This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Askofu Josephat Gwajima ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kawe, ametolea Mfano ikitokea Abdul (Mtoto wa Rais Samia) achukuliwe na Watu halafu kesho aokotwe akiwa hana Macho, tutajisikiaje?
Ametolea mfano kile kilichofanyika kwa Mdude, kifanyike na kwa Mtoto wake au wa Waziri Mkuu au wa IGP tutajisikiaje huku akihoji kwanini wanaopotea wanachukuliwa kama Mbuzi
Soma https://jamii.app/KauliAskofuGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights
Ametolea mfano kile kilichofanyika kwa Mdude, kifanyike na kwa Mtoto wake au wa Waziri Mkuu au wa IGP tutajisikiaje huku akihoji kwanini wanaopotea wanachukuliwa kama Mbuzi
Soma https://jamii.app/KauliAskofuGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights
π6
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Dkt. Josephat Gwajima, amesema Wakuu wa Vyombo vya Usalama wanapoondolewa kutokana na kutokubaliana na baadhi ya mambo ya Wanasiasa basi ipo Siku atatokea ambaye atakuwa anakubali kila kitu
Amesema "Ushauri wangu, wakuu wa Vyombo vya Usalama ili wafanye kazi zao kwa umahiri, wasiondolewe kwenye kazi zao kwa mapenzi ya Mwanasiasa aliyewaweka ili waweze kukataa baadhi ya mambo kwa maslahi ya Nchi."
Soma https://jamii.app/KauliAskofuGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights #Democracy
Amesema "Ushauri wangu, wakuu wa Vyombo vya Usalama ili wafanye kazi zao kwa umahiri, wasiondolewe kwenye kazi zao kwa mapenzi ya Mwanasiasa aliyewaweka ili waweze kukataa baadhi ya mambo kwa maslahi ya Nchi."
Soma https://jamii.app/KauliAskofuGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights #Democracy
π2
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Askofu Josephat Gwajima ambaye pia ni Mbunge wa Kawe amesema kuna umuhimu wa kubadili Sheria ya kuwaondoa Wakuu wa Vyombo vya Usalama kwenye nafasi zao, kwamba yeyote anapotaka kuondolewa kuwe na sababu na ziwasilishwe Bungeni ili zijadiliwe ili kuwaondolea presha watendaji hao
Akizungumza na Wanahabari leo Mei 24, 2025, ameongeza βKuwa na Nchi imara tunatakiwa kuwa na Vyombo vya Serikali ambavyo vikiona jambo ni hatari kwa Nchi vinasema hapana, na wakisema hivyo wasidhurike wao na familia zao.β
https://jamii.app/AskofuGwajimaMei24
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights
Akizungumza na Wanahabari leo Mei 24, 2025, ameongeza βKuwa na Nchi imara tunatakiwa kuwa na Vyombo vya Serikali ambavyo vikiona jambo ni hatari kwa Nchi vinasema hapana, na wakisema hivyo wasidhurike wao na familia zao.β
https://jamii.app/AskofuGwajimaMei24
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima amesema hayo akiongea na Waandishi wa Habari leo, Mei 24, 2025 kuhusu matukio ya watu kutekwa pamoja na kupotea nchini
Soma https://jamii.app/KauliAskofuGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFMatukio
Soma https://jamii.app/KauliAskofuGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFMatukio
Katika Maisha, mara nyingi wale wanaofanya mabaya huendelea kwa Amani kana kwamba hawaguswi, ilhali wale wanaojitahidi kuwa Waaminifu na Waadilifu hupitia maumivu na changamoto nyingi kama misumari inayogongwa kila mara. Ukweli huu unauma, lakini mara nyingi ndivyo ilivyo
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #Weekend #GoodMorning #AmkaNaJF #Lifelessons
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #Weekend #GoodMorning #AmkaNaJF #Lifelessons
β€1π1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani (JMAT), Sheikh Alhad Mussa Salum amewakosoa wanaomuombea mabaya Rais Samia Suluhu na kusema wanaofanya hivyo anawaombea kwa Mungu wapate Kiharusi
Amesema hayo Mei 23, 2025 alipotembelea Soko jipya la Nyama Choma la Kumbilamboto lililopo Vingunguti akiwa na Viongozi mbalimbali wa JMAT
Soma https://jamii.app/ApateStroke
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
Amesema hayo Mei 23, 2025 alipotembelea Soko jipya la Nyama Choma la Kumbilamboto lililopo Vingunguti akiwa na Viongozi mbalimbali wa JMAT
Soma https://jamii.app/ApateStroke
#JamiiAfrica #JamiiForums #Governance #KuelekeaUchaguzi2025
Siku chache baada ya Serikali ya DR Congo kuonesha nia ya kumfungulia mashtaka ya uhaini na makosa ya kivita pamoja na kumhusisha na Kundi la Waasi wa M23, Rais wa zamani wa Nchi hiyo, Joseph Kabila (53) amesema inachofanya Serikali ni utawala wa mabavu
Kabila amemkosoa Rais Tshisekedi kwa kudhoofisha Katiba, Bunge kwa kushindwa kumwajibisha Rais, mfumo wa Haki kutumiwa kwa malengo ya Kisiasa, pia amekosoa Serikali inavyoshughulikia masuala ya uchumi, ufisadi na Deni la Taifa, ambalo alisema limepanda maradufu hadi zaidi ya Dola Bilioni 10 (Tsh. Trilioni 27)
Amesema βJeshi la Kitaifa limebadilishwa kuwa Vikundi vya Mamluki, Makundi yenye silaha, Wanamgambo wa kikabila na majeshi ya kigeni ambayo si tu yameshindwa kutimiza majukumu yao bali pia yameitumbukiza Nchi kwenye machafuko yasiyoelezeka.β
Soma https://jamii.app/KabilaMay24
#JamiiForums #Governance #Siasa
Kabila amemkosoa Rais Tshisekedi kwa kudhoofisha Katiba, Bunge kwa kushindwa kumwajibisha Rais, mfumo wa Haki kutumiwa kwa malengo ya Kisiasa, pia amekosoa Serikali inavyoshughulikia masuala ya uchumi, ufisadi na Deni la Taifa, ambalo alisema limepanda maradufu hadi zaidi ya Dola Bilioni 10 (Tsh. Trilioni 27)
Amesema βJeshi la Kitaifa limebadilishwa kuwa Vikundi vya Mamluki, Makundi yenye silaha, Wanamgambo wa kikabila na majeshi ya kigeni ambayo si tu yameshindwa kutimiza majukumu yao bali pia yameitumbukiza Nchi kwenye machafuko yasiyoelezeka.β
Soma https://jamii.app/KabilaMay24
#JamiiForums #Governance #Siasa
β€1
Je, wewe ni Mdau wa Teknolojia na Mitandao?
Kuanzia Mei 29 hadi Mei 31, 2025 Jukwaa la 14 la Utawala wa Mitandao Afrika litawakutanisha Wadau mbalimbali wa Teknolojia na Mitandao
Litakuwa Jukwaa la Mazungumzo, Ushirikiano na kubadilishana Mawazo juu ya masuala muhimu ya Utawala wa Mtandao (Internet Governance) Barani Afrika
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaAfrikaKidigitali #JamiiForums #JamiiAfrica
Kuanzia Mei 29 hadi Mei 31, 2025 Jukwaa la 14 la Utawala wa Mitandao Afrika litawakutanisha Wadau mbalimbali wa Teknolojia na Mitandao
Litakuwa Jukwaa la Mazungumzo, Ushirikiano na kubadilishana Mawazo juu ya masuala muhimu ya Utawala wa Mtandao (Internet Governance) Barani Afrika
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaAfrikaKidigitali #JamiiForums #JamiiAfrica
ZANZIBAR: Fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) inaendelea kwenye Uwanja wa Amaan Complex. Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika, #Simba inaongoza kwa Goli 1-0 dhidi ya #RSBerkane
Goli limefungwa na Joseph Mutale dakika ya 17
Soma https://jamii.app/SimbaRSBerkane
#JFSports #JamiiForums #JFCAFCC
Goli limefungwa na Joseph Mutale dakika ya 17
Soma https://jamii.app/SimbaRSBerkane
#JFSports #JamiiForums #JFCAFCC
ZANZIBAR: Licha ya Timu ya #Simba kupata sare ya Goli 1-1 katika Fainali ya Pili ya CAF kwenye Uwanja wa Amaan Complex, hiyo haikuwa na faida kwao baada ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kwenda kwa #RSBerkane ya Morocco
Simba ambayo imecheza pungufu muda mwingi wa kipindi cha pili baada ya Yusuph Kagoma kupata Kadi Nyekundu dakika ya 50 ilipata goli lake kupitia kwa Joshua Mutale dakika ya 17 huku wageni wakifunga kupitia kwa Soumaila Sidibe dakika ya 90+3
Hivyo, Simba imeukosa Ubingwa kwa kuwa mchezo wa kwanza RS Berkane ilishinda kwa magoli 2-0, hivyo matokeo ya jumla kuwa 3-1
Soma https://jamii.app/SimbaBerkane
#JFSports #JamiiForums #JFCAFCC
Simba ambayo imecheza pungufu muda mwingi wa kipindi cha pili baada ya Yusuph Kagoma kupata Kadi Nyekundu dakika ya 50 ilipata goli lake kupitia kwa Joshua Mutale dakika ya 17 huku wageni wakifunga kupitia kwa Soumaila Sidibe dakika ya 90+3
Hivyo, Simba imeukosa Ubingwa kwa kuwa mchezo wa kwanza RS Berkane ilishinda kwa magoli 2-0, hivyo matokeo ya jumla kuwa 3-1
Soma https://jamii.app/SimbaBerkane
#JFSports #JamiiForums #JFCAFCC
β€1
Kusoma kwa undani habari hizi na nyingine zilizojiri juma lililopita bofya https://jamii.app/YaliyojiriJumaLililopita
#JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
#JamiiForums #YaliyojiriJumaLililopita #JFToons
Wakati Barani Ulaya inajulikana wazi kuwa mchezo wa soka (Football) ndio namba moja kwa kupendwa na kufuatiliwa zaidi na Watu, Nchini #Finland hali ni tofauti, wao mchezo wao namba moja ni Ice Hockey
Mchezo huo unaongoza kwa umaarufu na kwa kufuatiliwa na watu wengi, hii inajumlisha wanaofuatilia kupitia TV (TV Viewership) na wanaofika uwanjani
Finland ilitwaa Ubingwa wa Dunia wa IIHF World Championship Mwaka 2022, 2019, 2011 na 1995, pia mpinzani wao wa jadi katika mchezo huo ni Sweden, licha ya kuwa mara kadhaa kumekuwa na ushindani mkali dhidi ya Canada na Marekani
Soma https://jamii.app/FinlandIceHockey
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #JFSports
Mchezo huo unaongoza kwa umaarufu na kwa kufuatiliwa na watu wengi, hii inajumlisha wanaofuatilia kupitia TV (TV Viewership) na wanaofika uwanjani
Finland ilitwaa Ubingwa wa Dunia wa IIHF World Championship Mwaka 2022, 2019, 2011 na 1995, pia mpinzani wao wa jadi katika mchezo huo ni Sweden, licha ya kuwa mara kadhaa kumekuwa na ushindani mkali dhidi ya Canada na Marekani
Soma https://jamii.app/FinlandIceHockey
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #JFSports
Je, Viongozi wetu wanatimiza wajibu wao ipasavyo kwa Wananchi? Uwajibikaji wao unahusiana moja kwa moja na Maendeleo endelevu?
Usikose kuungana nasi kwenye mjadala kupitia #XSpaces ya JamiiForums, ambapo tutachambua mifano hai ya Nchi zenye Utawala bora, njia walizotumia kupata Mafanikio na nafasi ya Wananchi katika kuwawajibisha Viongozi wao
Usikose fursa hii ya kipekee ya kujifunza, kushiriki hoja mbalimbali, Mei 28, 2025 kuanzia saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://twitter.com/i/spaces/1eaKbWqZegXGX
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSpaces #TheNordics #NordicWeek #Uwajibikaji #Accountability
Usikose kuungana nasi kwenye mjadala kupitia #XSpaces ya JamiiForums, ambapo tutachambua mifano hai ya Nchi zenye Utawala bora, njia walizotumia kupata Mafanikio na nafasi ya Wananchi katika kuwawajibisha Viongozi wao
Usikose fursa hii ya kipekee ya kujifunza, kushiriki hoja mbalimbali, Mei 28, 2025 kuanzia saa 12:00 jioni hadi 2:00 usiku
Kujiunga bofya https://twitter.com/i/spaces/1eaKbWqZegXGX
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFSpaces #TheNordics #NordicWeek #Uwajibikaji #Accountability
DIPLOMASIA: Kwa mujibu wa Vyombo vya Habari vya Nchini Uganda, imeelezwa baadhi ya wanadiplomasia wa Ulaya walitoa malalamiko dhidi ya Kainerugaba katika kikao na Kaka wa Museveni, Jenerali mstaafu Salim Saleh, ambaye aliahidi "kumdhibiti" kiongozi huyo wa Kijeshi
Aidha, makundi ya kutetea haki za binadamu yamesema kuwa Serikali ya Uganda imeongeza kasi ya ukandamizaji dhidi ya Wapinzani na wakosoaji wake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Januari 2026, ambapo Rais Museveni anatarajia kuongeza Miaka mingine ya utawala baada ya kuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 40
Soma https://jamii.app/UchocheziBaloziUG
#JamiiForums #UgandaPolitics
Aidha, makundi ya kutetea haki za binadamu yamesema kuwa Serikali ya Uganda imeongeza kasi ya ukandamizaji dhidi ya Wapinzani na wakosoaji wake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Januari 2026, ambapo Rais Museveni anatarajia kuongeza Miaka mingine ya utawala baada ya kuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 40
Soma https://jamii.app/UchocheziBaloziUG
#JamiiForums #UgandaPolitics