Mwaka 2021, Denmark ilizindua Shamba kubwa zaidi la Upepo katika eneo la Skandinavia (Scandnavia) linaloitwa "Kriegers Flak." Shamba hili lina uwezo wa kuzalisha Umeme wa kutosha kuhudumia takriban Kaya 600,000 za Denmark
Hata hivyo, Upepo sio Nishati mbadala pekee inayotumiwa Nchini Denmark, nafasi ya kwanza inashikiliwa na Nishati ya Mimea (Bioenergy), ikifuatiwa na Upepo, Jua na Nishati kutoka kwenye Joto la Ardhini (Geothermal).
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #WindEnergy #RenewableEnergy
Hata hivyo, Upepo sio Nishati mbadala pekee inayotumiwa Nchini Denmark, nafasi ya kwanza inashikiliwa na Nishati ya Mimea (Bioenergy), ikifuatiwa na Upepo, Jua na Nishati kutoka kwenye Joto la Ardhini (Geothermal).
#JamiiForums #JamiiAfrica #NordicWeek #WindEnergy #RenewableEnergy
β€1
Jukwaa la 14 la Utawala wa Mitandao Afrika litawakutanisha Wadau mbalimbali wa Teknolojia na Mitandao kujadili ushirikiano wa Kidijitali na upatikanaji wa huduma ya Mtandao kwa wote
Jukwaa hili litafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam kuanzia Mei 29 hadi Mei 31, 2025
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaKidijitaliAfrika #JamiiForums
Jukwaa hili litafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam kuanzia Mei 29 hadi Mei 31, 2025
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaKidijitaliAfrika #JamiiForums
π1
Unapochagua eneo moja na kuwekeza Muda, Nguvu na Akili zako zote, unajitengenezea nafasi kubwa ya kuwa Mbobezi wa kile unachokifanya (mastery)
Hii inakuwezesha kufanya kwa ubora zaidi, kukua kwa kasi na hatimaye kufikia mafanikio makubwa, ambayo usingeweza kuyafikia kwasababu kugusagusa kila kitu kwa uchache.
JamiiAfrica inakutakia Mapumziko mema ya mwisho wa Wiki
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #Weekend #GoodMorning #AmkaNaJF #Lifelessons
Hii inakuwezesha kufanya kwa ubora zaidi, kukua kwa kasi na hatimaye kufikia mafanikio makubwa, ambayo usingeweza kuyafikia kwasababu kugusagusa kila kitu kwa uchache.
JamiiAfrica inakutakia Mapumziko mema ya mwisho wa Wiki
#JamiiForums #JamiiAfrica #Maisha #Weekend #GoodMorning #AmkaNaJF #Lifelessons
Mwandishi wa Andiko la Stories of Change 2023 anasema Ajira za kujua zinaweza kuchangia Taasisi za Elimu kuajiri Watu wasio na Uwezo na Ujuzi unaohitaji na kusababisha Wanafunzi kupata Mafunzo kutoka kwa Watu wasiojitosheleza kitaaluma
Vipi Mdau, umeshawahi kuwa mwathirika wa Ajira za kujuana?
Soma Andiko hili kwa undani zaidi https://jamii.app/AjiraKujuanaSOC03
#JamiiForums #JamiiAfrica #SOC2023 #EmploymentCrisis
Vipi Mdau, umeshawahi kuwa mwathirika wa Ajira za kujuana?
Soma Andiko hili kwa undani zaidi https://jamii.app/AjiraKujuanaSOC03
#JamiiForums #JamiiAfrica #SOC2023 #EmploymentCrisis
Mdau wa JamiiForums.com amewashauri Watumishi wa Umma kuwa makini na Mikopo wanayoichukua kwasababu hali ya Maisha ni ngumu, hivyo baadhi ya Taasisi za Kifedha zinatumia huo mwanya kuwahadaa na kuwaingiza mkenge ambapo mwisho wake wengi hujutia
Mjadala zaidi https://jamii.app/MikopoWatumishiUmma
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFStories #JFChitChats
Mjadala zaidi https://jamii.app/MikopoWatumishiUmma
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFStories #JFChitChats
Mdau wa JamiiForums.com anasema wakati mwingine #Biashara kuwa na Mkopo kunatoa kinga kwa mmiliki wa Biashara hiyo
Ametolea Mfano suala la Majanga kama Moto kwenye Biashara, akisema ikiwa Mfanyabiashara ulichukua Mkopo Benki na kununua Hisa, zinaweza kufanyika msaada kwako pale yanapotokea Majanga
Je, unakubaliana na hoja hii?
Soma zaidi https://jamii.app/MikopoBiashara
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uchumi
Ametolea Mfano suala la Majanga kama Moto kwenye Biashara, akisema ikiwa Mfanyabiashara ulichukua Mkopo Benki na kununua Hisa, zinaweza kufanyika msaada kwako pale yanapotokea Majanga
Je, unakubaliana na hoja hii?
Soma zaidi https://jamii.app/MikopoBiashara
#JamiiAfrica #JamiiForums #Uchumi
Dar: Rais Samia akiwaapisha Viongozi wateule wakiwemo wa Tume ya Maadili, leo Mei 24, 2025 amewataka kusimamia Maadili kwa Watumishi wa Umma kwa Nguvu na Uadilifu
Amesema βNaombeni mkasimamie Maadili kwenye Utumishi wa Umma, tumeharibika. Leo hii, Mtumishi wa Umma anakosa Uzalendo. Anakosa hata Moyo. Mtumishi anathubutu kuchukua siri kwenye mafaili, kupiga picha kwa simu yake na kusambaza. Anadhani anamkomoa Rais au Mtu mwingine, lakini ukweli ni kwamba yeye ndiye aliyekosa Maadili, yeye ndiye asiyewajibika kwa Taifa lake,β
Soma https://jamii.app/SamiaMaadiliUtumishi
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji
Amesema βNaombeni mkasimamie Maadili kwenye Utumishi wa Umma, tumeharibika. Leo hii, Mtumishi wa Umma anakosa Uzalendo. Anakosa hata Moyo. Mtumishi anathubutu kuchukua siri kwenye mafaili, kupiga picha kwa simu yake na kusambaza. Anadhani anamkomoa Rais au Mtu mwingine, lakini ukweli ni kwamba yeye ndiye aliyekosa Maadili, yeye ndiye asiyewajibika kwa Taifa lake,β
Soma https://jamii.app/SamiaMaadiliUtumishi
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji
β€1
DAR: Rais Samia amesema Utumishi wa Umma ndio injini ya Uendeshaji wa Nchi, hivyo Viongozi wateule wa Tume ya Maadili ya Utumishi wafanye kazi ya kuwakumbusha Watu Maadili
Amesema "Mtu unamteua ila akifika pale yeye anawaza, nikifika watanijua, nataka baada ya Miaka Miwili niwe 'Somebody', badala ya kutumikia Nchi anajitumikia mwenyewe"
Soma https://jamii.app/SamiaMaadiliUtumishi
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji
Amesema "Mtu unamteua ila akifika pale yeye anawaza, nikifika watanijua, nataka baada ya Miaka Miwili niwe 'Somebody', badala ya kutumikia Nchi anajitumikia mwenyewe"
Soma https://jamii.app/SamiaMaadiliUtumishi
#JamiiAfrica #JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji
π1
Mdau wa JamiiForums.com amehoji iwapo ni sahihi kuripoti Polisi au ustawi wa jamii pale unapoona jirani anafanya unyanyasaji au ukatili kwa Watoto au msaidizi wake wa kazi, swali hili lililoibua mjadala kuhusu mipaka ya faragha na wajibu wa kijamii.
Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kuwa kulinda Watoto ni jukumu la kila mmoja wetu katika jamii na si sahihi kufumbia macho ukatili na unyanyasaji wa aina yoyote. Ukiona, chukua hatua kwa kukemea au kutoa taarifa kwa mamlaka husika
Mdau, unadhani ni sawa kuripoti pale jirani anapofanya unyanyasaji au ni kuingilia maisha ya watu?
Mjadala zaidi https://jamii.app/KuripotiMtotoAnayeteswa
#JamiiForums #JamiiAfrica #Lifestyle
Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kuwa kulinda Watoto ni jukumu la kila mmoja wetu katika jamii na si sahihi kufumbia macho ukatili na unyanyasaji wa aina yoyote. Ukiona, chukua hatua kwa kukemea au kutoa taarifa kwa mamlaka husika
Mdau, unadhani ni sawa kuripoti pale jirani anapofanya unyanyasaji au ni kuingilia maisha ya watu?
Mjadala zaidi https://jamii.app/KuripotiMtotoAnayeteswa
#JamiiForums #JamiiAfrica #Lifestyle
Jukwaa la Utawala wa Mtandao Barani Afrika (AfIGF) litafanyika Jijini Dar es Salaam kuanzia Mei 29 hadi 31, 2025, ambapo Wadau wa Mtandao kutoka maeneo mbalimbali ya Afrika na Duniani watakutana
AfIGF itaunganisha Wadau kutoka Sekta mbalimbali ikiwemo Serikali, Asasi za Kiraia, Sekta binafsi, Wataalamu wa Kiufundi na Vyuo Vikuu
Litakuwa jukwaa la Mazungumzo, Ushirikiano na kubadilishana Mawazo juu ya masuala muhimu ya Utawala wa Mtandao (Internet Governance) Barani Afrika
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaAfrikaKidigitali #JamiiForums #JamiiAfrica
AfIGF itaunganisha Wadau kutoka Sekta mbalimbali ikiwemo Serikali, Asasi za Kiraia, Sekta binafsi, Wataalamu wa Kiufundi na Vyuo Vikuu
Litakuwa jukwaa la Mazungumzo, Ushirikiano na kubadilishana Mawazo juu ya masuala muhimu ya Utawala wa Mtandao (Internet Governance) Barani Afrika
#AfIGF2025 #AfricalGF #KuimarishaAfrikaKidigitali #JamiiForums #JamiiAfrica
π2
AFRIKA KUSINI: Mchezo wa fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika umemalizika kwa sare ya Goli 1-1 kwenye Uwanja wa Loftus Versfeld Jijini Pretoria, kati ya #MamelodiSundowns dhidi ya Pyramids
Goli la wenyeji limepatikana dakika ya 54 kupitia kwa Lucas Costa, huku wageni #Pyramids wakasawazisha dakika ya 90+4 mfungaji akiwa ni Walid El Karti
Hivyo, Bingwa anatarajiwa kujulikana Juni 1, 2025 ambapo mchezo wa pili utapigwa kwenye Uwanja wa 30 June Jijini Cairo Nchini Misri
Soma https://jamii.app/MamelodiPyramids
#JFSports #JamiiForums #JFCAFCL
Goli la wenyeji limepatikana dakika ya 54 kupitia kwa Lucas Costa, huku wageni #Pyramids wakasawazisha dakika ya 90+4 mfungaji akiwa ni Walid El Karti
Hivyo, Bingwa anatarajiwa kujulikana Juni 1, 2025 ambapo mchezo wa pili utapigwa kwenye Uwanja wa 30 June Jijini Cairo Nchini Misri
Soma https://jamii.app/MamelodiPyramids
#JFSports #JamiiForums #JFCAFCL
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima akiongea na Waandishi wa Habari leo, Mei 24, 2025 amesema kuwa kumekuwa na mlolongo wa matukio ya watu kutekwa pamoja na kupotea nchini
Askofu Gwajima ameongeza kuwa kutokana na matukio hayo ameamua kuitisha Mkutano na Waandishi wa Habari ili kuongelea kuhusu suala hilo na kisha kutoa Ushauri wake
Soma https://jamii.app/KauliAskofuGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFMatukio
Askofu Gwajima ameongeza kuwa kutokana na matukio hayo ameamua kuitisha Mkutano na Waandishi wa Habari ili kuongelea kuhusu suala hilo na kisha kutoa Ushauri wake
Soma https://jamii.app/KauliAskofuGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #JFMatukio
β€1
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, amesema hawezi kuamini kwamba Vyombo vya Usalama havina taarifa kuhusu Utekaji wa Watu ila inawezekana wakifuatilia wanakuta kikundi kilichomchukua Mtu kimetengenezwa na Mwanasiasa fulani kwa faida zake
Ameyasema hayo leo, Mei 24, 2025 akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu uwepo wa Matukio mbalimbali ya Utekaji Watu
Soma https://jamii.app/KauliAskofuGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights
Ameyasema hayo leo, Mei 24, 2025 akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu uwepo wa Matukio mbalimbali ya Utekaji Watu
Soma https://jamii.app/KauliAskofuGwajima
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights