi Sogozi la G-55 limekufa rasmi na halipo tena, hivyo pia Usemaji wake kwenye Kundi hilo umekoma.
Amesema kama kuna jambo lolote litakalotumia jina la Kundi hilo, ieleweke kuwa ni Watu watakuwa wanatumia jina hilo kwa maslahi yao binafsi na hawaisemei G-55 ambayo imeshakufa rasmi na haipo tena
Mrema amesema tangazo hilo ni kufuatia taarifa kuwa kuna Watu wamepanga kutumia jina hilo ili kuhadaa Umma, kuwa kundi hilo bado lipo jambo ambalo sio la kweli
Soma https://jamii.app/KifoChaG55
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #Democracy #Accountability
Amesema kama kuna jambo lolote litakalotumia jina la Kundi hilo, ieleweke kuwa ni Watu watakuwa wanatumia jina hilo kwa maslahi yao binafsi na hawaisemei G-55 ambayo imeshakufa rasmi na haipo tena
Mrema amesema tangazo hilo ni kufuatia taarifa kuwa kuna Watu wamepanga kutumia jina hilo ili kuhadaa Umma, kuwa kundi hilo bado lipo jambo ambalo sio la kweli
Soma https://jamii.app/KifoChaG55
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #Democracy #Accountability
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
SONGWE: Jeshi la Polisi limesema linamshikilia Mtu mmoja kwa tuhuma za mauaji ya Katekista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu wa Mtoto Yesu lililopo Tazara - Tunduma, Vincent Mwenda ambaye alifariki Mei 10, 2025 kwa kushambuliwa na kitu chenye ncha kali
Kamanda wa Polisi Mkoa, Augustino Senga amesema wanamshikilia Lameck Mwamlima (29), Fundi Magari ambaye ni Mkazi wa Migombani Tunduma na kuwa uchunguzi wa awali umebaini Mtuhumiwa alimtuhumu Katekista kutembea na mke wake, hivyo kufanya mauaji hayo kama kisasi na kwamba kuna mtuhumiwa mwingine ambaye anatafutwa.
Soma https://jamii.app/MauajiSongweUpdates
#JamiiForums #HumanRights #Accountability #JFMatukio
Kamanda wa Polisi Mkoa, Augustino Senga amesema wanamshikilia Lameck Mwamlima (29), Fundi Magari ambaye ni Mkazi wa Migombani Tunduma na kuwa uchunguzi wa awali umebaini Mtuhumiwa alimtuhumu Katekista kutembea na mke wake, hivyo kufanya mauaji hayo kama kisasi na kwamba kuna mtuhumiwa mwingine ambaye anatafutwa.
Soma https://jamii.app/MauajiSongweUpdates
#JamiiForums #HumanRights #Accountability #JFMatukio
β€1
Uwajibikaji una nafasi gani katika kuleta maendeleo endelevu? Na wale waliofanikiwa, walifanya nini tofauti?
Usikose kushiriki nasi kwenye mjadala huu muhimu, tukijifunza kutoka kwa mifano halisi na kuchambua hatua zinazoweza kuleta mabadiliko ya kweli katika uongozi na maendeleo ya jamii
Njoo utoe maoni, jifunze na kuwa sehemu ya mjadala wa kujenga Tanzania tunayoitaka, Jumatano hii, Mei 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kujiunga bofya https://twitter.com/i/spaces/1eaKbWqZegXGX
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSpaces #TheNordics #NordicWeek #Uwajibikaji #Accountability
Usikose kushiriki nasi kwenye mjadala huu muhimu, tukijifunza kutoka kwa mifano halisi na kuchambua hatua zinazoweza kuleta mabadiliko ya kweli katika uongozi na maendeleo ya jamii
Njoo utoe maoni, jifunze na kuwa sehemu ya mjadala wa kujenga Tanzania tunayoitaka, Jumatano hii, Mei 28, 2025, kuanzia Saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku, kupitia #XSpaces ya JamiiForums
Kujiunga bofya https://twitter.com/i/spaces/1eaKbWqZegXGX
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSpaces #TheNordics #NordicWeek #Uwajibikaji #Accountability
SIASA: Mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Eugene Kabendera ametangaza kujiondoa rasmi katika Chama hicho baada ya kukitumikia kwa Miaka 13, akieleza kuwa Chama hicho kimepoteza dira na kwamba uamuzi wake ni wa kimaadili kwa lengo la kulinda uadilifu wa Kisiasa.
Kabendera, ambaye aliwahi kuwa Msemaji rasmi wa Kwanza wa Chama, Naibu Katibu Mkuu wa Tanzania Bara, na Mwakilishi wa CHAUMMA katika Baraza la Vyama vya Siasa, amesema mwelekeo wa sasa wa Chama hauakisi tena misingi na maono yaliyowasukuma kukianzisha Mwaka 2012.
Aidha, ameeleza kuwa ingawa hatangazi kujiunga na Chama kingine kwa sasa, yuko wazi kuchunguza ushirikiano wa baadaye wa Kisiasa utakaolingana na misingi na maono yake kwa taifa
Soma https://jamii.app/KabenderaCHAUMMA
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #Governance #Uwajibikaji
Kabendera, ambaye aliwahi kuwa Msemaji rasmi wa Kwanza wa Chama, Naibu Katibu Mkuu wa Tanzania Bara, na Mwakilishi wa CHAUMMA katika Baraza la Vyama vya Siasa, amesema mwelekeo wa sasa wa Chama hauakisi tena misingi na maono yaliyowasukuma kukianzisha Mwaka 2012.
Aidha, ameeleza kuwa ingawa hatangazi kujiunga na Chama kingine kwa sasa, yuko wazi kuchunguza ushirikiano wa baadaye wa Kisiasa utakaolingana na misingi na maono yake kwa taifa
Soma https://jamii.app/KabenderaCHAUMMA
#JamiiAfrica #JamiiForums #Kuelekea2025 #Governance #Uwajibikaji
π1